Chumvi leo umecheza silias umependeza sana kaka. Mwambie na Kisofa abadirike aje kivingine. Hii imenoga kiukweli nawapa 100% pongezi mmeitendea haki hii kazi
@HazardBoy-h4w
Күн бұрын
Kikubw usiliaz ndo unahitajik nip na ww
@salmasuya5159
16 сағат бұрын
kisofaa ana boa banaa
@DonMooFILMES_Express
16 сағат бұрын
@@HazardBoy-h4w umeona ee! Niliwahi kumwambia Kisofa TikTok nikahisi amenielewa. Kunacomedi inayonoga na comed ya kuchosha. Halafu kazi haitakiwi utani kila sehemu. Mlevi wamuachie uchekeshaji lakini usichupe mipaka na ikija tamthilia nyingine anabadili muundo itanoga sana. Nimefurahi sana kuona Chendu hana mambo ya kichawi chawi huk ndio ubunifu tunaoutaka
@DonMooFILMES_Express
16 сағат бұрын
@@salmasuya5159 ni hatari
@HazardBoy-h4w
16 сағат бұрын
Up sahh kak kisof tup na yy abadilike Jap ukwel unaum lkn tunaomb awe siliaz
@rosaztv9568
Күн бұрын
Wa tano kucomment from Kenya mnipe lks zangu
@RamazaniMigos-c7r
Күн бұрын
Naomba like kutoka congo munipe like zangu❤🎉🎉
@boazyyusuph3435
Күн бұрын
Mungu awalinde nyote chunvinyingi gang 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@DonMooFILMES_Express
Күн бұрын
Hii tamthilia nawapa kongole ❤ baada ya SIRI YA KIFO nahesabu hii ndio tamthilia ya pili yenye viwango na ubunifu kuitoa ❤ Chapeni kazi 💐
@TausRaj
Күн бұрын
Yes yes😂😂😂😂hii ya pili
@DonMooFILMES_Express
16 сағат бұрын
@@TausRaj ndio ❤ mafans tunatakiwa kuwqpa nguvh wasanii wetu wakitoa kitu kizuri tunashare mpaka link zao. Lakini wakiharibu tuseme. Hatutaki uchawi chawi tena waumize vichwa kutafuta aidia ya kazi
@TausRaj
Күн бұрын
Oy chumviii Endelea n usirious huo huo unapendezaa mnoooo Boss
@negoboy002
Күн бұрын
🎉🎉❤❤mm naomba ifike ana mbali hii kma ile ya kisiki alfu ianze seasons ss maana n tamu mno likes zangu
@Jaysonzinga
Күн бұрын
Aisee chumvi kila siku unazidi kubadilika kaka
@FrankLuhaha-dt5sh
Күн бұрын
Duuuuuuuh hiii movies kweliiiiii❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kaliii sanaaaa
@RuqqaiyahDawood-hl2ic
Күн бұрын
Chumvi gang mpo vzur
@ShawkaanMahmoud
Күн бұрын
kazi mzuri hongereni sana chumvi gang
@TausRaj
Күн бұрын
Kisofaaa Kisofaaa badilisha uongeajii na style nzima bhnaa we vipi unashindw ata na mabuti bhnaa Mxwiiiiiiiiii
@AMINAATHUMAN-nb9qn
Күн бұрын
nimechelew kidogo nawapeda❤🎉🎉
@hadijabakari2679
Күн бұрын
Tamu lakini fupi sana chumvi nyingi ongeza muda kidgo
Пікірлер: 243