Nakukubali sana braza "Akili nyingi"ujumbe umfikie huyooo bibi
@dojachomoka7643
5 сағат бұрын
huyu bro mungu ampe maisha marefu kwa kweli 🌹❤️
@FocusmachumuMwizarubi
5 сағат бұрын
Hongera mkuu
@JamaliAlly-zy1ff
8 сағат бұрын
😂😂😂😂 nakubali saanaa mkuu unajua sana kuongea
@godwineliya4686
3 сағат бұрын
Peter Madeleka Upo vzr sana Alafu nakupongeza Kiacha Kazi ya Police
@NtamamiloGibson
7 сағат бұрын
Vichwa kama hivi vilitakuwa viwemo Bungeni
@DicksonJaphet-fq7ov
5 сағат бұрын
Niwakati Sasa wakupata Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano kutokea upande wa Mawakili🎉🎉🎉
@jamesonesmo3623
6 сағат бұрын
Maneno yako ya nguvu ya uhalisia, barikiwa
@ashuramuhammed3257
Сағат бұрын
Katika watu kumi tz wenye akili madeleka yupo%
@bakarimashi848
3 сағат бұрын
Unasifiwa huku unanangwa..😂
@ramadhanmahongole9293
5 сағат бұрын
Wasomi na wazarendo kama hawa ndio walitakiwa wawe bungeni kutetea maslahi ya wananchi badala yake imekuwa kinyume chake bungeni wapo wa darasa la saba kazi Yao ni kutetea matumbo badala ya kuwatetea wananchi
@King_Of_Everything
3 сағат бұрын
✌️👊👍.
@davidmalogo7100
6 сағат бұрын
Tanganyika inawakili ambae anathamikubwa sana akiongea najiskia amani nikamavile magufuliyupo simwingine ni peter madeleka
Пікірлер: 16