Hapa @jumaayo umeweza Sasa kwa kuweka kama ni part one bas ni ndefu inaleta maana nzuri👏👏👏
@manoramatv858
Ай бұрын
Mimi mama yangu na baba yangu pia walifariki mwaka mmoja, mama alifariki mwezi wa tatu na baba alifariki mwezi wa sita. 😭😭😭
@mnakayamajaliwa6510
Жыл бұрын
Mwamba uyu AMBAGILE NAMKUBALI MNOOO Mungu amtangulie mnoo aseh🤝🤝🎖️
@mnakayamajaliwa6510
Жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@maulid1950
Жыл бұрын
Ndoto kuwa daktari fani mcheza mpira kazi uchambuzi wa mpira , 😂😂 ok anyway ii ndio Tanzania 🇹🇿 unasoma PCB unakuja kua mchambuzi Bora wa mpira 😂😂 naipenda nchi yangu 🇹🇿🇹🇿
@anithawidambe7543
Жыл бұрын
HONGERA SANA AMBANGILE UPO VZR SANA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU
@asherymwande5644
Жыл бұрын
Mchambuz no 1 tanzania asiye na longo longo wala kupinda
@yusuphraphael6142
Жыл бұрын
Mnyakyusya wa kwanza anae lijua boli kulichambua nakubali san bro 👍👍👍👍👍👍👍
@pquimdebecare962
Жыл бұрын
Sio kulichambua tu hata technical instructor kwa maana kulifundisha
@philimonangetile4477
Жыл бұрын
Tunaomba part two yake mwamba namkubali Sana na ninamfuatilia Sana mwaisa.
@danieljs4285
Жыл бұрын
nchi hii hamna wakumzid uyu jamaa hanaga siasa za kishamba
@ramadhanmaisa788
Жыл бұрын
Kocha pep nakubal xna✌
@esthermwangeni2120
Жыл бұрын
Mchambuzi makini sana huyuuu wanyakyusa tuko making sanaaaaa
@KidotiTwiga
Жыл бұрын
Nampenda huyu kaka🙌🙌🙌
@iliasaabdallah8490
Жыл бұрын
Anajuwa sana
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Eti akianza kufariki mke beki hazikabi kabisa😄😄
@believeroppah744
Жыл бұрын
nakumbuka kilikua kipindi unapokea kipamara . G . unakumbuka
Пікірлер: 23