Hii video mara ya kwanza kuiona mwaka jana ilipopostiwa tu ikabidilisha mtazamo wangu na ndio kipindi nilichokua natajiandaa kuoa na wakati huo nilikua na ujenzi wa mahali pa kukaa na mke wangu mtarajiwa kupitia video nikaweza kufanya savings kila siku mpaka mwishoni mwa mwaka nimefanikiwa kujenga nyumba vyumba viwili moja master na jiko na nikafanikiwa kuoa na sasa nimefungua duka dogo tu ila hii hua naitazama sana inanipa nguvu sana hasa ninapoona majukumu mengi kuliko kipato kiukweli imenisaidia sana i wish siku moja tuonane
@clarasabutoke2861
6 жыл бұрын
Asante sana Mungu akuinue unanibariki sana najifunza mno.nimechelewa kukufahau but tangu nimekufaham na kukusikiliza mylife yanabadilika positively daily
@calvinmastorytv8997
3 жыл бұрын
Clara namba yako tafadhali Kuna fursa tushirikishane
@nehemiahparadox8488
5 жыл бұрын
Ungekuwa Doctor ungesaidia watu, lakin umekuwa life couch Kwa watu wengi zaidi na kubadilisha maisha ya watu wengi zaid ikiwemo Mimi.....zaidi ya ambavyo ungekuwa doctor;....GOD BLESS U MORE & MORE THAN TODAY
@kato_tz
6 жыл бұрын
Kuanzia leo tarehe 25/06/2018 saa 23:44 usiku naahidi nitaanza kutumia hii kanuni na kuna siku tutakutana nikupe ushuhuda. I am one of the people wanaotumia tumia tu hela bila kujua inaenda wapi, Siku hizi napenda kujifunza sana kuhusu pesa na tabiaa zake. All I need is money jamani. This will be my all time slogan. Barikiwa sana brother Joel kwa kujitoa kwako kwa ajiri yetu. Change from now on will not be an option.
@davidchriss9618
Жыл бұрын
Ni miaka minne sasa imepita.. tupe update yako
@Jayshakii
Жыл бұрын
😂😂
@kato_tz
Жыл бұрын
@@davidchriss9618 aisee ndugu since then a lot has happened Naweza sema now am 10x better as I promissed kaka.
@AlfredMushi-lw6cf
9 ай бұрын
tupe mrejesho mzee
@saiguraniedward6716
5 ай бұрын
Nipe mrejesho ndugu yangu....umefanikiwa?
@eliudimwigi8368
6 жыл бұрын
Binafsi Mimi Eliudi hii Kanuni ya Elizabeth Warren ya 50|30|20 inanifaa na naweza kuimudu vizuri nikijibana. Joel MUNGU akubariki sana Kaka yangu.
@joelnanauka
6 жыл бұрын
Eliudi Mwigi pamoja sana Eliudi,tuendelee kujifunza
@emmanuelkache1682
6 жыл бұрын
Ahsante kwa ushauri wako!! Ni vizuri kupata mawasiliano yako.Ubarikiwe
@edwineedison789
5 жыл бұрын
@@joelnanauka ase kaka nakukubali kwa elimu yako ubalikiwe sana
@eltonmnunga8228
5 жыл бұрын
Joel, naweza kupata mawasiliano yako ya moja kwa moja, naitwa Elton, mamba yangu ya simu ni 0717 064050
@alistidesngaiza3916
3 жыл бұрын
@@joelnanauka ,.,.,.,.
@cainewilliam5236
6 жыл бұрын
Broh, you are geneous I'm telling you. It's only today that i have seen your KZitem channel and i have watched almost 10 of your videos. Actually i have learned a lot. Thanks a lot.
@joelnanauka
6 жыл бұрын
Caine William Thanks for visiting and kindly invite others also
@yakobosengasu8073
6 жыл бұрын
Broo nitakupataje ninashida na namba yako
@hassanovajunior6972
4 жыл бұрын
Ultimate Lifetime Money Plan 50-30-20 is my life system #SeeYouatTheTop my Brother 🙏🙏
@jemomandua6141
4 жыл бұрын
Asante braza
@sadick-sebastian4052
6 жыл бұрын
Asante saana Kaka kwa ujumbe mzito juu ya budgeting
@calvinmastorytv8997
3 жыл бұрын
Habari yako sadicki naomba namba yako kaka
@luccabosslugendo9722
6 жыл бұрын
nimekuelewq vyema japo kipato changu hakina uhakika was moja kwamoja..basi nitajtahd kubajet kile ntakachopata kwa mwezi ili niishi kwa hiyo kanuni ya 50/30/20 nimeipenda mungu akubariki kaka joe
@joelnanauka
6 жыл бұрын
Lucca Boss Ameen ahsnate sana pamoja
@samweliathumani1672
6 жыл бұрын
Lucca Boss kaza kaza mzee bb
@saifhamed1110
6 жыл бұрын
Nashukuru sn umenisaidia kwa sehemu kubwa sn
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
.
@josephboniface6209
4 жыл бұрын
Broh# Mungu azidi kuku Bless#
@mbwigzobotz268
6 жыл бұрын
iyo naifanyia kazi kaka nimekuelewa sana na itanisaidia sanaa
@SuperKibwana
6 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Coach, kwa haya mafunzo. Hii kanuni ni nzuri na inamfaa kila anyetaka kupata maendeleo ya kweli katika maisha yake.
@JojoLomalisa
5 ай бұрын
Amen ,on point hii inanihusu mimi kabisa ..nakuwa na roughly kwenye matumizi ya pesa ila now nimejifunza na kufata kanuni na taratibu ili nifanikiwe
@lulually6499
5 жыл бұрын
Real thanks for coming into mylife...be blessed
@othmandia8215
5 жыл бұрын
Hongera kaka
@akidaally2835
2 жыл бұрын
Thanks brother it makes me feel as if I was loosing my money since I didn't have any plan of savings before coming to your page.
@janethkomba4485
2 жыл бұрын
Nashukuru Sanaa kwakunierimisha mahan mimshaara kilaa nikipata unatumika wote pasipo kuweka Akiba🙏
@alvinmubiai6319
5 жыл бұрын
Yanaafaaaa sana congrats for that information💸💸💸💸💸
@jonaskitiga100
5 жыл бұрын
Brother thank you so much. Vitabu vyako ungevileta hapa Mafinga,. Tutavinunua sana. Mungu akubariki
@kelvinkunzugala2930
6 жыл бұрын
Very informative information on the basic of individual personal budget
@catherinelolo978
2 жыл бұрын
Habari ya mahitaji ya shule mfano ada na michango ya wanafunzi shuleni yanawekwa katika kundi lipi,Vipi kwa habari ya kujenga ? Lets say unapokea laki mbili na unasomesha hapo hapo unaishi nyumba ya kupanga?
@rosemngongo10
6 жыл бұрын
asante sana kaka kwa elimu nzuri ingawa mimi natumia mtindo mwingine wa kupanga bajeti ila kuna vitu nimevipata kutoka kwako ambavyo naweza kutumia ili kuboresha upangaji wangu wa bajeti katika mtindo wangu Mungu akubariki sana.
@barisasaji8669
2 жыл бұрын
Ashsante Sana brother kwa somo zuri kuhusu bajeti hakika MUNGU azidi kukuwezesha katika kazi yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍
@bryanfrank5602
2 жыл бұрын
Ah kaka asante sana yan apa umenifungua nimeelewa kabisa na izo asilimia ni sahihi kabisa
@habibuabrahamani9389
6 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu. Nadhani hii inanifaa kabisa. kuna mfumo mmoja huo wa asilimia niliutumia, ila nadhani 20% ilizidi katika sehemu ya investment and saving. Nilipunguza wants nikaongeza saving. and I have achieved my 15 days goals, in May, this year. It really work out brother.
@stanleyngowi287
Жыл бұрын
Its crazy...your genius🤝🏻
@hapsaally1860
3 жыл бұрын
Nakuitaga doctor wa brain, naamini kama mwili unavoitaji matunzo chakula, mavazi n.k vilevl ubongo nao unaitaji chakula tena kwa kila cku, sitoacha kukuombea kila niombapo dua kwa M/Mungu kwan ni hakika umenishibisha kichwa yangu ipo inafanya kazi sawaswa ni kwavile hujui tu umenitoa wap na naamini tupo wengi sio mim tu! Tunakuombea sana 🙏🙏
@sheilamrogoro8641
4 ай бұрын
Asante sana kaka Joel .somo hili litanisaidia sana kubadiliaha maisha yangu.kweli pesa tunapata ila bila milango na bajet ni kazi bure
@leahzephrine812
3 жыл бұрын
Asante kaka Mungu akubariki sana sana
@emanuelyfrances3053
Жыл бұрын
Asante sana brother, God bless you.
@kulwamadaha1613
Жыл бұрын
Yananifaa sana nimekukuwa napoteza pesa nyingi sana bila kujua zimeenda wapi naomba msaada wako zaidi
@johnngimba7615
5 жыл бұрын
It's very gud 👍👍👍 Mungu akuongoze Uzidi kutupa uwelewa juu ya maendeleo yetu
@erickleon9460
4 жыл бұрын
Somo nzuri saana kaka yaani mungu azidi kukuweka tuzidi kujifunza vingikutoka kwako yaani weacha tu
@yusufkey4032
6 жыл бұрын
shukran sana mwalimu wangu nakuelewaga sana i can not wait to see 1milion subscribers wanafunzi wenzangu mbona atusaidi mwl????
@joelnanauka
6 жыл бұрын
yusuf key ahsante yusuf tuendelee kushare na kuwaalika wengine kusubscribe
@shafannaftary9485
2 жыл бұрын
Asant sana bro mi nilichelewa sana sana kufatilia hivi vitu,nahisi kwa jinsi nilivyofanya matumiz yasiyokuwa na mana sasa inatosha Mungu awabariki saana wewe na Ezden jumanne,tangia nilivyoanza kuwafatilia kuna kuna vitu nmeshaingiza katka akili yangu.thank you very much brother.
@mazabasamson6029
6 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa somo zuri.....kuna mambo yalikua yananiendea tofauti kuhusu matumizi ya pesa japo nilikua naona napanga bajeti vzur ila kwa somo nililolipata kwako nahisi nitakua vzur "thnx lot br0
@grantmwakyusa7051
5 жыл бұрын
Thank you Brother for the lessons
@rebecamlindwa2913
5 жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri sasa ntatumia pesa vizur
@benmagungu614
4 жыл бұрын
Asante kwa Somo Mwalimu . Nimechelewa sana kujua hili somo . Naanza kulifanyia kazi
@AdamShamkoma-bs7zs
Жыл бұрын
Ahsante kaka nimejifunza na nitaanza kukiwekea akiba kuanzia sasa
@betridantunaguzi9142
6 жыл бұрын
thank you
@theroyalfamilies3924
5 жыл бұрын
the best for me. thank you sir
@AziziMsuya
6 жыл бұрын
Asante sana Joel
@gloriashao3100
2 жыл бұрын
Asante sana kwasomo zuri
@agnesslucas4744
2 жыл бұрын
Asante sana nimecherewa kujua jaman
@minzamaduhu9042
2 жыл бұрын
Kaka umenifungua macho Leo Asante endelea kunifunza
@zizuhmanizo2570
3 жыл бұрын
Daaa broo heshima kwako mungu akulipe kwakupa umri mrefu wenekheri nawewe
@bakarimuhammad6251
5 жыл бұрын
Asante sana nimekuwelewa sana somo zuri naomba uzidi kutufunguwa mawazo tunajisahau sana
@eliatowela4484
4 жыл бұрын
Wow nmeelewa vzurii sanaa nitajitahid kufanya kama nilivo elewa sikujua kabisaa
@husseinsmash2416
6 жыл бұрын
Hongera sana kaka Joel Arthur Nanauka nimeipenda hii kanuni ya 50/30/20. Naamini nitaweza kuifanyia kazi na mungu anixaydie
@T1tanGamingCsgoMore
5 жыл бұрын
Idea yako ni nzuri sana na natamani ningeweza kujua kabla ningekuwa mbali lakini sasa nshajichanganya na madeni mengi na mshahara hautoshi. Sijui nifanye vipi Dr.
@eriquepol5582
6 жыл бұрын
nahisi nilichelewa kuijua acount yako kaka ila kiukweli nazidi kupanuka kiakikili na kimtazamo pia. ahsante
@sashasheyz3731
3 жыл бұрын
Bro unachosema niukweli nimejalibu wewe noma🙏🙏🙏
@happyrock230
3 жыл бұрын
9th
@mohammedrashid2906
2 жыл бұрын
Ahsante brother
@ombeniyusufu8494
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Bwana kwa mchango wako wa elimu ya uchumi.
@atoshalyimo2759
6 жыл бұрын
Nimeìpenda hii big up sana. Kwa elimu hii
@joelnanauka
6 жыл бұрын
Atosha Lyimo nashukuru sana karibu na tushare na wengine
@zakariashaury5005
2 жыл бұрын
Asante sana kaka nakufatilia sana umebadil muelekeo wangu
@komboomar9660
5 жыл бұрын
nimependa darsa zuri sana inafaa kuifata kwa matumizi god my brother
@ElizabethMaiko-p3l
Жыл бұрын
Daah big up
@gabrieltesha8994
2 жыл бұрын
Nimeandalia leo hiii video yako lakini somo limenijenga sana bro ubarikiwe uwe na moyo huo huo wa kutuelimisha Mungu akubariki sana bro
@ibrahimwapili8851
6 жыл бұрын
Kaka Elim uliyo nipa ni kubwa sana kiasi kwamba umenifanya nijitambue sana Asante sana Mungu Akubariki
@yonathanimkama887
2 жыл бұрын
Nmepata kitu Cha msingi sn! it's good
@neemabundala2005
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@ISACKMASHIMBA
4 жыл бұрын
Hii formula nimeipenda sana, nahisi kama nimechelewa, Mungu akubariki sana, Ila nna swali moja kaka, sadaka, zaka na michango mbali mbali ya kidini itaangukia kwenye fungu gani!?
somo limenifurahisha, maana nimewahi kufanya hivo mambo yakaenda vizuri, ila ina taka moyo wa kujikana nafsi
@williammbwambo79
4 жыл бұрын
Bila ivo utoboi
@khadijakisingo7920
2 жыл бұрын
Asante mungu akubariki
@nassoromussa2423
5 жыл бұрын
Dah! Sio kitoto hili somo. Yn leo ndio nimepata jibu la kauli yako "mafanikio sio bahati "
@abdoulkarim2964
3 жыл бұрын
Kwa kweli nazidi kuelimika kila siiku maana mambo ni meengi mnoo yakubadilisha katika maisha yaangu asante saana
@judithsalvatory2892
4 жыл бұрын
Mungu alikuumba kwa kusudi maalum kaka na Mungu azidi kukuinuwa, unatupatia zawadi hizi bila malipo yo yote kwa upendo huu unaotuonyesha.Sisi shukurani zetu inabidi tununue sana sana vitabu vyako. Niko Zanzibar kwa Sasa je nitavipataje japo vitatu vya aina mbali mbali.Barikiwa sana kaka.
@brianjohnson3851
9 ай бұрын
Hi
@mwengekavuya7789
2 жыл бұрын
Asante rafiki nina fatilia sana vidéos zako na zina ni elimisha sana congratulations
@shabanjoseph524
6 жыл бұрын
Inawezekana kabisa my brother ahsante kwa somo zuri
@malalezengo4405
5 жыл бұрын
vizuri sana mwalimu joel nanauka hongera pia
@official_isabella374
2 жыл бұрын
Nakubali🙌🙌
@agneshiza7229
2 жыл бұрын
Duh!Uko vizur kaka Asante
@mrsrm9540
3 жыл бұрын
Yaan umenisaidia sana ktk Hilo shukran sana mungu akubarik
@petrosabore2694
Жыл бұрын
Thanks so much may God bless ue in every way in your life 💞
@theresialumanyika379
4 жыл бұрын
Asante Nimepata kukifunza Na naamini nitatumia pesa vyema
@dannywanjara4780
6 жыл бұрын
Ndugu umechangia kubadili mfumo wa maisha yangu kias kikubwa sana nlikua napata pesa lakin aikai. kumbe lifestyle ndio ilikua mchawi wangu mkubwa ila taratib nimeanza kusogea ktk kuepuka vitu visivo vya lazima
@glorydionice9853
2 жыл бұрын
🙏🙏be blessed you have opened my mind your always my role model
@kombealphonce7290
2 жыл бұрын
Nashukuru Sana mwalimu
@davidsindoma9403
4 жыл бұрын
Ahsante kwa hili
@herimailo8183
Жыл бұрын
Brother asante sana
@japhetwatson7101
6 жыл бұрын
That's awesome Noel,you are doing a great job to educate majority..
@ruphysambaya3288
6 жыл бұрын
Mimi brother nimekuelewa sanaa pia mim nimjasiriamali naona hii principle ni njema sanaa kwangu naomba nipate kufahamu mengi pia ningeomba uwe msimamizi wangu ktk biashara.
@asyamaulidi7857
6 жыл бұрын
Kaka Joel mungu atakulipa kwa darsa hizi njema wengi wetu hufika pahala u akata tamaa na kuona pengine analogwa au anachumaulete kumbe Ni matatizo yetu binafsi kutujuwa mpangilio sahihi wa maisha yetu ya kila siku
@nasraomari4818
6 жыл бұрын
Safi Sana ninaweza kabisa mungu akulipe kwa some hili
@ibrahabaya3191
2 жыл бұрын
ip vzr san broo latib hiyoo naiwezaa
@revianusrevocatus2638
2 жыл бұрын
Mungu akubariki
@lidyanapegwa8154
2 жыл бұрын
Nashukuru kaka, kwa mafundisho mazuri ya namna ya kupanga bajeti imenisaidia kibaki na akiba kwa kila mwezi
@husseinabdalla6809
6 жыл бұрын
Thanx bro kwa darasa zuri mungu akubariki sana
@angelinanyangi2317
5 жыл бұрын
asante
@assamwakasanga3570
6 жыл бұрын
asantee San kak Joel Arthur nanauka nimeipenda San kanuni ya savings, investment more savings 20+20=40 nitafurahi San nikifik kwenye 40 Mungu akubariki San kak Nanauka na pia ninashukuru San vitabu nimepata, kughailisha, tabia 12 nimefurahiii San siku ya Leo
@joelnanauka
6 жыл бұрын
Assa Mwakasanga hongera sana Assa,naamini kwa kuzingatia haya tutapata mabadiliko ya kifedha
@samwelpeter1384
5 жыл бұрын
Iko sawa kabisa.
@glorylotha2199
2 жыл бұрын
Wow good opinions 🙏🙏🙏
@mariammasatu4785
6 жыл бұрын
Asante sana bro somo ni zuri sna ubarikiwe
@gerionmdage535
4 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa kutufunza namna ya kupanga matumizi ya kile tunachokipata!
@HadijaRamadhani-ng7rd
11 ай бұрын
Thenks 🙏 broo I wish one day tutaonana video yako umenigundisha pakubwa Sana mungu akubarik
@lucydaniel3456
5 жыл бұрын
Asante kaka nko kwenye biashara kwa miaka 5 sasa sisogei huenda huyu ndo mchawi wangu dah aisee
@pudensianalinwatu5320
5 жыл бұрын
Najuta kuchelewa kunifahamu hii account ur the best kaka
Пікірлер: 763