Mitandao ya kijamii ni pamoja na hii mikutano munayoitisha waandishi wa habari ndio wanapata fursa ya kuwaangamiza hebu acheni mitandao fanyeni mikutano yenu bila kutokea mitandaoni ambako inaonyesha kila mtu anakimbilia huko sasa. Kiongozi aachane na mitandao la sivyo mitandao ina matatizo makubwa sana.
@abdallahally842
Жыл бұрын
Msemaji ni mojaa tu kila shekhe wa mkoa akiongea inakua fujo hatakma Yuko sahihi lkn utaratib uwe msemaji moja akisema basi Baraza limeongea samahani lkn ndio mawazo yangu
@swalehemrombo9301
Жыл бұрын
Yaah mawazo sahihi sana kabisa maana mikoa Iko mingi sana Sasa Kila sheikh wa mkoa akiinuka tu na tamko lake so itakuwa fujo kweli.! Mi nadhani bakwata wange toa barua kwa masheikh zake wa Mikoa watulie Sasa kwakuwa mambo yenyewe Sasa yanaonek kupoaa
@eaglecrown6470
Жыл бұрын
Bakwata inatakiwa iwe na msemaji maalumu juu ya masuala yahusuyo taasisi yake sio kila mtu kukulupuka tu
@ayububakari9942
Жыл бұрын
KILA MKOA YATAKIWA WAZUNGUMZIE YANAYOHUSU MKOA WAO TENA BILA KUITA VYOMBO VYA HABARI !! KWANI HATA WEWE UNAYOJITOKEZA MITANDAONI HUENDA KUNA AMBAO UNAVUTANA NAO HAPO KWAKO !! SASA UNAPOTOKEZA MITANDAONI KUZUNGUMZIA MAMBO YA TAIFA (MUFTI) FAHAMU KUWA UNARUKA DARAJA LAKO !! FUATA PROTOCAL YA UONGOZI NA KAMA UNATOA MAWAIDHA TOA LAKINI MAMBO YA BARAZA USIYATOE SEBLENI NA MATOKEO YAKE UTAKUTANA NA WALIO SEBULENI NAWE UKAJIKUTA UKO SEBULENI !!
@salimabdallah5304
Жыл бұрын
Kuna watu waliikejeli qraani na kuichana hamkuongea. Lakini mfuti kwasababu mnanjaa mnakurupuka kuongea. Njaa mbaya.
@harunamaulidi6642
Жыл бұрын
Unawateteaje watu wanaowatusi maswahaba navidio zao zipo navitabu vyao vipo
@harunamaulidi6642
Жыл бұрын
Abe ketini basi kielimu mbona mwaifanya dini nimiliki yenu?
@abubakarmwasumilwe7070
Жыл бұрын
Bakwata wpo nyuma kimaendeleo ona ofcn yako utafkiri banda la mbuzi..
@selemanally2038
Жыл бұрын
Hakika
@yusufunguruko8080
Жыл бұрын
Kwa hiyo Mashekh wa mikoa ndio wasemaji wa Mufti na Bakwata ?
@daud405
Жыл бұрын
sasa ndo nini hii. kila mtu anajipendekeza kwa Mufti. yaani bakwata hawana mwelekeo . inakuwaje kila mtu anaongea kuhusu Mufti . nadhani tusibiri mashekh wa mikoa mengine waongee. kila mtu anajifanya amesoma
@harunamaulidi6642
Жыл бұрын
Basi nyie niwanasiasa
@rashidyally8715
Жыл бұрын
Sasa shekhe amekerwa na mitandao ya kijamii au amekerwa na watu wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii ?
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Ushaelewa
@masudimaftah4318
Жыл бұрын
BAKWATA HAITFAI WATANZANIA. DHULMA IMEKITHIRI, UZINZI WAKE ZA WATU, MATUMIZI MABAYA YA MALÍ ZA UMMA, RUSHWA, ULAGHAI, UONGO, UDANGANYIFU WA KULA HELA ZA MAHUJAJI, KUFARIKISHA NDOA ZA WAISLAM NA MENGI ZAIDI.... WA BILLAHI TAUFIKI
@salumurembo6525
Жыл бұрын
Unao ushahidi wa haya unayoyasema shekh? Iwe kweli basi kama ni uzushi utakuwa dhima kubwa mbele ya Allah
Пікірлер: 17