Viva viva strong leader Africa watanzania mzarendo, President JPM
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Huyo Magu dictator muuwaji,mtekaji,mbinafsi na mkabila
@chomasongidion6047
Жыл бұрын
Magufuli hongera huko uliko umeacha alqma kubwa mbaya zaidi hakuna tusichokijuwa , magufuli John hakika historya yako kubwa mno watanzania tunajuwa na wanajeshi wetu wazarendo mno , magufuli hakiyamungu hatuwezi kukusahau milele,natunakuombea pumziko la Amani,uneacha alama kubwa tena tunajuwa ukweli wote , magufuli hata wagogo wanamkumbuka wanajuwa ukweli histolia haifutiki milele ,ameiheshimishi tanzania ,tunajua magufuli nguvu yake nyie oiteni huko
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
👍✌️🇹🇿🎊
@malcomx4067
Жыл бұрын
JPM hakika ulikuwa Musa uliyetumwa na Mungu kuja kubarilisha fikra ya wa Tanzania 🇹🇿 kujitengemea. Hawa wanafiki tunawajua vizuri na ulituambia tabia zao mapema.
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Wanafiki ni wale waliokuwa wakiuwa binadamu wenziwao,kuwateka wenzake.kuwapifa risasi na kuwabambikizia kesi.
@nathankihiyo6194
Жыл бұрын
@@maulidimuhammed7851 acha kutudanganya kwani huko nyuma watu walikuwa hawatekwi na kupotea? Au walikuwa hawapigwi risasi kuuwawa? Au now hawauwawi? All2all Magufuli anabakia kuwa mfano wa kuigwa na kupongezwa.
Dhamira ya kuuw binadamu wenzake,kuwateka,kuwapiga risasi na kuwapa ulemavu na kuwanyima haki zao za ubunge udiwani nakuviziba mdomo vyombo vya habari
@sheryphamwenevalley6124
Жыл бұрын
@@maulidimuhammed7851 hata ss wanatekwa tena zaidi katikati ya jiji. wanauwa kwa.mapanga. kila ukicha.vp au uoni? punguza ushabiki ulio na ukosefu wa akili.ja utasho wa.kijinga , mpk ss hakuna wa kumfananisha na JPM alikua zaidi ya kiongozi, ie huko unakoshabikia mr. mugabe atawaongoza mpk lini na kila ruzuku chama😁😁😁 mazezeta.bado.lpo.wengi
@nathankihiyo6194
Жыл бұрын
@@sheryphamwenevalley6124 Hakika nakuunga mkono, Magu ni mfano wa kuigwa na alikuwa mpambanaji kwa wananchi! Wanaomchukia ni wale wazembe waliowajibishwa na wale ambao ndugu zao waliwajibishwa
@essaujoel4807
Жыл бұрын
Kikwete hukuwa na haja ya kujielezea na kujisifia uliyoyafanya. Hii nchi ni kupokezana kama ulivyoainisha kwenye maelezo yako ya mwanzo. Waelewa tumeelewa, mazuzu watapiga makofi. All in all, hongera kwa mama, r.i p baba magufuli. Mungu tubariki watanzania wote
@calabash4221
Жыл бұрын
Ndio kawaida yake....
@esthermichael4653
Жыл бұрын
Umeona eee yani nishida Kabisa.... roho inamuuma kinyama yani Kwaivyo anataman yeye ndo awe mkuu wa historia iyo🤔
@EliakimDaniel-t4x
Жыл бұрын
Mbona humtaji jina jamani acheni unafiki RIP kamanda magufuri
@zuhurahkambi5931
Жыл бұрын
Yani huyu mzee amenishangaza sana kwa maelezo yake yan kana kwamba jpm hakuwa na mchango wowote kwenye ujenzi huo wa ikulu
@stelayunami7779
Жыл бұрын
Tupongeze juhudi za serikali kwa hatua kubwa,kwanza kubadilisha Dodoma mpaka kuwa na hadhi ya kuitwa mji mkuu wa nchi hii ni kazi kubwa,JPM alifanya kazi kubwa walahi ilikuwa hapa kazi tyuu,,,,chamwino kama white house,,,Magu tutakukumbuka daima uliacha alama kubwa Tanzaniaa,,,
@denisrukangula2227
Жыл бұрын
Dodoma Sio mji Mkuu wa Tanzania ni makao makuu ya nchi Mji Mkuu wa Tanzania ni DER es salaam
@BenWerner2530
Жыл бұрын
Viva John pombe Magufuri .
@imma_billy
Жыл бұрын
Vivaaaaa JPM
@FrankKiondo-fq8hf
Жыл бұрын
Uwe uajiwekea kumbukumbu ya nchi huenda ukabira unakusumbua
@anordkingstar1048
Жыл бұрын
Pumzka kwa aman mzalendo wa kwel jpm moyon mwangu kufutika haitawezekana mpaka na mimi nitakapo futika dunian
@imma_billy
Жыл бұрын
R.I.P Magufuli 🙏🏾
@mkamimtatiro3449
Жыл бұрын
Ukifanya watu wataona tu huna haja yakueleza kabisa
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
sasa eeeh ! kama angelikuwa kafanya kweli asinekuwa na haja kutupa hadithi zake za alinacha macho na masikio sio tunayo jamani
@kazumarihamisilikumbato9213
Жыл бұрын
Msiwe na ufinyu wa fikra na ushabiki maandazi, kuna mtu anofanya mambo kwa sifa na mwingine anafanya mambo kimyakimya mtambue tu kuwa serikari huwa inafanya utekerezaji wa kazi zake kwa mfumo wa mbio za rilei kwa wale waliopitia umisenta shuleni wanaelewa labda kwa ufafanuzi tu ni zile mbio za kushirikiana kimakundi makundi kila kundi linakuwa na kijiti kimoja ambacho hicho kijiti kimoja atapewa mtu mmoja wa kikundi fulani kuanzia pointi aliyopo na wengine watakwenda kusimama pointi zinazofuata mbele. Sasa basi ikipulizwa firimbi hili kundi lakwanza hawa wenye vijiti watakimbia kwa kasi sana kila mmoja wao ili kuwahi kumpa kijiti yule mwanakikundi mwenzake aliyopo point inayofuata itaenda hivyo hivyo hadi lififike kundi la mwisho ndilo litakalomaliza mchezo na yule mtu wa kwanza kumaliza kufika kwenye kamba ndiye atakuwa mshindi pamoja na kundi lake lote kwa ujumla ndilo limeshida. Hivyo basi huyu Mzee alichozungumza yuko sahihi kabisa na sio kama kajichukulia credit hapana ila kaongea uhalisia ili watu wenye akili timamu wasioathiliwa na ushabiki maandazi wa kisiasa waijuwe vizuri historia ya inchi yao. Mfano mzuri mimi wakati naenda Kagera mwaka 2010 nilipopita Dodoma nilikuta ndo nyumba ya waziri mkuu kule juu mlimani ndo inamaliziwa kujengwa na nilipokuja tena Dodoma mwaka 2012 niliikuta tayari ishaisha kujengwa na inatumika na ukumbuke hicho ni kipindi cha Kikwete na sio Magufuri huo ni mfano tu hatuwezi kusema yote ailiyofanya Kikwete, Mkapa, Mwinyi na Nyerere katika harakati za kuhamishia Dodoma kuwa makao makuu. Lakini pia kama kweli ni mfuatiliaji wa mambo ya serikali utaamini kuwa mambo mengi aliyoyafanya magufuli ni mambo aliyoyaanzisha Kikwete kasoro bwawa la umeme rufiji, lakini kuanzia mwendo kasi, viwanja vya ndege alivipanua na vingine kuvijenaga yeye ila ununuzi wa ndege akaja kutekereza Magufuri na huwezi kununua ndege bila kuwa na viwanja vya kutua ndege hizo, alipanua bandari ya Dar-es-salaam, aliratibu ujenzi wa reli standard gauge lakini yeye alitaka kutumia treni za diesel Magufuri akajenga ileile lakini akabadilisha kwenye treni yeye akataka iwe ya umeme, Kikwete ndo aliyewazindua watanzania kuwa nchi hii inaliwa kwa kuwapa wapinzani nguvu bungeni na kumteuwa mpinzani Zito Kabwe kuwa Mwenyekiti wa Pac bungeni ambapo yeye na timu yake ndio waliosaidia kuvumbua mauozo mengi akiwa na cabinet yake ambayo 99% yalifanyika katika tawala za nyuma yake yaani utawa wa Mkapa na machache yake utawala wa Mwinyi. Na ukitaka ulijuwe hilo fuatilia report za kamati za bunge zinapotoa report zake bungeni mfano, EPA. Ndo utajua madudu hayo yalifanyika katika tawala ipi, isipokuwa dudu moja tu ndo lilifanyika wakati wa utawala wa Kikwete mwenyewe ambalo ni Richmond na ndilo lilisababisha hadi waziri mkuu Edward Lowasa kujiuzuru na Rais kuvunja baraza la mawaziri kitu ambacho ni risk kwa kiti chake pia kwa mtu muelewa, lakini yeye alithubutu kufanya hivyo. Hata hivyo yeye ndiye alithubutu kuwaweka ndani mafisadi na wengine walithubutu kukimbilia marekani lakini walirudi maiti na ni Rais mwenye uthubutu kuwachukulia hatua mafisadi kwa kuwashitaki kitu ambacho magufuli alishindwa kwani yeye aliishia kuwatumbua tu na kuwaacha mafisadi waendelee kuzitafuna kwa uhuru pesa za serikali wakiwa uraiani. Kikwete hakuwa mtu wa mabango kwa kile ambacho alikuwa anakifanya ila Magufuri alikuwa ni mtu wa Mabango kwa kila kitu alichokuwa anakifanya. Cha msingi tusiwe watu wakushikiliwa akili na wanasiasa na tukawaacha wakatifanya kile wanachotaka wao. Mfano mdogo tu niwakumbushe, ilivyotokea Richmond wapinzani ndio waliibua na ndio walioshikilia bango kuwa Lowasa ni mwizi na anatakiwa ajiuzuru na wananchi wote tulimchukia Lowasa lakini ilipofika uchanganuzi wa 2015 CCM walimkata Lowasa baada ya kuona kuwa ana makandokando mengi na CCM hawawezi kushinda kwa sababu hiyo lakini cha ajabu zaidi Chadema na baadhi ya vyama waliounda ukawa walimchukuwa Lowasa na kumsimamisha kuwa Mgombea Urais na yule yule waliyetuaminisha kuwa fisadi walimsafisha na kusema nimsafi na wananchi wakakubali bila kukumbuka nyuma waliambiwaje na hao hao waliomsafisha. Lakini kuna viongozi makini naweza kusema kutokana na kujitoa na unafiki ule ambao ulifanywa na vyama vingine vya ukawa, ni Professor Ibrahim Haruna Lipumba na Zitto Zuberi Kabwe walijitoa kwenye group lile la ukawa kutokana na unafiki uliofanywa na Chadema na vyama vingine wa kumsafisha fisadi kuwa malaika kitu ambacho kama kweli ni kiongozi makini, mzarendo mwenye kutetea maslahi ya Taifa letu hawezi kufanya upuuzi ule eti kwa ajili ya uroho tu wa madaraka ili mradi uingie madarakani wakati sawa unajuwa kabisa kuwa huyu mtu tunaemuingiza madarakani kama Rais sio mtu sahihi na wananchi bado mnabaki kuwa mandundunya msijielewa kwa kukubali kushikiliwa akili zenu na wanasiasa bila ya ninyi kupembua hoja zao na kulinganisha na matukio yao ya nyuma ili mjihakikishie kuwa je, ni watu sahihi wanofaa kuwapa kura zenu? Kwa ujumla kila Rais aliyepita ana uzuri na ubaya wake ila mazuri ni mengi zaidi. Tukumbuke tu na kujuwa kuwa wao ni binadamu kama binadamu wengine na binadamu ameumbwa hali ya kuwa hajakamilika. Ahsante.
@salehsuleiman9407
Жыл бұрын
Mungu msimamiaji wa kila penye baya na zuru kilichomuondoa jpm yeye mungu anajua lkn pia ss hatutoacha kufikiria na kila mtu ana fikra zake ila hakuna na hatotokezea duniani na tanzania yake rais shujaaa na mzalendo kwa nchi yake km jpm viva forever
@thieryniyonkuru5023
Жыл бұрын
Ni makosa makubwa saaana kusoma kitabu kilichoandikwa na mwandishi flani na unatumia kitabu hicho kuonyesha kuwa yote yaliyomo ni yako bila kupeleka credits kwa mwenye mwandishi mwenye. Haya mama, kazinduwe bwawa la Nyerere na mtoto wa mlamba asali kesho
@Mathsconcepts495
Жыл бұрын
Umenena,👋
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
kajipa credit zooote yule mzee , wakati kaondoka madarakani hata msingi mmoja hakuchimba, aibu yake
@ZagambaMnubi
Жыл бұрын
Ila JPM alisema akiondoka watasema wamejenga wao sasa najionea aibu sana kwa hawa viongozi mazuzu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
@@ZagambaMnubi 🤣🤣😂 unakumbula ule mji mpya wa kigamboni aliojenga Kikwete , unauona ?🤣🤣🤣
@alexanderkapinga700
Жыл бұрын
Kikwete anaendelea kuelezea aliyofanya mpaka leo, yaani hakuna anayejua alichofanya.
@alinassor6956
Жыл бұрын
Ahsante kiogozi mzalendro mpenda maedeleo mama samia kwauwenedevu imara kwamaedeleo yataifa huwo ndo kuogoza nchi kuegezea kile ulichopata hapo mougu akubariki kwa kusukama gurundumu lamaendeleo pongezi mama mlezi ahsante mougu akupe oumdri afaia hikma uzidi kufaidisha taifa la wafrica tanzania ni africa namaendeleo yote yako ndani ya africa CCM hoye wanachi wa tanzania hoye mougu awabariki
Nampongeza Rais Samia kwa kusimamia na kuendeleza miradi yote mlioanzisha pamoja na Rais wetu mpendwa dr John Pombe Magufuli, napongeza pia kwa kutoa Tunzo kwa mwl Nyerere na shujaa wa Afrika mzee Magufuli, Mungu awabariki sana
@pastoraile7195
Жыл бұрын
Jama likuwa kituu kutoka kwa munguuu
@calvinmmassy3885
Жыл бұрын
Mnafki mkubwa San Wakupongezw ni Mama Janet kwa niaba ya Magufuli
Mpuuz sana wewe mama janeth apogezwe kwa lipi? Ushabiki wa kijinga acheni
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
sana kabsa ila anajimwagia yeye sifa wakat kamaliza miaka 10 madarakan hata kugusa neno la ikulu kua dodoma hakugusa leo anajifanya yeye ndio aliye sema ikulu iwe dodoma fisad huyu air port tu kacheza nayo miaka 10 hajaimaliza hadi alivoingia magu ndio akamaliza ikaanza kufanya kazi yupoyupo tu na wazungu wake wasio na faida kwenye inchi za wafrica
@annasolomon9855
Жыл бұрын
@@choggysly3541 ajute kwa lipi ?? Mfyuu kwa mtanzania yupi wa Sasa wa kumtisha kwa hayo maneno ya keshenzi.. Magufuli ndio amefanya kazi hii Wala hatudanganyiki
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Hongera iwafikie wajenzi wa jkt.👍🎊✌️
@salehsuleiman9407
Жыл бұрын
Ana mazuri yake mengi na mabaya yake lkn anapokufa moja wenu bc musihesabu baya lake jitahidini kumsema kwa mazuri akiwa kafanya viva magufuli viva janet viva fotever hautosahaulika na vizazi vyetu tutavihadithia ❤
@shijandobehe4953
Жыл бұрын
acha ujinga kikwete huna lolote
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂👏👏👏
@ZagambaMnubi
Жыл бұрын
Aibu sana kwa Kikwete sisi tunajua yote labda mbeleni KZitem iondoke pengine mutaweza kudanganya
@mudywaya328
Жыл бұрын
Hamuwezikuwa namaono makubwa kamamtukazi ilamama unajitaidi sana hongela
@simonnembomadola7512
Жыл бұрын
Kuna mtu anaona aibu,Ila ukweli credits zote kwa JPM na bila yeye hakuna Ikulu ingejengwa Dodoma.Sema ndo hivyo wanaamua kujisifu wenyewe bila aibu.
@florakweyunga4490
Жыл бұрын
Haaaaaah
@justardzelphine6526
Жыл бұрын
Kwa nini hawamtaji magufuri? Ama kweli watu wanafiki
Acha kujisifu huo uongo unajisifia Bure ndio maana mmempoteza mwenzenu kwakuogopa Aibu Jpm ndie mzarendo pekeyake acha kujipendekeza mzoga yanatosha mlioyofanya
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
kweli kabsa ndugu
@abdulikilala5902
Жыл бұрын
Wewe hatukuelewi bila magufuli isingejengwa hiyo ikulu
@iteefmedia4485
Жыл бұрын
Mwenye Masikio haambiwii sikia
@andrewkilulu
Жыл бұрын
Mzee Magufuli hata kama wataona aibu kulitaja jina lako ila sisi tumeona na tutalitaja popote watakaposimama penye nyayo yako Basi tutalitaja jina lakooo KILA ULICHOKIANUA NA KUKIFABYA WANASIFIANANA WAO KWA WAO UKU ULIOWAACHA ASANTE MAGUFULI
@mashakahamsini2007
Жыл бұрын
Watanzania tuwe waelewa huwezi kujua jambo bila kufahamishwa /kuhadithiwa,huwezi kupata elimu bila kufundishwa /kusoma,ndio maana muheshimiwa Rais ameeleza na alieongea kwa niaba ya wastaafu katubainishia mambo tusiyoyajua tumeelewa sasa taasisi inayoitwa serekali jambo /lengo lao moja hongereni sana viongozi wetu wapendwa,hongera/pongezi nyingi sana kwako muheshimiwa Raisi mama yetu kipenzi.
@ZagambaMnubi
Жыл бұрын
Huyu atuelezee au aliyejenga maana aliyejenga alituambia kabisa akiondoka watasema wamejenga wao
@jituakilimali15
Жыл бұрын
Huyu kikwete kila anapopewa muda wa kuhutubia lazima ajifagilie aweke neno kuonyesha yeye ni party Ya hayo mafanikio hawezi kumpongeza mwenzio hii ni husda kubwa
@raphaelnambombi3709
Жыл бұрын
Hata treni ya mwendokasi alisema yeye ndiyo mwanzilishi
@emmanuelnyakatai7311
Жыл бұрын
Sasa mbona hatajwi MAGUFULI Kwa jina lake mnaishia TU rahisi wa awamu ya Tano. Mpenzi mauwa yake jamani nae alifanya kazi kubwa apo
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
nabila ya magufuli ikulu isingejengwa mpya na huko dodoma
@annasolomon9855
Жыл бұрын
Sisi wote tunajua ni Magufuli Kila kitu mwache ajipe sifa za uongo
@sarafinafranci8481
Жыл бұрын
Magufuli ndiye ndiye jemedali kuu mwenyewe aliyeanzishà na tunamukumbuka magufuli.
@ernestsinje-ng8hm
Жыл бұрын
RIP MAGUFULI
@mlishoadadi4424
Жыл бұрын
Tanzania tuhitaji kiongozi bora na imara mwenye maono na mipango mizuri ya sasa na baadae kama alivyokuwa mzalendo wa kweli hayati JPM.
@Thewhiteclassic3717
Жыл бұрын
Wanafki, yote yametekekezwa na Magufuli tu , nyiye wezi tu,anaongea kwa ujasiri na anakosa hata kuonesha utu amtaje Magufuli kwa ujasiri aliyoufanya anashindwa.siasa mbaya sana ila yote ni hapa hapa chini y’a dunia,
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
yaani nazidi kuamini kua kikwete anaroho mbaya sana aise
@alfredcharles8029
Жыл бұрын
💯💥💥💥Hakika umenena vyema Mhe.Rais wetu Msitaafu....Tunamuombea Mama yetu & Rais wetu maisha marefu
@ndambo6528
Жыл бұрын
The good must be done well without noise
@aliyageorge6794
Жыл бұрын
Wanafiki hawa!😊
@mathewtwimanye92
Жыл бұрын
Kamtaja kinafiki hakuwa na namna zaidi ya kumtaja jpm ni sawa na maji ktk miradi hii mikubwa usipo yanywa atayaoga au furia au pikia
@kamishina7853
Жыл бұрын
Watakwepesha sana kumpongeza hayati, John Joseph Pombe Magufuli kumpa pongezi zake kwa roho mbaya walizo nazo,lakini haya ya kuhamia Dodoma wote waliopita walishindwa kuyatekereza lakini JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI ndiyo kiongozi pekee wa Taifa hili aliweza kuyatekereza tu,watasema kila awamu ilifanya kadri ya uwezo wake lakini ukweli kwamba aliyeweza kufanya uhamisho wa makao makuu Dodoma, congore sana hayati Magufuli tunakushukuru sana rais wetu Magufuli
@laurentmkolea522
Жыл бұрын
Hovyooooooooooooooooooo. R.l.P Mzee Magu
@Muda27
Жыл бұрын
Mama Samia nakupenda sana Rais wangu..Mungu akubariki
@daudimusoma3337
Жыл бұрын
Tangu uamuzi huo unapitishwa Mimi nilikuwa na mwaka mmoja nikiwa nimezaliwa. Je raisi wangapi walipita wakiwa wanachora ramani TU yajengo hili. Lakini jpm 2020 akaanzisha ujenzi tujiulize watanzania
@mrossobartholomew9368
Жыл бұрын
Hajasema sana kuhusu awamu ya tano!!!!!!!
@gooleserviceyoutubescandar3450
Жыл бұрын
Alhamdulillah Ahsante Kwa Viongozi Wenye Hekima Amiiiiin.
@jituakilimali15
Жыл бұрын
Hata kama hamtoandika historie yake magufuli lakini kila Generations itakuja kujua alikuwepo na Nini alifanya maono aliyokuwanayo yule kiumbe hamna hata moja wenu mmekaliwa wizi na kijipa misifa tu
@raphaelnambombi3709
Жыл бұрын
Yaani mama samia anajitahidi sana kupambania kuimaliza miradi yote aliyoiacha magufuli ,nampongeza sana namuombea kwa mungu ili afanikiwe kukamilisha bwawa la umeme ili sisi wananchi wake tuondokane na tatizo la umeme
@linusrugebless-bs7bh
Жыл бұрын
J K unatumia nguvu kujielezea kila kitu kinafahamika magufurii ipo sku mungu atamlipia
@manchalijob9600
Жыл бұрын
Ipo siku tutafurahi kama munavyoo furahi sasa kwa kuondoka jpm kazi zako nyingi za hovyo hii nchi utakapo enda arama ya mtakatifu JPM IPO
@ommimg2467
Жыл бұрын
VIVA JPM🎉
@ananiamwigavile5874
Жыл бұрын
katajwa Mwinyi! katajwa Mkapa! katajwa Nyerere🤣🤣🤣Mwamba wa Chato anaitwa awamu ya 5🤣🤣🤣. Mungu ibariki Tanzania.
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
yaani kamkwepa kumpa sifa jpm weee hadi mwisho eti kanzia kwa nyerere hadi yeye akaruka kwa samia nahuyu alietekeleza mirad hiyo tena kwa pesa za watanzania amabe mheshimiwa John pombe magufuli nirais kweli kweli nasio rais jina kama wewe kikwete na kundi lenu umekwepa sana kumsifia magu ukamtaja kama mpitaji tu hajafanya kitu mnafiq wewe babu
@bashirumandwanga130
Жыл бұрын
Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia Mungu wetu sote
@mtangag774
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂tumejenga wenyewe
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Utadhan walitoa pesa zao mifukoni shwain😂😂😂😂😂😂
@imma_billy
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 tucheke kidogo…
@yasiniSwedi-qg5oc
5 ай бұрын
Kchwa cha jpm kiliamka ninyi vlaza
@raibethnicholaus1493
Жыл бұрын
Naona huyu mzee apewe ikulu ya dar maana
@denisipaulo7785
Жыл бұрын
Vip Mboe sijamuona
@darusinganziulenge9363
Жыл бұрын
🎉
@happynessnasho8020
Жыл бұрын
Mama point sana.
@kaizambagwa5128
Жыл бұрын
Rakini wewe huoni haibu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
😂😂😂
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
Mbona kama anajisifia , ni wakati kusema tu tumejenga na Hongera kwa JPM na mama kulivalia njuga jambo hili na limekua, maana bila JPM msingehama Dar
Ha ha ha ha ha eti ktk kipindi changu ..,... Ha ha ha ha hilo lilikuwa wazo LA JK na swala sio kuamua tu baada ya kuamua vile what was next in his ten yrs???? Issue ni uthubutu wa vitendo, tunaleta porojo ktk mambo makubwa, tujikubali kuwa tuliferi, mike angepewa mzee mwinyi msema kweli
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@mathewtwimanye92 kweli kabsa
@majigedioniz8049
Жыл бұрын
Remot iko inatoa hotuba
@samoramussa5336
Жыл бұрын
Hivi huyu mwendazake aliwakosea nini viongozi watanzania, kusimama na ukweli au? Kumsifia mangufuli nikosa amepokea miladi mingi kwa nani hata kumtaja jina lake tu basi, watanzania tunajua nani kafanya hayo.
@hulilodonard5524
Жыл бұрын
Jpm nafikiri unafurahi hukouliko maana ulikua na niayazati pumzika kwaamani
@shikuhata
Жыл бұрын
Uongozi sio elimu tu ya darasani ila ni kipawa anachomjalia mtu Mungu mwenyewe. Mheshimiwa rais mstaafu wa awamu ya nne dr Jakaya Kikwete Mungu amekujaalia kipawa cha uongozi nje ya elimu yako uliyonayo Mungu aendelee kukuweka.
@kamishina7853
Жыл бұрын
Nini kinakufanya umpongeze alichoifanyia Tanzania zaidi ya kusaini mikataba ya hivyo mingine hata haihitajiki kuitaja ni aibu kwa Tanzania na Dunia
@shikuhata
Жыл бұрын
@@kamishina7853 nina imani wengi mikataba tunaijua kupitia vijiweni ndiyo shida tulionayo watanzania wengi. Ukisema hajafanya kitu kwa wale wanaofahamu watabaki tu wanakushangaa
@danielamosi6871
Жыл бұрын
Tumezidi unafiki
@idrissamohamed1100
Жыл бұрын
Safi Sana
@denisrukangula2227
Жыл бұрын
Wewe ulijenga uwanja wa ndege alafu akaliuza ziwa Victoria Kwa wachina
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
na hajaumaliza kauchezea wee mpaka 2016 magu akaumalizia na kufungua ye miaka 10 anahangaika na kauwanja 1 na hakajaisha magu kajenga mangapi kwa miaka 5 ?
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
na ule mji mpya wa kigamboni jee? 😂😂 hujenga na maneno yule 🙆🙆🙆
@kagondanathan3661
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉kwa magufuri pumzika kwa amani
@daudasajile2502
Жыл бұрын
Mbona anazunguka saaana acha apewe maua yake magufuri
@johnnyahi4875
Жыл бұрын
Ww hakuna kitu
@godfreyndaki1709
Жыл бұрын
😂😂😂🔞
@saidmasoud9004
Жыл бұрын
Kikwete is Best present, people's president
@calabash4221
Жыл бұрын
Kwa kipimo gani?
@ZagambaMnubi
Жыл бұрын
Labda wa nyokwe
@saidmasoud9004
Жыл бұрын
@Nubi Mkushi alikua president wa Tanzania nzima including your nyokwe too.
@deonatusyokta3579
Жыл бұрын
Magufuli tutakukumbuka daima
@evelyneabdul2785
Жыл бұрын
kikwete ni Muongo huyu jamaniii katupiga kamba angekuwepo Magufuli si dhani kama angejilamba hivyo.....mbona hatukuyaona hayo katika kipindi chake
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
anapenda kujipamba kama mwanamke yule mzee , kama angelifanya hayo anayo tusimulia asingr pata shida ya kutusimulia maana tungeyaona
@MOJAZAIDI.
Жыл бұрын
Nchi inajengwa na watu tumeijenga wameijenga.
@WaziriRamadhan-ML
Жыл бұрын
Kikwete tapeli kuu la nchi ambaye bado umetukatili maendeleo makuu ya nchi kwa kumuua mkomboz na kipenz cha watu ilimradi tu hasikuimbue zaid na pia ili mzid kuituibia kwa kuirudisha tena nchi mikononi mwako
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Nyokoo, muuwaji.
@ObligeeNdoni-pb4vs
Жыл бұрын
Hukumupenda magufuli.
@AziziMchele-zc4wk
Жыл бұрын
Kikwete was peoples president
@lengachapati3728
Жыл бұрын
Usiseme kaka angu sema mume wangu mbwa wewe
@blandinamwarabu5025
Жыл бұрын
Uliwatuma kula posho tu hamna kitu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
kweli kabisa , unakumbula alidanganya watu eti atajenga mji mpya kigamboni upo wapi?
@PhilibetLadislaus
6 ай бұрын
Unap0tezea
@nohagfgh-721
Жыл бұрын
Kikwete shetan mkubwa muuuwaji mkubwa uyo dunia yoooooote inajua. anapo msifia leo ayati magufuri watuwanamshangaa atasura yake inatia shaka
@jumakalinga2812
Жыл бұрын
Mola Akupe umri mlefu na Afya njema jk wew ni hadhina ya taifa ifikie wakati ndugu zangu tuwaheshimu viongozi wetu sioni sababu ya kuwatusi tuache Roho mbaya
@annasolomon9855
Жыл бұрын
Fanya hivyo wewe na familia Yako usitake mawazo yako ya kipuzi tuyafuate
@ZagambaMnubi
Жыл бұрын
Kwa aibu anayojitia tusimtusi akati anatudanganya wazi wazi kauli mbiu ni hapa kazi tu
@phinumedia4515
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/25eDvKmJoHqffII WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWA TEKELEZEA MIRADI MPANDA
@allankimaro4327
Жыл бұрын
Mnataka mpewe credit zote ilingali aliyefanya yote ni JPM. Acheni uroho
Пікірлер: 154