wooow,,Despina mdende...that voice jo,,,hongereni .sana wanakwaya AAAH...', huyu Despina ,,,yaani nimempenda pia mimi ghafla hio tu.'' ,,,,,,BARAKA HIzO BASI WADAU .#kenya nairobi
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
4 жыл бұрын
Karibu utazame muziki mtakatifu ,pia tafadhali usisahau KUSUBSCRIBE kzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@nurmanmaginga9555
3 жыл бұрын
Yan we mwanamke mungu akupiganie akupe miaka 10000 despina❤❤❤❤
@sofiamauwa7146
3 жыл бұрын
Dada Despina wewe umebarikiwa kwa sauti nzuri.Amen
@rosenyachi2277
4 жыл бұрын
Hongereni wana wa Malaika Gabriel mkiongozwa na Soloist Dada Despina Mdende Pongezi za pekee kwa Papaa Adam Bukuku&Organist matata kabisa. Hakika mmetisha. Big up 🤝✅💯🙏
@paulmala3941
3 жыл бұрын
Despina 🎼💜
@mathewgithinji1115
4 жыл бұрын
Sauti nyororo zilizopangwa zikapangika. Shukrani sana kwa utunzi na uimbaji aina yake. Galaxy Pro mko juu tu saaana👌 👍
@emmanyaluke5321
4 жыл бұрын
Hongera sana shemela Adam Mungu azidi kukuza kipaji chako 🤝
@nursecaren
3 жыл бұрын
Team Nairobi Kenya twasema hongera kwa kazi nzuri 🎶♥️ soloist your voice is 💯🔥
@onesmolkalinga5519
4 жыл бұрын
Chombo imekaa vemaaaa hongera kwenu ila aloimbilizia sauti ya pili mmemnyima picha hajaonekana sanaaaaaa
@OGT456
2 жыл бұрын
Sauti tamu kama za malaika,,🙏🙏
@petermarwadelighton3544
4 жыл бұрын
Safi safi
@adventinangumba833
3 жыл бұрын
Hongeren sana wimbo mtamu mmeutendea haki lkn sasa pongezi nyingi kwa dada yangu despina saut yake inanikosha mno, nampenda bure
@magrethpaul5784
2 жыл бұрын
Hongereni kwa uimbaji uliotukuka, 🔥🔥🔥
@mariusfaustine3919
4 жыл бұрын
Safi sana ndg zangu nimefurah sana
@nemilakiangela5153
3 жыл бұрын
Hongera sana waimbaji ! Despina Hongera na asante kwa sauti Nauru inayomuhimidi Bwana.
@stellageorge7312
2 жыл бұрын
Hongereni Sana mmefanya vizuri
@restipaul4286
4 жыл бұрын
Hongereni saana kwa kazi nzuri, Wimbo huu kila ninapousikiliza nafsi yangu inaburudika
@lucymagina7903
3 жыл бұрын
Amen
@fidelisvalelian
Жыл бұрын
Jaman dada despina mungu akubarikisana sikumoja nitakualika kwenye kwaya yangu uje utufundishe nass no
Despina ni mwanakwaya pekee upande wangu ambaye nampenda sana anasauti ambayo inakushawishi kusikiliza wimbo mungu akubaliki sana
@deogratiuskapama1675
4 жыл бұрын
Hii ni balaaa, mmeimba vizur, mmevaa vizuri, mmecheza vizur, wimbo Mzuri, yaan kila kitu kizur mpaka mnakera yani
@rosenyachi2277
4 жыл бұрын
Amina Mtumishi mwema
@pendomasawegroria9879
Жыл бұрын
Nice song
@pendomasawegroria9879
Жыл бұрын
Nimewapenda sana jinsi mnavyoimba
@LenyJoseph-v4f
10 ай бұрын
dada una sauti nzur Mungu akubariki
@consolathacosmas7197
3 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mbarikiwe, na kweli hakuna kurudi nyumba kushukuru
@tonnychantry7412
4 жыл бұрын
Kazi safi
@lilianaduol8141
5 ай бұрын
Congratulations. Lawrence you are such a blessing to God's people. Ubarikiwe sana as you continue with the talent.
@joelgaston2894
3 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu sana
@heavenlymusicproduction4360
4 жыл бұрын
Safi sound engineer (tuner)
@nurukidakule9468
2 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu, Mungu azidi kuwatumia kwa viwango daima
@dennismbaka3662
4 жыл бұрын
Wimbo ni mtaaamu, halafu huyu Dada anaongoza wimbo, yaani nimempenda ghafla tu... Kazi nzuri wadau, wacha tusonge mbele pole pole
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
4 жыл бұрын
Karibu utazame muziki mtakatifu ,pia tafadhali usisahau KUSUBSCRIBE kzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@johnnestory3584
4 жыл бұрын
Kazi nzuri bro
@shaibuemmanuel191
4 жыл бұрын
Sijui Nikomment wapi...? Ila Sifa na Utukufu u Nae Bwana Hongereni Sana.
@jamilanyatuka4614
4 жыл бұрын
Wimbo mnzuri sanaaa
@jeniphapaul1270
3 жыл бұрын
sifa na utukufu ni kwa Mungu wetu,hongereni sana 👏👏👏
@elizabethmsimihe6638
4 жыл бұрын
Kazi nzur Sanaa❤️❤️ Mbarikiweeee.
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
4 жыл бұрын
Karibu utazame muziki mtakatifu ,pia tafadhali usisahau KUSUBSCRIBE kzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@oswaldgerelo477
4 жыл бұрын
Safi saana nimebarikiwa
@segolenashirima1984
4 жыл бұрын
Wimbo ni mzuri Sana
@msokasgallery8323
4 жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya wa Malaika Gabriel (Segerea) kwa wimbo mzuri sana. Hongera mtunzi pamoja na Galaxy Pro kwa production makini. Mungu awabariki sana.
@magdalenekatunga1821
4 жыл бұрын
Barikiweni kwa kazi zuri🙏
@andrewngatunga7837
2 жыл бұрын
Hongereni xana
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
Nasonga mbele pole pole kwa Imani nzuri sana wapendwa tubarikiwe sote
@tinohmichaely5999
3 жыл бұрын
Ooooh is a good workvam blessed with this song lmight god bless all,,
@victoriaritte8810
Жыл бұрын
Who is listening this 2023 my all time song huwa unanibariki sana
@patrickmkambilwa9932
3 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu yesu kristu
@francekalinga8952
3 жыл бұрын
Saw mdogo ang despina
@alfredmabula9249
3 жыл бұрын
Hongera sana Wimbo unanipa ujasiri katika kumtumikia Mungu
@beatrisikimario8233
2 жыл бұрын
Hongereni Sana, everything is produced with high quality, ...kazi yangu ni kumsifu Bwana🙏🙏
@nancyachieng1406
2 жыл бұрын
Very poweful my sister y can also support nancy achieng on youtube
@mbuvadissa7693
4 жыл бұрын
Nice song hongereni Sana kwaya Mt. Gabriel (Segerea) hakika nabarikiwa sana na wimbo huu.
@revocatusmberwa3184
3 жыл бұрын
Jamani kuimba raha sana
@sundayssmile2128
4 жыл бұрын
Goodjob the Galaxy Pro! Hongera kwa waimbaji! Kwa Muziki mtakatifu na mtamu zaidi kutoka #theGalaxyPro tazama hapa pia kzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@adrianantony4530
4 жыл бұрын
Hakika tazama ananilinda tazama ananipenda Mungu mkono wake unanibariki
@mamajoykitchenhometips280
3 жыл бұрын
Yaani sichokagi kuusikiliza na haya mapito ya misukosuko ila kwa yeye aliyejuu ya yote NASONGA MBELE Mmabarikiwe sana kazi nzuri muifanyayo 🙏🙏🙏
@despinamdende9810
4 жыл бұрын
Hongeren sana.hongern sana THE GALAX PRO.kazi zeni ni👍👍👍👍
@felisterligwa
4 жыл бұрын
Kazi nzuri,hongereni sana waimbaji na studio in general
@elishamwalyanzi7998
3 жыл бұрын
Nyimbo nzr ikiwa na ujumbe mzr
@johanesmartin2571
4 жыл бұрын
Aisee mwalimu Bukuku ubarikiwe ktk kazi ako nakubali mzigo huu sio poa hongera ndugu
@nyandaponsian4007
3 жыл бұрын
Bukuku bukuku bukuku nimekuita mara 3 hongera sana
@livienmondelus7613
2 жыл бұрын
Owhi
@candymakom145
4 жыл бұрын
Kazi yangu ni kumsifu tuu
@beatusshayo2037
2 жыл бұрын
🤝
@jazztonexaverton9354
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana,,imenibariki,,mungu awabariki wanakwaya.
@emanuelalasway4424
4 жыл бұрын
Mme imme imba vizuri sanaa
@suzannakipapy5951
4 жыл бұрын
"Kazi yangu ni Kumsifu tu". Super sana Watumishi kazi nzuri, mandhari mazuuri.
@japhethsamaito3222
4 жыл бұрын
Munguawarik
@sofiamauwa7146
3 жыл бұрын
Mubarikiwe sana kwa wimbo nzuri.
@felicianholle3010
3 жыл бұрын
Hakika sauti yenu ni sauti ya Mungu mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri
@gilbertmassawe6913
3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana wimbo huu Mungu atuinue tuzid kumtukuza katika kumwinbia nyimbo za sifa na utukufu
@restipaul4286
3 жыл бұрын
Nice
@paulkasunga8817
4 жыл бұрын
Despina yuko vizuri
@duenamlima2093
3 жыл бұрын
Mzuri sana
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana. Asanteni kwa uinjilishaji mzuri
@paskalinasalia8041
3 жыл бұрын
Nawapenda mpaka naumwaaa
@tonnychantry7412
4 жыл бұрын
Peter namcheki kwenye ngoma
@patrickmkambilwa9932
3 жыл бұрын
Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@DafrozaKamanya
9 ай бұрын
Wimbo mzur sana jaman hongereni
@letisiamakonda3873
4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana ❤Mungu awabariki 😊
@martinngila3028
4 жыл бұрын
Awesome👌.
@peteraugustine3082
4 жыл бұрын
Well done, absolutely amazing ; nafsi zimeinuliwa kweli, kazi safi
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
4 жыл бұрын
Karibu utazame muziki mtakatifu ,pia tafadhali usisahau KUSUBSCRIBE kzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@peteraugustine3082
4 жыл бұрын
Shukran sana Alois, wimbo Neema niliupata 4 months ago pindi ilipo kua uploaded ..Mimi ni fun mkubwa toka Kenya
@christophermalilah7110
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa mbarikiwe
@neemasule8830
4 жыл бұрын
Hii kwaya ipo vzr sn mbarikiwe sn
@marystellasimiyu5378
Жыл бұрын
Despina,God bless your voice..you are my idol Well done great choir
@ragnamashibe876
4 жыл бұрын
🙏
@eunicebii7434
3 жыл бұрын
Good work, wow!!!
@lucasshirima2880
4 жыл бұрын
Very well Nice song soft and quality to Evangelism
@chrisphineojwang8486
3 жыл бұрын
Hongereni Sana wanakwaya wenzangu
@chrisphineojwang8486
3 жыл бұрын
Actually Galaxy pro good job sound engineer peter ,Godiah and others
@josephinebruno7698
3 жыл бұрын
Hongereni sana mmetisha sana
@zainabumhina3463
Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana mbarikiwe
@ngatimwambu3272
Ай бұрын
Good melodies.
@monicagabriel4388
3 жыл бұрын
So nice
@winnieayebare297
4 жыл бұрын
Very nice👍👍👍👍
@SelinaDenis
Жыл бұрын
🎉Amina
@JosephNgilangwa
22 күн бұрын
Mmetisha
@LinglingJosephat
7 ай бұрын
Jamani mmeimba vnzr
@anitamichael8632
Жыл бұрын
Nawapenda
@Irene-qt5zq
3 жыл бұрын
Hakika wakatoliki huwa haturudi nyuma kwa uimbaji mko vizuri nihame kanisa katoliki niende wapi sasa. Hakika nitaendelea kujivunia kuwa mkatoliki.
@rosinamhufu9191
4 жыл бұрын
Mmbarikiwe
@deekibuko3057
4 жыл бұрын
This is so lovely..jamani..God bless you people 🥰😍😍😍😍
@isikesamike
2 жыл бұрын
That alto on verse one is 🔥🔥🔥🔥🔥
@elisacuamba2794
4 жыл бұрын
Adoro os vossos cânticos
@williamchristian9828
3 жыл бұрын
Aisee kuna binadamu ukiwaona huwezi kudhania mwl bukuku ni dhahabu inayotembea
Пікірлер: 132