The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.
@felixmsale9244
Жыл бұрын
😅
@daudilaurian3111
10 ай бұрын
000000
@chancekambale3498
7 ай бұрын
Umejitahidi 😂
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
7 ай бұрын
Exactly! Powerful said
@shekinahshimeni8320
Ай бұрын
Comment of the year 🎉🎉🎉🎉
@charlesoputi7101
Жыл бұрын
Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya
@juliusjohnii7823
Жыл бұрын
Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.
@BarakadanielbarakaSulle
Ай бұрын
Sikuzote napenda kujifunza kupitia wewe joel❤🎉
@neemamaganga9774
Жыл бұрын
Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .
@neemamaganga9774
Жыл бұрын
Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.
@lazarorojha7042
Жыл бұрын
Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen Ameen
@efraimumwailunga5282
Жыл бұрын
This is so powerful Nimejifunza kitu kikubwa sana katika hili somo
@chamiapolnaly
Ай бұрын
Asante mwalimu nimerudia mara 5 ili ikae kichwani kabisa❤
@amanigeorge-xe2gb
Жыл бұрын
Nimependa hii sa moja lakujifunza
@Udindigwa
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania
@jamilaathumani5481
9 ай бұрын
Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi
@Yohana-tt3sn
Жыл бұрын
Neem iwe juu Yako Joel
@OmaryShaban-tp9hd
4 ай бұрын
Asante sanaa kwakuniongezea kitu .... Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww
@BukelebeTv
Жыл бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki sana
@upendoloondokalembekela7748
2 ай бұрын
I am appreciate you letting me know that ,you’re doing great job,be blessed.
@isaacmwailinga8921
11 ай бұрын
Ahsante Sana kaka You're Future Awaits You
@jasminenorman3744
4 ай бұрын
You are a full package
@SelemanJuma-l4r
Жыл бұрын
Naskia vzur San kwa maneno yako
@ailennkya892
Жыл бұрын
God bless you life coach
@mohamedismail2662
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@janethWoisso-r4q
7 ай бұрын
Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana
@davidtumbo7034
9 ай бұрын
blessings👏
@KichereTheDataScientist
Жыл бұрын
thanks much
@alyaniabdallahmwalimu2785
Жыл бұрын
Stay blessed Mafunzo yamenyooka JN.
@sweetbertmbowe3284
9 ай бұрын
Nice mdogo wangu,nakuelewa sana
@mwarikimwariki2653
11 ай бұрын
Sawa
@omanjalan582
Жыл бұрын
Asante sana mr joel hua nakuelewa saana
@mohammedrashid2906
Жыл бұрын
Ahsante
@hildahmathew7800
11 ай бұрын
Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion
@marthabrayson7328
Жыл бұрын
Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini
@rabanphotostudionyakanazi_4115
Жыл бұрын
We joel jamani..
@agnesspaul1866
9 ай бұрын
❤❤ Ubarikiwe mnoooo
@LaurentiElikana
Жыл бұрын
Asante sana kaka
@MohamedIbrahim-bn1gz
4 ай бұрын
Mashaalah
@kennedymukolwe5148
6 күн бұрын
Thank you so much .How can I tell out my wife's colour .
@MichaelSolomoniodaga
Жыл бұрын
Asante
@francoiskasangala
7 ай бұрын
hum vrement 😮
@dennisrwelamira1259
9 ай бұрын
Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika
@jasminerashidi2782
9 ай бұрын
Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania
@MCmakore
Жыл бұрын
Mwalimu ahsante
@husseinsalehe9511
Жыл бұрын
wow
@AlexVenance-s1b
2 ай бұрын
❤
@MwanaishaHemed-xi6rj
Жыл бұрын
Asante sana
@nkwabison
Жыл бұрын
☑️
@lampadshigonko3006
Жыл бұрын
mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap
@-mv5f
5 ай бұрын
Ni mwamba huyu
@muddyhamza9606
11 ай бұрын
Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂
@apis_tv
8 ай бұрын
Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania
@那幅饿个哦发热呀
3 ай бұрын
I totally agree yaan management yake iwatafute
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
✍️
@byishimongirvmufasha6973
Жыл бұрын
Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.
@titusk.kariuki5510
Жыл бұрын
Akifika nijulishe.
@joelnanauka
Жыл бұрын
Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku Moja
@fredkangethe7497
Жыл бұрын
@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana
Пікірлер: 63