Mungu akubariki watanzania tuliaminishwa mlifungwa kwa sababu mlikuwa na bifu na Kikwete na ndiyo Maana tangu 2005 mlitumika kama kete ya kupatia kura upande wa pili. UMEWAUMBUA KWA KUSEMA ULIYOSEMA. Tanzania siasa bado sana
@m.mmarckus6298
6 жыл бұрын
angalia maisha yako kaka wasije wakakurudisha ndani bureeeeeeeee
@sebastianngimba4850
6 жыл бұрын
safi sana kwa maneno yako
@happinessmathias8491
6 жыл бұрын
aso mtu ana Mungu ww unae Mungu inshaaalaah utafika mbali bro
@hyldanicolemathias9236
6 жыл бұрын
living god no one like him,,,furahia maisha ndug yang
@naomisanga148
6 жыл бұрын
Poleni yote maisha!
@justusmtuku1065
6 жыл бұрын
ety uzoefu wa kuka gerezani 😥daaaa ady uruma
@halimatanzania2069
6 жыл бұрын
mh kwakikwete wafwata nn shukru mungu upo huru namuombe mungu akuondolee husda zadunia endelea namaisha yako
@m2kumbom2kumbo56
6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 papii fresh sana ila umechekexha.... Snapchat 😂😂😂😂
@rosegerson1430
6 жыл бұрын
Sikusaport. Endelea na maisha yako zaidi mshukuru Mungu. Kwa nini msitulie nyie?
@hamadshein935
6 жыл бұрын
Ukimaliza kumuona kikwete.kaonane na trump.umalizie na kabila.mnachosha wajameni.
@larickmtui2852
6 жыл бұрын
Utawekewa kitu ufe hakuna urafiki Kati ya simba na mbuzi wala usijisumbue ww fanya maisha yako kwanza
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Larick Mtui kweli au anatafuta kubambikiwa jingine Huyu hajajielewa?
@larickmtui2852
6 жыл бұрын
Mohammed Salim kama walikua marafiki wangemtembelea au siku inatangazwa ameachiwa mzee Cheka alibadilika nakuonekana mwenye hasira Sana
@allthingdranabeauty
6 жыл бұрын
Larick Mtui kabisa
@salmadashlaquimanelaquiman4427
6 жыл бұрын
Mawasap mmmmmh love u
@zainabufeka5723
6 жыл бұрын
Kweli unamoyo papii duh
@issamsafri8487
6 жыл бұрын
kaka mkubwa hiyo ni ajari kama ya gari Wewe songa mbere tyuu
@aminakawawa5800
6 жыл бұрын
umekuza hongera sana
@asonybenardmgeta736
5 жыл бұрын
uko sahii kaka kama unatamani kuonana na rais mstaaf wa awamu ya nne kama ni kwa wema tu uko sawa wanaosema achana nao huyo hafai usimsikilize kwan wewe usipende kulipza visasi avisaidii chochote kwa baya we lipiza Jema utabarikiwa na utajiongezea azina mbinguni
@noahmwaipopo9142
6 жыл бұрын
Fanya kazi achana na mambo hizo unapenda watu wakati issue yenu ilihusisha ukatili kwa watoto
@rahmsjames9365
6 жыл бұрын
SIKUZOTE RAFIKIYAKO NDIO ADUI YAKO NA ADUI HAKIMBIWI CHEKANAE JAMPO KWAUNYONGE KINAFIKI NAFIKI DAH HONGERA SNA NIMEKUAMIN UNAMOYO WA HURUMA SANA
@sindamkali9913
6 жыл бұрын
nme kuelewa
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Polen sana,wandugu
@congoboymbeyas2440
6 жыл бұрын
Saumu Hassan yani ww kila video nakuonaga una acha comments zako
@jumadea7957
6 жыл бұрын
aiseee
@saidsaid9463
6 жыл бұрын
Du hatari kikulacho kinguoni mwako
@asmabintikiwashatz9321
6 жыл бұрын
love
@neemakilomoni4258
6 жыл бұрын
Mmh kwa hiyo JK family’s ni kama una dandia train kwa mbele fanya yako
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Piga kazi achana na viongozi papii
@suleimanali3716
6 жыл бұрын
Mohammed Salim hilo fumbo kaka hunaja fahamu,, anataka kuonana na kikwete huyo akamuoneshe km yeye kikwete sio mungu,, na kwa sasa yuko njeee
@fgjjgbnko4383
6 жыл бұрын
Jela kubaya kembe papii kanenepa hafla na karangi nakaona
Пікірлер: 61