Hongera sana Mh.waziri kazi inaonekana Mungu akupe mguvu kila siku Maendelea huanzia huku👏👏👏
@Faya884
7 сағат бұрын
Hongereni kongwa
@jumakapilima7295
Сағат бұрын
Mpaka azindue Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa Elimu yuko wapi?,,,,,
@jorammhila2379
7 сағат бұрын
Amejengewa😂😂!!!!
@Wmn-u3x
Сағат бұрын
Ni hatua njema kwani hii inaweza kuwaanda wanafunzi kuwa wataalamu na wabobezi upande wa sayansi kama vitu hivi
@storytownTv
6 сағат бұрын
Huyu Millard Ayo na media yake si machawa tu..sasa angalia taarifa ilivyo ripotiwa lengo kusifu uyo bibi..😢.. me ngoja ni unsubscribe kabisa media yenu mnaanza kuniboa
Пікірлер: 8