"UNAPOTATUA MATATIZO YA WENGINE , MUNGU ANATATUA MATATIZO YAKO."
Sehemu ya homilia ya Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia ya Mt Yohana Muzeyi- Minziro jimbo katoliki la Bukoba.
Ametoa homilia hiyo katika Misa takatifu ya kumuombea Omwamikazi Anna Albina Lambert, misa takatifu iliyoadhimishwa Bugandika 22 Septemba 2023.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Негізгі бет Padre Dkt Kamugisha: "UNAPOTATUA MATATIZO YA WENGINE , MUNGU ANATATUA MATATIZO YAKO/ Kazi na sala
Пікірлер: 2