Kazi nzuri sana brother, kama kawaida. Hapa sasa jamii ishindwe yenyewe tu kujifunza. Mungu akujalie afya na umri mrefu hii kazi ifike mbali zaidi.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Success Path Ameen nashukuru sana
@clemenceonesmo5429
5 жыл бұрын
imenigusa sana hii vdeo.. big up brow and may god bless you... SEE YOU AT THE TOP
@awenanassor3169
5 жыл бұрын
@@clemenceonesmo5429 Yeah
@awenanassor3169
5 жыл бұрын
Success path where you are
@awenanassor3169
5 жыл бұрын
I don't listen for many time for your advice
@maryamkhatau9445
3 жыл бұрын
Mimi rafiki yangu wa kweli ni Allah pekee yake na sijawahi kuwa na tatizo nikatawadha na kuswali wakati naongea navuta taswira km Yuko karibu yangu wallah nikitoka hapo sina ninachibakiza wa kupoteza Allah ndo rafiki, na mshauri wa kweli na Hana mfano shukrani Kaka kwa maarifa Allah akulipe badala inshaAllah
@winniesainet8635
6 ай бұрын
😮😮😮😮😮😮😮😮
@winniesainet8635
6 ай бұрын
😮😮😮😮😮😮😮😮
@eddahhawa7471
4 жыл бұрын
Da!,Mda mwingine natamani hata ni "LIKE" mala nyingi nyingi....lakini haiwezekani...Asante sana kaka J
@dorotheankungu8386
3 жыл бұрын
Kukataliwa ni kwa muda tuu (1)kaka Joel Mungu akupe maisha marefu uendelee kutusaidia.hakika umeletwa dunian kwa makusudi
@hassansaidramadhan8940
5 жыл бұрын
mimi ni wathamani sana ,na lazima nitimize malengo yangu pasipo kujali hali gani napitia katika muda huu, ahsante sana brother
@sabatomjungu9727
5 жыл бұрын
Kuna wakati nilipitia ktk iko kipindi Cha kukaa mpweke lakin namshukuru Mungu sasa Niko na thaman zaidi nahitaji kuongeza thaman , ahsante bro kwa somo zuri
@anethlule4732
5 жыл бұрын
Mimi nimke bora Mimi ni mama bora Mimi nimshindi Mimi ni mfanyabiashara mkubwa Nimeumbwa kuwa Mshindi 💪💪
@soulvibe339
2 жыл бұрын
Namekulike bure
@ramadhanalmashamza3458
Жыл бұрын
Kukataliwa haimaanishi huna thamani ila wanao kukataa hawajajua thamani yako,,, asante sana kaka Joel ubarikiwe sana
@salmamasood2524
Жыл бұрын
Nimefurahi kukufaham kaka joel kwa kweli ushauri wako ni muhim kabisa niko naanza kufaidika mungu akulipe kwakweli na nitaendelela kufatilia kipindi chako
@nathankibizo8158
Жыл бұрын
1. Every rejection is temporary. Kukataliwa sio mwisho wa ndoto zako. 2. Kukataliwa hakuondoi thamani yako. Usische kujithamini. 3. Usikae peke yako. Jichanganye na watu wazuri. 4. Tafuta ushauri kwa watu waaminifu. 5. Chunga fikra zako. Waza mema . Waza kuongeza thamani yako positively.
@AshaBakari-lm9zx
Ай бұрын
Mashaallah mungu akulinde na akupe umri mrefu ili uzidi kutuelimisha nakupenda bure akh kwa mafunzo yko juu nakuelewa kiundani kibisa🫡🫡🫡🫡
@hasijoh4805
3 жыл бұрын
Yani kwangu mimi binafsi sijawai kuskiliza maneno mazuri ambayo yanamyomtia moyo mtu kama haya mungu akubariki aendelee kukupa maono zaidi ili uzidi kutusaidia sisi ambao tilikua tumekata tamaa asante sana brother
@najmachami547
5 жыл бұрын
54321 Mimi niwathamani, Mimi ni mtu muhimu sana na ndoto yangu itafika mbali Inshaalah
@robertgeorge3563
5 жыл бұрын
Asante Sana nimeanza kuinuka japo bado changamoto ni tunawezaje tukaziba myanya ya hela kutoka sababu tunapata pesa lakini ndugu na jamaa wote wanategemea hpo hapo je nifanyaje
@tungaraza7794
5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo five second rule nina imani itanisaidia coz kuna wakati huwa nawaza mawazo ambayo hayafai hata kidogo be blessed brother joel kwa kazi unayoifanya Naomba nikuambie hiki kitu leo Katika kumtumikia mungu kuna njia nyingi nyingi ikiwemo uchungaji,unabii na kadhalika hakika hata wewe unachokifanya leo hii huna tofauti na hao watumishi wengine ambao ndio wameonekana wanamtumikia mungu
@johanjoha5262
3 ай бұрын
Nimejifunza kitu kutokeya mafunzo yako,kwanzai kesho natoka ndani asante kaka ALLAH akupe umri
@LucyPeter-c6p
26 күн бұрын
Ubalikiwe Sana Joel kwa kazi yako maana una tusaidiasana
@mengicacoconut8144
5 жыл бұрын
Nimepitia ktk hli moja wapo kat ya hayo, thanks am being proud of u my brother! Be safe and long life
@graceaswile5619
5 жыл бұрын
Umenibadilisha mno , Mara nyingi unakua kama unaniona. Kazi nzuri unatuokoa na kutuponya wengi Nanauka. Barikiwa kaka
@sultanikawambwa4118
5 жыл бұрын
Asante kwa kupata madini mengine ila nashukuru sijawahi kufikia hatua ya kupoteza thamani coz kwenye maisha yangu nina misimamo yangu ambayo sitaki niyumbishwe na mtu hata awaje kwangu.
@mwajumayunus2041
5 жыл бұрын
what a good message stay blessed my brother
@exzaverymichale7673
5 жыл бұрын
Habari yako ndugu!God bless you!
@albeleenalberto158
5 жыл бұрын
Nimegundua tupo wengi wenye shida humu😂😂😂😂
@joelnanauka
4 жыл бұрын
Dorah Albert kujifunza hakuna mwisho😂😂
@neemabisungwa2608
3 ай бұрын
@@joelnanaukashalom
@user-hv3we8ld8m
Ай бұрын
😅😂😂😂😂
@saidmkashari8301
2 жыл бұрын
Asante sana, wewe jiniasi sana wa masiala ya elimu hii nimependa sana kufatilia masomo bado nashidwa sana kuzibiti Hali ya kukaa na wezangu wakati wa shida hata nikikaa Sina ujasiri Je nifanye Nini walimu Joel nanauk.
@shemsamussa608
4 жыл бұрын
Asantee kaka joel kwa elimu yko, ww ni jasiri muongoza njia hakika sasa napata mwanga kwenye maisha yangu , kweli kuna watu hawajui thanani za watu hapa dunia but mimi naamini ni mtu wa thamani japo watu walio nizunguka hawaiyoni thamani yangu ila mimi ni wathamani .
@hassanovajunior6972
4 жыл бұрын
My all time Mentor you're doing a very good works to help others God will never leave you alone ,For me all of them I'm going to work on it #SeeYouatThetop🙏🙏
@witnesschao4106
2 жыл бұрын
Kaka Joel, thank you very much and be Blessed you and your family.
@RoseNgweta-oy1fr
Жыл бұрын
Totally my blood u hav changed my life may God bless you mor
@judithnjunwa6668
5 жыл бұрын
NANAUKA nahisi ni mtumishI wa MUNGU pia mana hii si kawaida , he lift me up, asante MUNGU BABA
@mohammedrashid2906
2 жыл бұрын
Shukran sana
@aash4145
Жыл бұрын
Shukran kaka,,, nitafanyia kaz kipaj,,, na ubunifu niliojaaliwa na muumba,,,, na nitafanya kitu kimoja kwa muda mrefu nione faida yake,, na kufany kingine tena kwa, ufanisi wa hal ya juu il niwe juu kimaisha
@rashidhamdu7939
2 жыл бұрын
Kaka hongera sana. Mungu akubariki uwe na maisha marefu. Unatusaidia kwa kweli. Siku zote umekuwa ni role model kwangu kila ninaposimama mbele za watu....
@dmgtv3984
4 жыл бұрын
Asante bro joel umeanza kuniamsha upenz wangu wa yanga nauhamishia kwako kwanzia ss mm ni shabiki wako kwa kuwa unaijenga san
@deenassormoretv4885
5 жыл бұрын
Asante it‘s open mind now
@rashidkihombo6782
4 жыл бұрын
Nimepita maisha ya kuanguka kibiashar baad ya hapo nikaw naakaa tu peke yangu niliwaza meng Kwa sas najichangany na watu aisee somo zur san ahsante
@babalois7240
5 жыл бұрын
True Sir #Nanauka #LetsBringBackOurValue Kuna wakati lazima ukataliwe ili uwe bora zaidi.. Goodmorning
@mwanaharusialifakifaki8716
4 жыл бұрын
Ahsante sana rafiki yangu,kwasiku lazima nkuskilize rafiki wenye muangaza kunimulikia mbele nnakoenda kila siku .ahsante rafiki ndoto yangu lazima itatimia ntaongeza thamani yangu🤝
@najmachami547
5 жыл бұрын
kweli kaka mimi nimepoteza hamasa ya maisha kabisa kutokana na watu wangu wakaribu niliyokuwanao ila leo nimejifunza sana
@nemencembale5641
5 жыл бұрын
Be blessed bro....
@phideaurassa9246
5 жыл бұрын
Asante Sana ubarikiwe kila unachokifanya kinagusa ufahamu wangu Na nazidi kukua kifikra napenda Sana masomo yako yanazidi kunifanya niwe imara zaidi
@mariammasatu4785
5 жыл бұрын
Asante sna kk Joel,mm htu ambayo nataka kuchukua kwa ss ni kuzingatia nn ninachotaka kukifanya
@erickmkwera2784
5 жыл бұрын
Genius man in Tanzania from United Kingdom
@christopozzy6405
3 жыл бұрын
Nmesikiliza almost video zako kama hamsini brother najiona tayari Mimi ni mtu mkubwa sana popote ntakapokutana na wewe lazima nikushukuru kwa vitendo
@footballdetailsonly4674
5 жыл бұрын
Thanks for your advice brother God bless you
@shanielmasoud4130
3 жыл бұрын
Amen
@neemabisungwa2608
3 ай бұрын
Asanté kwa ushauri wenu, unanifariji sana niko kwenye shida iyo iyo
@miriamsaidi7748
5 жыл бұрын
Hasante sana, kaka nanauka,kila siku naangalia video zako,,,,zimenizidia sana
@komboabdulkarim748
5 жыл бұрын
Nami pia
@mwanamkasihabibu9915
5 жыл бұрын
Shukran Kaka kwa somo zur nmejifunza mungu akubark
@edithamushi2707
5 жыл бұрын
Asante kaka nashukuru kwa ushauri wako nimezid kuwaza na mawazo negative
@NeemaAmos-e9l
6 ай бұрын
Asante sana umenisaidia kwenye kupangua mawazo mabaya
@rafaelmaziku5217
5 жыл бұрын
u give me another reason to live.thanks a lot
@matabikasuccessline2068
5 жыл бұрын
asante kaka nanauka kwa elimu ombi langu natamani kupata vitabu unavyo andika kikiwemo cha timiza malengo nifanyeje
@rabanphotostudionyakanazi_4115
Жыл бұрын
Amina
@ibrahimkalimili6540
Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana kaka Joel
@holySpiritchoir24
5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo.... 5 4 3 2 1.....👌👍💞🙏🙏🙌🙌👯🤗
@nicholouskibona3940
2 жыл бұрын
Múngu akuingozee broo Wang nmeeeza kufunguka na kitu nlichojua cwez acha muñgu p1 ñawe
@kabirigi255
5 жыл бұрын
mambo niaje kiongozi wangu napenda sana unachokifanya maana nina imani niwengi wanapata faida nacho kiukweli ongera sana ivyo naitaji kuwasiliana na wewe ila sijui nakupataje
@esternzumbi1888
5 жыл бұрын
Nice my brother nakuelewa sanaaa........ 😍😍
@reginaldipeter2272
2 жыл бұрын
Sikubali THAMANI yangu ipotee kwa JINA LA YEU KRISTO.
@magretymabuga2987
5 жыл бұрын
Asante kaka, Nazidi kuongeza ujasiri wa kutimiza ndoto yangu.
@jacobmayaka3993
4 ай бұрын
Mungu akubarik sn kwa mafundisho
@gwantwamwaipaja1177
5 жыл бұрын
OK thanks bro ..me ..nhtaji kujua je km mzaz umemwambiaa wazo na akakpingaa baaada ya hapoo akakcrikaaa na kuacha kkpgiaa cm unfnyje kurjeshee.ukarbuu??
@zahramunir8596
5 жыл бұрын
Waaawwaw God bless You
@mwinjilistineemalwali
Жыл бұрын
Ndio hii Ni njema Sana kurudisha uthamani wangu kwa kufuata namba 5
@josephmsangawale9925
5 жыл бұрын
Ahsante saaana Brother Nanauka May Almighty father help you To go ahead
@eugenfredrick2328
5 жыл бұрын
Aksante sana bro Joel kwa semina zako MUNGU akubariki kaka!!!
@hamisa3447
3 жыл бұрын
Kwa kifupi tu ndugu tunakuombea dua njemaa uendelee kutuamsha zaidii na zaidiii
@yusuphpaschal169
5 жыл бұрын
Asante Sana Joel wewe Ni mwalimu mzuri Sana💪
@edadeojr8212
5 жыл бұрын
Hakika brother nimejifunza kitu kipya hakika mungu akuwezeshe usipungukiwe
@kelvinnacozz6280
4 жыл бұрын
Nakuelewa sana broo Jumbe zako zinanijenga kila iitwapo leo Barikiwa sana.
@alimambabazi3666
5 жыл бұрын
nisaidiye with self esteem my brother help me with that thank-you.😀
@carolyneiminza6713
5 жыл бұрын
Thanx bro,natamani kuwa mfanyabiashara maarufu,I think you will help me climb the ladder
@faidakanijo3574
Жыл бұрын
Yaaan umenifungua kiakil kaka nashukulu sana
@vicentndiholeye1067
2 жыл бұрын
kaka minandela sana kuku fatia naona kabisa mungu anazidi kunigngua kili ila pia nilikiu nahitaji;:;vitabu
@abdulrahmanally6525
5 жыл бұрын
daaaah thank brother mungu akubarik
@maggiepeter8936
5 жыл бұрын
asante mwalimu...kwakweli unatujenga...mimì ni wa thamani
@mathiasmbilinyi349
5 жыл бұрын
Dah brother unaniensipire sana katika maisha yangu
@user-fv2sn7js7g
2 жыл бұрын
Kwer kabisa asant san unanifunza san kwakwer 💯💯💯💯💯💯🙏🤝🤲💣
@mwambumediaprostudio2492
5 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri @Joel Nanauka
@appletvonline6430
5 жыл бұрын
Asante kwa dalasa lako zur naomba ushaur mm nimwanafuzi wa chuo ada lakn kwa sasa ada imekosekana kulingana na uchumi wa nyumbani je nfanye nn nam napenda kusoma?
@sheillachisika2600
5 жыл бұрын
Ndoto yangu lazima itatimia Amen I like that.
@deevoice5381
5 жыл бұрын
Gooood
@zuhuraabdillah6941
5 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo ya 5 second rule. Mind programming hii ni top ya yote. Nashukuru kwa somo
@rehemaally9316
5 жыл бұрын
Habri kaka naweza kupata namba yko nina kitu muhimu sana natka unishauli
@stephahObimo
5 жыл бұрын
Asante my brother nimejifunza
@nursechunga4470
2 жыл бұрын
Kaka Joel napitia hili, Asante kwa somo 🙏
@beatricedawson9540
2 жыл бұрын
Naomba unisaidie hali ya kutoka kwenye madeni na kuyashinda.
@hellenakusekwa2989
4 жыл бұрын
Asante sana kaka nimwjifunza kuondoa mawaza mabaya kwa kuwaza mazuri.
@joramuzacharia4641
4 жыл бұрын
Hongera kaka Kwa elimu yako mungu akubariki natamani course zako siku moja
@aishaubalozi7088
5 жыл бұрын
nikweli kaka uko sahihi asante kwakutufundisha
@pendojeremiah9111
3 жыл бұрын
Asante kaka wish ningekujua mapema
@elishabajuta2345
2 жыл бұрын
Mwalimu natamani kurudisha thamani yangu lakin nimekua nikikosa ushauri sahihi sasa ufahamu wangu unateseka je sipati watu sahihi au mimi sipo sahihi naomba ushauri
@lovenesspeter4993
5 жыл бұрын
Asante saana umeiponya nafsi yangu ubalikie
@soniajuma-zo3ih
Жыл бұрын
God bless you joel
@shanielmasoud4130
3 жыл бұрын
Ahsant sana brother Kwa somo zuri sana napita ktk wakat ngumu sana kikazi ila ahsant umenitia moyo
@eliazalyemmanuel9478
5 жыл бұрын
sana kaka mi niko na ww kama maji na samaki aman sana
@ezrommkambati2948
5 жыл бұрын
Kaka napita kama kawaida yangu lazima nisikie madini ya thamini kutoka kwa Kaka Joel Nnauka
@divaikilingi7507
Жыл бұрын
ahsante ubarikiwe mtumishi
@sheillachisika2600
5 жыл бұрын
# Mwalimu tosha kila ninapotazama kipindi chako lazima nijifunze kitu barikiwa kaka.
@janegeogre3234
2 жыл бұрын
kaka Nanauka hio ya kutafuta watu me sijaikubali kbs! utamwambia mtu jambo lako basi atakutangaza weee
@preciousdallei2001
2 жыл бұрын
No 4. I really need this
@abdullahallyalkindi7130
4 жыл бұрын
i think kwenye mawazo
@tolekabizneztv
5 жыл бұрын
+254 kenya kaka nimekubali Encouragement yako coz kipindi hichi kwangu nikigumu na hisi nimejikwamua tayari
@GaspalMgassa
16 күн бұрын
Ameen
@mariamkitina196
Жыл бұрын
Kwanzia leo sinto kaa tena ndani kujifungia peke yangu na kuwaza mawazo chanya
Пікірлер: 308