Mmewafanya watanzania ni watu wasiojitambua,mnawaburuza mnavyotaka,wakihoji mnawaita wachochezi wanaharibu amani.
@petiikarata8590
Жыл бұрын
Unahoji wewe km Nani?? Hebu tuache serikali ifanye kazi yake. Ukiona wanakosea chukua form gombea urais 2025. Uwongoze wewe tuone
@zakayomgaya2758
Жыл бұрын
Ayo tv Leo mmebugi hata nyinyi sio wazalendo kwasababu lipoti za upande wapili hamlipoti walizo kamatwa Ila zawatawala mnalipoti Mimi binafsi mzee asituingilie mkataba Kama mbovu wanini sasa
@muharamiesther5908
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tuepushe na Viongozi Wapumbavu 🤲🙏
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
insha allah
@cath-ef7wd
Жыл бұрын
Mpumbavu mamako malaya
@richardsesa7494
Жыл бұрын
😊kumbe leo ndo kajitokeza aliye mshauri mama kuhusu mkataba wa bandari..akalale huko yeye kwenye utawala wake katuachia mashimo ya migod aondoke
@mickyjoseph5492
Жыл бұрын
Tuondolee porojo zako za hovyo?issue ya bandari sio siasa.
@patricknyiti5303
Жыл бұрын
Mshauri Mama aachane na mkataba wa kifala
@evodirudo4813
Жыл бұрын
Huyu jamaa ndiye anampoteza Mama Samia, aspo acha nakumpa uhuru wa kuongoza nchi atatupoteza
@mohamedichande-eb6jh
Жыл бұрын
We ni mpumbafu kalale huko
@sambulugu9988
Жыл бұрын
@@mohamedichande-eb6jh Nyinyi wavaa madera shule zero! Mpumbavu ni wewe!
@marcynhumbi3534
Жыл бұрын
Tena hakuna mtu namchukia Kama huyu baba ushauri mbaya anampa huyu mama,kwanza na hayo makanisa wanaowaalika watu Kama hawa
@user-fd7vi4xv5x
Жыл бұрын
@@marcynhumbi3534Huo ni ufala unamchukia mtu hata hakujui na hajawahi hata kukuona..
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Huyu ndio baba wa taifa haliqi aliyebakia usiposikiliza la baba basi subiri maangamizo hakuna tena laiti tungemsikiliza mambo haya yasingetukuta..!
@ezekielsulle9249
Жыл бұрын
We mzee tunakuheshimu lkn naomba utuache kwanza we endelea kupumzika huko, R.I.P MAGU😢😢😢😢😢
@killingmleke1810
Жыл бұрын
Wewe nani mpk umwambie wakati na yeye. Ni mtanzania pia
@hasankasam5576
Жыл бұрын
M. Mstaafu nakupenda sana Allah atakulipa kwa mazuri uliotufanyia na atakusameh pale ulipoteleza kazi ya uongozi ni mtihani makubwa Allah akupe mwisho mwema wewe N wa Tanzania wote inshallah... Na atulindie amani yetu daima.
@manifestationmastermindset6518
Жыл бұрын
Sema haumuheshimu usitujumuishe
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Katamka maneno mazito mwenye masikio na asikie mwenye macho aone huu uliozungumzwa hapa ni ukweli mtupu asilimia mia moja kama unaitia nafsi yako upumbavu endelea kuitia upumbavu..!
@jamesnyamila2165
Жыл бұрын
Sisi hatutaki mbona mnalazimisha kama mlikula Hela za waraabu rudisheni haraka. Kwa jina la yesu hamtafanikiwa
@rockygappi1018
Жыл бұрын
Huyu yesu wako hana nguvu...ili kuthibitisha hili ni kwa kuwa umeandika yesu badala ya Yesu..kwa hiyo maombi yako hayana nguvu na mwekezaji atafanikiwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth...upo hapo???😂😂😂
@fransiskamwinuka4750
Жыл бұрын
Wewe acha habari zako. Usione waranzania tuko kimya tunakuheshimu sana. Wewe ndio chanzo wa haya yanayoendelea. Tunataka bandari yetu ibaki kwetu wenyewe. Hiyo sisi tunajua na hatubaguani hatuongelei mambo ya dini acha kutuingiza kwenye udini hatuko huko. Tunaongelea bandari acha pororo kututoa kwenye reli. Rudi kwenye hoja ya msingi.
@ZeraGeofrey
Жыл бұрын
SIsi tupo pamoja na maaskofu wala uwezi kututenganisha kwa hili jambo
@TumainiJoseph-s9b
Жыл бұрын
Mzee mdahuuu watanzania hawata kueleawa tuache kidogo
@thomaskwibonelwa9240
Жыл бұрын
Amani ya Tanzania isigeuzwe Chaka la wezi na walanguzi wa rasimali za taifa.
@gwajimagwajima
Жыл бұрын
😂😂😂
@EmmanuelTate
Жыл бұрын
Taifa kuwa na amani ni muhimu sana tena sana lakini shida kubwa ni mkataba wa bandari tunakuomba mheshimiwa raisi mwambie raisi samia afute mkataba wa bandari WATANZANIA wengi hawataki ukitaka ushaidi angalia comment kwenye mitandao ya kijamii kama KZitem na mengine
@robertmagesa4923
Жыл бұрын
Huyu mmetikosea sana kumpandisha jukwaani na kutuzuga watanzania anachokifanya anakijua yeye na wenzake
@andreaskomba383
Жыл бұрын
shauri vipengele vya mkataba vibadilishwe viwe na faida kwetu. Otherwise you cannot battle against RC
@isaachayes9783
Жыл бұрын
Who are roman catholic?, kwanza wala rushwa, walikula rushwa katika scandal ya Escrow hatuja sahau kina askofu kilaini na wenzake
@yudanziku6030
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@eldephoncemalley4816
Жыл бұрын
Kama walikula rushwa wewe ulichukua hatua ipi dhidi yao, acha porojo nenda mahakama ipo kawashitaki
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Tunajua Hilo, Wana hila na ujanjaujanja mwingi na ndio maana hata yesu aliwaonya vikali!! Tunajua hila zao ni watu wa hovyo sana!
@amiriadam9730
Жыл бұрын
We know RC since the old age. But you know nothing obout Muslim and the history of this country
@zeranchimbi2808
Жыл бұрын
mbona sijamuelewa huyu baba ni mimi tuuuu au na mtu mwingine hajamuelewa????
@arnold9406
Жыл бұрын
Kavuta bangi kabla hajaja kwenye huo mkutano
@qaisarmohammed7531
Жыл бұрын
Sasa akili za kusikiliza na kuelewa hamna...kwhy km huhamuelewa jiulizen hizo akili za kusikiliza na kuelewa mnazo??
@icesue6613
Жыл бұрын
Huyu si ndiye aliwapa wachina bagamoyo. Miaka 99. Walewale tu. We miss you JPM
@jonaskabe5870
Жыл бұрын
Acha vita vije tutapambana navyo lakini si kuzuia maskofu kututete nyie teteeni wezi na wahuni. Tumechoka kuibiwa.
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
kaanze kuua baba yako na mama yako fala wee, Tanzania ni nchi ya amani
@salehmussa9371
Жыл бұрын
Wewe mbwa uliwahi kuona vita wewe?uliwahi kuona hata tairi ya lori ikipasuka ukasikia mshindo wake? au unaona vita yakwenye gemu,Sibora uolewe tu km ndio akilizako hizo,mpuuzi kabisa wewe.
@qaisarmohammed7531
Жыл бұрын
Akili huna ww....vita unaijua au ndo wafwata mkumbo??
@JuniorBrighton-x5f
Жыл бұрын
Yani ww ata usinge ongea rati ungejua watu tulivyo NAASILA NA Majambazi
@bakarithegeoinformatician7406
Жыл бұрын
Tafuta ela acha makasiliko
@manchalijob9600
Жыл бұрын
Ujinga hatutaki mzee watanzania wa sasa sio wa miaka yako mzee umetuingiza kwenye mambo ya hovyoo sana
Nafikiri wakati umefika wa kuachana na Milard Ayo.
@yuzzob
Жыл бұрын
Nilisha unsubscribe kitambo,. Kisa vishort video hasa yule jamaa anasifiasifia palm shops pale.
@stephensandiko6049
Жыл бұрын
Hapo ndipo napo jiuliza kwani nani mwenye hati miliki ya hii nchi
@alexandermalima610
Жыл бұрын
Wewe kikwete ndo Janga la taifa
@radhiambwana3353
Жыл бұрын
😂😂😂 wa Tz jmn punguzen ukali wa maneno kaah nimechka Kwa sauti
@julianamasunga3458
Жыл бұрын
Hivi nyie ayo tv yenu haina wanasheria mkatasliwa hivyo vifungu vya mkataba,,,,mwambie huyo mnaekunywaga naye kahawa kwamba acha kichafuke atutaki vitisho kabisa ,,,tena akome maaskofu shule wameenda wamesoma ,,,tapeli mkubwa huyu sisi hatuwezi kuogozwa na serikali ya ovyooo kiasi hichooo ,,,,
@marijanimohamed8875
Жыл бұрын
masikofu wameupiga mwingi wauza bandari sasa watajua mbichi na mbivu 😅😅😅😅😅😅
@venancekanyamala4357
Жыл бұрын
Mzee wa msoga natamani sana angekuwepo tu madarakani live.Maana bado anatuongoza kwa mbali na.limoti akitoka msoga.Mnafki tu huyo mzee
@hashimuliloto8017
Жыл бұрын
KUNA CHAMA FULANI KINAGAWA WATZ .....KINAPOTEZA MVUTO 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Kimeshapoteza mvuto tayari
@kulwamiyonjo968
Жыл бұрын
Hakuna mahusiano yeyote hapa kati ya udini na siasa,kanisa katoliki limetoa tamko kuhusu Mkataba wa bandari hakuna siasa ya aina yeyote hapo,kanisa katoliki siyo mara ya kwanza kutoa matamko ya namna hii,Wakati wa utawala wa Magufuli kanisa lilishatoa Waraka zaidi ya mara moja kupinga utawala usiokuwa wa kidemokrasia dhidi ya serikali ya C.C.M bila kujali ukatoliki wa Magufuli,Mbona hatukumuona Rais mstaafu akitoa tamko la udini wakati huo.
@killingmleke1810
Жыл бұрын
Kwani mbona dini zingine hazijasema ninyi wakatoliki mna shida sana ktk utawala mtoe tamko ili iweje nendeni zenu huko
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
Hapa tunazungumzia ile 'Lazima' ilioko ktk waraka kuwa serikali iachane na mkataba huu wa bandari hii siyo fair hata kidogo kwa nini mnamvaa mama kiasi hiki kumbukeni hutuba ya mama namnukuu "mimi niliyesimama hapa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mwenye jinsia ya kike" basi kama hamtaki kumuheshimu yy kwa vile mwanamke heshimuni basi kofia yake ya urais ahsante sana jk wewe ndio Rais bora ni kwangu kuwahi kutokea ..!
@kingevarist6653
Жыл бұрын
Huyu mstaafu anatuchanganya Sana
@petersilas4234
Жыл бұрын
Tunajua misimamo na matamanio ya baadhi ya viongozi wenu. Wala haya yalikuwa si matakwa ya waumini wote . Tujihadhari na Hila zilizoko Ndani ya siasa. Kwani wale wabunge hakuna wakatoliki. Kutoa tamko kama kanisa ni pale mnapojihakikishia kwamba ni jambo la wote na hakuna Hila sirini.
@cath-ef7wd
Жыл бұрын
@@kingevarist6653utachanganyikiwa ww mjinga
@nicolausminja689
Жыл бұрын
Mambo ya udini yametoka wapi Tanzania? Mkataba na udini wapina wapi?mtu yeyote anaeleta udini badalaya kujibu hoja kuhusu mkataba ni mchochezi.
@yudatadeimdoe9215
Жыл бұрын
Mzee sheria na katiba ya nchi vimekiukwa unataka useme nini??. Sasa kama Sheria zinavunjwa viongoz wa dini wakae kimya... serikari ndio inataka kutupeleka pabaya na sio dini yeyote...Mzee Kaa kwa kutulia tuu, ushaa kula ulipokula tayar, acha kutaka kujichafua kwenye jambo la aibu kama hili, mahakama kule mbeya ishaa tia aibu,
@hurumaonlinetv
Жыл бұрын
DINI NA DOLA HAVIACHANI,KWANI KWENYE DOLA WAMO WAUMINI AMBAO WANAABUDU,KISHA WANARUDI KWENYE DOLA KWA MAJUKUMU YAO, NA NDIO MAANA KWENYE KAMPENI ZA KITAIFA SERIKALI HUWA WANAWASHIRIKISHA VIONGOZI WA DINI KUHAMASISHA,KWA MFANO,KWENDA KUPIGA KURA,KAMPENI ZA SENSA,ANUANI ZA MAKAZI,KUJIKINGA NA MARADHI NA KUCHUKUA TAHADHARI NA VIONGOZI WA DINI HUHESHIMU MAAGIZO HAYO YA VIONGOZI WA SERIKALI NA VIONGOZI WA DINI HUZUNGUMZA NA WAUMINI WAO NA MAAGIZO HUTEKELEZWA. SASA TOFAUTI YA VIONGOZI WA DINI KUISHAURI SERIKELI NI NINI. TUSISHINDANE WALA KULUMBANA,TUKAENI HILI LIISHE,KWANI UKIUFICHA MOTO MOSHI UTAKUUMBUA. SISI WOTE NI WAMOJA.
@JuniorBrighton-x5f
Жыл бұрын
Ivi kikwete ajui watu wanaona tu kwa mikAtaba ya ovyo
@tatianustihahilwa7169
Жыл бұрын
Miladi Miladi Watanzania bado tunakupenda lakin kwa kuliport habar za huyu mtu Sina hakika sana
@qaisarmohammed7531
Жыл бұрын
We nae akili huna sasa unataka aweke ripoti habar gani?? Au kumrahisishia kazi mpelekee habar ambazo unazipenda aripoti...maana tz ni nchi huru
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
Umesema vema Mhe Rais mstaafu, Kuna watu hawana uzalendo , tumeona jinsi walifanya Rwanda 🇷🇼
@samorasilayo1268
Жыл бұрын
wacheni wasiwasi tunataka kanisa waseme wakristu tuandamane nchi nzima
@@edsonnelson4464 mwanaume tangu lini akaregea wewe mwanaume anakaza
@mussamuhunzi2957
Жыл бұрын
@@jacksonitembe6512 tunawataka mpewe kibali mlianzishe uone huo upumbavu tuliokuwa nao
@HassanHassan-si2rt
Жыл бұрын
Mpuuzeni huyu, Yeye ndie kubwa la maadui na Alaaniwe.
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Alaaniwe kabisa laanakum tumechoka watuache hawaoni hata aibu .
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
😂😂😂😂❤
@jonaskabe5870
Жыл бұрын
Huyu alituhalibia katiba pendwa ya warioba.
@onesmokihanza8473
Жыл бұрын
Hizi ndo habari anazopost Millard, za ki harakati anawaachia jamii forums
@chomasongidion6047
Жыл бұрын
Mungu tusaidie tu,Tanzania yetu kwanza,,wwngine tumzaa na waislaam,wwngine wanezaa na wakirsto haliyakuwa maisha yanaendekee,tuliombee Taifa,
@mwasoprince3459
Жыл бұрын
Nimecheki messages kweli watanzania wamekasirika na bandari 😂😂😂
@angelsulle7177
Жыл бұрын
Sana sana uwashauri waislamu wenzako walioanzisha mzozo wakitafuta riziki kupitia waarabu.Maaskofu tunawaamini mkataba tunaupinga Kwa nguvu zetu zoteeeee !!!!! Hao mashehe wote wanaosimama kuutetea kwanini usiwakemee???
@radhiambwana3353
Жыл бұрын
Tungekuwa wa Tz tunamoyo mweusi kama wako Taifa lingeshaangamia na udini naukabila kwhyo akija myahudi namkataba mbovu utauunga mkono kwavile ww mkiristo? Unatakiwa useme mkataba ufanyiwe marekebisho au siutaki lkn usisema maneno yakuudh Dini nyngn Nchi hii tunategemeana mwsilamu namkirsto sisi ni Ndugu jmn tuangalie kauli zetu. Vingnevyo tukosa pakulaza mbavu zetu.
@angelsgabriely3575
Жыл бұрын
Acha zako,..hakuna kuuza bandari zetu za Tanganyka,..hamcklizi wananchi wanachohitaj hvyo acha viongoz wa dini wawasemee wananchi labda mtawaskliza
@isaachayes9783
Жыл бұрын
Wananchi wangapi ulipiga kura ukajua hawataki, Dp tunaitaka na itakuja mpende msipende wehu nyie
@angelsgabriely3575
Жыл бұрын
@@isaachayes9783 nyie mnauza raslimali za nchi kwa kufaidsha matumbo yenu ndo wehu!..bandari za tanganyka haziuzwi bas ngoma imekuwa nzto!..klchobaki nimuende mukafrwe huko uarabuni mujiuze nyie badala ya bandari!..mtakoma lazima mrudshe vya waarabu mlvyokula!..bandari haztoki ng'o!.mmeshaanza kutoa ndege bado nyie wenyewe!..mashoga na wehu nyie!
@milcahkapan7932
Жыл бұрын
@@isaachayes9783bado unawaza DP world na Hilo limkataba lenu la kijambazi🤣...mkiupitisha ndo mtagundua kuwa kuna nchi ndani ya nchi,
@user-kt3pl4tw8t
Жыл бұрын
Na ww Millard Ayo unabagua vya kupost
@stanslausbernard5950
Жыл бұрын
Sijawahi kuona kamtu kanafiki Kama haka. Ni kakukaogopa Sana.
@Isynick
Жыл бұрын
Mbona kama anahutubia watu 10 kulingana na back ground noise ya watu wanaompigia makofi? 😂😂😂😂
@benjaminsumuni3802
Жыл бұрын
,,,,
@benjaminsumuni3802
Жыл бұрын
Haha
@ommimg2467
Жыл бұрын
😂
@dismaslalubare4196
Жыл бұрын
Mzee mkubwa unaheshimiwa sana na watanzania HUBIRI HAKI ACHANA NA KUHUBIRI AMANI
@Bikhafija
Жыл бұрын
Ungekuwa na hekim ungemshauri mama yako aachane na mkataba kwann bandar
@mariamjuma4136
Жыл бұрын
Sasa iyo aki itatoka wapi sehemu ambaye Aina Amani Amani ina thamani kubwa sana Amani inazaa aki na upendo pia
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@mariamjuma4136yeye ndio anasababisha yote hayo aman anavunja yeye maendeleo ya tanzania yeye ndio anayavunja
@cath-ef7wd
Жыл бұрын
Umesema kweli mheshimiwa baba wa taifa
@richlord22634
Жыл бұрын
@@mariamjuma4136 wewe n mpumbavu... Yn unadhurumiwa haki yako ya msingi huku unaona na bado unasapoti wanakudhulumu... Kweli wewe n mpumbavu mkubwa sana sijapata kuona
@MrTiba_T.v
Жыл бұрын
Mm Naona serikali ikubali ushauri kutoka madhehebu mbalimbali
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Walijua made madhehebu ya dini yatawaunga mkono kama walivyozoea lakini safari hii ni tofauti
@jambo3751
Жыл бұрын
@@mariamswalehe3312 Ni kwasababu makanisa yanafaidika na EXEMPTION msamaha wa Kodi na ushuru kwenye bandari ya Dar es salaam ndio maana wamekuja juu. Wanajua DP WORLD haitokubaliana na jambo hilo. Na kwa upande wa CHADEMA wao wanajua wazi mapato yatakayopatikana kutokana na bandari yatakuwa makubwa sana na serikali itafanikiwa kuleta maendeleo kwa speed kubwa kwasababu bajeti itakuwa boosted kwahiyo kisiasa ni disadvantage kwa CHADEMA na ni advantage kwa CCM. Kanisa na CHADEMA wote wameona mbali sana lakini kwa bahati mbaya kuona mbali huko si kwaajili ya maslahi ya Taifa.
@sebandaki8795
Жыл бұрын
Tunakweshimu sana baba please 🙏 pumzika mzee wetu tukikujibu tutakukosea heshima
@bosssyedmund8785
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@samwelrobertmwakatobe6467
Жыл бұрын
Huna jipya umeweka Kuni kuichoma Tanganyika tunajua ww uko nyuma ya mama
@editrudaawet8950
Жыл бұрын
Rest Easy Magufuli.Haki uliijua,upendo ulikuwa ulibeba maana yake,asante.Tunakukumbuka sana.laiti Mwenyezi Mungu angepangiwa Basi watanzania tungeomba akuache ijapo miaka mitano mingine.Tumekukumbuka,Tunakupenda hata ulipolala.lala salama Magufuli
@manchalijob9600
Жыл бұрын
Ayo tv chombo cha kinafiki sio wazarendo wanaripoti ujinga mtupu hayatetei taifa
@user-pd1kk3xd4u
Жыл бұрын
Udini haukuwepo ila uonevu wa Samia kwa watanganyika huko loliondo na hilo LIMKATABA LA DP WORLD ndo limeleta haya kabisa nakwambia kikwete mwambie uyo mama aachane na ilo limkataba chafu
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Imeisha hiyo tunawachukia nyinyi na siasa zenu iko cku yenu itafika mwisho. Tumechoka
@samsonmliutu7761
Жыл бұрын
We ndo una haribu Nchi tnajua mchumia tmbo!
@bahatielias6443
Жыл бұрын
Wewe mzee tunakuheshimu sana lakin kwa karne hii na watanzania wa sasa siyo wamiaka ile,, Bora ukae kimyaa.
@deogratiusyudatadei5658
Жыл бұрын
Mzee ww ebu tupishe na maneno yako yauwongo
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂tena liongo eti kwenye utawala wake alimaliza matatizo 😂😂😂yeye ndio kaauza mali nyingi sana za tanzania na hakuna alilofanya
@gilbertmtoshu-gm7bt
Жыл бұрын
Kwan saiv we ndo mshauri wa nchi bandar nooooooooooooooooooooooooooooo😢😢😢😢😢😢
@priscusgodwin
Жыл бұрын
Jamaa atofautishe maswala ya siasa, na maswala ya nchi. Swala la bandari sio swala la SIASA, ni swala la NCHI
@abelmbilinyi1262
Жыл бұрын
👍❤️
@moshintagata100
Жыл бұрын
Mzee tunakuamini uumkataba unautambuaje Kwa maslh yawatanzania tumechoka mikataba ya ovyo tuache udini tukae kwenye maslahi yainch
@godfreymanzi3302
Жыл бұрын
Amani uku munatuzurumu
@Kasaba_rben
Жыл бұрын
kuna utofauti mdogo sana kati ya siasa na masilahi ya nchi, DINI inaweza kutumika kutetea na kupigania MASILAHI YA NCHI bila kujihusisha na siasa, and viceversa is true. kwenye maswala yenye maslahi kwa nchi na kitaifa tutakuwa washenzi kama tukizinyanyapaa taasisi(za dini na zisizo za dini) zinazotetea masilahi haya. nadhani mzee wetu ameshindwa kuipa nguvu dini(inawezekana ni kwa makusudi au bahati mbaya) katika kutetea masilahi ya nchi na taifa.
@venarwehumbz
Жыл бұрын
Inauma sana kuona watu unaowaamin kama Hawa "wasomi sana, Wana uzoefu wa nikataba iliyowai kutuingiza Chak" alafu wanatuonesha Haya 😭😭😭. Weeh MUNGU ibariki Tanzania.
@user-ql6hg7fy9p
Жыл бұрын
Tanzania Mungu ametubariki utajiri lakini tumenyimwa viongozi bora na imara wenye maono na mipango mizuri ya sasa na baadae kama alivyokuwa mzalendo wa kweli JPM, hawa wengine ni vibaraka wa mabeberu tu wana akili tegemezi wanaamini bila mabeberu hawawezi kufanya chochote ndio maana kila kitu wanawaza kuwapa wawekezaji.
@OfficialKadumba
Жыл бұрын
Alivyo kuwa muaji na mtekaji na mchukua pesa za watu kwenye mabenki na wakutuma watu wawa pige lisasi wapinzani Mama Samia mitano tena raisi wetu kipenzi chetu watazania
@user-ql6hg7fy9p
Жыл бұрын
@@OfficialKadumba Hakika maneno ya Mungu; "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" kana kwamba alimanisha watanzania, Mungu akusamehe bure ujui utendalo, utakuwa sehemu ya watu mnaoishi maisha ya michongomichongo. Weka akilini tangu tupate uhuru wa bendera Tanzania tumepata marais 2 wenye mamlaka kamili baba wa taifa mwl J Nyerere na JPM tu.
@daudimchileg307
Жыл бұрын
Tanzania hii mnayotupiga tuuu, mungu atajibu siku ya kiama yenu, tunawashukuru maasikofu wanaosituka saiz japo wamechelewa mikataba mingi ya hovyo alisema Magufuli ni nyie wazee.
@marijanimohamed8875
Жыл бұрын
tuna amani kwa sababu hatuchukui hatua watawala wanavyo tafuna inchi mimi muialam haswa nawaunga mkono masikofu mkono % 100 tamko lao zuri kabisa masikofu wana wajibu kusema idimladi iwe haki
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
namie napo nawewe nawaunga mkono maaskof ❤❤❤huyu mzee huyu nyoka sana muogope sana mtu anaejifanya anakuchekea uson ila anakumaliza huku anakuchekea alivotoka yeye madarakan inchi ilipata uhuru wakaona hapana wamemuua jpm ili arudi kwenye mfumo karudi yeye na genge lake lote
@octaviantito
Жыл бұрын
"SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU" Kwenye huu mkataba hatuongelei siasa wala dini tunaongelea rasilimali za wananchi na kwa wenye uwezo wa kusema ukweli waseme,,,kuliko kukaa kimya kusubiri taifa liumie kwa mara nyingine kwa mikataba hii hii ya ovyo.
@barakamsungu5260
Жыл бұрын
Kwahiyo mambo ya msingi kwenye nchi yetu hata kama ni mabaya na wananchi hawaungi mkono ni siasa yasikosolewe?
@martineshija2712
Жыл бұрын
Mwanzoni nilikuwa siwaamini amin waliokuwa wakisema bandali imeuzwa: Sasa ndiyonmeamini Sasa kama bandali imeuzwa Bolaangeongea mwingne ilahuyu kweli imeuzwa.
@jacksonngusi4122
Жыл бұрын
Bandari yetu ibaki tu hakuna njia nyingine
@janethpallangyo3855
Жыл бұрын
Mzee tulia 😂😂😂😂
@NicholausMathias
Жыл бұрын
Hana mshauri apumzike Kwa amani hatuitaji wosia Wake
@liberatusjackson5045
Жыл бұрын
Achazako unatunyonya sanA mzee baba tuhurumie ss sote niwatanzania
@venarwehumbz
Жыл бұрын
Daah, Tz. Baahn kiukweli ni pasua kichwa et Yan hakuna hoja ila ukiwa kinyume na wao ww n mchochez tu, sasa Nan atutetee cc mabubu tuso na saut kwenye mambo kama hay?
@myovelayeronimocy2829
Жыл бұрын
Ukiona MBAs anabweka hivyo ujie kabanwa pabaya Bandari ni lango kubwa la uchumi wa nchi yetu kwa hiyo lazima zilindwe kwa nguvu zote. Fukuza majangili
@bensonmgaya5693
Жыл бұрын
Anaongea Nini huyu Mzee na kashastafu mbona mwinyi Hana kiherehere kama Cha huyu Mzee hivi jeshi liko wapi hii nchi Haina msemaji wa mambo haya ya serikali mpaka aseme msitafu ? Et serikali inatambua uwepo wa kanisa sabato na mishahara n.k au Bado nayeye ni raisi Nini jaman nchi hii nyinyi mnaokula vizuri ipo sku mtashinda njaa sisi wenye njaa tutashida one day yes ropokeni tu
@happynessyusufu8258
Жыл бұрын
Wee mzee sisi hatuogopi vita tunamegemea Mungu ;hatuwezi kukubali mambo ambayo ni kinyme na maslah ya watanzania tinacho itaji ni urithi wa watoto weto
@paulinakidole3415
Жыл бұрын
Ww presenter tunajua,Asali yake alolambishwa Ayo tv,
@MussaMumbi-ti9zx
Жыл бұрын
Shida ni kwamba upinzani haupo.... Lakin hata inapokuwepo inashindwa kutuaminisha wananchi hasa wakati wa uchaguzi ukifika tuliyaona Kwa waziri yule na hata Lowasa akigombea dhidi ya Magufuli kwa nyakat tofauti Kiukweli Vyama vya upinzani pia haviaminiki Watanzania tuzidi kumwomba sana Mwenyezi Mungu atuongoze... Kipindi tulichopo ni cha maombi tuu... Mungu atuamulie na kutupigania
@marianmartin7483
Жыл бұрын
Hamna lolote, maaskifo wetu niwazalendo wa nchi hii. Mwambie mama achane na swala bandari.
@khadejakhadeja9713
Жыл бұрын
R.I.P. MAGUFURI baba😢😢😢😢😢😢
@ephremmtuya3094
Жыл бұрын
JK alikuwa anaongea ambayo waTz wote tunayaelewa ameongea sahihi kabisa hatuna udini baadaye anaza kuongea kuwa Dini isichanyike na Siasa mpaka sasa haukuna hata mahali ambapo dini imeingilia siasa . ila dini kukosao siasa mbovu ni haki yao. na dini ikiakaa kimya kwenye uonevu maana yake dini haijatimiza wajibu wake
@aminatanzanya7475
Жыл бұрын
Mzee utawal wako yes.! Ila wew umekuw mnafiki sana kwa Watanzania
@ponsianomnyaru9140
Жыл бұрын
Huyu Mzee ndo mikataba yake ya hovyo uyu na ndo anayemshauri mama ahaaa tumegundua Mzee
@domymerinyo8165
Жыл бұрын
Shida inaanzishwa na viongozi wa siasa,halafu hamyatatui matatizo mnatishia wananchi kwa vyeo vyenu. Badilikeni kwa kusikiliza wananchi na sio kupuuza,ndio maana viongozi wa dini wanaona na wanakosoa mfanyie kazi.
@oscarkasalile3966
Жыл бұрын
Mimi sina shaka na mheshimiwa Rais samia, ila hapa kwa mzee baba maneno anayoongea sasa nimegundua kitu kuhusu bandari, mpaka nimemkumbuka magufuli, kuwa wachina wanataka kupewa bandari ya bagamoyo kwa miaka 99. Sasa nimegundua kuwa taifa linawatu wahuni.
@donkingtraders692
Жыл бұрын
Huyu ni kiongozi kweli ... Tofauti utaiyona ... Sahihi kabisa viongozi wa dini kufanya kazi za dini ... Tumuachie mama afanye kazi .. Mama ana nia njema na nchi yake mama ....
@josephkessy4512
Жыл бұрын
Kikwete anaongea Kama nani mana wakati wake wa kula rushwa ulishapita ila Bado anakazania kuwa serikalini Jamaa huyu Mungu kwann haoni wakuchukua
@stanslausbernard5950
Жыл бұрын
Tuambie yale mamilioni ya fedha ambazo mawaziri wako walipewa na Rugemalira yalikuwa Ni kwa shughuli gani. Your government was the most corrupt one. No body can trust you for anything
@maulidmnukwa3171
Жыл бұрын
Tatizo letu hatupendi kuskia tusicho kipenda ... Msingi wa hoja sio nani katoa hoja msingi wa hoja ubaki Kuwa ni hoja yenyewe, kikwete katahadharisha sasa mnaondelea kutete upuuzi wa viongozi wenu wa dini waulizeni Afrika ya kati watawaeleza wanavyo ishi
@user-zn5vu5yi1d
Жыл бұрын
Hivi kwa nini hawa wazee wetu walikuwa kimya tu lakini nazidi kuyakumbuka maneno ya mwisho ya Magufuli
@daudimichael7338
Жыл бұрын
Ni kanisa gani limemualika huyu?
@ototek8037
Жыл бұрын
Kunamakanisa yakishetani TZ huwezi amini.
@healingclinic978
Жыл бұрын
Nimecheka sanaaaaa hiyo kauli 😅😅😅😅😅😅😅
@tabithakaji2635
Жыл бұрын
Waraka haujaongelea mambo ya udini.umeongelea serikali kuachana huu mkataba mbovu
@chamimdesa148
Жыл бұрын
Futeni mkataba mlioingia, hatutaki siasa hizo, unalijua mlilolifanya msituone mazwazwa. Mwambie mama Abuu afute Hilo limkataba lenu
@denissilver3551
Жыл бұрын
Yoteee sawaaa lakinii ss hatutaki kuliwaaaa weka mikataba safiii yenye muda
@radhiambwana3353
Жыл бұрын
Naam
@manenoramadhan1432
Жыл бұрын
Leo hii msaafu anahangaika kumtetea mama duuuuh noma sana
@yusuphswaibu8532
Жыл бұрын
Hongera Sana mzee wetu kikwete kwakweli watu wenye lengo la kutugawa na kuwatumia viongozi wadini kwenye mikutano ya hadhara na kuchanganya dini na siasa ni muhimu wazibitiwe haraka na hii imesabishw na kuruhisu vyama vya siasa kuweka mikutano ya hadhara na kukosa hoja za msingi na kuanzia kuleta udini hasa chama kimoja Cha ukanda halina nia njema na Taifa letu Mungu akilaani na kukifutilia mbali
@chazy7ya216
Жыл бұрын
E kama iyo ccm Mungu aifutie mbali kabisa wametunyonya sana
@shijandobehe4953
Жыл бұрын
Hatuna wa kututetea zaidi ya hawa Wacha waseme
@stanleysichone2227
Жыл бұрын
Unaongea nn ww
@shijandobehe4953
Жыл бұрын
@@stanleysichone2227 hujaelewa nini waache waseme maana mikataba mibovu kama hii Ina hasara kubwa Kwa taifa letu la Tanzania anayeweza kukubali ni kichaa tu
@paschalmashimba290
Жыл бұрын
Halafu milad ayo naye ni mnafiki anaposti interview za upande za wanaosifia tu 😏😏😏 ananikeraaaaa cjui naye kashalambishwa hasari
@theodorythobius3965
Жыл бұрын
Yap Kabisa..
@ignasmjie4413
Жыл бұрын
Time will tell.Eventually every regime will fall and all the trophies will be in the rubbish pit.The final decision to every problem is either time or death. whats the whole context of this?. I am signing out and hold on to see my GOD IN HEAVEN SORT OUT EVERYTHING.
@alatangakiwambe8147
Жыл бұрын
Kikwete huna maana wewe ndio tatizo la nchi kuwa maskini
@emanuelmgote4511
Жыл бұрын
Kwahiyo ww kikwete hapo ulipo uko unaingilia dini hapo kwa wasabato?
@midumbiojijo8126
Жыл бұрын
Asante sana JK kwa kuzindua kanisa la kijijini kwetu Mungu akubariki sana Rais wangu
Пікірлер: 569