My brother wewe unamnyanyasa mwanamke kwa kutegemea Dini acha kuwachafua mashekhe wako wewe ndiyo chanzo cha ugomvi ndani ya ndoa yako mtafute mkeo muyamalize mambo ya kuwatukana viongozi wa Dini haipendezi Mungu akusaidue
@Sheba4651
Жыл бұрын
Baba hayajakukuta wewe, tulia tu, siku zamu yako ikifika utajua hujui. Ati kumnyanyasa, siku hizi wanawake wanataka uhuru wao. Uhuru wa shetani 😈
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@Sheba4651 ANGETAKA UHURU WA SHETANI ANGEENDA KUTOMBWA 2 KUDAI TALAKA NI HAKI KATIKA DINI SIO USHETANI.
@Sheba4651
Жыл бұрын
@@salimmalaka256 Wala siwezi kukataa mimi kama kudai talaka ni halali, mimi ni muislamu hilo nalijua. Ila ulimwengu huu wa sasa ewe ndugu yangu omba zamu yako isikufike tu hadi unakufa. Labda uwe maskini unapanga chumba, unalala store na familia, jiko la gesi humo na ndoo za maji, ila ukiwa na kile cha kugawana utajua tu, usikose kutupa mrejesho. Swahiba wangu analia hapa pembeni yangu, huko kutombwa atatombwa kona chini ya nyumba hapo ukijitia ukaidi, Sasa hivi kuna uhuru wa shetani tu, hakuna jengine, mtu anakimbia ndoa anakua kwenye zinaa.
@nicken3250
Жыл бұрын
Mwanamke akisha fikia hatua alofika mke wako huwa hakuna kurudi nyuma . Unazidi mkosea kupiga kelele... Ilibidi uyamalize mapema kabisa kimyakimya ila kwa jeuri yako ulifikiri anatania. When a woman's fed up there is nothing you can do about it.. Umechemka.
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Muhimu watu tuache "fake life"katika ndoa na mahusiano kwenye mitandao ya kijamii. Tuishi kawaida tu,sababu Kuna leo na kesho..mnafanya maigizo ya ndoa bora mtandaoni while in real life matatizo makubwa mnaishi nayo..siku yakibuma mnashangaza ulimwengu. Dk mwaka pumzika tafadhali,rest pliz..mke akishasema basi ,basi inatosha..tupumzishe na sisi...
@betridajulias7676
Жыл бұрын
Wewe uliyekuwa unawafanyia umafiya hao wanawake kulala nao chumba kimoja ulijiona mbabe naukajua siku zote watabaki kuwa mbumbumbu.Nasijaelewa kinachokuumiza sana kiasi hiki
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
Pole Ila Sheikh wa Mkoa Keshamaliza, Muhuni kwako sisi Sheikh wetu na tunamkubali
@jaroggalatimore9490
Жыл бұрын
UnAmkubali ww
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
@@jaroggalatimore9490 uko sahihi
@deusisindwa616
Жыл бұрын
Huyu jamaa nilikuwa na mheshimu kumbe niwahovyo hivi,,kwendagaaaaaa huko Ukiachwa achika wanawake wako wengi,,we ndo wakwanza kuachwa,,?ulikuwa unajifanya mushauli wa NDOA NDOA Haina mwalimu,,
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
Ndoa Haina Mwalimu amuulize Manara, wabakie kuwa wasemaji tu😂😂😂😂😂😂
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 🤣🤣🤣
@designdesign4426
Жыл бұрын
Unakurupuka kucoment bila kusikiliza hana maana hio yakungangania mwanamke kinachomuuma ni huyo shoga kujifanya hakim kujifanya kiongozi wakuvunja ndoa yamtu
@alhabsi6430
Жыл бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 🤣🤣🤣🤣
@mponjolimwatebela8630
Жыл бұрын
Alijinadi sana mtu ameamua ameamuna na mambo ya dini alikuwa wapi kuyasema anasema Leo baada ya mgogolo wa ndoa yake amekosea mno
@khadijamasele9005
Жыл бұрын
We dr ,mpuuuzi sana we nani kwenye maisha ya Queen ,ungetoa Talaka kabla ya Haya unachokifanya sasa hivi ni kutuonyesha ujinga wako na unavyomkandamiza mwanamke
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Everybody out there,"STOP GLAMORIZING YOUR MARRIAGES & RELATIONSHIPS ON SOCIAL MEDIA AS PICTURE PERFECT" kwani ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili si ndio,sasa mmoja akishakataa makubaliano hayo rufaa ya nini?? Mke hakutaki pliz move on..mstuchoshe ,maisha magumu acheni watu wafanye kazi hatutaki drama za kijinga..si mlitaka ndoa yenu iwe ya jamii nzima mkijifanya yenu bora zaidi basi itavunjika na jamii nzima ikishuhudia katika muundo wa maigizo ivo ivo . Wakati nyinyi mnafanya utoto kutuigizia mtandaoni ndoa yetu ni picture perfect hamkujiona,ila yaliyofanyika unaona utoto?? Make I rest Ukiachwa achika.
@ibrahimmohammed9897
Жыл бұрын
Ww doctor mwaka nenda kasome uwache kuropokwa hpo mke hkutki unatka nn kaa utulie n mke wakonamejiachisha n hyo Inaitw Ghuluu soo fwata maisha yko nenda ksome dini
@ibrahimmohammed9897
Жыл бұрын
Ulishindwa kufnya majukumu wko Sai mapovu yakutoka pole yko ingekua umejukumika yasingetokea hya yte c ulikua unatuonsha show n mkeo mdgo sjui uko wapi n wapi unastarehe mbna mwenzio hkutoka mapovu Sai ww unaongea unaonsha wapi inakuuma kuachwa maskni pole n muhuni n ww sio mashekhe ww ndo muhuni kaa utulie
@godymbanyi1878
Жыл бұрын
Umeshikwa pabaya. Pole mwana Kigoma mwenzangu.
@shamsajahagandhi3800
Жыл бұрын
Wewe mwenyewe muhuni umetelekeza mke na watoto mwaka mzima bila matunzo huo sio uhuni.
@matumokimatumoki6424
Жыл бұрын
Yani hapa dk Mwaka kujibizana mtandaoni sio vzuri kambembeleze mkeo mrudiane kama bado mnapendana itakua vzuri zaidi hvi ni kujizalilisha mwanaume na muache tamaa ya kuoa wake wengi...
@mariamshee934
Жыл бұрын
Mwaka uhuni uliuwanza ww kuwaonesha mitandaoni wake zako nandio hivyo zinaisha kihuni subhanallah washindwaje kuka na wazee wapande zote mkayaongea mkatulia kwenye ndoa yenu pole wapenda izara
@sweetylove9918
Жыл бұрын
Kiukweli ipoivi mke akeshaamua hatakitena basi mapenzi hayalazimishwi kwavile mwanamke mwenyewe kasema naiwe basi haitaki ndoa tena basi apo nikupewa talakayake huwezi kumfosi uyo mke apo rski itakua imeisha napia lengine haya mambo yandoa alafu kuekwa mitandaoni haina faida mambo yandoa nisiri wenyewe ndani sio mitandaoni hapa tulielewe hili jamaniiiii.
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Ndoa ni nini kwani mkuu unaweza kuwa na ndoa na mtu msiependana, labda kwa Tanzania ya mavi kunuka kutokana na umasikini, mwanamke amechuma na ametoka sasa kwenye ndoa, technically ndoa haitakuwepo maana inaonekana hampendini na mmkekuja kwenye social media kueleza matatizo yenu baada ya kushindwa kuyatatua. Mkuu ni busara ukae kimya ungelinda heshima yako !
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
Siku zote ulikuwa unajifanya uko busy ukiitwa ulidhani talaka haitatoka? Basi bibie yuko free from hell. Unamwambia arudishe nyumba watoto wako wakae angani? Utazikwa na sanda tu baba mali zisikutoe roho kaka.
@tinamahega9848
Жыл бұрын
😁😁😁kashikwa pabaya
@jumaradhomary8591
Жыл бұрын
MWANAMKE akishahitaji TALAKA. hapo kwisha HABARI. Hata ukipambana ARUDI. Bado hayupo nawe.
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
@@jumaradhomary8591 umeongea neno la maana sana. Moyo ukichoka umechoka hakuna mjadala tena ukimng'anganiza atakuua bure. Na hakuna viumbe wanachoka vibaya kama wanawake aisee.
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Tena anaongea sna mpk anatoka mapovu kma kanywa sabuni ya tide
@selebobo6210
Жыл бұрын
Aibu kwa kweli
@jacobshao1260
Жыл бұрын
Mwanaume haongei maneno mengi ww unaharibu ,mfuate mkeo nadhan atakusikiliza
@nicken3250
Жыл бұрын
Umemaliza . Jamaa anazingua sana.
@bibliakitabukitamu6015
Жыл бұрын
Angalau umesema ila wanawake mda mwingine ni ubabe ili akija kuzinduka akushukuru
@neemamollel6972
Жыл бұрын
Muhuni wa kwanza ni wewe na si viongozi wa dini ,ulitaka umtese huyu mama mpaka lini
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Ndio kwanza anaenda holiday wkt anajua kesi ipo kwa kadhi.
@nadiahussein5079
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa kama.mwanamke ulikuwa unamtaka si ungemtafuta jaman ukambembeleza acha ujinga bana kubali umeachwa tutoleee ujinga bana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Povu kama lote
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@khadijauvuruge9700
Жыл бұрын
😀😀😀😀😂😂😂
@mohamedhamsini9106
Жыл бұрын
WEWE TUACHIE MASHEIKH WETU.... UMESHINDWA KUMTUNZA MKE NA WATOTO KWA MWAKA MZIMA UNATEGEMEA NDOA IPO HAPO ? KWENDAAAAAA
@Boyhoodking
Жыл бұрын
Namtaka Bi Queen nimuoe mwenye namba zake jaman❤️❤️❤️
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@chudimasoud9604
Жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha mahari kutoka kwangu Germany Lkn omba ulinzi jamaa ataka tenaaaaa
@Boyhoodking
Жыл бұрын
Anaacha pisi huyu Dr Hana macho nin😂 yaani pisi Kama Ile unapataje jeuri ya kukaa mwaka mzima bila shoo, duh
@alhabsi6430
Жыл бұрын
@@Boyhoodking 🤣🤣🤣
@saidhassan1523
Жыл бұрын
Ongea point sio kuchafuA dini na mashekh wetu
@mbagaherbal4796
Жыл бұрын
Hajachafua dini kakaa, kilichofanyika sidhani kama ni sahihiii
@jescajulius8023
Жыл бұрын
Mwambieni huyooo
@ejulaizerjulaizer128
Жыл бұрын
Hakuna dini iliyochafuliwa acha kuwa mbumbumbu
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
Ina maana mashehe wote wa Bakwata hawana Akili? Akili akawe Nazo huyu pumba? Kakosa haya na laana za kutukana Dini zitakulamba siku si nyingi
@abdallahhuseinkabale7534
Жыл бұрын
Hajachafua kamkumbusha shekh mufti uongozi ni dhamana ataulizwa...
@ramadhanihamisi5596
Жыл бұрын
,Dr Mwaka unacholifanya nikuidhaliliasha Dini ya ALLAH ,Sifa ya mwanaume ni Kifua,uwezo wa kuyabeba mambo sio kila kitu ni kuongea.Kitendo cha mkeo kuleta vurugu bakwata ni sababu inaonyeshwa kucheleweshwa kwa madai ya mkewe ili kupatikane suluhu,Ungekuwa na Hekima ungemaliza hili swala kwa Amani.Mama wawatu mpaka anaamua kuita press unafkir masihara?. Yote kwa yote Turudi katika mfumo wa ALLAH SW ameotuwekea🙏🙏🙏
@leokamil6284
Жыл бұрын
Huyu Mwaka nia yake ni kumdhalilisha mzazi mwenzie angekuwa wa maana asingemuitia mkewe Polisi akiwa bakwata kama hakuwa na nia ya kumtesa na kumdhalilisha huku akila raha zake .Alikuwa anatumia jina uwezo na umaarufu kutisha bakwata iwe chini yake.Sasa wamefuata haki analeta lawama kisa alitaka bakwata iwe upande wake.
@fadhilamsagati1337
Жыл бұрын
kuna watu wamejificha kwenye Dini wacha awape vidonge vyao wana halibu dini hasa huyo anye pewa mipasho anazalilisha dini bila kujua aliomba dua wakati wamagufuli mikutano ya kampeini 2020 alisema na yesu watu walipo lipuka akasema ulimi umeteleza wacheni apate yanayo sitahili
@abdallahhuseinkabale7534
Жыл бұрын
Wacha amkumbushe mufti dhamana alopewa ni kubwa mbele ya Allah..ajitathmini ataulizwa kwa yote yanayo endelea kwenye taasisi yake ..malalamiko ni mengi kuliko pongezi..kuwa taasisi yenye mamlaka sio ruksa ya kutokosolewa ..huyu kasema hadharani wangapi wapo kimya hawasemi...mh mufti fatilia baraza kaa na waumini wako wallah kuna mengi mno yanaichafua dini yetu..
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@abdallahhuseinkabale7534 LAKINI HUYO KASEMA HADHARANI KWA MASLAHI YAKE SIO YA DINI WALA YA WATU WENGINE MBONA HAKUSEMA ZAMANI ANAYASEMA LEO.
@luqmanomary3558
Жыл бұрын
Fitna za nini dr mwaka ongelea kuhusu jambo lako sio mambo mengine achana na fitna
@Neema935
Жыл бұрын
Baba kapigwa fimbo la mynonge. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni machungu, sasa yamekukuta babaaaaa tuliya tumempata wifi Qeen kwa rahaazetu.
@pillyolsen6346
Жыл бұрын
Mwanamke hakuyaki usilazimishe
@carolinemariki4029
Жыл бұрын
Queen umeupiga mwingi.. kumbe iinaumaga eti
@swaumabdallah5870
Жыл бұрын
Kuachwa inaumaa😂😂😂😂
@taucdulle7460
Жыл бұрын
Makadhi aloshawatengeneza hana lolote…ukiachwa achikaaa babu weeee
@rayanndizeyes3161
Жыл бұрын
Sasa ya mukewako unayaasha unakuwa mushahuri na matusi ju😂😂😂Dr Mwaka roho inaluuma sasa subiri presha ishike 0.pana talaka ashana na washehe kama doa yako
@florabuzoya3948
Жыл бұрын
Yule pipi yuko wapi?😂😂😂bdo unamlilia queen na Wakati ulimlaza Police
@esperancekamikazi5479
Жыл бұрын
Hana akiri
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Usiwe muhuni ww unoshindwa kuhudumia mkeo na watt usojijua ovyoooo ww unachotaka ni kumkomoa mkeo kama ulikuwa hutaki huuu uhuni msingefika huko mngeyatatua wenyewe msingefika hukuuungejua kama kuna kuachana kwa wema ungeufanyaa huwo wema ww kwaza
@leokamil6284
Жыл бұрын
Wema ni kumwita mzazi mwenzie mwizi na kumtia ndani. Kwanza nimeshangaa katiwa ndani kwa kesi gani kesi ya madai hatiwi mtu ndani muonezi mkubwa
@marrygodfrey7747
Жыл бұрын
Mali tu ndo inakutoa jasho🤣🤣🤣
@japhetkudonda2504
Жыл бұрын
Huyu ana msongo wa Mawazo,Anaongea mpaka yasiyofaa,
@abdallahhuseinkabale7534
Жыл бұрын
Mh mufti usimpuuze huyu bwana twakuomba tumia nafasi hiyo kulisafisha baraza. Wewe ndio Khalifa wetu yapo mengi yapo chini ya mikono yako usipoyafatilia na kupata kuyajua yatakuweka kwenye mizani mibaya hiyo siku...siku ambayo haina mpambe wala chawa .twakuomba mh mufti litazame vizuri baraza letu..pongezi ni chache malalamiko ni mengi...kwenye hili sakata huwenda Allah ametaka iwe ndio mwanzo wa kujua mengi usoyajua...mh mufti hali za maamuma wako zipo hoi .maadili yanazidi kuporomoka kila kukicha hali za waumini zinazidi kuwa mbaya..wewe ndio Khalifa unalojukumu la kujua wapi tupite.wafate waumini wako ujue ujue vipi wanaishi miskiti vipi ibada zipo sahihi.kuna mayatima na wajane wote hao kwa nchi yetu wewe yapo chini yako..Allah akuongoze mufti wetu ...makundi yanazidi kuwa mengi umeona hata hivi karibuni mvutano ulotokea miongoni mwa makundi. Jitokeze kwa umma tukuone laivu bila chenga...kila la kheri Allah aIdi kukuongoza nasi pia amini
@maxmilianmexades6684
Жыл бұрын
mbona unajiereza sana mzee kwa mufti kama wewe ndomke wake yani😂🤔
@ahz6907
Жыл бұрын
@@maxmilianmexades6684 😇
@abdallahhuseinkabale7534
Жыл бұрын
Nimemkumbusha kiongzi wetu..sisi ni umma bora maana tunakumbushana mema na kukatazana mabaya
@czechzyamwaga1021
Жыл бұрын
Alikuwa wapii???
@dianacornely4600
Жыл бұрын
Lea watoto na gawa mali sio kupiga piga kelele😏😏🚶♀️
@neemamarenga1448
Жыл бұрын
Unaogopaaa kugawana mali 😅 ila kumbuka muda wa huyo demu iliompotezea
@nth3512
Жыл бұрын
Kwenye uislam hakuna kugawa mali, hakuna mambo ya eti mmetafuta wote. Mwanamke akipewa taraka anapewa kiinua mgongo na sio kugawana mali. Labda wakipita mahakamani ndo kuna masheria hayo.
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@nth3512 basi sheria kandamizi za kijinga kabisa na mwanamke aende mahakamani kabisa wagawane mali
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@nth3512 HUYO MWAKA ALIMNUNULIA HUYO MKEWE HIYO NYUMBA NA HATI YA NYUMBA KWA JINA LA MKEWE KAENDA KURIPOTI POLISI ATI MKEWE KAFOJI HATI YA NYUMBA BAADA YA KUDAIWA TALAKA.
@rithakuyala9951
Жыл бұрын
Ukiachwa achika😂😂😂😂😂😂maneno kidogo pesa nyingiii MALI LAZIMA MGAWANE
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
Tena akae kwa kutulia 😂😂😂😃 miaka kumi kwenye ndoa na watoto nikuzalie alafu eti nikurudishie nyumba weee sio kwa wa kilimanjaro sie angekufa mtu.😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@stellamsangi4281 🤣🤣🤣🤣🔥
@khadijamasele9005
Жыл бұрын
Kabisa
@nth3512
Жыл бұрын
Uislam una utaratibu wake wa mali, hakuna mambo ya kugawana mali ktk uislam hata kama mmeishi miaka 100, mali zinakua ni za yule aliezitafuta. Kilichopo mwanamke hupewa kiinua mgongo anapoachwa. Na watoto hawana madhara yyte sababu watoto ni ktk mali za mume, na mume anawajibu wa kuwahudumia na pia ndo warithi.
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Pole sana home boy
@Alimahrooi
Жыл бұрын
Huyu hajui dini na unavunja heshima ya masheikh na ya Muft, ukiwa hauna mahusiano na mke wako kwa miezi 3 ni kama talaka, umemtesa mtoto wa watu kwa mwaka bado unatoa ufedhuli kwa viongozi WA dini.
@johnmwandu2116
Жыл бұрын
Kumbe shida ni Mali unahofia mtalaka wako atachukua, ulidhani siyo rahisi kuachwa, ndio umeachwa Sasa🤣🤣
@mbagaherbal4796
Жыл бұрын
Mm napita tuuu
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
@@TheAlman mtu mwenye utu unapomwambia mwenzako akurudishie nyumba ndio nini yaani na watoto wake wakae angani? Mwaka mzima hujui kula ya watoto wako wala nini ndio dini inavyosema? Hasira zisitufanye tuwatese wasiohusika. Usipotoa matunzo ya wanao unamkomesha nani? Nyumba kitu gani tunaondoka na sanda tu kaka. Huko ni kukosa hekma. A real man never fight for material things especially kwa mtu anaekutunzia watoto wako ni kujiongeza tu na kuwa a gentleman. Fighting a mother of your kids doesnt make sense at all.
@hamidudongo1879
Жыл бұрын
Achukue mali kutoka wapi wewe?
@hamidudongo1879
Жыл бұрын
Msipende kusema mambo msiyoyajua..... Nyinyi Wagaratia kaeni pembeni.
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
@UC9YHX4Z5rB4t-AjSTI9eawQ All in all talaka imetoka huyo Mwaka akae kwa kutulia. Anaongea sana na hiyo ni dhahiri kwamba ameumia. Mtu kadai talaka si umpe tu sasa haya yote yangemfika saa ngapi kama angetoa talaka kwa wakati??? ni kutaka kuwapa faida watu yasiowahusu. Sasa mambo mpaka kwenye media what is that? Thats bull shit. Yeye analalamika haitendeka haki je huyo dada alivyokuwa akizungushwa maana yake ni nini? Wanawake wanadidimizwa sana haswa wakiislam watu wanachukulia kigezo cha dini lakini ukweli na msimamo wa dini hausemi hivyo. Mwanamke ana haki ya kudai talaka sasa kwanini wakizitaka hizo talaka mpaka wazungushwe na kusumbuliwa. Watu wakichokana kila mtu apite vile maisha yaendelee kiustaarabu kabisa. Sasa unadhani kwa hatua hiyo walipofikishana si maadui mpaka milele hao? Madhara yanakuja kwa watoto sio wazazi inabidi kuwa makini sana hizo biff za wazazi hazina maana kabisa. Tulipendana sasa tumechokana kila mtu ajue mpango wake basi.
@asiakheir8684
Жыл бұрын
Hakuna kutia neno imetoka hiyoooooo
@khamisrubea5083
Жыл бұрын
Huyu jamaa ukimuangalia vizuri ni mtu mjuaji sana na anaonekana ana kiburi wanawake walio wengi hawapendi wanaume kama hawa
@musason1680
Жыл бұрын
Mhuni mmoja mwenye confidence ya kipato na asie na hekma
@florencebudoya3814
Жыл бұрын
Shida ni kugawana mali ndo maana hautaki kumpa talaka.Talaka alishapewa na Bwakwata .Ila wamekupa nafasi ya kukata rufaa.Mke haumtunzi mwaka mzima unategemea nini?
mariam jamaa anaongea haq imevunjwa nje ya utaratibu kuachana wataachana ila sio sheikh wa mkoa avunje ndoa
@salimmalaka256
Жыл бұрын
MARYAM ANA HAKI YA KUCOMENT KALILETA MWENYEWE MTANDAONI.
@saidhassan1523
Жыл бұрын
Acha kukufuru mwaka dini imejitosheleza achaa kubwabwaja ovyoo
@ramdanmbara8500
Жыл бұрын
Kakosea wapi? Mwenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni Qadhi sio Sheikh wa Mkoa. Sheikh wa Mkoa kakosea sana
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@ramdanmbara8500 KWANI SHEIKH WA MKOWA SIO MUISLAMU???
@ommythetruth5449
Жыл бұрын
Tutolee upumbavu wako ,ulikuwa wapi muda wote kuzungumza kwenye media wakati mkeo anahamgaika mara umlaze polisi mara uombe udhuru ,Leo kapata haki yake maneno yamekuwa mengi ukiachwa achika acha usenge kusumbua watu na kujikuta muongeaji Sana Mbweha mkubwa
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Acha matusi MTT wa kiume ww kwani ww umeyashinda acha hizo basi
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
Mwaka kubwa jinga malaya lisilojielewa, maneno marefu Akili pumba
@nicken3250
Жыл бұрын
Kabisa kabisaa ...
@husseinally5550
Жыл бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 alizini na ww?
@ommythetruth5449
Жыл бұрын
@@amanimanase8798 bro lugha ya kiswahili unaijua vzuri au nawewe ndo uko Tanzania na kiswahili hukijui nionyeshe Tusi Hapo liko wap
@gressmussa4874
Жыл бұрын
Ulimuacha mwaka mzma ulijua Hana uwitaj wa mtu wa kalibu kubali kuachwa tu unawake 2tena warembo kwaiyo tulia
@mickyjohn806
Жыл бұрын
Muache mwenzio apate amani usilazimishe mapenzi
@leokamil6284
Жыл бұрын
Nia yake kumdhalilisha na kumuumbua
@ramdanmbara8500
Жыл бұрын
Hakuna shida kumuacha tatizo utaratibu wa kishria ufuatwe sio huo uhuni uliofanywa na Sheikh waMkoa
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@ramdanmbara8500 UHUNI KAANZA YEYE.
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Yamekukuta ss unalopoka mambo haya ukusema sikuzanyuma leohi unataka kutujumuisha na ss Liatu kivyako mali zinakusumbua ww mnyanyasaji sana unaonekana na unamdomo sana nakujifanya unajuakuongea. Ukiona uitaji mashehe nenda kwawazazi wa mwanamke muyamalize wenyewe msiushishe mashehe
@user-em5xj3rc5k
4 ай бұрын
Hizi comments ni matokeo ya makosa anayo yazungumza docta. He is very bright
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
Mwaka mwanamke huyo watu washamuona subiri atokee mwamba abebe mtoto utabweka zaidi unafikiri kila mwanamke ni mjinga
@peninacharles9757
Жыл бұрын
Sijui Kama unaweza kutibu hata U T I Sasa hivi Dr mwaka ninamashaka nawewe
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Hahaaaaa
@alodiadiocless3546
Жыл бұрын
Awezi kwakweli 🤣🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Hatoweza kwa sasa
@nasraabdallah850
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dawaadawaajuma7446
Жыл бұрын
Nimcheka😅😅😅
@najuf8021
Жыл бұрын
Kelele zote hizi anahofia ugawanyo wamali wakat wote alikua wap kuongea namkewe
@chepason7212
Жыл бұрын
True
@zainabumbondei8635
Жыл бұрын
Hizi ndoa za siku hizi nimitihani kwani hawa sindio wale walikua na mahaba ndindindi kwenye mitandao 🤣🤣🤣🤣🤣 jmani make kwanza ncheke
@stellamsangi4281
Жыл бұрын
Ndio maana ukiwaona wanajishaua kwenye mitandao wewe kaa kwenye kona kunywa zako chai maana kabla ya kufika jioni ndio hayo mambo sasa yameshaharibika😁😁😁 wenye furaha zao wametulia bwana kimyaaaa ila hawa wa kujifanya eti wake wenza wanapendana wanavaa sare eti wakati mwingine wanalala kitanda kimoja kakuambia nani hayo mambo yanawezekana kwa nyakati hizi😂😂😂😂. Watuache sie uke wenza haujawahi kuwa mzuri labda kwa wanaoijua dini haswaaaa na hata wao wivu upooo sasa itakuwa huyu mume popo bawa😂😂😂. Acha nicheke tu tutaona mengi kwakweli. Eti mume anadai nyumba sasa watoto wake wakae angani??? Nyau kweli huyu mwaka.
@matukutajuma156
Жыл бұрын
TAFADHALI KOMA KUTUKANA MASHEKHE WETU KAKA!
@zanzibar.
Жыл бұрын
Hlf nikwambie mm naon kichwa chako cha juu kibovu ww nhis ulisha wahi kuuguwa uwenda wazima jpo utotoni mwako ww sio bure ht kdg 🤣🤣 mm si mtu wa ku comment lkn kwa hili nacomment hun ht busara ww et unalala na wanawke 2 kitanda kimoja na unajionyesha mitandaoni ww iko wp akili yko yamefikia wp ww ongea sema ukisha mliza kakojowe ulale 🤣🤣
@sihabahusseinmdee1102
Жыл бұрын
wakati unawatangazia watanzania kua wake zako wanakupenda na wanalala chumba kimoja tulikuambia hizo ni comedian sana wakati umefika aliosema ishini nao kwa akili waliona mbali sasa umeelewa
@hindusaid1831
Жыл бұрын
Mmmmhhh..
@brownmtofole
Жыл бұрын
Wallah dkt mwaka alichemsha!!!
@sulimanm6525
Жыл бұрын
Dokta mwaka nakushauri mfuate mkeo muzungumze muyamalize mtoto mzuri kama yule yakhe una muacha hivihivi aaaaaa
@joycemfugale8477
Жыл бұрын
Itakua mzuri sio mtam Mana ndio maneno yake bwana mwaka
@jessysalami1788
Жыл бұрын
Kama anamuona mzuri kwann alimuolea wenzie na bado anawanyanyasa wake wamwanzo anampenda mke mdogo tu mpaka matumizi anashindwa kutoa kwa wake zake
@janetbutondo6684
Жыл бұрын
Kama yeye aliyaka yasifike huko kwanini asikae chini yeye na mke wake na familia yake kwani yeye kwenye familia yake hakuna wazee ambao wataweza kusuhisha matatizo yake ya ndoa yake
@leokamil6284
Жыл бұрын
Yeye kadiriki kumtia mke ndani kweli kuna amani hapo?
@janetbutondo6684
Жыл бұрын
@@leokamil6284 kweli hakuna amani apa anatuambia nini sijui mnafiki alejeshe amani kwanza ndani ya nyumba yake asitukane na kuwazalilisha viongozi wa dini nakutoa viti
@neemamollel6972
Жыл бұрын
Huku hakukufai kauze dawa maisha yaendelee
@helenarhobi1250
Жыл бұрын
Halafu nikuulize Dr. Imekuwaje mbona mlikuwa mnalala wote kitanda kimoja mkiwa wa nne? Kimsingi Mwaka umechangia sana kuharibu mambo yako kwa kujisifusifu mno na wake hao acha upate!
@fatumamohamed2229
Жыл бұрын
Mwaka imekula kwako hiyoooo. Imeisha hiyo. Kifupi umechwa.
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Analilia kuma jibaba angejishusha na kuelewana na mwanamke angeendelea kuonja utamu wa kipochi manyoa 😅
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 🤣🤣🤣🤣 KEKI YA NYWELE 🤣🤣🤣 AU DOMO LA NGAMIYA 🤣🤣
@aminaabubakar4834
Жыл бұрын
MUNGU Hapendi wanandowa kuwaachana angalieni mmekoseya wapii mrekebishene mwishi
@jojojojo-my7vw
Жыл бұрын
Mhhh huna lolote hutetei Uislan una tetea Mapenzi wewe. Unajifanyaga unaishi vizuri na wake zako looooo kweli nimeamin kuwa HAKUNA KOCHA WA NDOA NA MAPENZI
@azzamahamdu7039
Жыл бұрын
Eti anaemuoa mke wangu namshitaki.leo tena.wakumbuka shuka kumekuchaaa.para ka kichuguu.
@hujjatulasrsocietyoftanzan8420
Жыл бұрын
Masheikh waheshimiwe
@zanzibar.
Жыл бұрын
Na hyo yko ww ni maneno ya mkosaji huna lolote usha kwisha ww lililo baki sasa ni porojo lko tu siku zote ukiskia mtu analia juwa bakora isha mpata huyo
@halimahamis3742
Жыл бұрын
Unyanyasaji wa wanawake ukomeswe
@ibnomar8144
Жыл бұрын
Sasa kama mke hakutaki nikulamzisha kama ni mke wake si unajuwa penye iko si ufate muyamlize na maneno mengi saana kama kasuku ila lakusemeya uwislam hakuna acha ujanja mu dini hata Manara aliachwa alika kimya itakuwa weye
@jescajulius8023
Жыл бұрын
Kijuso kimekushuka kwendraaa huko babu kizee
@ilovejesus666
Жыл бұрын
WE MARAYA MBONA ULIKUA UHUDUMII MWAKA MZIMA MARAYA WAHEDI 🤐🤐
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🥱
@neemayatosha1618
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni hiyo Mara..... ndio imemaliza. Jamani mtaniua
@tinamahega9848
Жыл бұрын
Kwa hiyo unataka kusema viongozi wako wa kidini ni wahuni?tena kiongozi mkuu unamuita muhuni?wewe kweli huna adabu kabsa
@mkombozikillo4511
Жыл бұрын
Ulishindwa kulitatua hilo ndani kwako,Acha kulaumu mashekhe
Sikuzote ungemfuata kikubwa mngemalizana mashehe wamefanya haki
@euphrasiantawatawa1510
Жыл бұрын
Sasa ndo ulie
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Utamu wa kuma chezea wewe😂
@bosslilyg4390
Жыл бұрын
Wewe baba una roho mbaya sana wallah, mi sitaki kusema kwaajili ya maamuzi yaliyotolewa ya talaka, wewe baba lengo lako ni kumuona yule mwanamke anateseka na Mungu atakuadhibu sawsawa na unalomfanyia huyo mke wako.
@salimmalaka256
Жыл бұрын
ALIKUWA MKEWE SIO MKEWE TENA.
@maryamabdallah3140
Жыл бұрын
Hayo ndio maneno ya mtenda akitendewa huhisi kaonewa....halafu Kama kuishauri BAKWATA ulitakiwa ufanye kabla ya mambo yako binafsi...eti mpaka yakukute ndio unatuchanganyia habari... Ni Akili yako kweli????
@ssalimsalim3864
Жыл бұрын
Dr mwaka mm nakuelewa sana na niko upande wako ila umesema huyo Mufti kachaguliwa na mw/mungu!! I don't think so mimi ninavyojua hao wote wamechaguana wenyewe tu na kwakweli waislam wengi wanailalamikia bakwata kua hawana huduma nzuri na hua hawatendi haki kwa kufata sheria, ila hio point kua mufti kachaguliwa na mungu Nop!!!
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Km Mungu hajataka wangechaguana? Kila jambo kila kiongozi hua kwa matakwa ya Mungu nasio yake wala si ya mtu yyte.
@nuhhungaso8091
Жыл бұрын
Sishangai sana kuvunjika kwa ndoa Ila walio vunja hawakurejea aya za qur_ani hadithi au vitubu vya dini. Pia hawakusema ameachwa twalaqa ngapi? Je anaruhusiwa kurejea?hawajaweka wazi hayo.
@idaaman7489
Жыл бұрын
ndio maana mkeo aka kuacha hii inaonesha what type of man are you
@claudia1500
Жыл бұрын
Ninachokiona hapo ni kama unamtukana mufti hajui kazi yake!
@mbachoclassic7818
Жыл бұрын
😂😂😂sisi maostaadhi tumekaa pale kusubiri je ndoa itaendelea au? Maana tunataka bi queen ni mtamu balaa.! Sie wenyewe tunamtaka queen achia ngazi babuye twamtaka sie👏
@joharikasuwi6973
Жыл бұрын
Kaka samahani Naomba nikushauri wewe achana na bakwata Rudi Kwa mkeo muombe radhi Kwa mliyoyapitia mmrudiane kistaarabu. Lakini ukiamza kuusema uislmu tayari na wewe ni mmoja wapo wa hao mbumbumbu unaowahita. Allah akujaalie subra na hekma na si matusi
@Users2523
Жыл бұрын
Dr mwaka yupo sahihi, huyo sheikh wa mkoa alipovaa miwani meusi akiwa kwenye press nikajua hapa kuna madudu tu
@ramadhanimussa6403
Жыл бұрын
HUYU AKILI HANA NA ANAJIDHARIRISHA. KWAHIYO ANAVYOMNYANYASA MKE WAKE ANATEGEMEA NN
@agneskapwani3484
Жыл бұрын
Umevurugwa sasa unakashfu viongoz em tulia bhana
@hawahabibu3881
Жыл бұрын
Ushaachwa Babu tembeaaaaaaa
@GMD820
Жыл бұрын
Uyu mzinifu tu Hana lolote
@mbagaherbal4796
Жыл бұрын
@@GMD820 ulimshikaaa??
@allykingu6954
Жыл бұрын
Kama utaratibu haukufatwa, ndoa inakua haikuvunjika, na kimsingi hakuna Rufaa ktk Quran na Hadith, mh mufti naamin atazingatia muongozo huo, Inshallah
@majaliwabakari786
Жыл бұрын
Alafu bwege kweli wewe ulipota Kesi yeko iende kwa ngazi ya chini mpaka juu hiyo Nini si nirufaa?yaani hujui unaongea nini
@rosemarymwakitwange6257
Жыл бұрын
Huyu alionekana kumuweka mkononi yule anayehusika ndio maana alifikia kusema hajisikii kuendesha shauri. Huyu Kaka ana shida sasa anataka yule mwanamke awe mtumwa wake? Yule dada aende mahakamani akadai mali na matunzo huko kutukanwa kwa Bakwata hakumuhusu kama hakumfai atoke.
@tinamahega9848
Жыл бұрын
Na ndio atakachofanya na mungu amsimamie
@hassanimleli7796
Жыл бұрын
ukosawa saana naasie elewabas anamapungufu haiwezekani hataukitumia akilindongotu kulifikiri hili utapatajibula kwamba amelifanya kwakua mmekhitalifiana ndomana siosheriayadini inayo mruhusu ingetakiwa lisikilizwe kwapandezote mbili
@leokamil6284
Жыл бұрын
Kweli kabisa na ndio maana akaende na watetezi maana alikuwa akipigwa danadana .Huyu jamaa mtata sana
@khadijauvuruge9700
Жыл бұрын
Sasa mambo yamemgeuka aamini ndomana amepanic sanaa😀😀😀😀
@malkalriamy9093
Жыл бұрын
Huyuuu muhuniii tuuuu
@ngorweurongo8276
Жыл бұрын
Umefafanua vizuri sana mungu akuongoze
@athumanijuma8899
Жыл бұрын
Kuongelea Mambo Yako ya Ndoa kwenye Media ,ovyo ovyo ndo Umbumbu Wenyewe ,
@samniza1763
Жыл бұрын
Watu wasio na hofu na Mungu na kulewa umaarufu ndio wanabehave hivi lol!!!
@msowamhokole7714
Жыл бұрын
Umezaa nje ya ndoa na monalisa
@zanzibar.
Жыл бұрын
Ww kama ulisha andika nyumba na binti ulikwisha muandikia sasa unaona mali inakutoka ulio muandikia sasa si ana wtt kama mali wtt anao pili jee unaweza kumlipa ulivo mtumia ulipo kuwa nae unawez kumlipa hahah 🤣🤣🤣🤣🤣 ww huna tena lko jambo nyumba huna au ndio wale walio imba kanunuwa simu walipo achana kampokonya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole sana kama ni usela ni wakwako ww sasa tuone nani atalia 🤣🤣🤣🤣huna lolote ww ngevu ww
Пікірлер: 507