Dogo anakwenda kusababisha shule kujengwa vizuri majengo kufanyiwa ukarabati na dogo anakwenda kupata msaada wa maradhi na masomo mungu ni mwema
@angelazizi4831
3 жыл бұрын
Ameeeeen
@rechojonas508
3 жыл бұрын
Hakika
@nyamtigaibrahim530
3 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaaaaah Dereva endesha piki piki vizuri umembeba Engineer ole wako Dogo Adondoke.
@kingtai96
3 жыл бұрын
😅😅😅
@danielmwanthimuthui644
3 жыл бұрын
😂😝😝
@elizabethmwandu6937
3 жыл бұрын
😁😁😁
@shakilamasoud2983
3 жыл бұрын
Yani huyu mtoto amesababisha shule yake ionekane kwa jicho la tatu' Serikali iboreshe mazingira ya shule pia.
@sittakibishi5019
3 жыл бұрын
Kwa kwel
@mwasoprince3459
3 жыл бұрын
Tanzania Raha Charles Ni mtaraam wa hesabu ka specialize katika HESABU ZA KUTOA NA KUZIDISHA.
@felixmagulu6142
3 жыл бұрын
Kweli Mungu si mchoyo, Humpa kila mja wake kipawa akitakacho kwa wakati wake.
@mariyamalenzi2463
3 жыл бұрын
Kabsa dear
@mariyamalenzi2463
3 жыл бұрын
Kabsa dear
@davidjuma4329
3 жыл бұрын
That's true
@kibakiba7836
3 жыл бұрын
Maajabu ya mungu
@keffaonchiri7813
3 жыл бұрын
Mbona ukamwita mkora?Ni hali ya mtoto kuwastaki wengine bali sii ukora....Mungu amulinde Dogo.
@giftinben7530
3 жыл бұрын
Impressive
@cosmasmwingira4764
3 жыл бұрын
Kujumlisha na kuongeza ni kitu kimoja mwl mkuu VIP wewe
@davidjuma4329
3 жыл бұрын
This is really amaizing I like this child may God protect him and achieve his dreams
@alexanderkhasiani9100
3 жыл бұрын
Somebody should protect this gifted young minds. Too much publicity, interviews will impact negatively on him.
@naomimushi1469
3 жыл бұрын
Oo43h
@Sweetie-im2jd
3 жыл бұрын
Magufuli should take him to an international School 🙏🙏🙏
@salmymbaraka6909
3 жыл бұрын
Huyo ni mtoto wa mwezi mmoja shuleni na anauwezo huo. Sio kitoto.
@Andrewbendera
3 жыл бұрын
Mungu amlinde Prof. Mtoto Charles Mathias
@tatuathuman104
3 жыл бұрын
daaah huyu dogo hata afikilii anajibu tu jaman mungu Mkubwa sana daah 🙏🙏
@fatumanaliaka2210
3 жыл бұрын
Ni vizuri sana barikiwa Sana nyote katika Jina La YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@didasmwanga1779
3 жыл бұрын
Uyo mtoto mungu kamjslia
@zabronijoseph728
3 жыл бұрын
Inatakiwa ata mwalimu anaye mfundisha apongezwe na ahojiwe amewezaje kumfundisha Mtoto Mdogo na kuelewa vizuri.
@rechojonas508
3 жыл бұрын
Hata ajafundishw na mwalimu hicho kipaji tu mungu kamjalia Mana hata shulen ndio ameanza hivyo yupo chekechea ana miez miwili tu
@irenemsangya8949
3 жыл бұрын
Mwalimu apewe promotion kwakeli
@errydeo8865
3 жыл бұрын
Nafikiri,huyu mtoto,media imuache a concentrate na shule! kuna watoto wa aina hii wengi saaaana mashuleni.Kwa kuwa ameshasaidiwa,mwacheni.otherwise he will end up a fool, due to media.Mimi ningependa nimuone after 7yrs! kwa sasa hivi ,leave him alone.
@happyndomba6965
3 жыл бұрын
Kingine nilichoona ni hiyo pikipiki iliyowabeba watoto mwanzoni ilikuwa kidogo iwamwage kama wasingejishika vizuri. Barabara za kin charles ziboreshwe pia, sio kumsaidia yeye tu bali na jamii yake kule kijijini aisee
@yusufusambaa8017
3 жыл бұрын
Omo
@samuelmwakatumbula2923
3 жыл бұрын
Waandishi na wageni kuendelea kumiminika huko kwa Charles huku tukiona hakuna tahadhari ya maambukizi ya virusi ni hatari kwa familia, shule na kijiji kwa ujumla.
@sheckycobb5240
3 жыл бұрын
Wanapeana mikono,huyu mtangazaji kawasalimia kwa mikono.Hatariii
@cheiknamouna2058
3 жыл бұрын
Hata ukisema kuzidisha na kugawanya mara hajui kuandika itakugarimu bado ni mtoto atafundishwa taratibu lakin ndo hivyo ameshatoboa kimaisha
@sabrytawaleni3840
3 жыл бұрын
Anaonekana ana wivu kinoma anaongea kwa ubaya kuliko kumpa sifa
@angelazizi4831
3 жыл бұрын
Kbsaaaaa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@prettyh7509
3 жыл бұрын
😂😂husda mbaya jaman ila mwenyezi Mungu ndo mpaji
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Katoba maisha akawa nini au kivipi? Mchawi mtu paka hutumwa tu.
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
Na ofu na huyu mtoto wasije wakakaiba hame trend sana ,mpka sasa sijahona wanao msadia zaidi yakumtoa kwenye camera,we mtangazaji kamwombee st Juddy arusha boading ni shule ambayo wanasoma watoto wasio kuwa na huwezo wenye vipaji watamchukua
@dennisisrael2187
3 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana kwa walimu wake Mungu awazidishie kwa kutokuwa na ira yoyote na kuijuza jamii kuhusu Charles 🙏🙏🙏
@wanderaothumani4919
3 жыл бұрын
Mashallah he is already naturally selected sasa environmental selection imkatae very brilliant at that age he has mastered the basic art of mathematics
@davidjuma4329
3 жыл бұрын
God is with him
@shabanialfani5394
3 жыл бұрын
Tusimuangalie Dogo tu kupitia yeye inatakiwa hata iyo Shule ifanyiwe matengenezo. Babu Tale Mtihani wa kwanza huo
@danneismail5442
3 жыл бұрын
Kweli kabisaa bro#+254
@salehemakindi6348
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@ngwearderick3742
3 жыл бұрын
Hongera sana
@nsiaelieza9568
3 жыл бұрын
Mungu wetu ni tajiri asiyebagua
@gracejesca6913
3 жыл бұрын
Amina
@abigaelshiks6129
3 жыл бұрын
I love this boy
@bushsutimeline766
3 жыл бұрын
GOd bless
@mutomubaya
3 жыл бұрын
Shukran kwa kutuletea kipindi kizuri
@ambrosegodwindieudo664
3 жыл бұрын
kweli mungu anaipenda sana tanzania kwaku wawezesha wanawake kuzaa watoto kama ahoo
@abuuaymanmustafa3057
3 жыл бұрын
Ongera Mwalim Sophia nimekupenda bure
@getrudemusimbi6115
3 жыл бұрын
My the almighty God protect him
@janetwekesa7740
3 жыл бұрын
He is an angle sent to save his poor parents God protect this young champion
@davidjuma4329
3 жыл бұрын
Amen
@mrworkfireteachertheboyful9236
3 жыл бұрын
😂🤣🤣
@rockyndiribango1627
3 жыл бұрын
He is really talented, Hakika Mungu anajifunua kupitia wanadamu
@Emedroadtocanada
3 жыл бұрын
mwalim SOPHIA SAIDI ni mzuri na kajistir maashallah
@pascalcostantine4478
3 жыл бұрын
Dogo kila akiulizwa maswali tofauti anatuachao hoi, hongera sana aisee Genius
@ezbonjackson7730
3 жыл бұрын
Mungu ambarikia mtoto huyo jaaman
@luqmaneme9105
3 жыл бұрын
Talented and clever boy from Tanzania
@dennisisrael2187
3 жыл бұрын
Mungu ambariki sana. Taifa tunahitaji watu wa namna hii wafike mbali ili wawe msaada kwa wengi.
@victormalinga639
3 жыл бұрын
Charles Wewe Unataka Kusoma Dalasa La Ngapi..? Ha ha haaaaaa, Nimecheka Huku Moyoni Nikiwa Na Tafakuri Nzito Sana, Watoto Wenye Kipaji Kama Huyu Huperekwa Shule Maalum, Hata Julius Nyerere Alivushwa Madarasa Kwa Sababu Ya Kipaji Cha Akiri Yake, Tanzania Yangu Bado Inazaa Magineuos Hatariiiiii sana..!🔥🔥🔥🔥
@josephjohn2114
3 жыл бұрын
Huyo boda boda ata hajui kuwa kapakia watoto...Hovyoo kweli miboda mingine
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
Njia ni mbovu
@joramkimario6174
3 жыл бұрын
Sasa ulitaka afanyj jaman wakt brbr ndo hyo
@hasanmsela1464
3 жыл бұрын
Hahahaaaahaaa
@sheckycobb5240
3 жыл бұрын
Ndo wanavyowabeba Tena mijini ndio balaa
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeliona hilo😒
@roselusenaka7548
3 жыл бұрын
Ngai ! I was poor in maths thanks to see that small angel,keep it up.
@jessejulius9735
3 жыл бұрын
Genius
@judithcha-mushala8852
3 жыл бұрын
Sasa mnamvusha darasa wakati kuandika hajui, itakuwaje? Kipaji bila kuandika sielewi
@petermdete9268
3 жыл бұрын
Hatari sana dogo yangu hongera
@pantaleombuya6731
3 жыл бұрын
Mungu akujalie mdogo wangu
@ilynpayne7491
3 жыл бұрын
Yani kusema kweli nime sikitika sana na hii shule wanafunzi wana mazingira magumu 😢😢😭
@manchestercitybettartv5922
3 жыл бұрын
uyu mto to ni baraha mpaka naogopa ndugu zangu
@gloryjuma4259
3 жыл бұрын
Honger san
@scolasticamasanja7236
3 жыл бұрын
Mungu akutunze natamani Mungu aniweke nijionee mambo makubwa ambayo Mungu ameyaweka kwako ww ni profesa
@michaeljunior1405
3 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema mlinde mtot uyu atimize ndoto zake
@ursulebuangaphaka141
2 жыл бұрын
Nous ne comprenons pas bien en quoi consiste le génie de notre fils ne parlant pas swahili. N'y a -t-il pas moyen de traduire en français ou en d'autres langue nationales pour nous aider dans ce sens-là? Merci
@priscadaniel7
3 жыл бұрын
Mungu wewe unaweza hakuna Sisi mungu akiamuwa
@sheilamjune1233
3 жыл бұрын
Masha Allah so nice baby boy God bless you more 😘😘😘❤❤❤🔥🔥🔥🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kizasalumu4541
3 жыл бұрын
Kazi kwa viongozi wetu wa Tanzania 🇹🇿
@jacklinekanunu4667
3 жыл бұрын
Mungu akukuze jamani mtoto wetu
@saralushita1036
3 жыл бұрын
Nmekapenda bure mungu akulinde mdog Wang akuzidishie maarifa na hekima kama suleiman
@kachabisnea8815
3 жыл бұрын
Mwalimu mkuu anashindwa hata kujieleza kudadadek
@jamessilwamba2862
3 жыл бұрын
dah hii shule nayo hapana huku hakuna mbunge jamani kweli morogoro bwana wabunge shida sana
@oliviaambrose2907
3 жыл бұрын
Umejuaje..nizeroo
@yohanapetro4937
3 жыл бұрын
Atr Msaidieni dg Atusue maisha nakipaji chake kisipotee
@bintybweta9604
3 жыл бұрын
Allah amlinde pmja n wazazi wke🙏nampta vzri nkwa🇰🇪
@khairatsuleiman4917
3 жыл бұрын
Tunaomba rais wetu wajamhuli ya muungano Wa Tanzania aijenge hiyo shule mazingira nima gumu sana
@mariamgodfrey53
3 жыл бұрын
Jamani huyu MUNGU acha aitwe MUNGU akiamua kukupa anakupa tu wala haangalii uko vipi.
@evansskunambi3460
3 жыл бұрын
Nyingwa moja iyo hongera mtoto
@anthonynetto4503
3 жыл бұрын
Leka mdodo.imwana.katupaisha waluguru sana
@nissamwapoladi7345
3 жыл бұрын
Wawajengee na shule sasa mwe had huruma imechokaaa
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
Huko bado kijijin nyasi kijani hadi raha
@enterenter1921
3 жыл бұрын
Umeonaeee
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Mwalimu ananichekasha kijana huyu
@khalayimiria7262
3 жыл бұрын
😯👆🏼🤭😄😄
@hamidaalhabsi8568
3 жыл бұрын
Maashallah maashallah mungu akuzidishie akupe kila lakheli yaarabi 🙏🙏🙏🙏 jamani msitupe watoto
@kizasalumu4541
3 жыл бұрын
Kweli aendeshe taratibu asidondoke.
@osamashakeeb7194
3 жыл бұрын
Masha Allah ❤❤❤Mungu ni mkubwa
@samuelmwakatumbula2923
3 жыл бұрын
Talented boy
@himlayzer3543
3 жыл бұрын
Wampereke kwa padir akasomewe itakua sio akili yake maana siamini macho yangu
@piliadam6128
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁 jmn itakuw akili yake
@johnkasonga9625
3 жыл бұрын
Nice
@wisperfect5320
3 жыл бұрын
Huyo mtoto akili yake kama yangu.
@RandB_Channel
3 жыл бұрын
Kila siku Mungu huteteya wanyonge
@amosmahona433
3 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@martinmandara1504
3 жыл бұрын
He is a genius and we hope the government will create for him oppotunities for him to create and make scientific discoveries like Newton,Gallileo,and those from Eiurope and else where in the world and put Tanzania on the world map of Scientfic discoveries
@marysona2663
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana mwalimu Sofia Said kwa kumuibua huyo mtoto Charles.
@dancanouko3814
3 жыл бұрын
Shine till u become a professor in Math
@salimalaquimane2640
3 жыл бұрын
Mashaaallah
@enterenter1921
3 жыл бұрын
Mashaa Allah Tanzania kuzur mno Alhamndulilah kwahii neema mazingira mazuri mno serikali fanyeni mpango muwapelekee Barbara nahii shule ijengwe vzr
@evancalex7721
3 жыл бұрын
Hivi nyinyi wana mitandao bona huyo mutoto mume mfanyisha kama toi kila mtu ana mhoji kwanini muacheni atulie bass ningekua baba wa mtoto ninge wapinga malufuku kumuhojijihoji
@mariammuscat4300
3 жыл бұрын
Mashallah
@mariamshabani6853
3 жыл бұрын
Tabarakallah 🙏🙏
@hendrypeter1925
3 жыл бұрын
Kwel mungu amfanyie wepesii
@tronadc7
3 жыл бұрын
Dogo shida anajua hesabu kama nn ☑️
@shomalikibali.mttwadutumi2204
3 жыл бұрын
Kweli dogo apelekwe mbali dogo anakipaji kwakweli
@bosekajr2468
3 жыл бұрын
Boda boda atawaangusha madogo😂😂😂
@sophiamwakila3300
3 жыл бұрын
Sasa kinachoendelea kwa huyo mtoto ni nini. Naona wote wanaenda kuuliza tu na kuondoka. Nini hatima yake ndio anaachwa hapohapo basi?
@kennethngoleka517
3 жыл бұрын
Mtoto ameanza kuneemesha ajira za mitandaoni hebu nanyi mumchangie
@muanashaswaleh5110
3 жыл бұрын
Lakini bado nimtoto akipata shule nzuri zaidi akifudishwa atajua zaidi bado mdogo
@hkkombo601
3 жыл бұрын
Hassan I kombo nnachoshauli asimamiwe awezekusomanakuwandika tu atakuwamtamzaidi
Shule hiii jamaniii ipo Tanzania jamaniii .....uwiiiii babu tale pls fanyen ukarabati pls....rais hawezi tembelea Kila eneo wawakikishi mpo ebu msitunyanyase walimu kukaaa katka mazingira yasio rafiki inauma bwana
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
Masha'allah mngu amlinde na hasadi za waja wake ✍️
@comrademlewaisavile336
3 жыл бұрын
Big up nimemuelewa huyu dogo
@mohamedrashid9035
3 жыл бұрын
Hiyo Shule anae soma matiasi shule ibatisha kama Hollo Movie ni mbovu sana haitaili watoto kusoma happ ata waziri wa Afya anaweza akaifuga Serikali inafanya nini?
Пікірлер: 226