Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko3006
7 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_
7 ай бұрын
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe@@lampadshigonko3006
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen 🙏
@nasruddinali9197
7 ай бұрын
Insha Allah
@InviolataNduye
5 ай бұрын
Amen
@Tobejr
4 ай бұрын
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
@TumaSuda-oz5mn
7 ай бұрын
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
@ChantalNdayizeye-ol1re
7 ай бұрын
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka
7 ай бұрын
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
@NaomyPoul
7 ай бұрын
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
@francistegeja-n9s
7 ай бұрын
Elimu nzuri
@Estermvungi-cl2zc
5 ай бұрын
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
@GivenMartin
7 ай бұрын
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
@jumannemlimakala6442
5 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
@stellasoraya1138
4 ай бұрын
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
@tabithampinga4606
7 ай бұрын
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka
7 ай бұрын
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
@shukranjulius9526
12 күн бұрын
Yani umekuwa baraka katika maisha ya wengi,Asante kaka unatuinua wengi tulio kuwa tumekata tamaa,Mungu Akutunze kaka yangu
@Grace00187
7 ай бұрын
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka
7 ай бұрын
Wow, hongera sanaa🙏
@MANDALAS_LIFE_COACHING
7 ай бұрын
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
@vanessasalema6087
7 ай бұрын
Noted.
@godfreygermanus
7 ай бұрын
Wewe ndio maono yangu daaah
@DennisOmond
7 ай бұрын
Mungu awenawe
@eugeniayaheze932
7 ай бұрын
Barikiwa Sana Mr.J.N
@RosemaryMusa-eb2gp
4 ай бұрын
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
@MjataHashimu
7 ай бұрын
Hongera xana braza
@tabithampinga4606
7 ай бұрын
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka
7 ай бұрын
See You At The Top
@Abdulrahmanhassan18
7 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa1781
7 ай бұрын
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@RichardSanga-y6y
7 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan18
7 ай бұрын
@@RichardSanga-y6y unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
@goldiegranted5501
7 ай бұрын
MAONO🔥🔥🔥🔥
@AdamSaidfaru
29 күн бұрын
Asante kaka mungu akubariki umenipigisha hatua kwenye maisha
@macksemuyango6108
7 ай бұрын
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka
7 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
@amanilwila1185
7 ай бұрын
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
@fredyledidi4908
27 күн бұрын
Mafunzo yako yananifanya kuwa mtu mpya kila siku. Niko Netherlands lakini kila kukicha nafuatilia speech zako. Mungu akubariki Joel
@EmmanuelHhawu
7 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
@AbdallahFahm
6 ай бұрын
Msshallah unaupiga mwingi brother
@mwanaidihassan5868
6 ай бұрын
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
@sebastianmbazi2811
7 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@brackskinyozi3280
3 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@rollahngimbwa6978
7 ай бұрын
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@mahambagislain9618
2 ай бұрын
Asante Kaka 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
@JohnMedard
Ай бұрын
Barikiwa sana kaka umenijenga sana nilikuwa siju maana ya vision xaxa nitaanza kuwa na maono
@FaricevitusiNkane
Ай бұрын
kk mm shida wako sbili mwalko wangu kwako na uliad nasema aya nasbli mwalko t nimeaza kuyanyia kaz na matokeo umeaza kujitokez nukuwa my tofaut kila wakat awajuwi nayapata wap kumbe kwako kk nmekubal ww mwamba mungu ajalie u wai sisemi sana
@bonifaceferdinand566
7 ай бұрын
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
@HalimaAmadi
4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
@mohdsaid5988
7 ай бұрын
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
@pilichuli4449
7 ай бұрын
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen, ahsante sana🙏
@dullahtechtz3422
7 ай бұрын
Amin kaka
@japhethcharles5791
7 ай бұрын
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
@alexandermajula7268
7 ай бұрын
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@irakazaeriekim4753
7 ай бұрын
Amen
@RichardJoseph-w8g
7 ай бұрын
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen
@williamcosmas1986
7 ай бұрын
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka
7 ай бұрын
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
@mosesjengela7425
7 ай бұрын
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka
7 ай бұрын
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
@kennethchinguku
3 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Joel,zikomo
@jasminerashidi2782
7 ай бұрын
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
@tawakaliramadhani1352
2 ай бұрын
Kaka kuna vitu umeningizia kichwani vinaniongoza vyema shukrani sana
@JidaJori
2 ай бұрын
Barikiwa Sana kaka Joel
@kainibachungege3430
7 ай бұрын
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka
7 ай бұрын
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
@JanvierVenas-ro9us
7 ай бұрын
uzudi barikiwa Kaka
@johnjames-pw1dp
7 ай бұрын
Gud message Bro 👍
@ElishaThomas-h2y
3 ай бұрын
Asant bro
@EvalineSabato
7 ай бұрын
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
@Joyly-it2cp
3 ай бұрын
Asante sana kwa mafunzo tangia nianze kukusikiza nimepata mafunzo mengi sana
@AmisiHassaniTygo
7 ай бұрын
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen
@ViviKitchen23
7 ай бұрын
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameeen🙏🙏🙏
@ShafiiAmisi-h3w
Ай бұрын
Kwani nyinyi hua mna fanya nn wenzangu kuweka ela kwenye kibubu mpaka kijae maana mm nikiweka buku mbili ikifika jioni sijaitoa labda sio mm 😂😂😂😂😂😂
@PetyJonas
Ай бұрын
Hujaiwekea malengo hyo ela unayoiwek kweny kibubu ndo maan ww kutoa unaona kawaida tu
@Sanagu05
7 ай бұрын
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen
@CleraJuliusMunishi
7 ай бұрын
❤❤❤
@AmaniRashidi-i9b
7 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka
7 ай бұрын
Hongera sana sanaa🙏
@GivenMwakalikene-xb1ww
Ай бұрын
Ushauri mzuriiii
@RaelBosibori-qn7sl
Ай бұрын
Powerful message 🔥🔥🙏
@tukaesanatu2754
7 ай бұрын
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen ahsante sana sana
@kuruthumukondo7149
7 ай бұрын
Thank u my brother ❤❤
@JojoLomalisa
6 ай бұрын
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
@PrinceMugasha
2 ай бұрын
Kaka nakupata naona unaniongelea mim hapa najiamin sina kitu kwa sasa najiamin na ninaamin,nitaakikisha napambana aijalishi changamoto ganizitanikuta ila lazima nitamize maono yangu maana mungu ndie mtoaji bas kaka naona uduma yako ipo kiroho kabisa mungu amekuinua kwa ajili ya watu
@irakazaeriekim4753
7 ай бұрын
Asante sana ❤
@RICHARDWAUSA-ep4xe
7 ай бұрын
❤
@victor_silvanus10
7 ай бұрын
💪🏿
@lusekelomwaigomole223
17 күн бұрын
Thanks
@joycemushi4916
7 ай бұрын
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
@mombasatv1994
7 ай бұрын
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
@raymondsulemansuleman485
7 ай бұрын
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
@anoldjose7793
7 ай бұрын
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
Пікірлер: 127