Asante kwa wote mnaoendelea kuniunga mkono mungu awabariki sana🙏🏾
@jacktonjoseph3479
4 жыл бұрын
Nice Song Bro,,,,,endelea kutupa burudani bro. Karibia kila siku lazma niisikilize hii nyimbo na ile ya BEBE
@hadijamchomvu7844
4 жыл бұрын
Unajua
@monicakayombo4770
4 жыл бұрын
great song sijui kama watu wameuelewa kama navyouelewa....una sauti nzuri sana keep it up
@ambokilevisit8773
4 жыл бұрын
Toa nyingine na nyingine...kiu ya masound mbassa.. Lete vitu
@racheljaphe8977
4 жыл бұрын
Tupo pamoj melody
@livistaredward2075
5 жыл бұрын
Kama unaamini melody ni msanii mwenye sauti nzuri LIKE zenu tafadhali
@victorsomba867
4 жыл бұрын
Nyimbo za maana huwa na viewers wachache, Nani kagundua hili????
@kitovasaidi6753
3 жыл бұрын
Ajabu na kweli🤣🤣
@ambokilemussa3518
2 жыл бұрын
Watu wanapenda kuimbiwa matusi na kuona Dada zetu wanaonesha uchi wao
@taupenisanshimirimana3384
2 жыл бұрын
Mimi Yani nyimbo zake nasikiliza kabla sija lala nanikiamuka hivyo sauti yake ❤️❤️❤️🥰✨
@bavonichristopha1693
11 ай бұрын
Kabisa bro
@debbymwaka4048
4 жыл бұрын
Hongera kijana nifata nikiwa Kinshasa drc na fkiri Kama skosei niliwai kukuona forty forty tabata kule tanzanie mwaka juzy kipindi nipo tanzanie
@kebytz.9890
2 жыл бұрын
Nyimbo kali haipew airtime ...bonge la ngoma
@jimmyandrow3484
5 жыл бұрын
Good boy mziki mzuri video kari so wastaiki pongezi mkaka
@scolahexsavelly4089
3 жыл бұрын
Ngoma kali
@happymwazyele6913
3 жыл бұрын
Nyimbo iko hot sanaaaa...... Kazi nzurii
@elmasroj9712
4 жыл бұрын
Woyoooo safi
@saidkingazi4799
4 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka mpaka shemeji yako anakasirika mana ndani nyimbo zako kila saa
@doublek5764
5 жыл бұрын
Bonge ya ngoma hatariiii sana dahhh
@mr_misifa
5 жыл бұрын
Ngoma kali, mwanangu kaza sana aysee🤸♀️
@jacksontesha7997
2 жыл бұрын
MZIKI MZURI SANA
@sissoalfred7259
3 жыл бұрын
Kiwango cha juu sana Naipenda hii kuisikia tu dah Melody + Sauti ni dunia nyingine big up san .
@scolangaida7376
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana
@kombajulius5937
4 жыл бұрын
Papii 2mekumiss ujue
@jumakilemile5239
2 жыл бұрын
Huu wimbo hatari,sio pw
@josephmagembe4294
Жыл бұрын
Wimbo bora sana king mbassa
@mudyngwale7487
3 жыл бұрын
Kaz nzuri san ,bro
@babajohnii9121
4 жыл бұрын
ngoma kali nashangaa ina views kdg
@pancrasmbawala9644
2 жыл бұрын
Dah ni hatari sana kaka
@josephmayunga8212
4 жыл бұрын
Kazi nzuri ya kuburudisha moyo inasuzika
@joynko4450
4 жыл бұрын
Jaman wimbo mzur lkn hauna viewers
@yusuphhemed2611
5 жыл бұрын
Daaah cjui kaka hata upewe jina gani .....ni hatareee ....aseee
@kessymwaipopo2657
4 жыл бұрын
Ebanae nomasana huyuma atari sana dah
@geofreymgeni2668
5 жыл бұрын
Video nxuri sana sema mlichelewa kutoa video
@lazaromtizyy5342
4 жыл бұрын
Ngoma Kali sana
@allyburhan9235
4 жыл бұрын
Unafeli wap mdogo wangu?kila kitu unacho yni mpaka nachanganyikiwa
@rajabuathumani7647
4 жыл бұрын
uko vzr sana melody
@aishaomary7984
3 жыл бұрын
Oyooooo asanteeeeeeeeeeeee
@RashidiRehani-i3x
11 ай бұрын
Wimbo mzurii🎉❤
@charlesrichard7270
3 жыл бұрын
Iki kipaji toka kwa mola 🙏
@maigengeleja
4 жыл бұрын
Upepo unafanya maua yachanue mapenzi yafanya mimi nisitulie Big up Papii Mbassa
@MoyiSanJose-eg1nr
6 ай бұрын
Melody na Papi, what a combination, this is what we call a collabo. Sauti zmepangwa vizuri. 100% love it
@augustinomilala7478
20 күн бұрын
Melody Mbassa una kipaji kikubwa cha muziki. Mungu akutunze ukue zaidi kimuziki. Muunganiko wa sauti yako na ya Papii ulileta sauti tamu sana ya kuburudisha. Fanyeni collabo zaidi, ikiwezekana muwe bendi moja. Papii kocha nae hapoi, ameitendea haki verse ya kwanza kwa sauti tamu yenye ladha akiyalilia mapenzi aliyopata awali. Wimbo hauchoshi kuusikiliza.
@jonaabulugu8873
Ай бұрын
Sijawahi choka kuisikiliza hii nyimbo hongera San bro 🙌🙏
@gdidy7082
4 жыл бұрын
Nakukubali saana
@shadiiabubakari6487
3 жыл бұрын
Mamae nakukubali sana mzee mungu akufikishe mbali
@ymusic803
4 жыл бұрын
Mda mrefu sanaa sijapata radha adimu kama hz ama kweli pilau la kuku wa kienyeji
@aronynicholy9497
8 ай бұрын
Sanaaaaaaa
@labiapendo
4 ай бұрын
Ngoma ya Moto sana hii
@beatricemtuka8866
5 жыл бұрын
Nakubali code
@jamesseleli3554
5 жыл бұрын
Nyimbo Zuri sana ongela
@kassimushadow1468
Жыл бұрын
Umetishaaaaaa
@mc_mrope
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri saana
@mulumoderwagloire.pruferle1784
Жыл бұрын
Wimbo nzuri
@salumhemedmbaraka8144
4 жыл бұрын
Hatari sana melody
@fatmachina8650
4 жыл бұрын
Wow!najisikiaga raha sana huwa nikisiliza melodi tamu kamahizi haki mnajua sana big up for you guys
@nolimittvonline6822
2 жыл бұрын
Naskia sauti yako ikipenya moyoni mwangu mungu akutunze
@selengothelegend3052
4 жыл бұрын
Nice song swahiba me bd naitaji sn sauti yk masikioni kwng.. bro..
@estarkapinga6126
3 жыл бұрын
Nyimbo nzuli
@innovator3659
5 жыл бұрын
ngoma ya moto sana
@livistaredward2075
5 жыл бұрын
Mungu akupe hatua kubwa zaidi bext
@nelsonrichard4858
4 жыл бұрын
Nikisikiliza nyinbo zako huwa lazima nitokwe na machozi aisee
@anelkaofficial4354
5 жыл бұрын
Erasto machine atabaki kuwa producer mkali Maana utamu wa mziki ninao usikiliza hapa ni Siri yangu 😂 😂
@ngaukamaita8449
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@kitovasaidi6753
3 жыл бұрын
Kila usiku nilalapo nasikiliza upepo na nikukoleze
@faustinemalunga4638
4 жыл бұрын
wimbo ambao sichoki kuusikiliza kazi zako nimezipenda sana unaujua miziki jamaa
@miriamgasper8792
5 жыл бұрын
daa hili jimbo kali kama tupo kinshasa big up. excited 😘
@denisnyalus1419
5 жыл бұрын
Clouds wamenifanya niitafute hi song imenigusaaa kinomaaa story yangu
@johnsonjohn8590
4 жыл бұрын
Tuko wengi kumbe
@shabanmnyama2567
4 жыл бұрын
Namkubali Sana huyu jamaaa jamani dah
@razakrashid830
2 жыл бұрын
Muziki mzuriii
@mgwabingadada8528
Жыл бұрын
Repeating mode🕺🏻🕺🏻
@WamburaBruno
15 сағат бұрын
enzi yako ulikuwa shida
@japharraychausa6138
3 жыл бұрын
Kama hii ngoma imekugusa gonga like
@kijokombao5345
4 жыл бұрын
Za kiutu uzima▶️▶️
@mzenjikichaa8695
5 жыл бұрын
Km pilau la kuku mamaeee bado tupo pale
@aimmaggie2513
5 жыл бұрын
Video Kali Sana #upepo big up
@bamejoe
5 жыл бұрын
Wakala forty forty pub. Kaka unazidi kutuaminisha unaweze kwa hii video umeweza ni 🔥🔥🔥🔥🔥👀💪💪💪
@P4Principle
Жыл бұрын
Nipo apa 2023 and am enjoying this exciting melodies 🔥🔥
@mwlSama
3 жыл бұрын
I like rhumba music
@blessiramukandala9836
5 жыл бұрын
I like this song 💕💕💕💕🎶
@ambrosekishekishe9357
Жыл бұрын
It's a good song
@fridajosephyusif4364
4 жыл бұрын
Safiii 💪
@gabrielbenard8774
5 жыл бұрын
Daah izo sauti ni hatari sana! big up sana
@abdulnasib2097
3 жыл бұрын
Papi mungu anajua kutuludishia sautiyako
@bizoboy1168
3 жыл бұрын
Kazi kalii sana🔥
@amonkirumbi5531
4 жыл бұрын
Papii Kocha kama kawaida kaua sana!!!dah!!Hongereni sana
@deniskagaruki3209
Жыл бұрын
Muziki ulikuwa muziki. Ngoma kali
@vsigncoolman3062
5 жыл бұрын
Melody.....big up sana ngoma ni kali vidio iko poa pia.....Dondoshaaaaaaaa!/ upepo kweli!
@poulmalingumu833
2 жыл бұрын
Wimbo ni mzur sanaaaaaaaaa honngera sana mbassa
@poulmalingumu833
2 жыл бұрын
Sichoki kuusikiliza
@martinthe3rd315
5 жыл бұрын
hii video haijautendea wimbo haki, ila all in all mwanzo mzuri
@nassormgendwa319
4 жыл бұрын
Nic
@upendobugali327
4 жыл бұрын
Hizo sauti ni balaaa saaana. Mungu awape maisha marefu yenye heri na baraka tele
@kazimilykulwa2516
5 жыл бұрын
bonge la nyimbo
@ezekielmakililo
4 жыл бұрын
Kati ya waimbaji ninaowaelewa bongofleva ni wewe jamaa
@athumaniomary1245
5 жыл бұрын
nakubali nyimbo nzuri sana pamoja na video zinaendana
@mmasatusinge1072
5 жыл бұрын
Ndugu zangu yanu ni fire
@mzenjikichaa8695
5 жыл бұрын
Kideo kikali mnoooooooh km pilau LA kuku.... Halafu kitu kingine hizi voko ata nilikua cjui nani kafungua song mamaee nilikua najiuliza papii kaimba wapiiii!? Kumbe ndio kafungua
@durawaleo3586
3 жыл бұрын
Melody mbasa
@evchanel3064
2 жыл бұрын
Good songs bless
@asiaabdulbary3390
5 жыл бұрын
Huu wimbo upo very deep
@aishasamweli7642
4 жыл бұрын
Hongera sana kaka yani nyimbo sijawai kuicho kiskiliza sema nashidwa download video yake
@gwakisakaswaga5249
4 жыл бұрын
Nyimbo kali sana...naona unataka kuwa Christian Bella...ila video umeniangusha kidogo...ila big up saaaana...naanza kukufuatilia
@kiddyadams
Ай бұрын
Reminds me of Bushoke 🎉, great sounds fire, keep pushing son
@kigahedavid2178
3 жыл бұрын
Uko vizur yaan nimebahatika kukusikia azam ukwel hii mizik ya wakubwa da!
@kitovasaidi6753
3 жыл бұрын
Nice song to me
@anelkaofficial4354
5 жыл бұрын
Dah! Beat Nzuri Sana halafu melody Nzuri Sana keep it up 🔥 🔥 🔥
@alphadabest6470
5 жыл бұрын
kazi nzuri sana
@oscargwalasa
Жыл бұрын
Nice song nice melody I'm enjoy #bigup&keepitup
@berybenya5610
Жыл бұрын
Hongera sana, nimekubaliana na vocal arrangements ziko poa
@musajonas9397
3 жыл бұрын
melody mbasa na papi kocha mko juu sana mimi sielewagi nyimbo za tz ila melody mbasa na papi kocha nawaelewa sana
@patrickKitambo
4 жыл бұрын
this banger is absolutely underrated , it should have surpassed 9m viewers
@SalmaChristopher
3 ай бұрын
😂😂nilikuwa nakwenda mpanda nasikiliza hii song 😂😂 dah!! Mapenzi haya❤😂😢😅
Пікірлер: 246