Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH
@zainabmaulidi9846
Жыл бұрын
SUBHANAALLAH YAARABB TUKINGE NA MAJINI 🤲🤲😰😰😰
@carolineatieno2725
Жыл бұрын
Nisadie Niko na shida ndoto mbaya sana,Niko na kisirani mbaya
@NhaloNhalo-ol7ls
Жыл бұрын
Ahsante Sanaa Sheikh kwa Somo nzuri
@hassanikombe9053
Жыл бұрын
Dah yan shekhee umeongea lugha zote kuhutaj uwo mti,.lkn kw kiswahil ndo umefeli 😁😁😁😁,make ungeutaj uwez ukapgiwaa sim 😁😁😁 shekhee ww noma sanaaa
@budabuda1326
Жыл бұрын
Assalaamaleikum vipi sheikh ati ni mtigani anaouzungumzia hapo naona nikiwa search Google yanakuja mengi!!!
@AbibaSalleh
13 күн бұрын
Mungu.anikinge.nahuyo.jini
@florencewairimo2245
Жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo mungu akubariki🙏🙏🙏
@AlimaSadiki
Ай бұрын
Shukran sheikhe allaah akuongoze
@aminahhabibu4652
Жыл бұрын
Shekh mm Niko na hizo shida nakupataje wallah nimechoka kabisa Mambo hayaidi kila nifanyalo nakuomba sana nidaudie sijui nifanyaje mm
@muba6699
Жыл бұрын
Una swali kila Siku??? Simamisha Swala mambo yako Yatanyoka!
@RehemaKasanga-vu5nj
2 ай бұрын
Yesu Kristo Ndiye Mwamba wangu 2
@Hajra-vu9gd
Жыл бұрын
Yarabi inamanisha mm ninayo mm naota nikipaa subunallah
@carendeborah5687
Жыл бұрын
Uchawi
@MesalimRashid
Жыл бұрын
Mm maisha siotiii kabisaa haya jini asieota aitwa nani .nalala fofo .wtt n mume wangu kutwa Kuni beza kwa usingizi mwingi.
@NeemaSomo-rx7dy
Жыл бұрын
Wallah nimejikuta nacheka
@SadaCute-g1b
Күн бұрын
Shehe mim naota sana nanyeshewa na mvua tena nikistuka natetemeka sana barid napia naota Niko darasan ama naokota pesa
@ucjvvjcjjvih9934
Жыл бұрын
Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲
@ElizaNgeni
Жыл бұрын
Kweli wanakoxea
@husseinedwad
Жыл бұрын
Kweli wanakosea
@NdayishimiyeFrançoise-n7c
4 ай бұрын
Munipe.namba.niwapigiye.sim
@princehelinsburg1933
Ай бұрын
Pia mm nimeshukuru kupata watumishi WA mwenyezi Mungu hebu watusaidie
@AminaAmina-mv4ko
Жыл бұрын
Shukran laka kwa elmu
@laurentnyembo6073
Жыл бұрын
Asante Sana kwa funzo🙏
@abubakarkhamisi3931
10 ай бұрын
Sawa ila mbon umevaa mielizi n miguo hiyo y kienyeji
@zulfajoachim6145
5 ай бұрын
Mhh yaani shehe ww unaongea kweli sisi wenye jini mahaba tunapata shida sana na hatuna bahati kabisa
@japharyramadhani7831
Жыл бұрын
mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo
@shaphaina9941
Жыл бұрын
Huo mti wa mkuta ndio mti gani wanao jua watusaidie
@rehemamrinzi6996
Жыл бұрын
Nami hzo ndoto ndio zangu kbsa wallah
@mancopy8851
Жыл бұрын
asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe
@nduguhashimnapia3135
Жыл бұрын
Je ukiwa unasafir mara kwa mara safari za kawaida inakua jje sheikh
@zohoraramadan4540
Жыл бұрын
Waleykumusalamu warahmatullah wabarakatuh, 😁mwamba, we jafari ninacheka unafikiri mazuri usituchekeshe na hali ni musiba
@rehemakigarimbwe1122
Жыл бұрын
Kweli kabisaa
@aliamour4970
Жыл бұрын
Maneno mengiiiiiiiii!!
@NeemaSomo-rx7dy
Жыл бұрын
Wallah nimejikuta nacheka
@mbutaleetz225
4 ай бұрын
Muongo😅
@moseskariuki6461
Жыл бұрын
Maajabu ya dunia,kurushia wengine ouoga, nikama wao watakaa hii dunia melele😢😢
@MozarySeyouMozarySeyou
3 ай бұрын
Duu atr Allah atupishe naivo vitu
@cellcelll2151
Жыл бұрын
Sheikh kambe waniongelea mm😢😢
@sulekhamohammed5358
3 ай бұрын
Masha Allah Mimi nataka
@zarabati1750
3 ай бұрын
Maashaallah
@ladymuslima4956
Жыл бұрын
Ni dhambi kuwa wawili watu wa jinsia tofauti
@khaalidcheo5383
Жыл бұрын
Ndio nizambi mnafanyanini uko vichocholoni.kwenye faraga?
@abubakarmpole4000
Жыл бұрын
Mm mara Moja moja ndio naota hiyo y kupaa mara Moja Moja je ninaye, naomba unijibu
@muba6699
Жыл бұрын
Unandoto kubwa katika maisha yako Fanya Ibada unanuru ndani yako!!!
@abubakarmpole4000
Жыл бұрын
@@muba6699 wallah kama vile unajua bro shukran
@VeronicaMushi-ms1tn
Жыл бұрын
Taja tena.huo mti.
@wrongnamemtuwahapa
Жыл бұрын
Kiswahili unaitwaje
@doctormwalimjuma8040
Жыл бұрын
Inachekesha weweshehe wangu
@MakaiKasala
Жыл бұрын
Elimu inaweza kuwa nzuri, ila uvaaji huu unatufundisha nini kama umma wa kiislamu?
@linetaidi4723
Жыл бұрын
Tuonyeshe mti huo naomba tafadhali
@alimanana7564
Ай бұрын
😢😢mimi ninaye kweli napenda kuota nafanya mapenzi mara nimeza kila kitu nikifanya mthihani kwakweli ata nikipata mchumba binaishia ivo😢
@NkeshaChabhilonda
26 күн бұрын
Dawa IPO tutakusaidia
@brianmunde4415
Жыл бұрын
ALLAH hu Ahad ALLAH hu swamad
@irene3abi123
Жыл бұрын
Nimependa sana mafunzo yako
@VictorAlulu
Жыл бұрын
Hello Mimi nashita Kama izo unaweza nisaidia namnagani? Pesa nabata kwa mwezi elfu hamsini lakini uwa sizioni kapsa Sina kitu
@starlight8794
Жыл бұрын
Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini
@neemamboya-ss6pl
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
@@neemamboya-ss6pl MWITE AU ITA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI
@carendeborah5687
Жыл бұрын
Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo
@FatumaAhmad-rk4ou
4 ай бұрын
Shekhe mm ndoto hzo naota sn nitasaidikaje niko mbali
@faiqaanwar7268
Жыл бұрын
Sheikh mti huo hauna jina Kwa kiswahili ili nasi tujue?
@everlynechebet-lh5hu
Жыл бұрын
Mimi Kuota na kuhaudiwa pesa lakini siku ikifika anitumi anageuka
@UweraEmelyse
8 ай бұрын
Jambo jina ni sandrine Mimi nahitaji Numero yako ya wastapp
@HellenDavid-j5z
Жыл бұрын
😢😢😢utanisaidiaje mm maana Chenye unaongea kinanikuta kila wakati nafukuzwa kazi na nikipa mwanaume ananiacha bila sababu😢😢😢😢
@shalfaa
8 ай бұрын
Njoo upate dawa utoe nuksi 254712734325
@DEEJAYPINCHEZ
Жыл бұрын
Naomba kujua vile naweza toa nuksi, na nipate nyota yangu na pia kupendwa na mwanamke akuwe tu akinifikiria kila saa.
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
Hali hii inanikumba napambana sema sasa hivi alhamdullillah sipai na kuota niko baharini miaka zaidi ya 35 alhamdullillah vimepungua
@Afsa-z3g
26 күн бұрын
Dah
@princehelinsburg1933
Ай бұрын
Nimepitia baadhi ya mambo haya
@abdullahkazungu4025
8 ай бұрын
Ilo vazi shekh vipi mbona kama mganga wakienyeji ??unatueka njia panda
@JijiJiji-v6g
Жыл бұрын
Tuandikie Jina zahizo mti
@muniraomar2235
Жыл бұрын
Sasa naweza kuzitoa vp
@princehelinsburg1933
Ай бұрын
Pia wakristo wengi wapitia mambo haya ilhali watapeliwa na wati
@khadijandabahagamye7252
Жыл бұрын
Me napenda kuota nikiwa nafunukwa na maji 😢 mana yake nini..?
@yuscoedward
Жыл бұрын
Unampenda kuota ivyo?
@richardstephano9059
Жыл бұрын
Aisee balaa
@YusufuMusani
3 ай бұрын
Miminimete sekasana apaduniyani.
@sulekhamohammed5358
3 ай бұрын
Kabisaa
@EmilyNyariaro
27 күн бұрын
Naomba namba yako
@NEBERT-rc6bb
4 ай бұрын
+254 Kenya mti wa kuondoa nuts audawa inapatkanna wait?
@ChalesMatelu
10 күн бұрын
Dar
@neymarjunior8404
Жыл бұрын
Mkuta mbona iyo kiswahili inatuchanganya
@Calistamakundi-jq2io
Жыл бұрын
Nami na apitia hayo, nakupataje unisaidiye
@Afsa-z3g
26 күн бұрын
Nasafiri alafu gari inaniacha sehemu ya kuchimba dawa
@ZAHRAMCHOME
Жыл бұрын
Shkh tusadie tiba hiyo see tulioko mikoani
@tria2254
Жыл бұрын
Kaka uyo mti unaitwaje kwenye kingereza ?
@mbisinzembei5857
3 ай бұрын
Mimi niko kenya mti jana ya kenya
@zinathussein7294
Жыл бұрын
Omg...yani i have had all those kind of dreams...and my hubby never stay at my home...we're strangers to each other...how can you help me!
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Find JESUS CHRIST IS THE SOLUTION OF YOUR PROBLEMS, BECAUSE WAGANGA ARE NOT AGENTS OF HEAVEN THEIR AGENT OF THE DEVIL, FIND THE SERVANTS OF THE LORD JESUS CHRIST
@Madam870
Жыл бұрын
Pole sana dadangu nitafute insha Allah
@baruaniabdallah3318
Жыл бұрын
Unashindwa kuzungumzia tiba unatoa stor
@mussamatondo4886
Жыл бұрын
Some time mmetuvalia juga kutundanganya, ndoto inaendana na mawazo yako
@reenaismael4310
Жыл бұрын
You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah Allah akulinde na kukuepusha na mabaya. Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao. Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.
@carendeborah5687
Жыл бұрын
Life is spiritual,kama waelewa what spiritual is basi haifai kupingana
@madamprayer6490
Жыл бұрын
@@reenaismael4310 kweli asee
@sinobosstv5565
Жыл бұрын
Na mawazo yako yanawezatawaliwa bado na shetani
@happybalama3591
Жыл бұрын
Sio kweli ndoto huletwa na Mungu au shetani
@budabuda1326
Жыл бұрын
Anime Google kama alivyo sema nimepata al ausaj na al khaizaran imekuja miti miwili tofauti 😮
@hichayasin7244
Жыл бұрын
HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,
@leilamohammed3018
Жыл бұрын
tusaidie tufanyeje ili watuondoke shkh tusaidie
@hawahassan1623
Жыл бұрын
Sikiliza maelezo ya sheikh kwa makini
@5amediaonline335
Жыл бұрын
kivipi
@everlynechebet-lh5hu
Жыл бұрын
Niko na muzungu alikuwa ananisadia lakini sahii
@kassimabdilatif1802
Жыл бұрын
Uwongo mtupu. Mnao tizama hii you tube chungeni.
@jeaninevumilia5917
7 ай бұрын
Wewe piya waitazama
@kassimabdilatif1802
7 ай бұрын
@@jeaninevumilia5917 Inamaanisha unaamini huu upuuzi ? Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa. I'm not here to argue with people. Una uhuru wa kuamini na kutoamini. Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !
@Mufti-g3x
4 ай бұрын
Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment
@ramlaismail7287
Жыл бұрын
Kwahy uy mgang au shekh nasikia shekh wang😅😅
@jeaninevumilia5917
7 ай бұрын
😂 Ninayo kivuli hikyo ya Nuksi
@faidaimmaculee28
Жыл бұрын
Iyonikweli wa Ganga niwaongo 😂😂
@laurinebihembo2907
9 ай бұрын
Naomba namba
@fwk584
Жыл бұрын
Huyu shiek alikata kunifanyia Dua shiek Michael
@florencenuru4687
Жыл бұрын
Kweli basi na mmi mkenya ata ni zaidia kweli
@HafidhAbdalla-g4n
4 ай бұрын
Pole
@mombasaraha1502
Жыл бұрын
Hapo kwa bibi harusi na po nimejifunza sana nilikuwa sijui watu husema nn
@awaahassan936
Жыл бұрын
Mimi kila siku naota Niko na watoto
@anitahshere8063
Жыл бұрын
Hii inamaanisha ushaoleka kwa spirit huwezi pata watoto mradi ukombolewe
@awaahassan936
Жыл бұрын
@@anitahshere8063 nipo nao 2
@SaudaMuhammedyussuf
Жыл бұрын
Mimi Nina mwaka sita nishaasha shule lakini kila siku nakua naota nikiwa shule
@wrongnamemtuwahapa
Жыл бұрын
Mimi mara nyingi uota na paaa sana msituni
@goodluckmsoka3660
Жыл бұрын
Unakumbuka aliye nyuma yako
@wrongnamemtuwahapa
Жыл бұрын
Uwa naona taaa inawaka sana lakini sioni mtu
@robertndebate5462
Жыл бұрын
Uyu mganga au shekhe mbona ana mielizi kama mijezi ya makolo
@latifaradjabu3949
Жыл бұрын
Mtu huyo sheikh mungutuonyesha majani yake tungeutafuta au kama inawezekana kukupata kupitia ww tusaidie namba zasim mm nipo Burundi sjui nitaupataje
@SaudaMuhammedyussuf
Жыл бұрын
Na napenda kuota nikia nimepaa
@KuluthumuSaidi-f5j
Жыл бұрын
Mimi nnaye nitakupataje dalili zote nnazo naokewakila naachika nitakupataje nasumbuka
@Madam870
Жыл бұрын
Pole sana nitafute naeza kushauri insha Allah dadaa
@ZuhuraIssa-h2b
3 ай бұрын
Jamani mkowapi
@allymwilu8089
Жыл бұрын
Huo muilizi hapo ndo uonekane fundi au yani sikuizi mjini wezi wengi kwa kweli khaaaaa kujiganya unaongea kilafudhi ya kiislam kuchafua watu tuuu
@PapilAlvin
Жыл бұрын
Nahitaji msaada ktk hili kila ulichokiongea kinanihusu mimi
@didieruwingabire2370
Жыл бұрын
Uyu anaitwa nani
@Mariam-fm8vq
Жыл бұрын
Yaan huyu sheikh ana comedy ndani yake😂😂😂utacheka tu
@manasa2449
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zohoraramadan4540
Жыл бұрын
@@manasa2449 kweli sngd comedian
@manasa2449
Жыл бұрын
@@zohoraramadan4540 yaani ukiangalia unaruadia rudia 😀😀😀
@badmanno.1650
Жыл бұрын
Na huyu nae pia anitwa shekhe??? Mnaomuamini nyote mnakufuru
@zumbemgalawe
Жыл бұрын
Uwo mti unaitwaje shekhe
@allyfadhili
Жыл бұрын
Huo ni uwongo.
@nancynkya4462
Жыл бұрын
jamani Mimi nimeota ni merudi sehemu ambayo nilikuwa nafanya kazi zamani na apo nilishafukuzwa sasa nimerudi na wafanya kazi wezangu wananishangaa nimerudije naomba nijibu plz shekhe
@farajadldm2256
Жыл бұрын
Komboa nafsi yako
@Madam870
Жыл бұрын
Daa pole aisee hem nitafute unieleze labda naeza kushauri insha Allah
@FatmaMohammed-x7z
Жыл бұрын
Samahanini huyu msemaji hapa tumfahamu vipi AMA yupo kundi gani?
Пікірлер: 214