Asante sana Mchungaji, Mungu akubariki , nilipitia njia kama hiyo,
@jimmykazoya1749
3 жыл бұрын
My people are destroyed because bse of lack of knowledge.... Jesus forgives us all...... Blessings through The holy spirit be with us all ....Guidance
@geraldmwandolela8535
3 жыл бұрын
Huyo sio mtumishi wa Mungu ,aliteuliwa na Mungu hawezi kuwa na tamaa na mali ndio maana katapeliwa
@subighambi154
3 жыл бұрын
Daaa Mungu akusamehe mchungaji ulidanganyika kirahisi Sana,😔,,hakuna mtu anaweza maliza matatizo yako zaidi ya Mungu wetu
@johnshedrack2821
Жыл бұрын
Pole mwana wa mungu
@mariawanjiru1275
2 жыл бұрын
Niheli kua maskini wa Roho na mwisho u muone mungu
@williamftairo3475
3 жыл бұрын
Tatizo ni tamaa ya fedha. 1 Timotheo 6:10 Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi. Waebrania 13:5 Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa.
@johnbernad6806
3 жыл бұрын
Ubarikiwe ndug
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Epuka kutabiriwa maisha na MTU yeyote tena ukitabiriwa kemea kwa jina la Yesu.
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Mungu tuongoze, watumishi tuwe makini tusimame imara sana maana shetani anazunguka kutafuta mahali pa kuishi, dear God have mercy upone us 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😥😥
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Wewe ulikuwa mguu injee kwa Mungu ndani kwashetan tamaa unakubali kuambiwa mambo yasiyo
@fabshad1979
2 жыл бұрын
Ur program is very good /no Commercials in between /gives u great Centration on the story
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Sasa kwanini tuna katala sauti ya Mungu natunatii sauti ya watu mungu anasema uzima ni zaidi ya yote n'a haïkukuwa na hofu ya Mungu hâta moja
@meryraphael5298
3 жыл бұрын
Wachungaji mnapita kwenye nyakati ngumu sana ,,,Mungu awahifadhi tu nakuwapigania,,,asiwaachee
@estasage5506
3 жыл бұрын
Mtu yeyote ambaye alimjuwa Mungu wa kweli anauwezo wa kutambua watu wa kishirikina na wa Mungu wa Mungu wa kweli
@beatricemakanga6956
2 жыл бұрын
Huyu alijita mhubiri lakn hakua mhubri kutoka kwa Mungu alijiita mwenyewe kwa taama sake unaesaje mfata mtu mwenye hana roho ya Mungu heti amekwambia shida sa kwako kwan Mungu ulie nae alikua pupu sasa wa masaai ndio anaongea tena anaona shida sako sana ni nyakati sa mwisho
@angelalphonce9368
3 жыл бұрын
Ulikosea Sana mchungaji hivi kweli Roho mtakatifu hakukushuhudia hata kidogo? Mambo ya kuchuma majani bado hujagundua ? Ninamashaka na uchungaji wako kabisaaaaa
@williamftairo3475
3 жыл бұрын
Hana cha roho Mtakatifu ni wachungaji wasio mjua hata Mungu yupo je.
@mamavero4004
2 жыл бұрын
Hakuna mchungaji hapo anatafuta hela huyo hajapata pa kutokea akipata tu hela atawauza na waumi pumbavu kabisa
@mamavero4004
2 жыл бұрын
Mbona kwa wenzenu mkiwa mnawaombea mnasema umeonyeshwa na roho mtakatifu yaani akakudanganye mmasai wakati yeye analinda analala macho usiku kucha jamani jamani wachungji wa uongo wamekuwa wengi siku hìzi mwee
@mamavero4004
2 жыл бұрын
Hizo hamsin ilikuwa sadaka ya waumin mweee mweee moto unawahusu
@mamavero4004
2 жыл бұрын
Biblia imekuambia kabisa asiyefanya kasi asile na mtumishi anakula vya madhabahun sasa wewe hivyo unavyotafuta ndo vya madhabahun yaani hata roho mtakatifu huna una roho mtakavitu na roho mtakafujo
@pirminmatumizi5464
3 жыл бұрын
Wewe siyo mchungaji, tena acha kabisa kazi hiyo. Kaa chini ya mtu akuchunge na kukufundisha. Mnalitukanisha sana Jina la Bwana Yesu Kristo.
@eliasshileka4704
3 жыл бұрын
Huyu siyo mchungaji
@leaharusei5131
3 жыл бұрын
Mjungaji ya utajiri sio ya Imani ya yesu, Hawa ndio wanafungua makaniza Yao kuwatosholeza wenyewe, na sadaka
@neemakilomoni4258
3 жыл бұрын
Sana kakutana na wa janja alienda tafuta nini kwa mganga na yy ni mchungaji
@leaharusei5131
3 жыл бұрын
Alipelekwa pole pole tu
@janethsamson6164
3 жыл бұрын
Duh pole sana
@costavalenci7699
3 жыл бұрын
Bora ulivyotapeliwa ili iwe funzo tamaa gani hiyo
@lydiamichael5509
3 жыл бұрын
POLE SANA PASTOR YALIO KUPATA
@beatricemutambala3972
3 жыл бұрын
Hufai kabisa kuwa mchungaji huoni kwamba shetani amekuweka haibu huna ata aibu kabisa umetafuta utajiri kwa shetani nyiye mtatowa esabu
@evakasegenyaevakasegenya1734
2 жыл бұрын
WE WE NI MPUMBAFU. MCHUNGAJI. GANI.
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Polekaka kawachukuwe police nipeleke mpaka kwenye huo mti waikato kabisaa kwamaan wataangamiya wengi miminishatumiwa sms yawafilimason etiwaowanatowa utajiri sikuwajibu niliogopahatakuwajibu
@joicemaingu1696
3 жыл бұрын
Nimeshindwa kuelewa,INA maana kwa kipindi hicho chote kanisani hulikuwa unaenda au ndo uliacha kondoo wajichunge???,pili hukushituka tu kuwa hiyo sauti itakuwa ni mmasai mwenyewe??,kifupi uchungaji wako ulikuwa na mashaka ndo maana ht ilikuwa rahisi kuingiwa na hilo pepo LA kimasai.
@happynessmarki2780
3 жыл бұрын
Mpk huruma jmn baba wa watu,,,,,shetani n wakumpiga kisawasawa bila kumuonea huruma nikumuwashia ktk Jina la YESU KRISTO
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Polesana nashukuru mungu hawajakuchinja walaaniwe kabisa hapo watu siyowazuri
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Masharti ya free Mason hayo yawashirikina usigeuke nyuma
@evaristomgale4532
3 жыл бұрын
EZEKIELI 18 : 20 ÷23 Pia mnajita wachungaji na huku mnakuwa wavifu wa kufanya kazi mtamuhubilia nani kama sio misukule ileile mivivu ASIYE FANYA KAZI NA ASILE SIO AUBILI APEWA PESA KULISHA FAMILIA YAKE HAPANA MCHUNGAJI MWEMA HUTOA UHAII WAKE KWAJILI YAKONDOO ZAKE WALA NENO LA MUNGU HALISEMI ASIE FANYA KAZI AENDE KW A MGANGA KUPEWA UTAJILI Roho itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa haukugundua kuwa ni tapeli bali ulijua kuwa ni nabii wa kweli kwako futa kuitwa mchungaji wala mtumishi amelaniwa mtu yule amtegemeae mwanadam kumfanya kuwa kinga yake na huku amefalakana na mungu mumba wake AMINA UKIWA NA SWALI TUMIA NAMBA 0753009991 NIKILIJUA JIBU NITAJIBU
@titinmbega4128
3 жыл бұрын
Kufungwa nira ili usione na usitambue kama huyo alikua Mungu wa baali. Mungu tufungue macho ya Rohoni
@jacklineshedafa9189
3 жыл бұрын
Mch ulitubia dhambi zako kuongozwa nani kama shahidi
@estasage5506
3 жыл бұрын
First of all, huyu hakukuwa mchungaji sahihi because mimi siyo mchungaji ni mkristu tuu lakini the spirit of discernement will never allow me to be a part of the mess. Witchcraft useless nonsenses filth.
@joicemaingu1696
3 жыл бұрын
Ulikuwa unaomba nini sasa???
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Ukakosa kujiongeza wanakupa pesa tena wewe uwape kwaza huo siujinga wahali yajuu Mungu gani anaombwaa msituni namababu 🙄🙄🙄
@nizaelluka627
3 жыл бұрын
Dar! Pole mtu wa mungu
@mwesigwaannte6751
3 жыл бұрын
🤔 Asante Mtumishi Dunia kuna mambo kweli
@mercymusundi5289
3 жыл бұрын
Shetani alimjaribu yesu ajue imani yake iko wapi lakini yesu alisimama imara na akamshinda shida
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Yani ulitekwaaa kweli kiakili jamani Elf 50 tena changuvu mm sikutumii kabisaaaa Yani wewe akili yako ilikuwa imekogwaa kweli
@user-cv1mq9hl9n
3 жыл бұрын
Pesa ni sumuu........loading.......😱😢😯
@costavalenci7699
3 жыл бұрын
😏 yaani wewe chefuuuu hata ndimu ulikuwa na nyumba na kiwanja kikuubwa ulitaka Mungu akupe Nini zaidi huna hata aibu kusimulia? Loooooo
@hellenmwayole8715
3 жыл бұрын
Mmmmm wewe sio mtumishi wa Mungu ni mchawi kama wachawi wengine. Mtumishi wa Mungu hawezi kushawishika kirahisi hivyo. Unatamaa saana . umemuaibisha saana Mungu.
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
Watumishi wengi wachawi c huyo tu
@emmypeter2726
3 жыл бұрын
Tamaa tu uyu
@balbinamwanyika8267
3 жыл бұрын
Sasa huyu ni mchungaji alieitwa na Mungu au mchungaji tapeli?
@rukundoibrahim807
3 жыл бұрын
sasa wenye kutoa milion300 ndo ndo wanahitaji milion2 kwakweli ni utapeli ulio wazi kabisa.
@rahabululeka3873
3 жыл бұрын
Na mm nili tapeliwa laki nane
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
🤣na ww ulikuwa mchungaji?
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Sasa wewe uliingia kwaushirikiana hata ukamsahau Mungu wako unaamini mtu nahumjui
@mwesigwaannte6751
3 жыл бұрын
Mbona umechelewesha sana part 2
@rayaalaisari4592
3 жыл бұрын
Jamani kila siku tawambia kuwa Kuna watu majizi kwani hatutaki kufahamu... Kwanza kabla ya yote mtazeme huyo anao kwambia takupa utajiri Ali yake ilivyo..... Ila pole kaka yangu..
@mariamfritsi4943
3 жыл бұрын
Mhh wachawi wanatutesa sana,
@janethsamson6164
3 жыл бұрын
Mlikuawajingakwel
@hopechriss8739
3 жыл бұрын
kwa akili tu za kibanadamu wew mchungaji labda mchunga mbuzii ,, kama wew unaiman mbk unaingia kwenye mtego wa wagangaa waumin wako watafika wapi
@alexndambukiemmanuel3894
3 жыл бұрын
Yeah kasema, Jihatharini, shetani yuaja Kama malaika wa nuru... Ila, haijalishi jinsi ya kiini macho chake, Yohana 10:10 kasema , shetani haji ila kwa kuiba, kutapeli na kuua...
@Mamatonny2065
3 жыл бұрын
Huyo alikuwa ni mchawi na tapeli mkubwa.!.. Mchungaji ujihadhari na mashetani kama hao..
@leaharusei5131
3 жыл бұрын
Naonekana Tanzania mapepo ni mingi, Ati wajungaji waa na wale Sasa, Jesus
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Umesaau manabii wa uongo wa uko kenya kina uwoli wanao kula ela na mali za wahumini wao eti mchungaji nae ana Mabodygad kumshinda trump akipita watu wanadeki barabara kwa maji na fagio watu wanatandika nguo ati uwoli anapita😂😂😂😂😂my dear shetani yupo sehemu zote ana ma agent zke zinafanya kazi
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
Kwenu kungekuwa salama korona ingeisha acha zalau
@leaharusei5131
3 жыл бұрын
Kweli kabisa, ni maombi tu
@leaharusei5131
3 жыл бұрын
@@sharonchristian3711 pole tuombeaneni tu
@kings5172
3 жыл бұрын
Part 2
@williamftairo3475
3 жыл бұрын
Huyu alikuwa mchungaji jina, hana wokovu. Unaweza kujiuliza alikuwa wanawafundisha nini waumini wake? Wachungaji wasio na maarifa ya neno kiasi hiki ndio wanakuwaga mafremasoni baadae.
@rabilubinza7661
3 жыл бұрын
Yani na mimi kanishangaza sana hasa kuwa tayari n masharti ya shetani ili mradi apate pesa na alishajua kuwa zitatoka kwa shetani inasikitisha sana
@fadhiliswalehe9286
3 жыл бұрын
Made story
@tabithajeremiah2657
3 жыл бұрын
Du, shetani alikuwa anafuatilia huduma yako ili akutoe kwa Mungu na kukufanya umwabudu yeye,watumishi tuwe makini na hila za mwovu.
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣loo yani freemason kabisaa nyumba milion hixo mara chumba kimoja watakuwa wakija hapo sasa hiyo sininguvu yagizaaa kweli ulitekwaaa
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Sasa hapo walikusaidia nn kama ukitoa milion mbili wakupe tatu sihapo wamekuwa wamekupa moja mbili nizako🤣🤣🤣🤣dawa yao kali
@costavalenci7699
3 жыл бұрын
Kwenda zako ulikuwa unalilia pesa
@wivinemwamini9110
3 жыл бұрын
Kweri unatureteya haya siwakristo muchungaji
@welcome-qk6ps
3 жыл бұрын
Duuh
@abcdg1995
3 жыл бұрын
This story moved me with heart attack
@abcdg1995
3 жыл бұрын
@@eddyprisa291 Really
@wivinemwamini9110
3 жыл бұрын
Shetani arikufuta shidwa
@marykibwana9413
3 жыл бұрын
Sijaelewa wewe nimchungaji wa ng'ombe au Mtumishi wa Mungu. Unapaswa kumtegemea Mungu.Mana imeandikwa na alaaniwe mtu amtegemeae mwanadamu na kumfanya nguzo yake.
@wardawarda3427
3 жыл бұрын
Huyo atakuwa mchungaji wa mbuzi maana hadi watoto wake wanamapepo. Yaani Mungu hayupo hata kidogo ndani yake yaani hata kujitete kidogo tu kashishwa angemwambia Masai ninae Mungu mwenye nguvu atanishindania
@marykibwana9413
3 жыл бұрын
@@wardawarda3427 We acha tu, suppose angefanikiwa kwa uchawi si ndio yale makanisa ya giza ambayo watu huingia pasipo kujua. Mwenyenzi Mungu tuhurumie!!!
@festolamecktvonline4612
3 жыл бұрын
Pole sana
@wivinemwamini9110
3 жыл бұрын
Hu muchangajigani wakuedakuwafumu
@johnbernad6806
3 жыл бұрын
Jaktani naomba namba yako nina ushuda mi nipo Zanzibar au kama huyo jali no yangu 067740 2118
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Namba zangu ndo hizo,zipo kila video mwanzo na mwisho. 0784074462/0765294335
@johnbernad6806
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Ahsante mkuu nitakutafuta
@fei3668
3 жыл бұрын
part two please
@stellamrema7808
3 жыл бұрын
Sasa huyu ni mchungaji wa watu au wa wanyama?
@margaretmkangala7774
3 жыл бұрын
Hakieleweki hapo hatujui mwisho wako
@karrolleschon3986
3 жыл бұрын
Sad😢
@claraalphonce8393
3 жыл бұрын
Wakati huo Yesu ulikuwa umempeleka wapi mpaka ukaenda kwa mganga kupigiwa lamli
@noelashaoona
3 жыл бұрын
@@claraalphonce8393 who sends you enemy of progress
Пікірлер: 100