upo vizuri sana katika ushauri wako mama swari sasa iyo nguvu ya ulimwengu nimtandao gani au nikitugani samahani kama nitakuwa nimekukwaza naomba kunua
@RehemaMwita-jr2gt
Ай бұрын
Nipmepokea
@janethshayo9063
3 ай бұрын
Ahsante Sana aunt kw mafundisho yako ya nguvu za universe,Mimi nimeona matokeo makubwaa kupitia maji na chumvi,barikiwa Sana kw jina la Yesu
@rehemamasanja8875
8 ай бұрын
Asante sana dada kwa mafundisho mazuri. Niko tayari kuamini nguvu za universe, amen
Asante sana Mimi ni mgeni kwa wiki mbili sasa,nimeanza kushudia vizuri nguvu za universe zina uwezo kabisa,mungu akupe nguvu za kutuelimisha,asante
@jamesmagwiza8388
5 ай бұрын
Uko vizuri sana mpendwa nimekuellewa, unadar
@melkiadakadende444
3 ай бұрын
Asante mama Mungu akubariki
@jacklinemutayoba2132
9 ай бұрын
Asante sana
@mallemaOg
11 ай бұрын
Dada ahsante mnoooo kwa maajabu tu ninayoyaona kabla hata cjaanza kufanikiwa kwangu inatosha kusema ahsante dada nitafata hatua zote mpaka nifanikiwe na kwenye pesa
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Nakutakia mazuri zaidi 🤝 ❤️
@RufinaMbunda
Жыл бұрын
Asante kwa maelezo yakoje naweza kuweka limao nagrasi ya maji kwa siku moja
@NGUVUZAUNIVERSE
Жыл бұрын
Hapana, fanya mbinu moja kwa wakati mmoja
@salamabakari8384
8 ай бұрын
Ahsante dada
@SebaBesson
Ай бұрын
Asante saaana kweri kutuj7lisha ilo
@VailethVedastus
Ай бұрын
Asante dada yakibaki maji meupe nayaoga
@HumphreyKarua
11 ай бұрын
Hi dada nina tatizo hilo nitatumia tiba hii asante sana h
@YohanaDominic-r1o
8 ай бұрын
Asante dada tupe ya kushinda tunaobeti sasa
@marymushi5938
7 ай бұрын
Kbsa team 20 unakuta 2 zinachana au moja
@DanteAhmad
9 ай бұрын
Dada mm ndani kwng kuna ndege wamejenga viota vya nyas je ni ishara nzuri au niwatimue
@NGUVUZAUNIVERSE
8 ай бұрын
Ishara nzuri sana,usiwatoe
@ImaniAlly-n6i
2 күн бұрын
@@NGUVUZAUNIVERSE utanuwia maneno gani wakati wa kuoga hizo dawa?
@ZubedaKilenza
3 ай бұрын
Yani nimeona.matokeo❤
@ShakilaAlly-c4d
11 ай бұрын
Ahsante kwa somo zuri
@buhitexmohamed4785
8 ай бұрын
Shukran sana
@AbaAbaa-t6h
8 ай бұрын
Asante nikotayari kwanini nguvu za yunevercity😊
@HassanNyandwi-dk7tv
11 ай бұрын
Asante dada ninashukuru kupata mafunzo mazuri
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Karibu 🤝❤️
@gakinjaveronica-cl3lx
11 ай бұрын
Asante dada
@annielike3848
9 ай бұрын
Thanks so much
@NGUVUZAUNIVERSE
9 ай бұрын
You're welcome!
@Gracekato-i8l
7 ай бұрын
Napokeamuujiza WA kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@pascalbeda7415
Жыл бұрын
Ahsante kwa mambo mazuri
@NGUVUZAUNIVERSE
Жыл бұрын
Karibu 🤝❤️
@biheheamani6217
5 ай бұрын
Napokeya muhujiza wakuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@SaimonMatika
4 ай бұрын
Tajiri mwenye baraka na mafanikio makubwa ni mimi 🙏🙏
@LeodgardMmassy
20 күн бұрын
Ok habar za Leo? Je unaweza kutumia glad ya maji pamoja na kuwasha mshumaa kwa pamoja kuondoa hizo nguvu mbaya ? Yan kutumia vyote kwa pamoja?
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj
11 ай бұрын
Dadá kwanza nikushukuru Kwa somo lako mungu Akupe zaidi ya unacho kitoa asante pili swali nifanyeje ili kudhibiti ninacho kipata kiweze tulia
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Karibu Sana,, hakikisha nyota yako ipo vzr kila kitu kitakaa sawa
@RamadhanishabaniMseswa-qy9xj
11 ай бұрын
@@NGUVUZAUNIVERSE madam samahani ili kujua kama Nyota iko sawa nifanyeje pia nimetamani kujua zaidi ni vitu gani au Chakula gani tunapaswa kutumia ili kukaa sawa tusisumbuliwe na matokeo mabaya kwenye maombi
@dalilahothman-z3x
6 ай бұрын
Chumvi hii haitakiei kukaa wazi kwani inavuta vituhasi sasa maduka i utakuta iko wazi .Je tunapoinunua ktk hali hiyo inakuwaje? Itafaa?
@NGUVUZAUNIVERSE
6 ай бұрын
Ibariki kabla ya kuitumia
@JosephMatagaro-v6t
11 ай бұрын
Nipo karibu kupokea muujiza
@TawosiTawosi
3 ай бұрын
Ahsante sana
@RoselineNangila-n8p
8 ай бұрын
Nashukuru sana lakini ikiwa huna choo cha kuflash unafanje
@mashaurifoundation
4 ай бұрын
Napokea Nguvu Mpya Kutoka Kwa Universe
@IbrahimKidaa
11 ай бұрын
asante
@GeorgetteNzeyimana
Жыл бұрын
Nimekosa mteja wakuuza nyumba wakitizama wanapenda hata pesa tunakubaliana ila wakiondo tu awarudi tena nifanyeje ???
@RizikiTesha
10 ай бұрын
Sawa dada ngoja nijaribu
@RizikiGalibwa
11 күн бұрын
🎉dada nitumiye numero zako mafudisho haya ni mazuri saana
@mathewrashid-i2n
Ай бұрын
INAWEKWA VYUMBA VYUMBA VYOTE AU KIMOJA TU?
@MagesaChacha-n4o
4 ай бұрын
Dada mimi ni muumini mzuri sana wa nguvu za ulimwengu na zimeniletea matokeo chanya kifedha,sasa nauliza kila nilalapo huwa huwa nastuka usiku wa manane kwa ajili ya kenda haja na wakati huo huo huangalia saa yangu katika simu kuna muda nakuta 2:02 au3:03 au4:04 na siku zote nikiona hivyo huwa silali tena hutafakali na kuanza kumwomba mungu mpaka alfajir je nimakosa?
@JohnKipalile-bq9ec
2 ай бұрын
Kuna Somo alilifundisha kuhusia na hiyo mida
@AnnaShonga
7 ай бұрын
Nataman sana niisome elimu hii nitaipataje?
@marianamichael5406
8 ай бұрын
Samahan hiyo karafuu na mdalasini sio lazima iwe ya unga hata magome yanafaa
@eliciamkama7315
9 ай бұрын
Asaante
@ShabanTamla
11 ай бұрын
Nimekubari nitafanya
@subiramustapha6125
5 ай бұрын
Napokea muujiza wakuondoa nguvu mbaya katika maisha yangu yote
@SecretariatZanzibar
11 ай бұрын
Haya maji ya chumvi, limau na mshumaq unaweka siku moja au siku tofauti?
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Sikiliza video,, utapata jibu la swali lako
@MahutaAyeba
21 күн бұрын
Jambo je!ku flash Ndio uni?
@marianamichael5406
8 ай бұрын
Ma ukitaka kuogea chumvi na hiyo mdarasin pamoja na karafuu unaweza kuogea hata choon au bafuni
@NGUVUZAUNIVERSE
8 ай бұрын
Bafuni
@marianamichael5406
8 ай бұрын
@@NGUVUZAUNIVERSE sasa la guns Bafi unaogea choon utafanya je kwenye nyumba za kupanga
@MapendoMoshi-fs6km
11 ай бұрын
Uko vzr dada
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
🙏❤️❤️
@maasnyinyigwa9330
Жыл бұрын
Ninaweza ogea chumv na mdarasi pamoja kwaajili ya pesa
@NGUVUZAUNIVERSE
Жыл бұрын
Ndiyo
@DoreenMichael-t2p
Ай бұрын
Kuoga hiyo ni maji ya aina gani yaani ya moto au ya baridi?
@WemaeliWarema
4 ай бұрын
Napokea nguvu moya kotoka kwa universe
@antonlwila8143
Жыл бұрын
Mimi napenda kujua inapatikana wapi nionane na wewe live.
@Warda-o7e
2 ай бұрын
Yani apo umenisema mm kabisa
@HamduMaulid
Жыл бұрын
Nitumie ujumbe wa Kinga yenye2e
@EtaparElizabeth
2 ай бұрын
Asante dada number yako
@PaulineMputhia
2 ай бұрын
Akikuja Na kusimama Kwa ukuta tu afanyi kitu chochote inamaisha aje?
@khadijasudy9859
Жыл бұрын
Asatee kwa somoo
@JunesAtilio-sr9fl
8 ай бұрын
Asante sana dada
@Jammie626
2 ай бұрын
Amina
@Jeopar_dize
4 ай бұрын
Je, baada ya kufanya Hilo zoezi hazita nizuru yaani kuleta madhara
@rtrw708
11 ай бұрын
Assant saana dada yangu
@InostmagoyoMagoyo
8 ай бұрын
Nimelima shamba la mpunga lilikuwa vizuri lakin nahsi limeharbiw kichaw mpunga unaharbika tu nifanyaje
@HafiidhBaraba
Жыл бұрын
Kama unaixhi kwenye nyumba za udongo
@TinaAchieng-t4t
2 ай бұрын
Amin
@monicamonica1511
8 ай бұрын
Kama je nikiweka sebule i??
@MilliaPaschal
Жыл бұрын
Naomba urudie pale kwenye mdalasini
@AnithaRiwa
Жыл бұрын
Nitumie number yako Kama hauna hela kabisa utaweza
@Juster-d4g
8 ай бұрын
Nikotayali kujiunga nanguvu za yunivas
@ibrahimkumrwa5768
7 ай бұрын
natamani kujuakuondoa nguvu mbaya ndan mwangu
@jamesmagwiza8388
5 ай бұрын
Mimi choo limeungana na bafu nafanyaje niweze kuoga bafuni?
@MaryOmbay-nx4ci
3 ай бұрын
Mi pia choo kimeungana na bafu nimehamia bafu la nje ili niwe nimefuata mashariti hadi hapo ntakapjenga bafu zuri lililojitenga na choo😅
@monicamonica1511
8 ай бұрын
Pia nyumbani kwangu kwenye veranda wamejenga mmbu wengi juu ukutani. Nimeshindwa kuwafukuza kwani ni wakali kweli.Nazo hizo ni isshara gani.
@NGUVUZAUNIVERSE
8 ай бұрын
Zipo dawa nyingi sana za kuua mbu
@DoreenMichael-t2p
Ай бұрын
Pia unaoga kwa muda gani?
@EVERLINEMoraa-zo2vi
29 күн бұрын
Nina watito wangu walikua waerefu but wamefika hawapiti vuzuri masimo yao nifanyeje dada
@nazarypound
11 ай бұрын
Au ni lazima utumie njia ya kwanza ya glass
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Chagua mojawapo fanya
@anniajames6678
4 ай бұрын
Napokea muujiza wa kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
@PriscaKimario-s2i
2 ай бұрын
Naomba namba yako mm ninashida ninaitaji uni saidie
@kalulumango-ql5sg
11 ай бұрын
Jambo dada na weza Pata namba ya kwako ya upeke ?nataka maogezi
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Njoo inbox Facebook
@AllyLuambano
11 ай бұрын
Hiyo venegi inapatikana dukani au wapi
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Ndiyo dukani
@nurdinibrahimu7312
10 ай бұрын
He ukimwaga maji unamwaga pamoja na hiyo chumvi au
@NdayisengaRamadhani-hs3yw
11 ай бұрын
Naitwa rama swali nihili sasa nangumvu mboya ziko muwilini zenyewe zinaondoka kupiya hiyi tiba ya chumvi ao limao
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Kusafisha nyota yako
@BarakajumaJumamadirisha
Жыл бұрын
dada mambo
@ntezimanalambert8233
6 ай бұрын
Dada naomba Unieleze Namna Ya Kutumia Olive Oil
@veronicaaugust1793
2 ай бұрын
AMINA
@frankdaudi7394
4 ай бұрын
Kwa nguvu ya ulimwengu napata ushindi wa mafanikio kwa kila jambo
@marianamichael5406
8 ай бұрын
Na unaoga wakati gan au mda wowote tu
@NGUVUZAUNIVERSE
8 ай бұрын
Muda wowote
@MeshachMbithi
Ай бұрын
Alafu muda wa kuoga ni siku ngapi
@SaidRashidi-q9e
11 ай бұрын
utupemae lekezo ya kuondosha nguvumbaya ndani namwilini
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Tazama video yangu mpya nimetoa Jana tu
@mallemaOg
11 ай бұрын
Ila dada nilichogunduwa kama mtu atakufatilia na kukuelewa vizuri na kufuata kila hatua hakutakua na haja ya kuomba namba wala kulalamika lalamika hovyo
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Nashukuru sana kwa kulijua Hilo 🤝❤️
@AshaAdam-o6y
11 ай бұрын
Asate dd
@dingadinga6674
Жыл бұрын
Hvi vitu mdarasin na chunvi haukosi pesa
@ZeddyZeddy-o7v
Жыл бұрын
Mdalasini na karafuu za unga za faa?
@NGUVUZAUNIVERSE
Жыл бұрын
Ndiyo, unaweza kutumia
@Esendi564
11 ай бұрын
Sasa huku warabu ukipata na hizi vitu wanasema ni uchawi utaenda jela buree
@SaintNjuguna
9 ай бұрын
Hao ndio wenye negative Energy, ukifanya hizi vitu unafyonza nguvu zenye zinawasaidia
@felisterjoshuamollel3930
10 ай бұрын
Dada mimi nlieka maji ya chumv kwa cku saba lkn hayajachafuka
@NGUVUZAUNIVERSE
10 ай бұрын
Hakuna nguvu hasi
@LevinaRichard-nz3yn
Жыл бұрын
Iyo limao unaweka siku ngap?
@NGUVUZAUNIVERSE
Жыл бұрын
Masaa 24
@fredrickkitende8439
6 ай бұрын
Limao na chumvi ya kwenye maji unaweza tumia vyote kwa pamoja
@NGUVUZAUNIVERSE
6 ай бұрын
Chagua mbinu mojawapo
@hadijachedy7725
11 ай бұрын
Mamy nimeweka maji nachumvi kwenye glas baada yamuda glass ikavunjika itakuwa ni nn mpk ivunjike
@NGUVUZAUNIVERSE
11 ай бұрын
Imevunjika yenyewe au ww umeivunja
@hadijachedy7725
11 ай бұрын
Hapani sijaivunja bali imevunjika niliweka sehemu pembeni yakitanda muda huo nilikuwa ndio namalizia kifanya maombi ya mshumaa nakaratasi ikadondoka kutoka hapo juu yakitanda mpk chini nakupasuka vipande
Пікірлер: 183