👇kwa anaye mkubali Mh Kishimba agonge LIKE hapa twende sawa💪
@NusuraTendega
7 ай бұрын
Yupo vizuri
@andrewemmanuel1861
7 ай бұрын
Big up mzee unajua sanaa
@leonardchoma3765
7 ай бұрын
Dah, Mzee wetu Kishimba unaongea maisha yanayotugusa Sana sisi wananchi.
@geraldlyimo2859
7 ай бұрын
Kishiiimbaaaa asante siku unatika duniani ndo wataanza kukusifia na kusema tuenzi mawazo yake huku hawsjafanya ulichowashauri Mungu wa Mbingunii akutunze
@JUSTNEMITOMINGI
7 ай бұрын
Ni kweli baba migodi yote midogo wamewapa wachina inauma sana
@zabronpaul7599
7 ай бұрын
Mbunge kweli wew ni genius😂
@juliusmagunila6308
7 ай бұрын
Ila kishimba
@johnassey2327
7 ай бұрын
Tenaa hii ni nzuri na tutazalisha wananchi wenye fikra pevu na vipaji halisii
@superangeltv4615
7 ай бұрын
Kweli boss naona wengi tunafikiri km 1+1=2 hakuna anayeweza kufikiri tofauti
@AthanaseKiyoja
7 ай бұрын
Samia nakushauri sana mbunge huyu kwanza kama katba inaruhusu umfanye kuwa mbunge maalum.alipwe posho ya ziada.Kazi au ushauri anaoutoa unatija pande zote mbili,yaani kwa wapiga kura wake(jimboni) pi kwa serikali yetu.Mbunge huyu huwezi kumlingnisha na wabunge kama akina lusinde au shabiby .sisi tunawaita ASANTE magufuli.Kutwa nzima wanakusifu wewe utafikiri na wewe umekuwa jimbo.Hovyo mno.
This is bias! Magufuli was not representing a single ethnical community of the sukuma land. He was a president of Tanzania whether you adored him or not.
@makelemohuya2723
7 ай бұрын
Wewe kishimba acha mambo yako mita tatu ndiyo barabara gani hiyo?
@makelemohuya2723
7 ай бұрын
Magufuri ametuharibia au katuheshimisha sana tena sana unatokea wapi mpuuzi wewe usiyejielewa
@ayoubbalama1409
7 ай бұрын
Wachina kimekuwa kilio😢 hadi kwenye biashara ya mitumba wa mefanya watu wengi kuanguka mitaji
@magorymara5515
7 ай бұрын
Biashara ya mitumba siyo biashara make hakuna kiwanda cha mitumba bali ni mali chakavu inayokusanywa na kutumiwa mara ya pili
@Afya-Break
7 ай бұрын
Unatakiwa uwe na upeo wa hali ya juu kumuelewa Mhe Kishimba
@sylvestercharles3585
7 ай бұрын
Shikamoo baba yangu Kishimba.
@juliusmagunila6308
7 ай бұрын
Anagusa kabisa interigence ya uchumi
@GodfreyOsward
7 ай бұрын
Tujenge shule, nzuri kama shelton. Za gorofa.
@thesilencer5114
7 ай бұрын
.jamaa anapoint Kali sema sioni watekelezaji
@Chizoofficial
7 ай бұрын
Ila kweli msukuma Leo umeongea vzr sana wanafunzi wasome kwa awamu✅
@jamesmushi199
7 ай бұрын
Namuelewa sana
@ThomasNghwani-nw6rx
7 ай бұрын
Akili kubwa sana
@venceslausmtanila93
7 ай бұрын
Kishimba mashine kubwa
@kenjoseph3337
7 ай бұрын
Pure intelligence mzeeee
@QasammaMachibya
7 ай бұрын
Mh kishimba saf sana ,
@madetetv6576
7 ай бұрын
Form 1 to form 4 kwa miezi 6? Uongo NECTA kafanya kwa muda gani? Au alifanya necta ya form one na 4 kwa mwaka mmoja?😊😊
@stevenndossi
7 ай бұрын
N kwel mkuu alisom online ndo maan..ada yak sas ndo ujiulz but yul dem kwao n wa kishua ndo maan 😂
Kufirisika mnafikirisaje si mshushe Mshahara YENU Ninyi ndo hamna fikira!!
@dn.n4983
7 ай бұрын
Mi kweli kabisa hii hatari bita wansnchi kabisa
@ernestkidscentretv6384
7 ай бұрын
Rais wetu afanyie kazi maoni haya
@georgekiruwa
7 ай бұрын
Au hata usiku…
@anicethpeter3100
7 ай бұрын
Mzee shikamoo
@jamaa2760
7 ай бұрын
Shule lazima ziiendelee kujengwa,,watu wanaongezeka
@kenjoseph3337
7 ай бұрын
Ila kishimba ila wewe!! Ila wewe!!
@symkvtv6756
6 ай бұрын
KISHIMBA NI MBUNGE WA KUIGWA KABISA
@comics3437
7 ай бұрын
Pia walazimishwe kuuza hiyo dhahabu kwenye masoko ya ndani
@zainabwage4658
7 ай бұрын
Kishimba 5 tena 😂😂😂😂
@mangulimanguli3974
7 ай бұрын
Mchina awezi kua muekezaji wachina wahuni tu Nnchi yetu imekua shamba la Bibi wakati wa Magufuli wenyewe Walikimbia
@kenedytheonest2798
7 ай бұрын
Ila we mzee ni hatari
@reubenmdaheranwa
5 ай бұрын
😊 p
@bagoomary8358
7 ай бұрын
huyu mbunge ana akili sana tukipata watatu kama huyu tumetoboa
@hakambashe8421
7 ай бұрын
😂😂😂😂
@CharlesEdwardCvanoedward
7 ай бұрын
🫡
@alluminiumexperttz.12mview13
7 ай бұрын
Huyu mzee ukimsikiliza juujuu utadhani anaongea point ila ukimsikiliza kwa makini hamna kitu.
@rasammudmar5455
7 ай бұрын
Sisi tunaoishi Pemba tunayaishi uhaba wa maeneo ya kujungea shule Hadi Sasa tunawaza kujenga magorofa. ambapo ni gharama na inabidi serikali iendelee kukopa. Kufikiri tofauti ni muhimu vyenginevyo baada ya miaka 20 watu tutakosa pakushika kwa makodi makunwa yanayotokana na madeni. Ambayo tungeweza kuyaepuka kama tungekubali kubadilisha kanuni za kufikiri.
@herybwanga507
7 ай бұрын
Wewe ndo Huna akili kabisa yani ni kopo tu kichwan
Пікірлер: 55