Asante kwa somo zuri je kama mwenza wako ana dalili zote za kuwa na jini mahaba na unataka yamtoke bila yeye kujuwa unafanyaje
@Sidik-d7e
Ай бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR SHEIKH SAIMU GWAO FROM TZ MASHALLAH I LOVE UR JOB .MY NAME IS SIDIK I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON. BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@BiubwaMuhammed-un3dt
28 күн бұрын
Subhana wabihamdihi Allah Atustiri navizazi vetu
@KhadijaJacob
Ай бұрын
Kwa dua huwezi kutusomea shehe! Maana wahanga niweki na uko mbali tuchukue namba
Nakuomba shehe nisaidie Sina msaada shehe mume amenikimbia hali yangu ningumu sana
@johnkatana3552
Ай бұрын
Shehe ninayahitaji nitakuja dar 6/ 10/ je nitayapataje au nitakupata wapi nikikuhitaji? Niko kenya nimesumbuka sana sana tuu . Nahitaji msada wako
@SerinaMasika
2 ай бұрын
Asalamu aleykumu shehe mimi ninamtihani was maraadhi miaka kumi na moja shehe naomba msaada wa dua Niko mlandizi kilangalanga naitwa Salma Amilkan
@halimangome5103
3 ай бұрын
Sheikh nayataka nitapata vipi
@binfaadhil2563
6 ай бұрын
Shekh unapatikana wap
@NasraAlly-r5n
3 ай бұрын
Nayapataje hayo mafuta
@KhadijaAhmada-vl3hs
3 ай бұрын
Mm ni mwanamke kuna muda anakuja mwanamke mwenzangu ili tusagane kuna mda anakuja mwanamme ananiingilia na mwanamke huja baada ya kuswali sala ya alfajiri nikikaa kitandani tu anakuja tena huwa niko macho sjalala vizuri😢😢 aisee natamani kujinyonga hii hali
@AzizaMuhiddin
3 ай бұрын
Pole San
@ibn_rajab_bilaal
2 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi, soma nyiradi za asubuhi na jioni na usiache
@ashaali6307
Ай бұрын
Tafuta musk nyeusi upake tundu 7 au nane ya mwili kabla hujalala utaepukana na Hio dadangu
@hamisajumanne
25 күн бұрын
😭😭😭Mie nipo Oman huwa nikimaliz kazi asubuh lazima nilale tena saa moja basi nikilal lazima niote nipo na Fanya mapenz 😭juzi nikaota nipo na sagana 😭😭😭😭nateseka mie😭alafu mwanaum kwangu Kuna kipindi naona ni aduwii😭
@KhadijaAhmada-vl3hs
24 күн бұрын
@@hamisajumanne pole na mm pia nko oman Alh-hail ..ww uko wapi ? Mm nitatizo langu la mda tena
Пікірлер: 26