Hongera jeshi la Polisi mmefanikiwa kujua hadi godoro alilokuwa akilalia ,,,, wakati yeye wakati wote alifungwa kitambaa usoni....kazi nzurii sana kwa jeshi letu
@charlesmataba6931
5 жыл бұрын
MMMMMM,,,,,,,HII MOVIE TAMUUU
@sajabri2643
5 жыл бұрын
Created
@getitdoneright1938
5 жыл бұрын
Hongera sana Jeshi la polisi kwa kazi nzuri sana
@cccccc1569
5 жыл бұрын
Huyo Twalib Mussa kwa kweli ana roho ngumu sana muda wote huo hakujali chochote yeye alikuwa anajapiga pesa tu mpaka anaamua kuwatorosha amakweli ana uzalendo kama angetoa taharifa makosa yangepungua sasa faida anatuona asiachiwe leo kamtendea mo kesho atamfanyia mwingine unadiriki hata kuwatorosha maadui iliwakajipange upya
@winstonmbuba6311
5 жыл бұрын
Tutaliamini jeshi letu tukufu endapo litategua vitendawili vya Azori, Ben na Lissu. Hatuwataji akina Ulimboka, Shibanda na wengineo. Mkiweza hayo tutajivunia sana kuwa na jeshi makini.
@hemedhussen204
5 жыл бұрын
ivi we ramadhani unaakili dereva TeX kawatafutia nyumba yeye hapangi umo
@badenbensoni7516
5 жыл бұрын
Asante mungu, wale wote wanaohusika wabebe msalaba.
@mohamedmakanyira8524
5 жыл бұрын
serikali ina mkono mrefu, sinaga shaka na serikali kwenye utendaji wake, ahsante serikali
@raymanmwangosi5041
5 жыл бұрын
Hii ni part two au season 2??? Kunavitu ukijipaka harufu haiwezi isha hata ufanye nini.
@shufaamasika5909
5 жыл бұрын
Good job.
@ibrahimgwasma235
5 жыл бұрын
hongera sana sana Jeshi la polisi
@Mwalusamba-tu2ix
5 жыл бұрын
Tungeendelelea tu na biashara yetu ya koro show😅😅😅
@furahamwajeka3708
5 жыл бұрын
thanx jeshi LA polisi mko vzr,but shida yangu kamanda ni polisi usalama barabarani rushwa sana please mkuu hebu lifanyie kazi nalo
@deusgabri
5 жыл бұрын
Sasa huyo devera taxii alishindwa kuwageuka achukue bilioni moja ...duu ndo maana nasemaga wabongo akili zetu mbovu sana. Atakufa masikini huyu kama nikweli lakini..
@subiraomar4771
5 жыл бұрын
Mungu yupo watapatikana tuu
@johnmwambungu7434
5 жыл бұрын
Congratulates police of Tanzania your very firm!
@nicholausnchimbi1599
5 жыл бұрын
Haya kazi kwenu wazee WA kupakazia serikali kubwa inafanya mambo ya kihuni,sasa majibu mnayo AWALI NILIANDIKA SANA NA KUSEMA SERIKALI HAIWEZI KUFANYA MATENDO HAYO YA KIHUNI WAKATI INA DOLA,hamkuelewa sasa mmepata majibu
@salmadalaquimane5303
5 жыл бұрын
Yame washuka
@ibrahimmkanda6358
5 жыл бұрын
Nicholaus Nchimbi hivi ndugu kwa akili yako ya kawaida mtu kama huyo angeiacha bilioni moja ipite hivihivi?? jibu ni haiwezekani. polisi wanatulisha matango pori live
@evarsam2866
5 жыл бұрын
@@ibrahimmkanda6358 BORA HATA WW UMEELEWA MAANA WATANZANIA WENGI AKILI ZAO HAZIJAKUWA
@bigpoppa5409
5 жыл бұрын
Hii camera ni ya Tekno au?
@hemedhussen204
5 жыл бұрын
yaani wabongo aise kama vile hatunaga akili MTU anahoji eti walisema niwazungu arafu REO niwa Africa kusini swali dogo sanaaa afrika kusini hamna wazungu? au hamjui kama Africa kusini imetawaliwa na wazungu?
@salmadalaquimane5303
5 жыл бұрын
Gd jb👏
@ayoubbenta4955
5 жыл бұрын
Nalipongeza jeshi letu la polisi Kwa kazi Nzuri Sana iliyofanya na kumkamata muhusika mkuu. Na hiyo ni njaa ya kijinga Kabisa ya Kuuza nnchi yake pamoja na watanzania wote. Hongera Sana Mh. Rais wa Tanzania jp magufuli kwa kazi Nzuri. Na tunampongeza iGp kwa kazi Nzuri pamoja na wanausalama wote
@zumbeshauri8114
5 жыл бұрын
mambo sasa kumbe ni mpelelezi mzuri sana ndio mana hakuwepo kituoni yupo kikazi zaidi ubalikiwe sana mambo sasa
@nimrodmareges3131
5 жыл бұрын
Watanzania tuna roho mbaya Sana huyo dereva cku zote mpaka watu wametangaza billion haya Leo kakamatwa hao watekaji walimpa Sh ngapi Sasa
@zuberimgawilo2639
5 жыл бұрын
Hata kama alipewa hela zitamsaidia nini anaenda jela
@emmanuelgibuka7533
5 жыл бұрын
Hahahahahahahha yangu macho na masiko tu hahahahahahhaha move bado inaendelea
@mkurangacnajemasabatochane4626
5 жыл бұрын
Ikaguen vizuri watu walio potea huenda wathaudh wana tekea hapo Mungu atawakomesha wote mbarikiwe
@ukweliunauma4570
5 жыл бұрын
Hamna ma forensics wachunguzi wa finger print foot print na menginevyo nywele au uhahidi wowote. Watu wanaingia kwenye ushahidi kama sokini. Fix Kali tu ujanja ujanja tu hii case
@mwanahalimamwachili9679
5 жыл бұрын
Huyo ajuwa mengi yani siku hizo zote hatoi report Mmmh.
@bravojuma2046
5 жыл бұрын
Kinacho nikela mh. kamanda ni kumsemehea maneno mengi mtuhumiwa, kwan yeye ni bubu? maelezo yote atoe yeye Mara dola 1300 mara pesa inayozidi... si aseme yeye ??? au nikosa kisheria mm sijui
Waandishi wetu jaman mkipata nafasi ya kuuliza uliza kisomi kwelikweli , vip mikataba ya nyumba waliyopanga , je picha sehem ya mkataba kama zipo
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
lucas salvatory wewe unaakili
@josephmackdonald3122
5 жыл бұрын
lucas salvatory
@salmadalaquimane5303
5 жыл бұрын
Na yule alie kajifanya ametabir mo alikua kwenye nyumba mbovu vp hiyo ndio nyumba mbovu eeeeh
@salmaothman153
5 жыл бұрын
Mungj yupo watapatikana
@wiza2309
5 жыл бұрын
Hapo bado kun mkanganyo, anasema anapaki white sands kama ni Taxi bubu itabidi hicho kituo cha whatsands inabidi wahojiwe kama wanamfahamu, yawezekana atakua amefanya na matukio mengine
@victorcephas3618
5 жыл бұрын
Part 2, nasubiri part 3
@stevenmligo8868
5 жыл бұрын
Asante jeshi tufanye ivoivo na walio piga lisasi kwa Lisu na alie mtolea pistol Nape
@cleverboy3812
5 жыл бұрын
Wazungu au ni weusi wenzetu?? Kama sio wazungu je wale mashahidi wa siku ile ya tukio waliosema walikuwa wazungu walipata wapi?? Tukumbuke hata RC wa mkoa pamoja na kamanda hapo mlisema walikuwa wazungu.. !!!
@paullutonja5904
5 жыл бұрын
Duh, alikuwa anawekewa na neti??? lol bilionea bilionea tu kwa hiyo hiko chumba hata mo hakijui kwasababu alikuwa kafungwa macho.. Na kwann twalib asiulizwe maswali na waandishi? just thinking loud
@bravojuma2046
5 жыл бұрын
Hii move bado inaendelea kumbee?
@consolatamaarufu58
5 жыл бұрын
Ben je? asante jeshi letu
@onionpeeling5822
5 жыл бұрын
Shilingi ngapi walimlamba ?? Mbona hiyo hamtuambii??
@michaelmwele3524
5 жыл бұрын
Acha nikae kimya kwanza.
@benoseaone
5 жыл бұрын
Kama vile inafanana hii move na ile story ya alichotakiwa kufanya Nondo kwa DCI. Very intelligence👀
@isiaka7930
5 жыл бұрын
This is what we call... 6th Sense 👌
@faridaambekhaaanikweliapol3059
5 жыл бұрын
mungu nifundishe kunyamaza maana mwanangu anantegemea na pia Nina ndoto meme
@onnesimodaniel174
5 жыл бұрын
Waongo ,,,
@allanlawa6983
5 жыл бұрын
akili yangu inakata kabisa kufunguka.
@ummumunira7566
5 жыл бұрын
Tumesikia mkuu, tunaamani na nyingi asilimia zote
@januarylugasio8040
5 жыл бұрын
vizr sana! lkn msichaguechague, na kuficha ukweli, wekeni mambo wazi kwa wahanga wote, hapo tutaamini! bila hivyo hiyo ni mdanganya Toto! kwann mchaguechague!
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
January Lugasio Nimesomanae meseji yako inaonekana wewe ni Tahiti mtarajiwa
@allybaruti9295
5 жыл бұрын
na ile picha ya gar ya blue ilikuajee kwanza kabisa hamjui kuuliza maswali nyie waandish cjui mmesoma nn huko vyuoni
@ibrahimgwasma235
5 жыл бұрын
Mbona hujaenda kuuliza maswali wewe hapo
@nzwiladotto4018
5 жыл бұрын
Mko vzr watapatikana tu mafala hawa wanafkr Tz ni ya kuchezea
@deuskamugisha3627
5 жыл бұрын
Huyo alishindwa kutoa taarifa kwa baba yake mo akalamba b1
@amirysudy4592
5 жыл бұрын
Mhmh nimovu2
@oscarjgabone3316
5 жыл бұрын
mbna ya lisu mlishindwa kubaini wahusika
@divaifrank764
5 жыл бұрын
Sclaching sana,kwahiyo mnafanya kazi Kwa kua mnadhihakiwa?
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
Yani uyu kashindwa kutoa taarifa akala BILION anaishia mahakamani, ujinga ni ujinga tu, Kamanda fyekelea mbali hawa wapumbavu, walitufanya tukakosa usingizi kwasababu ya MO, jinga kabisa hao.
@christopherkapungu6222
5 жыл бұрын
🤳
@apocalypsething8088
5 жыл бұрын
what language is dat? puchipachi ko tona tuna
@bobugea8265
5 жыл бұрын
Du! Yaani hapa ndo tunathibitisha! Jzmani jamaniiii
@chiefmartin4016
5 жыл бұрын
Swali ni je waliwezaje kutimkia nje ya nchi bila kutiliwa mashaka airport kama mfanyavyo kwenye misako mingine hii nayo ni kali wapange Nyumba kisha wateke mtu bila hata majirani kutilia shaka mishe mishe za hiyo gari na hao watu kweli jamani
@deosilayo702
5 жыл бұрын
mbna kamera mbaya sana
@edwinalexander1170
5 жыл бұрын
Tuliambiwa waliomteka mo ni wazungu leo waweje wabongo?
@jacksonakirwa6655
5 жыл бұрын
Though video hyo nyumba iko makaazi ya watu inamaana tangu mo amepatikana picha za gar ziliwekwa wazi kwann hawakutoa taarifa Za kuwa walikuwa wanaona gari Kama lile mtaani kwao
@olaislogiru2778
5 жыл бұрын
Duh
@princejohn9832
5 жыл бұрын
Uongo mweusi kabisaaaaaaaaaa jamani
@raidondecko5059
5 жыл бұрын
achen uongo mnadhan watanzania ni wa kudanganya kiasi hicho mipaka ilifungwa ulinzi ukaimalika mji mzima mabaa na guest pamoja na hotel vili pekuliwa sasa mnadanganya danganya. achien hao mlio wakamata asi hojiwe kwasababu za kiupelez ujinga mtupu
@ramahhouzzer2342
5 жыл бұрын
mnatuchangaya kama niwageni walimtekea nn?tunata mo atuambue mwenyewe mbona hajasema chochote mpaka sasa
@sombimussa1476
5 жыл бұрын
yani mm cichangii chochote mana sielew bado cjui hii nyumba IPO wapi na walikuwa na ujasir gan kukaa cku zote apo majiran akuna mhhh acha ninyamaze mm
@imakulatasingo1983
5 жыл бұрын
Sombi Mussa kwahiyo ulitaka wakakae msituni ndio uamin ??
@johntahona479
5 жыл бұрын
Mh kwer tz viwanda
@edkingsondaniel7121
5 жыл бұрын
Mbona MO hajaongea mpaka Leo?
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
Edkingson Daniel unataka aongezewe nini Mo?
@Byondorujulika17
5 жыл бұрын
Huwo sio ukweli,uongo mtupu.
@raidondecko5059
5 жыл бұрын
waandishi wahabali mnapoteza taluma yenu mbona michezo na mziki mnahoji na kudadisi alafu kwenye siasa na uhai wa wawatu mnakuwa mbumbumbu achen wawaue inaonekana hamjielewi elewi
@evarsam2866
5 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA NIJICHEKEE MIE
@abdulsalim8900
5 жыл бұрын
Uyo Jamala nyuma mbona anasura mbaya hajausika uyo na mo lkn.?
@cccccc1569
5 жыл бұрын
Watu wa madhehebu mbalimbali walikua wanaomba vyombo vya dola vinahangaika usiku na mchana na vyombo vya habari anasikiliza magazeti anasoma na kijiweni wazungumzia hata hajapata woga alikuwa anajipa moyo na maneno ya hao waliokuwa wanabeza vyombo vya dola Mambosasa usimwachie anaweza kufanya makubwa dhidi ya hayo tena bedui mkubwa
@cccccc1569
5 жыл бұрын
Pesa sio Kila kitu ubinadam kwanza pesa haimalizi matatizo ila matatizo inamaliza pesa kaa ukijua utakosa imani kwa sababu ya pesa bwana Twalibu Mussa jinsi alivyo utadhani mtu wa busara Kumbe sio
@saydbarakismailiya1515
5 жыл бұрын
Tamthilia inaeendelea kumbe nilikua nishaisahau iyo okey wacha tuangalie basi
@paullutonja5904
5 жыл бұрын
hahahahahahaha
@khadijakassimu3710
5 жыл бұрын
Hahahahaaaa 😂😂😂
@philiporevokatus2653
5 жыл бұрын
Afu wandishi wa habari sometimes maswali yenu yako tenge
@sawanjema4889
5 жыл бұрын
waandishi mnapiga kelele
@salehsuleiman1218
5 жыл бұрын
Jmn samahanini movie yetu ina skrach kdg saw ila mmeifaham vzr
@ericamwakyokile1889
5 жыл бұрын
Na wale waliokamatwa mwanzoni inakuwaje ? waliwekwa rumande wasio na kosa kumbe muhusika ni huyo.huyu mtanga .ana dhambi kubwa.
@saradaniel5686
5 жыл бұрын
Ben saanane😂😂😂
@destiny4life439
5 жыл бұрын
kutetemeka sio kitu kwa cx wachezaji tunapokua na mechi lazma mtu atetemeke hata. ku ya kuoa tukiololote kubwa ni lazma mtu awe na khofu kiubinadam kama ni uongo fanyeni ninyi kazi
@nimrodmareges3131
5 жыл бұрын
Piga kazi
@onnesimodaniel174
5 жыл бұрын
Iyo ni muve tu
@petergasaya2445
5 жыл бұрын
Hahaha! Eeeeeeeh...... Mbona mhusika number moja anaulizwa maswali kidogo na kuachiwa?? Mmmmmh.
@mwikamwika4851
5 жыл бұрын
Kwani ameachiwa?
@ukweliunauma4570
5 жыл бұрын
Deal
@mussamussamussa8444
5 жыл бұрын
Huyo jamaa alikuwa baharia kachacha sasa ngaingia kufanya mambo maba ya afungwe ikiwezekana akafie huko huu mchezo wa kutekwa Watu haifai hata kidogo apewe adhabu ok ajutie alichokifanya
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
Hadi wenye ki walioshiriki way apatikana tu
@silasnnko4384
5 жыл бұрын
Hizi drama zenu zitaishia wapi? Mnatengeneza drama ili kuzima ishu ya korosho
@paulsasuma8713
5 жыл бұрын
Wewe naye Kumbe Mbumbu
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
Silas Nnko wewe nichadema pia inaonekana unajua ukwel ndio maana unasema ni maigizo
@maruchiusmutalemwa2492
5 жыл бұрын
Wewe nae korosho na hili vina uhusiano gani,,
@zuberimgawilo2639
5 жыл бұрын
Huyu dereva mtu mbaya sana alikula njama na yeye apate hela sasa wamemuachia manyoa tamaa mbaya
@ukweliunauma4570
5 жыл бұрын
Usiamini kila ukisikiacho ujanja ujanja tu. Hujui serekali wana Njia nyingi za kubadili mambo. Wameingiaje nchini kama hawana visa. Ujanja ujanja
@mbukumagiubukumagu406
5 жыл бұрын
Huyo dereva tax anajuwa ishu ya mwanzo mpaka mwisho tamaa imeponza?
@ramadhankibwana6425
5 жыл бұрын
Hivi inaingia akilini dereva wa taxi apange kwenye nyumba kama hii si kweli hi I movie2
@maestrojayysule5660
5 жыл бұрын
kumamayo
@ibrahimmkanda6358
5 жыл бұрын
Ramadhan Kibwana hahahahaha
@ibrahimmkanda6358
5 жыл бұрын
Juma Suleiman unatukana mini? acha ufala
@imakulatasingo1983
5 жыл бұрын
Duu asilimia kubwa watanzania bado no wajingaa kama huyu
@maestrojayysule5660
5 жыл бұрын
+ibrahim mkanda .ww fala namba moja .pumbavu ww
@luciusdaniel1
5 жыл бұрын
Majina yao kamili ni kina nani?
@goodluckminja9101
5 жыл бұрын
Yatakusaidia nini
@rosekadanga3940
5 жыл бұрын
sio kweli unatetemeka huo ni uongo
@tolutolu2970
5 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
@abdulsalim8900
5 жыл бұрын
Sasa na tundu lissu vip uchunguzi wake miaka inakatika
@lucasjacob6245
5 жыл бұрын
Abdul Salim swali zuri hill na lissu jamani
@ernestjohanes9087
5 жыл бұрын
Kosa liko wapi mbona sielewi hawa walijuaje ?!!!
@mwitagirimbe3242
5 жыл бұрын
Ernest Johanes
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
Ernest Johanes upelelez manake nini
@chiefmartin4016
5 жыл бұрын
Si tuliambiwa ni wazungu ama nilisikia vibaya?
@bigpoppa5409
5 жыл бұрын
Kwani Sauzi wote ni weusi?!
@maruchiusmutalemwa2492
5 жыл бұрын
Huku nae buyu
@sajabri2643
5 жыл бұрын
Changa la macho
@imakulatasingo1983
5 жыл бұрын
buyu kwelikweli ndio ujue watanzania wengi hawajui kitu ila midomo tu
@lucasjacob6245
5 жыл бұрын
Chief Martin mm mwenyewe nilisikia wazungu au masikio yangu
@immamlowe7151
5 жыл бұрын
Wenyeji tutawapata tu walioshirikiana nao kuteka
@paullutonja5904
5 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha. Bwana Twalib bhana.... sanaa na wasanii. Bw. Twalib anajua siku waliyoondoka hamkumuuliza wanaitwa wakina nani? ili tulishilikiane na polisi Sauz kuwabaini!!???? sijaona sababu ya kuwa proud kwa hatua hii..
@kaizarkichenge3275
5 жыл бұрын
Yupo WAP azol
@doramarcel1013
5 жыл бұрын
Dah nashindwa ata niseme nn
@Saniamunguatujaliyemwishomwema
5 жыл бұрын
Allah aturide nawatekaji kwenye nchi yetu
@Saniamunguatujaliyemwishomwema
5 жыл бұрын
Je wariyo kuwa wakimushitumu raisi na makonda apo amujui kuwa maneno mengine niupotoshaji
@Saniamunguatujaliyemwishomwema
5 жыл бұрын
Mupo vizuri sana
@richard.rkilonzo7538
5 жыл бұрын
Acheni kudanganya watu Marekani inajua kila kitu. Serekali ya Tanzania haiaminiki tena yaweza tumika kuteka watu watu zaidi ya 50 wamepotea ni vipi?. Mheshimiwa amekuwa Daniel Arap Moi.
Пікірлер: 202