Au tutegemea sasa kwa hatuna tatizo la matibabu kwa sababu tumempata daktari bingwa na tajiri?😂
@mataypanga5262
2 сағат бұрын
Unasimamia nchi 47?. Kama unasimamia Africa,mbona ina nchi 54, zingine zitasimamiwa na nani au cheo chako ni sawa na balozi wa nyumba kumi au mtaa na tukisikia unasimamia jambo flani kanda ya Africa, wewe ndio rais wa Africa?.
Пікірлер: 2