Wallah Allah akulinde sheikh wetu kwa kweli nawafikiria wazazi wangu sana hasa mamaangu mimi ni vp atabadilikq na kurud katika dini yake ya haki yarabby wajalie wazazi wangu uzilinishe nyoyo zao na uwajaalie wawe n wenye kubadilika nafsi zao kabla ya umauti kiwafika inshallah
@halimahassan8582
8 ай бұрын
Ma sha Allah ❤❤❤! Mama ni mama! Nani kama mama! Allah akbar! Ma sha Allah Allah akupe akupe kila la khyr sheikh wetu.
@Mabahdl
8 ай бұрын
Hii ninyimbo haifai mwiisilm kusikiliza hizi ni mbino za mahizib nakuharibu dini ya allah anashidi niharam mwislamu kusikiliza
Acha uchawi ww hapa unafata nn km si mtu wa nasheed ulitumwa ufungue
@fatmahassanhassan3234
8 ай бұрын
Kama nyimbo wewe wafanya nini hapa hater🤔
@abuuthuraiyahibrahim6199
8 ай бұрын
Allah atuhifadh na hawa masheitwan watu
@rayisadesigns2646
8 ай бұрын
Masalafi sio watu wa sunnah, ni washenzi wanaojificha kwenye sunnah hata lisilo na dosali wao kwao wataliweka dosali na kuwakufurisha wenzao. Mimi ni mtu wa sunnah lakini masafi kwangu hapana, hawa jamaa dhahiri ni vibaraka wa mayahudi, yani wanatabia kama watoto wa zinaa tena walozaliwa gesti, hawana adabu kabisa. Hii ni nasheed nzuri tu lakini wao wameshaanza kuitia doa na kuwatusi walioitunga na kuiimba.
@bellahaji9884
8 ай бұрын
Scw scw scw❤❤❤
@vibraniumboy4385
8 ай бұрын
I can't imagine how happy nd emotional i was that day 🥺😪❤️❤️❤️
@SheikhMuhammadBahero
8 ай бұрын
Masha Allah
@user-nk8fi1kg6i
8 ай бұрын
True ❤
@mwanaaminahusseinsuleiman6980
8 ай бұрын
Mashaa Allah tabaraka rahman nashid nzuri sana Allah awajaze kila lakheri ❤❤❤
@mwaju7868
8 ай бұрын
MashaAllaah tabaraka rrahman Allaah akuhifadhi wewe na wazazi wako na familia yako akupeni kufaulu leo na kesho Akhrea
@SheikhMuhammadBahero
8 ай бұрын
Amiin ya rabb
@SheikhMuhammadBahero
8 ай бұрын
Amiin ya rabb
@siriyangu4724
8 ай бұрын
Mashallah tabarakaallah uwe jizuwa kweli twakupenda Mohammed bahero kwa ajili ya Allah ❤
@fadhilimurage9464
8 ай бұрын
Hii video imenitoa machozi 😢 Mashallah ❤❤ Jazakalllah Khairan
@bintsalimalbimany287
8 ай бұрын
Dah Jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭Huwez kuiskiliza usilie hii Nasheed And mom furaha yake sijui ikoje jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mashallah Sheikh Muhammad Bahero Allah akulipe kher za Dunia na akhera Much love from UAE(🇦🇪)jazakallah kher😭😭😭😭😭😭😭
Twakuombeq kila la kher sheikh akulinde sana na acid kukuhifqdh n utuombee sisi wadogo zako / Watoto wako utuombee wazazi wetu wawe n wenye kuotqmbua dini yake Allah
@Ashraf-ipm
7 ай бұрын
Ni kweli mwislam huwezi toa machozi Kwa music uchache wa elim
@swabirmahmood5007
Ай бұрын
❤❤❤ Ma Shaa Allah
@MaryanAli-g1t
4 ай бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@hassanboru
8 ай бұрын
Masha Allah ❤️ mama ni Kila kitu maishani jameni tutuze mama zetu kama huyuko hai
@khamiisabubakar412
8 ай бұрын
Kama mama ni kila kitu maishani mwako Mola wako umembakishia nini
@eshasalim5496
8 ай бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Baaraka Allahu Fiikum Wa Jazzakumu Allahu Khairan ❤
@awatifomar5185
8 ай бұрын
ILA NAMPONGEZA MAMA KWA JUHUDI KUBWA ALIO ICHUKUA MAANA MUHAMMAD ALIKUA MTUNDU AJABU UDOGONI KWAKE
@jafarbalagha441
8 ай бұрын
Waallah Allah atatuhisabu sote. Ila ahlu sunnah hawa wa leo😢😢😢😢😢
@jafarbalagha441
8 ай бұрын
Hizi ndizo bidaa hakuna tofauti na makhurafi wallah
@Najmasworld672
8 ай бұрын
Ma Shaa Allah❤
@Wueeh
8 ай бұрын
Allah akuongoze ndugu maana ni riyaa tupu..hii zawadi ulikuwa waweza kumpatia nyumbani mbona ufanye mbele ya watu. Kando na uharamu wa nyimbo hiyo na unajua kuwa ni haramu. Allah yahdiik.
@sarahmohammed1696
8 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah ya Bariik ❤
@abbaspaziaog2188
8 ай бұрын
Sheikh Muhammad bahero hii anasheed ni saw tu kuimbia hebu naomba utuambie kumbuka wajiita mtu wasunnah na ni wengi wanakufuata
@user-fq5qm8zf4o
8 ай бұрын
Mashallah 🥰❤
@halimamfaume1925
8 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@user-zy4sx6xm4t
8 ай бұрын
Mashallah Barkallahfik Frm Kemya❤❤❤
@user-ly2tv5og1n
8 ай бұрын
Mash'Allah ❤
@Mabahdl
8 ай бұрын
Unaye sema hii nyimbo imekutowa machozi nikwasbb hujui dini yako huwezi kutokwa namachozi kwa nyimbo hizi miyzk hajawahi kumlilia allah kwa madhambi yako unalia nakutokwa na machozi kwa hii nyimbo ama kweli uma uko mbali na dini yao utakuja kuulizwa siyo kiyama na allah
Ww n mjinga kweli mbona wahabi wafanya machezo yenu ya nashida ziinu za limbo ispo kuwa na maana hii tunampenda mtuwe wetu Mohamed swcw
@andallaathman3856
8 ай бұрын
Kma hauna Imani na mama yako wacha mambo yakua yatufundisha dini coz Imani NI katika misingi ya dini so kma uko na mama na kwa hiii nyimbo huezi Lia ama sikitika then my bro u have problem huezi Lia hata Kwa hio dini unayo sema ww coz hapa hatuangalii kitu twangalia msg yake Vpi hio nyimbo na hakuna ngomba hapa wala music kwnani kuimba mashairi imekua haramu pia sahiii BC hatari mwafanya dini ya ALLAH iwe nzito Sana wallah ila mungu atuongoze sote hapa hkuna kutusiana wala kukejeliana ww umeona kwako makosa mpe mwenzako nafasi na usheuri bc sio kuwambia watu hawajalia kwa dini alie Lia hapa NI sababu ya kukumbuka mamake tuu na hio hio ni dini ,aljannat tahata aqdaami ummahati
@OthmanAbdallah-y4v
8 ай бұрын
Hata mie nimezikiliza baada ya kuona huwo ujumbe kwamba watu wamelia kwa hii nyimbo. Sasa munachokasirika ni nini hapo wakati hizo ni nyimbo kweli. Zifaa vinavyotengenezewa bongo fleva ndio hivyo hivyo vinavyotumika kupigia hiyo miziki yenu ndio maaana huwa hamufanikiwi na chochote kwa kuficha ukafiri ndani ya nyoyo zenu na nnjee mukajifanya waisilamu. Wanafiki wakubwa mukiambiwa ukweli muanze kukasirika mtukufu wa daraja ameshatufahamisha kuhusu unafiki wetu kwa hiyo endeleeni kuendekeza napsi zenu tu na tamaa zenu za dunia hizo.
@ilhanmohasuleyman4568
8 ай бұрын
masha allah sheiq wetu muhammed Bahero ❤❤❤
@halimaabdi3125
8 ай бұрын
This halal entertainment tabarakallah
@hadijaalpha7547
8 ай бұрын
Amiin Amiin yarab la Allahmin 😢🤲🤲🤲❤
@rayisadesigns2646
8 ай бұрын
Masalafi sio watu wa sunnah, ni washenzi wanaojificha kwenye sunnah hata lisilo na dosali wao kwao wataliweka dosali na kuwakufurisha wenzao. Mimi ni mtu wa sunnah lakini masafi kwangu hapana, hawa jamaa dhahiri ni vibaraka wa mayahudi, yani wanatabia kama watoto wa zinaa tena walozaliwa gesti, hawana adabu kabisa. Hii ni nasheed nzuri tu lakini wao wameshaanza kuitia doa na kuwatusi walioitunga na kuiimba.
@user-wx9co2ql8j
8 ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤
@ConfusedLargeWaterfall-vx8ps
8 ай бұрын
Mashaa Allah❤❤❤❤
@user-fq3gs2jx8h
8 ай бұрын
Maashaalla suma maashaalla
@hadijaalpha7547
8 ай бұрын
S.A.W 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤
@umazisalim8070
8 ай бұрын
Masha Allah
@ummusulaish5586
8 ай бұрын
MashaAllah
@user-yj5on8cz3e
4 ай бұрын
Arafu husimama kwenye mimbari kusema anasheed haramu arafu mwaifanya hapa ikiwa unaowaongoza wanaona mwalimu mwenyewe anapiga anasheed na sisi wafuasi iweje, hebu tusimame kweli kweli katika sunna jamaani tusiwe na sunna za mdomoni tuu kimatendo yatutupa mbali na uislamu anasheed ni haramu lakini watu hupinga mdomoni kimayendo hufanya.
@user-xr4ub5tg3j
8 ай бұрын
Kama hii nasheed ndio imefanya mulie ina maana mna penzi zaidi kwa hii nasheed ....na ni apo ndio inakuwa haramu .tunafaa tulie Qur'an tunaposomewa au tunaposoma..sifa ni ya ALLAH pekeee
@jamilabakari1283
8 ай бұрын
4:11
@Abuakiba-qt4eq
8 ай бұрын
Tunapo zungumza tuchunge ndimi zetu, maana kunvujiya mwenzako hishima ni dhambi kubwa, hushinda dhambi la mtu kuzini na mamake
@ashaabdi3310
8 ай бұрын
Sheikh Mohammed bahero Asalamu aleikum ndugu wangu
@sonic1963
8 ай бұрын
ماشاءالله
@abubakarfugicha9271
8 ай бұрын
Mashaallah
@salmaalkyumi6030
8 ай бұрын
❤️❤️❤️
@bintsalimalbimany287
8 ай бұрын
Tuloirudia zaid ya mara 10 wangapi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hawasuleiman
8 ай бұрын
Mki tegemeya watu mta angamiya.. uislam peke ndo ume kamilika bina adam hawaja kamilika. Iyo miziki sio katika uislam ila kama uyu kaweka sio maanayake ni din ndo ime sema.
@h.alshidhani8971
8 ай бұрын
Jina linakuwa Mohammed sio Muhammad. Jina la Muhammad ni la Mtume peke yake. Ninyi watu wa Mombasa Kila maana mnabadilisha
@awatifomar5185
8 ай бұрын
Ni nyimbo km nyimbo nyengine
@ZubeirTahir-ep1tp
8 ай бұрын
UNAJUA NASHANGAA KITU HAPA. KUNA MASHEKHE NAWAONA HAPA AMBAO NI WENZAKE MOHAMMED BACHU KWA MSIMAMO WAO NA ITIKADI AMBAO WAMESHAWAHI KUSEMA KUA NASHIID NIUJINGA NA NI PUMBAVU. SASA NAONA WAO WAPO AU WANAMSIMAMO TOFAUTI JUU YA NASHIID?
@Najdi358
8 ай бұрын
Sasa nahuyo Bahero nae alikua anapinga, mbona hapo kanyamaza kimya, tatizo wanapenda umaarufu, hata kama wataujua ukweli watajifanya kupinga ilimradi wapate kubishana ili umaarufu uzidi, niliwahi kumsikia Bachu anapinga nasheed pia anazikubal baadhi ya nasheed, sasa nikawa na wasi wasi na msimamo wake, wote hao hawana lolote wanataka umaarufu tu
@ZubeirTahir-ep1tp
8 ай бұрын
HAO MASHEIKHE WA KIWAHABBI NA KISALAFI WANAOKAA JUU YA MEMBARI NA KUKATAZA NASHIID MBONI TUNAWAONA HAPO?
@shuwehaharuna6309
8 ай бұрын
HAlafu wanashikana mikono astaghafirillah
@imamuhamisi4421
8 ай бұрын
Mama yakee kwaiy asimshike mkono?
@HannanSheekale
8 ай бұрын
Huyu mweupe ni nany yako sheikh
@ABUUJAAFAR92
8 ай бұрын
Nasheed ni alama za mahizbiy wala hukuti jambo hilo kwa masalafy ahlu assunnati wal jamaa.
@suhailsodeh5444
8 ай бұрын
Sasa ndio nini balaaa wasani nyinyi...ati aliwatoa machozi...ma hisbi ati nyinyi ni salafi ...kweli
@abusumayyah3112
8 ай бұрын
Bongo flaver
@fatmaally7241
8 ай бұрын
Vitu vyengine vina mshushia mtu hadhi alio kua amewekewa na wat kama hii kwangu imenifanya ni kushushe thamani akhi
@fatmahassanhassan3234
7 ай бұрын
Ukimthamini mume wako vizuri zaidi ukhty
@SangiwaMsangi-x4x
8 ай бұрын
Ujahili tuuu someni quruani
@imranmrisho
8 ай бұрын
Hii mijitui inapotosha umma,!?kwahy hata maswahaba ndo walikua hiv
@user-ri1yr8ks7y
8 ай бұрын
Sas izo rangi za mdomo kw kupaka wamaume. Ndo kitu gni, au ndo dini in nayo
Пікірлер: 105