Nyami akili zimeanza kukukaa vizuri sana, umejitambua ila wapo mbwa watakubwekea hatari ila simamia ukweli
@MohdAli-fl2ef
Күн бұрын
51% zinatakiwa kubuni mbinu na mipango ya kuingiza kipato ili club iwe na uwezo wa kujitegemea kwanza then watu kama akina Nyami simba muje kwenye media hapo tutawaelewa
@SaidAlly-uh4qw
2 күн бұрын
Tatizo la simba ni katiba mbovu bila ya kubadilisha katiba mambo yatakuwa yale yale
@drallan6879
2 күн бұрын
whether you like or not we like Chama a lot
@mlyangwe
Күн бұрын
Unapoteza Munda bure😊😊
@nasseraljahwri6310
2 күн бұрын
Ndugu zangu wana simba mkimuona huyu jmaa haina haja kupoteza muda wetu, mpotezee anatafuta headlines, sipotezi muda kusikiliza utumbo wa hii nyaga
@lydiathomas2905
2 күн бұрын
Mpira pesa broo. Simba Mo, Yanga GSM, acha kutupotezea muda.
@nasseraljahwri6310
2 күн бұрын
Huyu jmaa nilimuona NI mtu WA soka, 😂😂😂kumbe NI chai maharage, Mo kama unasikia hiz taarifa jitoe af tuone watu km hawa wataifikisha wapi Simba, soka la Tz limejulikana sbb ya Mo, af ww kapuku unakausha koo kulipwa hela umdhalilishe Mo, tafuta team yako nnya we
@houmdmajid-ur9dp
2 күн бұрын
Acha kutukana familia za watu Mo tokea babu yk anaisadia simba ukisema ivyo unakosea na ww unatumwa uozo upa kwetu ss wasuwahili upande wetu wanachana
@prosperidinya5864
2 күн бұрын
Mo alikaa kimya huko Dubai, mkasajiri akina sawadogo, na jobe. Nyami jiangalieni, mifumo hiyo ya uendeshaji ya timu yakizamani migogoro haita isha. Waacheni watu na hela zao wawekeze kwenye football. More kasema kaweka 20b sasa upande wenu wanachama hamjawahi kusema hata siku moja kwamba mmeweka hata 10b. Msitumike vibaya. Eti katiba mbovu, kweli! Vifungu viwili vikiwa vibovu basi katiba yote mbaya. Yani wasomi wote walioiandaa ile katiba ni mambumbu, ila wewe ndiyo unajia sana?
@houmdmajid-ur9dp
2 күн бұрын
Ww nyamii kuna watu wanakudanganya Mo bado hajawa muekezaji mfumo haujakamilika Mo analipia kila kt simba bado ni km mzamin t ttz lipo kwetu wanachama hatusajiliw wapya ivyo ukimsema mo unakosea t yule jama anajitolea t hem chunga kauli zako
@JohnTendwa-gn1nl
2 күн бұрын
Watu Kama huyu jamaa ni tatizo, analeta Mambo ya kizamaani, angalia vitu anavyoleta vya uongo kwani mlisema mangungu pan afrika, je ni kweli? Kila siku kilomoni mpaka lini? Mimi ni mwanachama ninataka furaha na so majungu majungu, huyu anapenda majungu kachangia Nini?
Пікірлер: 15