Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@SinemaZaChina
Ай бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@jacklinesimon7544
Ай бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@samkoka3
Ай бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@aishamussa853
Ай бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@JacksonMabeyo
25 күн бұрын
Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi
@allymdoka8634
Ай бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@WinifridaFidelis
Ай бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
@user-xk7vy4gb6g
Ай бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@JaliaMuro
Ай бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@Gml-wi5nv
Ай бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@mohdmohd8428
Ай бұрын
😢
@SuleimanKhdija
Ай бұрын
😮😮
@ruqaiamohammed345
Ай бұрын
Kabisa wale walizika mtu sio wao
@SamwelDickson-zh5gj
Ай бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@user-mr5yf1hp7t
Ай бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@Djso26
Ай бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@Kiganja
Ай бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao? Allah atubariki zaidi.
@everlyne8595
Ай бұрын
Ndio watashangaa amefufuk
@ruqaiamohammed345
Ай бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@user-xd9ye7wk6c
Ай бұрын
Dah pole sana
@madinajamada9180
Ай бұрын
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
@user-qk1iv2is9f
Ай бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
🥺🥺
@Officialjidaa-sn9cs
21 күн бұрын
Moi hongera sana nimewapend I seeee❤
@josephjohnmbelwa4998
Ай бұрын
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
@FreeGod368
Ай бұрын
Amna kitu ww😂
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Sahihi yani ukiangalia kwa jicho la 3 utaona hayuko sawa kabisaaa
@dismasrutashobya
28 күн бұрын
Pole Sana na hongera
@marthageorge5043
29 күн бұрын
Mungu ni mwema Sana pole Sana kaka
@Ashrey82
Ай бұрын
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
@ritapiusnicolaus7068
Ай бұрын
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
@joslinchuwa1298
Ай бұрын
Mungu akulinde mwanangu
@rosemtwaki
Ай бұрын
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
@hildamakundi281
Ай бұрын
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
@pendosailo1989
Ай бұрын
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
@pendosailo1989
Ай бұрын
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
@ruqaiamohammed345
Ай бұрын
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe @@pendosailo1989
@msakadoobongeladada-uh3sk
Ай бұрын
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe @@pendosailo1989
@sir_ENOCKMACHA
Ай бұрын
Duh pole sana aisee khaa
@mpefu_4936
Ай бұрын
Pole sana
@MalaikaBright-rv6yb
Ай бұрын
Polee sana kaka
@barackmoses7003
Ай бұрын
Pole sana ndugu
@Officialjidaa-sn9cs
21 күн бұрын
Pole sana I seee jamaaaa
@Shafikimanga7
Ай бұрын
Pole
@franknzowa22
Ай бұрын
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
Nikweli usemacho
@magrethmbuma3045
Ай бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@saadaperec2706
24 күн бұрын
me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana
@dorahmushi-we6ts
Ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
@Official83640
Ай бұрын
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
@user-yj3gy4jc1t
24 күн бұрын
Mungu nimkubwa
@Aminahlamranl420-hw2ie
Ай бұрын
Subhannallah pole sana 😢😢
@njapukaadhra9550
Ай бұрын
Allah ashukuriwe
@GdFf-ik2eo
Ай бұрын
Pole Sana mwsnangu
@everlyne8595
Ай бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
@pendosailo1989
Ай бұрын
Wanatakiwa wachunguzwe..
@frankjackson4435
Ай бұрын
Amina
@zaburi2386
Ай бұрын
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
@adeladamasi4391
Ай бұрын
Duuuuuuuu😮
@josephmathayo5139
28 күн бұрын
Huyu Kijana bado ni mgonjwa Kwani hata anavyoongea anaonekana anatumia NGUVU kubwa. Mwenyezi Mungu ni Mkubwa. Aendelee kumponya azidi kuimarika.
@daudymlauletv8489
Ай бұрын
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
@barackmoses7003
Ай бұрын
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
@maidaamie648
Ай бұрын
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
@evertheobald1811
Ай бұрын
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
@evertheobald1811
Ай бұрын
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
@user-ms1xg1fp4v
Ай бұрын
Sherehe yakutokufa
@perfectfilm3656
Ай бұрын
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
@jordantv6840
Ай бұрын
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
@daslamonline4665
26 күн бұрын
Yupo sawa dogo hata kumbukumbu zipo sawa sana Navyoona hapo alipo pewa pikipiki alienda mbali kdg hata alipo pata ajali alie mpa hakuna hakujua kaenda wapi,
@zahrababygarl1568
Ай бұрын
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
@janethmdachi5334
Ай бұрын
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
@zahrababygarl1568
25 күн бұрын
@@janethmdachi5334 itakuwa
@annastevensteven9515
Ай бұрын
Mhuuu
@eggysulle7988
Ай бұрын
Allah awe pamoja n wauguz
@cheiknamouna2058
Ай бұрын
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@aminamoody5865
Ай бұрын
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@cheiknamouna2058
Ай бұрын
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@dianajohnson7268
Ай бұрын
@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
@@aminamoody5865kabisa
@WaziriRamadhan-ML
Ай бұрын
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
@saraphinawillson939
Ай бұрын
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
@nancyg8664
Ай бұрын
yan sijui wapoje
@abedysteven4930
Ай бұрын
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
@aishajuma7813
Ай бұрын
Kweli uchawi upo
@jkomedikaduli
Ай бұрын
Daa Dunia hiii hatali kweli
@user-qk1iv2is9f
Ай бұрын
Kumbe huko hai!!
@matronashirima1489
29 күн бұрын
Jaman nimefurahia kwa kweli.. alikuwa anatibiwa bila Kulipia jaman..this is so beutful.. hivyo bili hatalipa?
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Atalipaa
@remidusmwanandenje-yy5gs
Ай бұрын
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
@SallyMinja
Ай бұрын
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
@user-bo5qp9gz8m
29 күн бұрын
Duh hadi nimetokwa na machozi
@renatusblandes1131
Ай бұрын
Alizinduka Kwa mda gani?
@deadcrush
Ай бұрын
Hata fahamu bado.
@Officalnaph
Ай бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@Officalnaph
Ай бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@fatmamsiliwa8485
Ай бұрын
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
@seifmohammed3053
Ай бұрын
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
@nancyg8664
Ай бұрын
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
@evertheobald1811
Ай бұрын
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Ni kweli hajakaa sawa
@SamwelMbaga
Ай бұрын
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
@NixonJohnson-zn8nk
Ай бұрын
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
@visionman8277
Ай бұрын
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
@bernadetamodest6170
27 күн бұрын
Ila yeye hakupata ajali saa kumi na mbili kwa maelezo yake,anasema alifunga kaz saa tano usiku akaomba pikipik ila yaliyojir baada ya hapo hajui
@user-es2yt1jc4i
26 күн бұрын
Mimi machoz niliokuwa nayo kawaida yangu naomba tu ili muwe mnaniomnea dua niweze pandisha iman yangu sabab maana sikuweza mwachwa mtu
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
@@bernadetamodest6170akili ake haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...kikawaida mteja hawezi kuka na boda wake kununua chips halafu muuzaji amuache mteja ampe muuza chips boda apige misele....nadhan akili haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...yule dereva bodaboda akipatikana anaweza elezea mkasa...
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Sidhani kama ni huyu maana huyu alipata ajali maeneo ya kimara/mbez ndo mana akapelekwa bochi ....
@visionman8277
26 күн бұрын
@@rehemamajaliwa inawezekanai amepoteza kumbukumbu ,yaani jinsi alivyoumia mkono na sura yake ni yeye kabisa 100%✓ maana mm ndio nilikuwa wakwanza kumsaidia mpaka niliwapigia na ndugu zake kupitia simu yake na pia nduguzake walikuwa huko Kanda ya ziwa anyways labda story imefanana ila ninauhakika ni yeye na ajali alipata mbeze beach rafia hebu muulizeni vzr
@aishajuma7813
Ай бұрын
Kwe
@jameshensdouglass7632
Ай бұрын
DNA ikashindikana kupimwa au
@upendoeliya9329
Ай бұрын
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
@user-lo8ef9qn2r
Ай бұрын
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
@user-jh4hg2ev9s
Ай бұрын
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Kalijibu kasema yule mtu aliempa boda anamjua ni bodaboda wa pale kijiwenii
@evertheobald1811
Ай бұрын
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
@jescarwegoshola1754
29 күн бұрын
😂😂
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Kabisa yani hayuko sawa kabisaaaa
@gloriadaniel3827
Ай бұрын
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
@maidaamie648
Ай бұрын
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
@remidusmwanandenje-yy5gs
Ай бұрын
😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎
@vicentmapunda3146
Ай бұрын
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
@nancyg8664
Ай бұрын
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
@DM.2200
Ай бұрын
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
@abdulnaseermrisho4342
Ай бұрын
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
@lilianwaflotina1288
Ай бұрын
Huyu bado hajakaa sawa😢
@maidaamie648
Ай бұрын
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
@user-by4xk2vx5w
Ай бұрын
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
@marykennedymarwa1641
Ай бұрын
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.
@dennischarles8524
27 күн бұрын
Story ina utata, why you don’t want to go back pale kijiweni? They know the story
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Akili yake haiko sawa bado....anahitaji utulivuu sio rahisi ameaffectika kisaikolojia
@collinsulomi1008
Ай бұрын
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance. Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
@evertheobald1811
Ай бұрын
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
@rehemamajaliwa
26 күн бұрын
Ni kweli ishi ni kwamba kijana akili haijakaa sawa na kumbukumbuku hazijakaa sawa
Пікірлер: 147