Aisee nimefurahi sana kusikia jina la babu yangu mzaa mama KIZAMBA kumbe babu alikuwa ni mkongoman asante Tanganyika tv
@gilbertidi9682
2 жыл бұрын
Naipenda sana hii interview
@radjabuluundo2468
2 жыл бұрын
Du kweli fasi nzuri beautiful land munafanya Kazi nzuri Tanganyika TV
@florianntulo5731
2 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka, unaongea kiswahili kizuri umebahatika kukaa Tanzania
@geofreybarama4000
2 жыл бұрын
Mtangazaji jipange kwenye maswali na confidence
@abdallahzy7691
2 жыл бұрын
Hongereni sana Tanganyika Tv
@ndayishimiyeraya8888
2 жыл бұрын
Love from Burundi kazi nzuri sana kaka
@mupendwajagarasteve341
2 жыл бұрын
Huyo mkongomani sio muzungu. Kwasababu Alizaliwa na mama mkongonani. Hiyo ni maisha tuu na nimustarabu kabibisa huyo mzee kwakusema ajijutii kutokwenda ufarasa kwasababu na maisha yahuko haijui. Big up mzee. Kunahata wazungu abao wanaangaika ulaya
@henrymusa3389
2 жыл бұрын
Mzee amejibu kwa hekima
@msowamhokole7714
2 жыл бұрын
Anakula fegi uyo
@mtoshauri9183
2 жыл бұрын
Woow tanganyika TV 📺 hongereni sana niliwahi kumuona mzee wa A15 kwa sasa namuona mzee wa A11 naye
@user-kr7ut7bj5x
4 ай бұрын
Jambo Mzee Daniel Asukuma,ex.reparateur Radio na saa;tuliwayi kubakia pamoja pale Mwammbangu Bashele,kwetu Simbi.
@williamfelly7810
2 жыл бұрын
Courage Journaliste kwakazi unayofaa. Mubarikiwe sana Naona Bubembe.
@ngeleloembete2956
2 жыл бұрын
Nime penda sana kuona hiyo video imetujuza kuusu nyumbani kwetu
@heraldloshi1864
2 жыл бұрын
Aisee kazi nzuri sana Kaka 👍🏽👍🏽👍🏽
@tontonnyenga1293
Жыл бұрын
Good job journalist
@ramazaniyusufumajaliwa6752
2 жыл бұрын
Ni mwafrika wa kweli kbsa,mzee ameongea vizuri sana.
@intwaritv7659
2 жыл бұрын
Kuna kitu kinanishangaza sana ,angekuwa ni Munyamulenge ameza namubebembe hange ishi apa ,wange muua laki ni Damu ya Muzungu maskini muna mpokea munamueshimu sawsa munguwenu.. Tujifunze kueshimu Race yetu.
@Rohosaficarefoundation
2 жыл бұрын
Namuona mzee tena duhhh miaka 18 hivi
@bilombelekilozodieudonne123
2 жыл бұрын
*Baba yake mzazi na asukuma mchezaji wa Régie Des Eaux O1 Kambini Nyarugusu*
@Rohosaficarefoundation
2 жыл бұрын
@@bilombelekilozodieudonne123 ni babu yake mzaa baba yake
@uwezomaleunda4959
2 жыл бұрын
Hapo do kwetu nemba kabisa nimepende sana 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@Mrkope-un9id
2 жыл бұрын
Aah brother Kwan nemba ipomkoa gani
@Cultandnuture
3 ай бұрын
@@Mrkope-un9idKivu kusini
@bantwamwasakapiga4941
2 жыл бұрын
Mtangazaji mjinga sana sio kila mtu anajuwa kiluga kiswahili ni muhimu sana ktk interview ili kila mtu aelewe
@ibrackibrahim6909
2 жыл бұрын
Porojo nyingi Sana mtangazaji, ivi maana ya tv Nini?? Au inajishugulisha n'a Nini ??
@benjathekingofficialshows
2 жыл бұрын
Mzee wangu tuliishi pamoja kambini lugufu tanzania duh namkumbuka🙏🙏🙏🇨🇩🇺🇸🎧🛌
@Richesfam
2 жыл бұрын
Kwani mzungu gani huyo ama haujuwi mana ya mzungu? Naacha kuuliza mtu maswa yakiubaguzi. Congo is his nationality and knows no where else. Not France. Leave the poor guy alone and let him enjoy Africa .that's his place
@allentindya5144
2 жыл бұрын
Niko Tanzania napenda kuangalia lakini jitahidi kutumia lugha ya kiswahili inapowezekana
@pilimwanza8117
2 жыл бұрын
Kaka mahojiano yako mbona yanaelekea km kuwatukuza wazungu eti kuwauliza eti wanajisikiaje kuwa wao weupe kuishi na watu weusi. Si umasikia hata majibu yao ni kama wanakushangaa wewe. Mana Hata wangekuwa huko Ulaya maisha ni watu kuchanganyika. Ungetafuta ujanja wa kuuliza maswali sensitive kama hayo.
@mrlyricsstar7881
2 жыл бұрын
Asante Sana
@alimasiwilondja504
Жыл бұрын
Good
@dayanaraymond2584
2 жыл бұрын
My babu
@gemelliparemexatha9686
2 жыл бұрын
Big up sn bro
@pierrekintu9565
2 жыл бұрын
Jambo yenu ndugu zangu mimi jento niko natoa ushauri kuhusu maisha ya ulaya mimi hivi niko 🇺🇸 USA Sasa mzee asirogwe kwenda ulaya hata akipata babu au ndugu zake zake ulaya asiende
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Ndio hapo umesema sawa asiye jua ulaya na marekani anafikiri hapa tupo paradis lakin sasa ni kujuta mim hata mtoto wangu sitaki akuje hapa england. Ardhi nzur sana. Huko calemie moba mwanza kindu likasi kivu nord na soud kivu ni kuzuri sana. Baada ya miaka kumi watu east kongo watafurahi sana. Wafanye muungano na east africa basi sisi tutakuja kulima huko
@fatmaalnabhani3609
2 жыл бұрын
@@seifseifmohamed7118 Aah jamani watu wote wanakimbilia huko ulaya unasema sio paradise ?
@Cultandnuture
3 ай бұрын
Mbona wewe ahujarudi africa
@tumusifueverijuste4691
2 жыл бұрын
nemba kwetu
@samuellalimasi413
2 жыл бұрын
Bro mzee siyo mzungu ni mweusi mwenzako yani black and white wakizaha mtoto anakuwa ni mweusi hata unachanga
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
UKo sawa hâta mimi huma inanishangaza sana mtu aliyechanganya rangi kumuita mzungu.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 Wala neno mzungu lisikuumize kichwa kwanza Jina lenyewe linamtukutukuza mtu kama Mungu mtu, maana ya mzungu ni Mungu kwahiyo kwanza si Jina zuri lakumuita mtu, Pia huyo si mtu mweusi kwani pia katika watu wenye weusi pia wapo watu wengine katikati yao wenye rangi tofauti tofauti ukiondoa watu weupe na wamanjano na wekundu sasa mtu mweusi ni identity katika africa sasa huyo mzee si mweusi kwani katika kundi la watu walio weusi huwezi kumuweka h mtu huyo
@abeljohn8607
2 жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sana, damu ya kibembe ni baraka tosha
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Anaongea kiswahili kizuri tu
@mdbosco1640
2 жыл бұрын
🥰
@lameckouragan3358
Жыл бұрын
Wa journaliste washamba, unafanya mzee ajisikie kwamba hapo si nyumbani kwake.
@joycegeorge4712
Жыл бұрын
Maskin mzungu alie choka
@ohoo903
2 жыл бұрын
Ok
@zabibumwilelo853
8 ай бұрын
Kachangwa na mzungu ila ni mtoto wetu wakibembe cause baba yake akuowa mama yake mtoto akizaliwa inje ya ndoa uwa ni mtoto wamwanamke
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Kwani je hakuna watu weusi katika kundi lao walio weupe wewe mtangazaji ? Neno mzungu maana yake ni Mungu basi hilo neno si zuri kumuita binadamu kwamaana unamfanya binadamu kama Mungu mtu
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
Hiyo tafsir ya mzungu ni MunguMungu, tunaomba ushahidi!!!!!
@salehaljadidi8206
2 жыл бұрын
Huyu mzee haeleweki, kwanza alihojiwa na Tanganyika TV akasema baba yake alikuwa ni mfaransa halafu alipohojiwa Mara ya pili akadai baba ni mbelijiki na hakuwahi kumuona, sasa mbona anajigonga gonga mwenyewe kwa maneno. Sema moja lieleweke, sio kuchanganya maneno.
@patricemacky1164
2 жыл бұрын
Sio uyu aliesema baba yake mbeleji ni mwingine.
@oliviaseth4652
Жыл бұрын
Hawa wazee wako wawili? Mmoja nadhani amezaliwa peke yake.
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Mtangazaji una maswali y’a kijinga unakazia huyo ni mzungu Wakati amechangancha rangi? Eti angeishi ulaya maisha yagekuwa mazuri unachekesha sana.ninaishi Ufaransa n’a wazungu ombaomba bila sehemu y’a kulala kazi yao kusubiri pesa y’a serikali na kunywa. ,
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Husikii kamwambia ya huko yeye hayajui 😆
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Kwahiyo basi watakakusema huyo mtu angalikuwa ulaya basi na yeye angekuwa kama hao uwasemao ? sasa je hapo congo watu wa jinsi hiyo uisemayo ulipwa fedha kama huko ulaya usemapo zaidi yakulipaka vumbi
@mangetz2835
2 жыл бұрын
Journaliste Kuwa na Adabu wewe.. maswali gani sasa ayoo
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Tv zenu za congo hazina watangazaji wenye weledi sema tunapata habari
@hashimmwamba441
2 жыл бұрын
Kwa nini mwandishi wewe unamuuliza kama anajutia kutokupelekwa ULAYA, huyo jamaa amezaliwa na mama mbembe, kwa nini asimpende mama yake? Wewe unachukia nini kwa yeye kubaki UBEMBENI?
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Kwasababu anaona anapatatabu vumbi linamchakaza Africa mchezo mtu mzee anajitunza mwenyewe ukikosa ela ya panado unakufa mchana kweupe🤣
@uwezomaleunda4959
2 жыл бұрын
Tuma numero yako hapita
@donaldkiza2493
Жыл бұрын
Jamaa unafanya kazi nzuri ,ila mambo mengi unakosea unatakiwa kufanya kipindi kwakujifunza mambo mengi kuhusu utangazaji. Halafu hao unao wahoji siyo wazungu ni warangi rangi yaani mixed wa Muzungu na mwafrika kwahiyo siyo mzungu tena
@naninana13346
2 жыл бұрын
Waego ole mwafrika 😂, haukoako mupolitike ya kuuwa wakongo
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@assanisamuel4771
2 жыл бұрын
Uyu jamaa ajifunze vizur Hii kazi bado sana Maana ajuwi step za Maojiano Nimefata toka kwa yule dada chotara aniemuoji punde
@lameckouragan3358
Жыл бұрын
Huyo kapita mdogo ndo mwibéléca ao? tuliachana tukiwa watoto wadogo sana kama umri wa miaka 7 hivi.... Nimiaka 30 sasa imepita.
@Cultandnuture
3 ай бұрын
Ndio ni Mwibe fils K
@lucykristensen7145
2 жыл бұрын
Mtangazaji maswali yake ni ya kijinga sana. Mzungu gani si.chotara. Mahali pote ni nyumbani yeye anapenda Africa. Kwani Africa watu hawana maisha mazuri? Kutodhamini Uafrica wako. Nani kasema maisha Ulaya ni mazuri zaidi ya Africa. Ulishafika au kuishi huko? Nimempenda Babu anajielewa Mtangazaji hajielewi.
Пікірлер: 78