Asante sana clam jama tulio kua wote toka moja adi leo Like zenu tukumbukane kwa like❤❤❤
@JudgeRoche-vg3oj
19 сағат бұрын
Asante Baba God kwakutufikisha kumwisho wa movie letu pedwa snack boy Matondo mingi po na Director na nga KAKOSO na BOSS n’a nga CLAM CHRIS po na mosala nzambe apambola yo 🤝🤝💪VEVO BEND Toujours LIKOLO🫵💪💪💪💪💪ndeko na nga MWAKOTOBO ( ZINGA) matondo mingi nzambe apambola yo
@annjohn194
18 сағат бұрын
p. 😊. P.
@judithpendo9985
19 сағат бұрын
Oyaaa wa kwanza team strong ambao tulianza mwanzo ata mwisho tujuane kwa like jmn ckam ww n 🔥🔥🔥🔥🔥🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️❤️❤️💫💫💫
@ChristineChikuro-hr6li
19 сағат бұрын
Kwa wale walioanza mwanzo mpaka mwisho watu wangu wa mombasa kilifi na Malindi big up saana💪💪💪💪💪
@SalmaSwaleh-wf8yk
18 сағат бұрын
Tupo tunasubur season 3 ama akuna @@ChristineChikuro-hr6li
@judithpendo9985
17 сағат бұрын
❤❤❤❤@@ChristineChikuro-hr6li
@judithpendo9985
17 сағат бұрын
@@ChristineChikuro-hr6limalindi 😘😘😘
@JigoSengiyumva-ln9xf
19 сағат бұрын
Final kl nilizani aitaisha kwl warundi waliyofuatiliya snake boy mwanzo mbaka mwisho gonga like apa bs
@AdinaniMrosso
19 сағат бұрын
Tumpe pongezi clam kwa kutu post movie kwa uharaka san napia like zikue 🎉🎉🎉
@KisingeliTalent-d6g
19 сағат бұрын
Watu ni wengi jaman wamewai support kwa clam vevo kwa dude zuri lenye mwisho mzuri maua yako nakupa ❤❤❤
Mungu atupe afya mema na maisha marefu wambaye wanasoma hii message
@salomethomas6469
19 сағат бұрын
Haisee kwa mara ya kwanza na epsode ya mwisho leo nakuwa wa kwanza gonga like
@halifamkindi2102
19 сағат бұрын
Wale Wote tuliokua mwanzo Mbaka mwisho wa 🐍 boy tuachie like hapaaa🥰🙏❤️ Tuendelee sasa na Mkoba Wa Mama
@beatriceMbanzi
18 сағат бұрын
haswaaa
@PurieMakena
19 сағат бұрын
Wakenya tuliofuatilia toka mwanzo adi mwisho leo hii tujuane kwa likes ❤❤❤❤❤
@hadijarajabu7198
19 сағат бұрын
Yaani hili ni bonge la series hongereni sana kwa team VEVO you did the best all of you 🎉, jamani mwageni like za kutosha kwa ajili ya kuwapongeza wahusika wote kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉
@JoelKamabu-uq5qh
19 сағат бұрын
Tuna sema aksante sana Clam vevo kwa ii movi tamu sana wa kwanza toka Congo RDC na omba like zangu
@AsimweMusinguzi
19 сағат бұрын
Walioshiriki tokea season 1 mpaka mwisho WA season 2 usi pite bila kuacha like hapa 😂😂😂 Wa Kenya ,WA Kongo na WA Tanzania tuko ???
@johnrogeo2161
18 сағат бұрын
tuko hapa
@kombejimmyartmaspeedy6103
19 сағат бұрын
Ndani mapema one love from kenya kuanzia mwanzo adi mwisho 🇰🇪
@pakpatriot-xk7qg
17 сағат бұрын
Kiukweli, movie hii imenifunza mengi sana❤, mimi ni mwalimu wa kiswahili ambaye ameingia uwanja miezi michache na nimekuwa naifuatilia na wanafunzi wa kidato cha tatu na wanafunzi wengi wanaojifunza lugha ya kiswahili katika shule ya upili Bugamba wilayani Uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬,,, tumekuwa pamoja mwanzo hadi mwisho. Mengi tumepata hasa maudhui na mbinu za usani. Zaidi ya hayo, tumepata njia tofauti tofauti ambazo tumepata kuhusu uigizaji. CLAM VEVO na kundi lako, Mungu awapatie lolote mnalolihitaji. Kiswahili mbele tusongeeee nyuma haturudi Gonga like ikiwa wewe umekuwa unafuata🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ Pak Patriot 💞
@MugabeMedard-yf9jn
19 сағат бұрын
Jamanii naomba mnisaidie kuwapongeza timu nzima ya clam gang .from burundi
Yaani hii tamthilia siku penda kabsa iishe aisee. Pia nimependa sana huu umoja wenu wote mlio cheza hii snake boy. Pili ni shukuru clam vevo kwa kuwa shika mikono wenzako wote kwa kuwafungulia you tube chanel zao. Hata kama hii inaisha lakini umeacha kizazi nyuma kitakachokushukuru umeacha wafuasi wengi sana Hongera na uendelee na moyo huo huo. Na pia naomba wote tuendelee kuwa sapoti hawa wenye you tube chanel zao
@AmaniShabani-yy4ix
19 сағат бұрын
Tumemaliza mwendo tuendelee na big boss
@sylvakayembe992
19 сағат бұрын
Kabisa❤
@user-lh4jb2ts3d
19 сағат бұрын
Mungu wetu endelea kutusimamia kama utusimamiavyo muumba wetu,,,
@abuuhamda6213
19 сағат бұрын
Thanks bro na hongera sanaa tunataman kazi nzuri zinakuja wote tuseme halaaa
@EnockRajeshPaul-x6j
19 сағат бұрын
VEVO napenda sana kazi yako bana ningeomba tu chonde chonde ulete big boss
@PatrickVenance
19 сағат бұрын
Nice clam kwa kazi nzur
@irenekaro2848
19 сағат бұрын
Hongelen kwa kazi nzuri👊
@MajimbiTz
19 сағат бұрын
WA KWANZA LEO🇹🇿🇹🇿🇹🇿. EWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO NA AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN 🙏🙏🙏🙏
People they don't want to sleep 🔥 🔥 it's final but not the last,we are waiting season 3 @CLAM VEVO gang
@raphaelkipleting9463
19 сағат бұрын
Nawe pia
@MajimbiTz
19 сағат бұрын
@@Richie-7280 kabisa asee
@OscarAmbayi
19 сағат бұрын
Shukran ntanzi na team snake boy movie imekua kali mwanzo hadi mwisho
@Halima_hamid_athman
19 сағат бұрын
Jameni kwanzia snake boy ianze Hadi hii mwisho sijawahi pata like nipeni like zenu
@wilsonthomas9176
19 сағат бұрын
Chukua hiyo
@Twahamwela-ch5lz
18 сағат бұрын
Ha haha haha clam leo move mzma umekuja kunichekesha ulivyomuaga kipala huo mkofi uliompiga kichwani nimecheka sanaaaa
@teddysananga
19 сағат бұрын
Natumai, kinakuja kitu kingine kizuri zaidi, Hongereni sana🎉🎉
@user-kq9gc2pv6r
19 сағат бұрын
Kwangu man of the match Tanu mzee wa mipango nakubali sana
@MeschackMupulishanje
19 сағат бұрын
Wa kwanza kutokea Drc Congo uvira,mulongwe, avenue du 24 Nov ,niite Ingénieur meschack décoration
@fundiseif1096
19 сағат бұрын
Daah 😭😭😭 nilitamani snake boy iendelee lakini ndio imefika mwisho all in all snake boy 🐍 ni yamoto zaidi ni kali sana mmetisha sana timu nzima pamoja na clam vevo umetisha sana 🔥🔥🔥🙌🙌🙌👍
@DeborahBirungi-f4g
19 сағат бұрын
Wa kwanja mimi naomba likes zangu
@user-lh4jb2ts3d
19 сағат бұрын
Kama una afya njema bax mshukur mungu kisha tuendelee na goma letu
@DeborahBirungi-f4g
19 сағат бұрын
MUNGU ushukuriwe 🙏🙏@@user-lh4jb2ts3d
@homenkyenga1205
19 сағат бұрын
Kumbe wa kwanja nikajua wa kwanza
@morvaboymjeshi
19 сағат бұрын
Daah hatimae mungu kaifanikisha ndoto yangu ya kitazama final ya sneak boy
@isayamwanjoka3958
18 сағат бұрын
Kwa kila aliyeipenda hii season na kumtaka clam na team yake walete kali zaidi ya hii kama zote wagonge like.... Hakika clam na team nzima ni mafundi kwelikweli kuwahi tokea Africa.
@MengiNdahani-p7q
17 сағат бұрын
Mungu awabaliki wote mliofatilia movie hii mwanzo na had leo mwisho nawaombeq mungu awabaliki sana na awafungulie milango ya lizki zenu amina nawapenda nyote
@AgostinhocosmeNambanga
19 сағат бұрын
Asanteni antimae leo tunaimalinza Snake boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@emmykadenyi7977
19 сағат бұрын
Kwa wale wote walioshiriiki Kwa move pendwa ya snake boy Mungu awabariki sana namuendelee kutuletea movie nzuri kama hii pongezi kubwa Kwa clam sasa tunasubiri big boss episode 2🎉🎉❤❤
@SalumuMohamedi-q6g
19 сағат бұрын
Mm wakwanza kutoka tanzania❤❤❤ like zenu tuu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongereni kwa kazi nzuri sanaaaaaaaa tuleteeni session 3 😊 tulikua sambamba toka mwanzo 😊🎉🎉🎉🎉
@linnusaloyce6559
19 сағат бұрын
Shukrn kwa uongozi wote na wahusika wote walio jitoa kufanikisha uhondo tulio upata kwa muda wote kwass ngoja tusubiri ujio wa laza nyingine wakati tukiburudika na the game 💪
@EleutonDiaz
19 сағат бұрын
2naisubiri BIG BOSS jamani, kizi mzuri sanaaa 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿✅👍🏻🙏🏻🙏🏻 Mueda Moçambique.
@AbdillahMbarouk-l1q
18 сағат бұрын
Thanks kwa kutufikiaha mwisho ila tanu amezingua asinge endeleza tn ugomvi wote wangekua kt kimoja wasubr maendeleo tu
@EmmanuelCharo-to4ij
17 сағат бұрын
Movie nzuri sana mm niliaza kufwatilia season 1,2 paka mwisho Leo big up sana bro calm tunategemea season 2 ya big boss Asante.
@JonathanMwanamilumbu
19 сағат бұрын
Mi nafkiri tusubiri season 3, asante kwa kazi nzuri kama na hii🎉
@justinog3105
17 сағат бұрын
Ahsante sana tumeshukuru na nimeshukuru kua na mtu kama tanu mwenye hakiri thimamu kabisa mwisho amekua chief na mkiweza kutuletea movie nyingine za kijijini na sio mjini itakua nzuli pia zaidi za mjini sio nzuli sana kama za kijijini ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@MariaTsuma
18 сағат бұрын
Tuletee nyengine Kali clam tunakupenda Sana huku Kenya 🇰🇪
@lamahelaanproduction4840
18 сағат бұрын
Safari njema na maisha mema kijana nyoka pamoja na director Kakoso pamoja mbwela pamoja na mbea kibara na sengo big love ❤❤❤ ninawa penda wote Team Vevo gan 💋💋💋 Ak style 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
@PurieMakena
19 сағат бұрын
Sijui kwann nimejihisi vibaya sana hii movie kuisha😢😢😢 nitaimiss sana❤ ila tunatarajia movie nyingine tamu zaidi ya hii ❤❤❤😢😢
@abokeasukulusucre3430
17 сағат бұрын
Kazi nzuri sana kwa tim nzima , sasa tuna isubiria the big boss kwaam sana
@arafatmohd4609
19 сағат бұрын
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉
@yusuphmyinga
18 сағат бұрын
Nmechelew kidog any way kazi nzuri tumefurah tunategemea mamb mazuri baada ya hii kuisha🎉🎉🎉
@Yaswaki
19 сағат бұрын
Clam I remember your collaboration with Shadow, Sonia, Kicheche, Violet, Bhailahm, Kim, Mwarabu, mtoto Asma na the lost one Zinduna
@AbdallahSaidi-vq4id
19 сағат бұрын
Ongela kaka kazi mzuli saana 🎉🎉🎉🎉 pia wasanii wote wamecheza vizuli kabisa mungu akufungulie zaidi
@mcowenintsinzi5382
19 сағат бұрын
Wakwanza leo kutoka Burundi🇧🇮 naomb like ata 50 sijawah kuzipat😃🥱
@oman1oman179
19 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤haya nimekupa like mmburundi mwenzangu
@FrankLuhaha-dt5sh
19 сағат бұрын
Tulioanzaaaa kuifatiliaaaa snake boy season two mwanzo mpaka mwisho tujuaneee🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tujuaneee kwa likeee hapa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿gonga likeee hapa 🎉🎉🎉🎉🎉
@ArafatAbdallah-f3b
18 сағат бұрын
Tupo alhmadullah tunamshukuru mungu
@iqrahiqbal9384
19 сағат бұрын
Big boss season 2 hapa>>>>>
@Magehemaj
19 сағат бұрын
Tunasubiri kwa hamu sana msimu wa tatu pindi maendeleo yatakapozijia falme zako❤❤❤❤
@TeresiaTarimo-f9z
19 сағат бұрын
Hongereni Kwa mwendelezo wa kazi nzuri
@JOSIAHPAULO
18 сағат бұрын
Kazi nzuri bro tunaomba nyengine nzuri zaidi ya hii ❤❤❤
@VipodoziKariakoo
18 сағат бұрын
Kanuni ni moja tu,,,,""NEVER OUTSHINE YOUR MASTER ", Hii kanuni kaicheza vizuri sana The mastermind TANU. Hongera sana FAZA T.
@ajesterkalulu7927
18 сағат бұрын
Ilikuwa nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 hongereni
@echikyabu6154
19 сағат бұрын
Congratulations clam vevo na kazi nzur sana na una wasanii wazur ambao walijua nn wanafanya MUNGU akupe nguvu na uwezo wa kazi nzur zaid na zaid🎉🥰🙏
@PREMIO829
19 сағат бұрын
Sou primeira pessoa aqui Moçambique 🇲🇿 peço me um like, Eu vos amo all elmente BY grup SNAK Boy
@kadoluxclassic5634
19 сағат бұрын
Nimejifunza. Kwamba kazi yoyote unayo cheo chochote uko nacho ukiweka Emo kumpenda wanawake umearibu vyote
@swailarashid
19 сағат бұрын
Tungojeeee season 3 snake boy kwa walee wanaokubaliana na mm wanisapoti hata kwa like mana mzigo wa season 3 utakuwa sio powaaaaa kabisaaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaa
Clam Vevo kazi nzuri sana ongereni Sana wewe pamoja na timu Yako yote mzima namipa ma uwa yenu ila historia mumekata kati sio mwisho inatakiwa iwe na Season 3 tu one tano naye
@damasanita
19 сағат бұрын
Kweli hamlali,.dakika kumi na sita,.2.2k😅😅,.team strong saudi arabia tujuwane,.ndio nimemaliza kupika ashaa ruzi dijaji😂😂😂😂
@rodgersmwagu239
17 сағат бұрын
Wakwanza Leo from Dodoma bungeni mapemaaaa sanaaaaaaa naombeni like 10 tu za kufunga snake boy wakuuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@tomafrank1161
18 сағат бұрын
Clam vevo uko mbere sana kabisa ❤️❤️❤️🥂
@Zeekyyy821
18 сағат бұрын
Kazi nzuri sana @Director Kakoso,@Clam ,,,tunasubiria kazi mpya🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏
@alliandopetz5057
19 сағат бұрын
Wa kwanza naomba like zang😅😅
@TeshmonyAntonio
19 сағат бұрын
na hakika kwa jinsi mnavyo pambana mwenyezi Mungu haezi kataa kuwasaidia nawatakia kila la heri kwa juhundi zenu Mungu awape maisha bora zaidi hadi mfikie ndoto zenu na pia tutazindi kuwasupport kadri ya uwezo wetu ili mfikie matamanio yenu
Пікірлер: 1,5 М.