Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU amelieleza Bunge kuwa tayari ameunda jopo la mawakili wake sita kwa ajili ya kuiburuza Mahakamani Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) baada ya kudaiwa kuufungia wimbo wake mpya kwa madai kwamba hauna maadili.
- Күн бұрын
“Nitawaburuza BASATA Mahakamani, nampongeza Rais Magufuli” -SUGU
- Рет қаралды 121,567
Пікірлер: 124