SHEIKH ZAID,Allah allujalie mwisho mwema na udumu ktk msimamo wako huo wa kusema kweli
@user-rf4yq9yj7u
4 ай бұрын
Wapo wanaepiga picha kwa riya ambapo haifai na wapo wanaopiga picha kwa nia nzuri na safi kwamba aliotoa sadaka nae aone sadaka yake imefika awe na amani maaana watu wengi wanapoaminiwa kufikisha sadaka hawazifikishi sio kwamba wanawadhalilisha watu
@2003hintay
4 ай бұрын
Asante sana Sheikh uko. Vizur sana
@Mustakimuhudi
2 ай бұрын
Shukranishekhkaribukisakimorogorokusini
@mbwawafillingstation
4 ай бұрын
Shehe Zaidi unasemaga kweli kabisa duwa zako imenisaidia
@ExecutiveHouseKeeperElewana
4 ай бұрын
Sheikh hongera sn.Namba ya simu ya sheikh
@kassimhashi49
4 ай бұрын
mungu akupe afya.nipo kenya
@zvpOnlineTv
4 ай бұрын
Amiin
@ayubutwalbu6594
4 ай бұрын
Allah akubaliki
@sonnyr1899
4 ай бұрын
Sheikh nashukuru kwa kujitoa MUHANGA kukemea hiyi dhihaka inayo endelea. Na haswa kuna hili kundi hatari jipya linaitwa machawa hili kundi ni hatari
Ufuturishaji unatumika kamabiashara tajirikeni sijui kwa Allah ilamaneno ni matamu
@masoudalriyamy6298
4 ай бұрын
Wataonekana vipi kama wanafutarisha ikiwa hajawapiga picha watu wakati wakuwafutarisha
@HusseinKarumna
3 ай бұрын
Kk unatakiwa kusoma kwanza kabla ya kutoa mawaidha unamkosea sana Mtume wetu صلى الله عليه وسلم hadidhi haipo hivyo ulivyo isoma Allaah atuongoze
@zaidmakuburi5270
3 ай бұрын
Safi bingwa wa kukosoa ifundishe wewe
@zaidmakuburi5270
3 ай бұрын
Elim gani
@HusseinKarumna
3 ай бұрын
@@zaidmakuburi5270 أصول الدعوة Kauli ya kusema kuna makabila haifai kuoa Haina mashiko yoyote bali ni kueneza ubaguzi kuna vigezo kk Uislamu vilipatikana kwa mwanaume na mwanamke bc hapo halitazamwi kabila إن أكرمكم عند الله أتقى كم ndio maana kabla husema watakuwa kusoma
@user-pv4qj7dw6m
4 ай бұрын
Shekhe mbona wanafunziwako kamera hawaonekani sasa unaonekana wewe na uyo mzee
@zaidmakuburi5270
3 ай бұрын
Ili iweje
@twalibmavumba
4 ай бұрын
WATU WANATOA ILI WAPATE VIEWERS 😂😂😂
@user-fc4vl8zi4r
4 ай бұрын
Sio wote wengine wanatuhamasisha na sisi tutoe
@twalibmavumba
4 ай бұрын
Dini haipo ivyo kaka, Kama huamamisishwi na mawaidha ya kutoa hata uone aje malaika huwezi hamasika kutoa
@mwawekomiuda9779
4 ай бұрын
Dini haina kuhamasisha sio mpira.@@user-fc4vl8zi4r
Пікірлер: 33