Asante Lucas, Mumbi Wa Naivasha ako locked wapi likes
@zenaathumani8144
18 күн бұрын
Asante sana Lucas kwa kutuletea simulizi hii mpyaa 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉 from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao wote wapenzi Wa Lucas
@gedizwamama
18 күн бұрын
Wakwanza
@sabrahmonthana1796
17 күн бұрын
Jamni mmi wa mwisho hapa ninaanza hapa kuskiliz hii simulizi naomba isiishe vibaya
@nurianaramadhan
18 күн бұрын
Huyu bora akojoe alale tu😂😂😂😂😂😂😂
@vailethvennance4651
18 күн бұрын
Asateeee sana kwa simulizi jamani nipeni ata like kidogo tu 😢
@judithminyoso429
18 күн бұрын
Wa tisa mie Maua ya kaka Lucas🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ReginaJumanne
18 күн бұрын
Duuuh mapenz yanauma jaman hallo unaweza ukapata ukichaa kwa kitendo cha second2😢😢😢😢
@ReachelChemtai-m2s
16 күн бұрын
Amen mungu na mtu ah hata ni shatani wanaweke wameisha mke mwema hutoka kwa mungu. Asente Sana Lucas lumbasi
@furahangoty5059
17 күн бұрын
Hy recho naona angemshirikisha shangazi yake kwanza , marafiki mmm naogopa mbeleni japo Sofia anaonyesha kwa sasa anaushauri kwa sasa
@lulengoamos4165
18 күн бұрын
Asante lukas
@hafsasaid9666
18 күн бұрын
Yan hum tungefanya hivi ilikila mmoja afaidike na like ukiingia like coment utayoikuwa mbona wote tutafaid lakin zakuomba 🤔
@christinahaule-p8i
18 күн бұрын
ivan 😂😂 aliomba ajifikirie na mwanaume unaanzaje kumwambia unampenda siku zote mwanamke ukimwambia mwanaume unampenda mwanaume anakuzarau 😂😂❤❤ unavarishwa pete na mwanaume ajawai kukuambia anakupenda 😅
@ReginaBenjamin-ij2ec
17 күн бұрын
Asant mungu kwa kutukutanisha Tena apa kak lucas asant kwa kaz nzur
@YasintaHongela
18 күн бұрын
Kaka Lucas asante unashusha simlizi kila diku kama mvua za masika
@FatumaWasadiki-rv2iv
18 күн бұрын
Nimewahi leo
@Babyfaty-m3y
18 күн бұрын
Wakwnz jmn 😂😂😂😂😂
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
😂😂😂hapa kuna mapya sana yakujifunza😂😂😂😂😂 na jukumu lakutongoza kwa asili ni la mwanaume ambae ni kiongozi ktk familiaa🤣🤣
@ShadyaKipingu
18 күн бұрын
❤
@Babyfaty-m3y
18 күн бұрын
Ww recho.ndo sabbu ya William kwenda jela mna hukmwmbia ukwel mapma ungesema ukwel wla msige fika uko
@FaithPeter-j4w
18 күн бұрын
🎉🎉🎉
@mwanasiti83sete63
17 күн бұрын
Thanks kaka lucas ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@neargirl73
18 күн бұрын
Adi raha
@LeeYanOm
18 күн бұрын
Nyie watu kwani mnashinda KZitem maana ata hamchelewi yani,maua yenu guys ❤
@TeklaNdekeja
18 күн бұрын
❤❤cherewa ufike nipo mjengon je like nitapata wapenzi?, Lucas 🤝💯 San ktu kpyaaa! Oooh chidy tupe maneno👂👂🎧🪑🏃
@anunalamin6472
18 күн бұрын
Shosti namuona pamela kwa p .p ulimpenda mno😅😅
@TeklaNdekeja
18 күн бұрын
@@anunalamin6472 Niko nae hapa ikuru
@eliasmungah3928
18 күн бұрын
pamela part2 😢😢
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
Iliishia hiyo haina party two😅😅
@marthasonia5005
17 күн бұрын
😢😢😢🤔
@Sss-b9w6f
18 күн бұрын
WakwanZa
@Fatum112
18 күн бұрын
Jamani wanandoa ukweli humueka mtu huru❤❤
@GiftyAndrew
18 күн бұрын
❤❤🎉🎉
@OmanBahla-i5g
17 күн бұрын
Hii simulizi huyu mpuuzi tu laiti ingalikua mm ningelianza na shangazi yeye ndie alienilazimisha kuonges nae mm yote ningemueleza anti nasio recho mtu mzima dawa angejua la kufanya woga wa kipuuzi funguka ukiachika basi nn cha ajabu kwani ukiachwa utakufa?? Aa faida gani sasa
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
Familia ya Lucas mbona munanibania likes sio poa😂😂😂😂😂😂😂😂
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
Haya na maua juu chukua🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
@@avelinabaluhya2804 🤣🤣🤣🤣🤣 usinipe mengi nikashindwa kuyabeba 🤣🤣🤣🤣
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
@@Evelynmoreen3655acha hizo,mbona Edna alipewa maua mengi ya dunia nzima,yakiwa mengi yanakudondokea tu nakumwagika tu 😂😂😂
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
@@avelinabaluhya2804 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@YasintaHongela
18 күн бұрын
❤
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
Ila Recho kazinguwa kwanini usinge muweka wazi mume wako kwanini unyanyasike hivyo si bola uwemuwazi hapo utakuja kujileteya magonjwa bule kisa kuogopa.musema kweli nimupenzi wa Mungu.
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
Mapenzi ya kweli kigezo cha kwanza ni hisia bwana mengine ni kukoleza tu,zikikosekana hizo hisia utasikia mdada katembea nje ya ndoa huo ndiyo ukweli wenyewe😂😂kumbe Mona alikuwa siyo mkweli daa!kumbe ukimuomba,Mungu atakuonyesha njia sahihi,hana hata haya huyu Mona jamani😅😅hawezi kuwa mke bora huyu,kaingia chakike huyu
@YasintaHongela
18 күн бұрын
Hata mi naamini hivyo
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
Hakuna mtu wakuogopwa ktk maisha kama X jamani kila mtu azingatie sana hilo,na kunyamaza bila kumweleza mume wake,huyo aliyembaka akimtumia hizo picha atafanyaje?afadhali kusema ukweli na huyo mume aamue tu kusuka au kunyoa,hapo hakuna namna, maana hakuna siri kati ya wanandoa
@augeniamasha4626
18 күн бұрын
Lucas you make my days happy 😂😂😂
@FatumaJumanne-p4d
18 күн бұрын
❤❤❤
@GraceTesha-r6s
14 күн бұрын
Wooow story Kali sana
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
Huyu Amina nimubabe hapa kupata mwanaume haiwezekani dada anaongea kama chiliku bwana🤣🤣🤣🤣 ila mwishoni Mona atajuta kumukataa Chidy na Amina atamukubali🤣🤣🤣🤣
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
😂😂😂😂utapenda tu huo mdomo wake mrefu😂😂
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
@@avelinabaluhya2804 mwanaume anae mutaka namupa pole ila huyu Mona atapoteza bahati na itamuangukia Amina 🤣🤣🤣🤣
@TeklaNdekeja
18 күн бұрын
😂😂😂
@HijraJuma
18 күн бұрын
ila wewe recho ni mjinga pumbavu zakoo
@rizmwMwriz-mf2cu
14 күн бұрын
Aamin In Sha Allah kka etu LUCAS
@DyanaDyana-v4d
18 күн бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@ZenaidaDaniel-r9d
18 күн бұрын
🤣🤣mama tatu
@Salma-id4yl
18 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@nurafedrick378
15 күн бұрын
Upandee wangu mm ningemwambia mumewangu ukweli wote iliakijakujua itakua nafuu....huyoo ivan anashidaa.gani jamani looo recho siumwambie mumeo jamani
@Viktorkipenzu
18 күн бұрын
Ameizing❤
@khadija.kkhadija.k7885
18 күн бұрын
❤❤❤❤
@WwEe-qc7tc
14 күн бұрын
Duuh ila maisha hayatabiriki unae mpenda hakupendi na kukuona wewe wa nini ila utakapo mpata anaye endana nawe ndipo unakuta ex wako akipatwa na wivu na kuamuwa kukufanya utesele kwa manufaa yake bila kujuwa kuwa maisha hayataki unyonge kama ni ubabe basi unaamuwa kuishi kibabe bila uwoga wala hofu sasa ona Recharl kateseka hata bila kumwambia Aunt yake ama hata mmewe na angemwamini pia akamwamini rafikiye ambae alifeli kumsaidia mwambie mtu ukweli ili maisha yako yawe huru ama mmeo akwamini na atatekebisha anako pia feli. ila hii dunia haina huruma
@Kellyperry947
18 күн бұрын
ᴺᵃʲᵘᵃ ᵏᵘⁿᵃ ᵛⁱᵗⁱᵐᵇⁱ ʰᵃᵖᵃ ᵏʷᵃ chidy😅😅😅
@nurafedrick378
15 күн бұрын
Mm ningekua mona hata nisingefanya chochote kila mtu apambane namaisha yake huyu mona litamkuta jambo huyu chid naye kuna siku atakuja kujua rangi xa mona zote saba ndo atakumbuka ohoo mina ndoalikua mke boraa
@Evelynmoreen3655
18 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu Madam Halima eti ulikuja ukiwa nachupi zimetobokatoboka kama nyavu zakuvulia samaki khaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uuuwiiii.
@avelinabaluhya2804
18 күн бұрын
Hata na yeye Halima ni mshenzi tu wakuuza watoto wa wanawake wenzie,ni yeye alimfanya Mona kuwa na tabia yahivyo,siwapendi watu wakatili namna hiyo
@habibanasoro9024
12 күн бұрын
Asante sana Lucas kwa simulizi 😢
@nurafedrick378
14 күн бұрын
Hivi kweli kunaurafiki wa mtu na ex?jibu nihapana mybe kama umezaa nayy mtakua mnaongea juu yakujulia watoto hali lkn sio urafiki hapo mm sijakubali ex.rafikii hapana
Пікірлер: 88