Nyie wanaume Mungu tu awasaidie tena nyaza tu.Nyie upenda kunyanyasa wanawake nasi tumeumbwa tunamoyo pia ndokashachoka mwenzio.Ukiachwa achika,ulitaka umuache mke maana ndo imekuwa kawaida ila mwanaume kuachwa niaibu
Ushauri wangu kwako Mwaka. Kwakua Mke wako ameshasema kwamba kwambahakutaki na anataka talaka yake ni bora ukampa talaka yake kwa kheri na salama mukatengana kuliko kuja kulazimisha kutomuacha kisha aidha wewe ama mke wako mmoja wapo akaja kufanya jambo kisha akaja kulijutia maisha yake yoooote.
@hasaniabdalah6148
Жыл бұрын
Kaka hapo utambue Jambo 1.la msngi dr hakatai kuachana na mkewe ila hapo kuna Jambo nyuma ya pazia analihofia kua yawezekana wabaya Wake wakatumia nafasi hiyo ya ugomvi na mkewe kumuarest anachotaka ni vipengele vya sheria ya mungu kufuatwa
@zuwenaadja2261
Жыл бұрын
Unachokilalamikia nini Dr hapa😂 ukiachwa achika basi.
@jeunajuatv817
Жыл бұрын
Mali zake xitaend
@sifaisack7470
Жыл бұрын
😅😅😅
@nemecymsanya4952
Жыл бұрын
Bro Acha na social network endelea na maisha yako na biashara zako cha msingi lea watoto wako. Ushauri wa bure Dr mwaka piga kazi askari wangu.
@jescadeogratias5292
Жыл бұрын
Akitaka janja janja ya kukwepa kulea.Talaka ishatoka,na unapangiwa matumizi ya watoyo
@hamidudongo1879
Жыл бұрын
Sio suala la social media. Yule Mwanamke amefanya katika social media ili kumuhaibisha Dokta Mwaka. Kuna watu wamekatwa masikio na wengine wamekatwa Uume, lakini hatuja wahinkuwasikia mambo yao ya kuachana. Yule Mwanamke anajua fika kwamba dokta mwaka social media guy and I don't agree with most of things anavyoongea kwenye vipindi vyake. Ila hili hapa hiyo ndio ilikuwa dawa yake yule Mwanamke
@amirishauur5795
Жыл бұрын
apo kuna mali iningia pasu babuu uspoongea unaeza ukapishana
@universitylink
Жыл бұрын
Doctor mwaka uko right kwa haya unayoyaongea tunakuomba uwende usuluhishe issue ya mkeo kifamilia na kwa kadhi vizuri sana Allah awalipe kheir wote nyie
@neemashuma5595
Жыл бұрын
Ngazi ya familia ya nini muache Queen aendelee na maisha na wewe na baby let’s go vacation endeleeni
@habibahmed7678
Жыл бұрын
Umeoona 😅😅
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Mwaka mzima hujamgusa mkeo 🙄 huduma huna lakini kumtumia police pia hapana ndoa hapo muache atapata mwengine 😄 mwanamke mzuri kama yule
@augustkisaka5107
Жыл бұрын
Kama amuneshi mwelekeo
@buthainaayoub9107
Жыл бұрын
Wewe hujui chochote hebu olewa ndo utajuwa anachoongelea mwaka, mnaishi na maboyfriend mnaacha kihuni huni basi unadhani pia ndoa zinaenda hivyo
@mwanatz5980
Жыл бұрын
@@buthainaayoub9107 Pole sana usichokijua sawa na usiku wa kiza mimi naijua ndoa ndio maana nikajibu ndoa sio vita ndoa nimakupaliano ya watu 2 mmoja akichoka hakuna ndoa hapo
@mwanatz5980
Жыл бұрын
@@buthainaayoub9107 hivi wewe mwanamme alie oa anawezaje ukishi na mwamke bila kumgusa wakati ndio kilicho waunganisha wakaingia kwenye ndoa tendo la ndoa
@amosiabdulallh7965
Жыл бұрын
Hao mashehe anafunjwa ndoa yako kwasababu,hio ndoa alifunga ndo mashehe hao ,ww nenda kwenye mahakama wao atagawa Mali,kama ww muislamu kweli kama ujakaa nae mkeo Kwa cku 40 basi hio ndoa imefunjwa ww mwenyewe
@sky-wz5zi
Жыл бұрын
Kwan huyu Mwaka kwann hataki kutoa talaka? Tuanzie hapo kwanza, maana kupelekwa bakwata ni kuwa kagoma kutoa talaka na bado anaonesha hataki kutoa talaka! Sasa kwann usimpe mwenzio talaka awe huru? Haupo nae zaid ya mwaka mzima, hakutaki nawe humtaki kwann usimpe talaka? Unaonekana kama tahira flan hv, manaume ya hv ni masenge sana, linakung'ang'ania na wkt hampo pamoja. Shame on u Mwaka
@lissamnyingi6457
Жыл бұрын
Siri anaijua yy Dr Mwaka Kama alikuwa anatembelea nyota ya qeen akisha muacha Kila kitu kinamfuata muhusika.
@joharikasuwi6973
Жыл бұрын
Tena yeye anajiona Yuko sawa wakati alishampeleka mwenzie polisi. Usingeenda polisi kaka wanawake tukichoka tumechoka usiombe yakukute sasa vumilia
@azizamohamed7692
Жыл бұрын
Usituchoshwe kama umeona ujatendewa haki mufti kasema ukate rufufaa kwendaaa
@muhan_de_coco3567
Жыл бұрын
mihemko!
@chumaulete7273
Жыл бұрын
Kwa ninavyo kuona tutasikia suala la watoto umepelekwa tena mahakamani....
@ameedamilja7992
Жыл бұрын
Huna tatizo kuvunjika kwa Ndoa kwa sababu unajua Utaenda kuoa Mwanamke mwingine Umchezee tena. Watu kama nyie ndio mkikatwa neti zenu mnalalamika kumbe ni history na tabia chafu za kucheza na maisha ya wanawake
@eliaskahory7116
Жыл бұрын
Mmmm vp yamekukuta
@lissamnyingi6457
Жыл бұрын
Kabisa wanatuona hatuna akili unavumilia weee mwenzio anaendelea kula Raha, Mwanamke akishasema Baasi Mzee utahis unaota ila ndo uhalisia si wanadhan mapenzi ni Pesa waoe Bank sasa kunguru wasio fugika
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
@@eliaskahory7116 😆😆😆😆😆
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Kwan kutoa taraka kuna kaz kwanza maan ukiona mtu anaitaj taraka ujue amekuchoka
@ahmedsalim4930
Жыл бұрын
Well said brother ilikua haina haja kuiweka vedio kidunia ur in good thinking tomorrow may Allah protect you
@gaudencemihungo4348
Жыл бұрын
Kama unataka kuongea na muft kwa nini usiende kuonana naye ofisini kwake, hapa uongei na muft, unaongea na umma kwa lengo la kuleta vurugu. Kama mke ulimshawishi wewe mpaka mkafunga ndoa, unashindwaje kumshawishi mkeo arudi kwako? Nadhani umeshindwa kukaa na mkeo. Kwa sasa huna ndoa na Queen, mlianza sirini mnamaliza hadharani, tena mitandaoni. Acha vurugu, tunajua una bifu na Shekhe wa mkoa. Jitahidi kuuza dawa zako achana na Shekhe wa mkoa. Queen ameenda,
@ramadhanyusuf2401
Жыл бұрын
Huyu ndoa imemshinda
@mercynadia3140
Жыл бұрын
Hii msg ikufikie Mwakastress kubali matokeo sio mume mzuri
@zigzag4487
Жыл бұрын
Huyu sheikh wa mkoa aliekua anamuita magu ni Mungu au yupi
@husseinally5550
Жыл бұрын
Ushabiki
@gd1926
Жыл бұрын
Kweli wewe kiazi kweli kweli kwaiyo hata huoni kuwa huyo sheikh kakosea
@ummimohammed-pn1oz
Жыл бұрын
Talaka ni haki mwanamke akikukata ni haki yake muhimu akurejeshee mahari yako aendelee na maisha yake. Nimemuona kwa macho yangu mwanamke mwenzangu akilia anadai talaka yake mpe usimsumbue maisha mafupi usihadaike na pumzi sote tutakufa na vyote tutaviacha mwacha mwanamke aende salama.
@iam_mobam
Жыл бұрын
Dr. Maisha Hayana Tafsiri Kaka.🤝🏾
@mariamjuma4136
Жыл бұрын
Mlaumu aliyekuwa mke wako yeye ndio alitangaza kwenye social media Usitupigee kilele bwana Mwaka mmoja umeshindwa kuweka Sawa migogoro ya ndoa yake Mpaka limekuja social media wewe uko wapi? Iyo aibu yako ibebe tu kubari kushuka Muungwana akivuliwa nguo uchutama
@maulidmnukwa3171
Жыл бұрын
Kuna mambo ya kukushauri dk. Mwanak 1. Jambo la Kwanza fitna huzimwa kwa uchamungu japo kupigania heshima yako Ni sehemu katika jihadi 2. Ndoa inaweza ikavunjwa na qaadhi au hata sheikh ikiwa hamna qadhi ndio maana katika sheria Kuna anaitwa muhakkam kiujumla Ni mjuzi wa mambo ya kisheria 3. Jambo la tatu shida sio sheikh wa mkoa shida Ni mkeo cs popote mtakapoenda
@asmarajabu5786
Жыл бұрын
mwanamke hakutaki toa taraka bhana
@ramadhanfara2302
Жыл бұрын
Mwaka mzima hautumi hela ya matumizi ya watoto
@aishamrisho6860
Жыл бұрын
😆😆😆😆
@sashambonde7258
Жыл бұрын
naludia Tena mwaka acha kelele Wala so we will be Qeen anaolewa mwezi ujao na mchumba ndio mm akutaki amesema mbele ya Shee wetu wa mkoa tuwachie nafasi na sisi tumuudumie Qeen wewe umeshindwa Tena ukiendelea ntakushitak kwasasa Qeen ni mke mtalajiwa acha fujo kumtunza ulishindwa acha tukuoneshe maisha ya mke anavo tunzwa mwaka ukiachwa achika
@safiyatheonlything7848
Жыл бұрын
we unaitwa sasha unataka kuowa kaka ako🤣
@alfarsialfarsi2754
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amraniramadhani4148
Жыл бұрын
Soma vizuri katiba ya bakwata, baraza la masheikh la mkoa lipo ktk katiba, hio ishu imeisha Isha uza TU dawa
@ameirothman805
Жыл бұрын
Umekosea sana kuwaita viongozi wahuni dah kaka ni ngumu sana viongozi kukuunga mkono pia ndoa inapo ingia dosari ni muhimu kutatua ttz ila kesi ishakua kubwa cha muhimu stay humble ila usisusie watt chengine zingatia sheria za dini Kuna wakt utaingia mattz bila ya kujua muachie mungu wasichn wpo wengi sana
@hoseamgema9107
Жыл бұрын
Mwalim wa ndoa za wengine ame fail kwenye ndoa yake . .
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Hahahaha,,,,
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jeremialyati6092
Жыл бұрын
Queen anatakiwa Baba 🤣🤣🤣🤣
@vincej9275
Жыл бұрын
Ndoa sio kwa lazima , kama mkee amechoka na wewe, mwache aendelee na maisha yake. We can try to save our marriage but it's wrong to force one party to stay if they no longer want to.
@btylove1870
Жыл бұрын
Kunywa soda nitalipa. Nimesema hivyo hivyo kwani maneno yote ya nini?? Mtu kaomba talaka yake mpee!
@iddydaruwesh8650
Жыл бұрын
Tatizo lugha zako sio nzuri na ujuwaji mwingi siungi mkono yote ila jitambuwe kabla ilitokea matatizo wew na huyo sheikh wa mkoa sasa unawaingiza wengine kuwa wahuni. Kauli sio nzuri
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Tia talaka unaongea sana kama mwanamke
@canoksancomprehensivelearn7182
Жыл бұрын
Mume na mke ndio wanahusika na suluhu na kiukweli sio vizuri kufanya haraka kwenye talaka ila ingetakiwa wawaite wakae pamoja family ikishindikana kabisa yote talaka itoke au ajivue ndani ya ndoa mke kwa kumrudishia mahar yake, maana sisi ni binaadam na ndoa siku hizi watu huhujumiana katika ndoa kuharibiana kama wana vinyongo na mtu akapata nafasi ya kuharibu ndoa ya mwingine. Kisheria mwanaume ana haki zaidi katika sulhu yeye na mke wake n mazungumzo yangesimamiwa ikishindikana ndipo itoke, ila umashuhuri nao na macho ya watu. husda na uchawi n.k huchangia mengi watu wakachukiana bila sababu. tusishabikie maana ndoa sio kitu chepesi maana kuna wapambe wengi na mahasidi kila pande. sio vyemakushabikia ugomvi maana hujui tatizo liko wapi nje au ndani au kutokana na remote za kichawi
@zuwenaadja2261
Жыл бұрын
Alivyokua anatamba marekani na mke mwingine hakujua anamgogoro akatengeneze kwanza na mwanamke wake kwa familia mbona mda wakutamba aliupata? Ndoa ina mwaka akiwa kwenye vurugu kwanini mme yeye asingelipushi kifamilia zaidi anadai kupushi sasa hivi by the way mke kakataa kushuruhishwa hata wangeenda popote kama ameshaamua kuachana unadhani kuna mtu angemstopisha pale maana mke ndie alie amua sio ngazi yoyote ilioamua akiachwa akubari kuachika maana popote atakapoenda kudai matoke yatatoea tu kupewa taraka yake maana ndie hataki kuishia nae sasa na mapenzi hayarazimishi…
@yousuphnzira3209
Жыл бұрын
Fact
@amarually5457
Жыл бұрын
Nduguyangu wewe umeongea walichotakiwa kuongea wahusika lakini wahusika ndio wanachochea talaka baada ya kusuluhisha wao wanashabikia sasa sijui inaleta imanigani kwetu mtu anaetakiwa kupatanisha anafarakanisha hakuna mkamilifu mtu anakosea mpenimaelekezoiliajue alipokosea nini maana ya usuluhisho
@canoksancomprehensivelearn7182
Жыл бұрын
@@zuwenaadja2261 ila unajua kitu kimoja kama ushawahi kukaa katika ndoa au ukasuluhisha migogoro ya ndoa kuna maneno mengine yanayosemwa na.mmoja wapo au wote ya kusikia kutoka kwa mtu fulani anamuambia mke wako.kafanya kadha wa kadha au mume wako kasema.kadha wa kadha na kumbe mtu akachukulia kw kuwa.wana ugomvi na wakautoa wapo wachonganishi wazuri na wakati wa sulhu wakiitwa wanakimbia, pili kuna maneno ya dhana kabisa mtu anaweza akamdhania mwenzie kupitia vitu fulani au kuona akadhania tu, na tatu kuna maneno ya kutengeneza.mtu akoleze chumvi aonekane yupo sawa na pia katika pande zote hasira huwa juu kila.mmoja anataka mwenzie ajishushe na kuna kahuruma pengine na mapenzi yapo nimeshuhudia ndoa mtu katoa talaka.mpaka tatu na anampemda mkewakena mke bado anampenda mume lakin kuna tishia nyau tu. mnaweza kukuta mambo yanabadilika kwa wengine, mambo ya kuingia sana na kuwasemea wana ndoa yashaumbua baadhi ya wazazi. kuna watu eamepeana talaka tatu kitu ambacho hawaruhusiwi tena kuish pamoja mpaka ipite ndoa mke aolewe na mtu mwingine kisha aachike mtu anafanya hadaa na kumwambia rafiki yake aoe kisha amuache siku mbili waweze kuoana tena na hii haramu. sio kila wanaotaka kutalikiana wanachukiana wakati mwingine wanaopendana hugombana na siku mbili washakuwa pamoja, wangapiwanatiana magumi lakin wanapendana sana. kuna jamaa walishabikia ugomvi wa ndoa ya dada yao na shemej yao wakawa wanamuna shemej yao kama taka na wakakuta siku chache mbele wenzao wanarudiana na kuitana wapenzi na wao wanaonekana washenzi, mapenzi ni kama lenzi, hu zoom moyo wa mwenzi, wakigombana wapenzi, hata wakipigana konzi, usijejitia tanzi kwa kuingilia penzi, wakipatana wapenzi, watakuita mshenzi,
@azizayassin3623
Жыл бұрын
Ni rahisi kuongea huwezi kujua maisha ya hyu dada
@khalsasalim7930
Жыл бұрын
Toka hapa bwana umekaa mwaka mzima hutoi matumiz na ukamshitaki mkeo eti amekutapeli nyumba ukamtumia police, tulia dawa ikuingie
@matataoneproduction5355
Жыл бұрын
Umeambiwa kwenye hilo baraza kadhi nae yumo kaka usipanic tuliza kichwa wanaokushauri kufanya hili wanakupotosha muungwana akivuliwa nguo huchutama
@msakuzikondo536
Жыл бұрын
Yupo sahii kabisaa.Chombo pekee chenye uwezo wa kutoa talaka ni Mahakama tu.Sheria ndio inavyosema.Maamuzi ya Bakwata haina mamlaka ya kuvunja ndoa.
@madawamchuwa8253
Жыл бұрын
Kwass waislam hatutambui kitu kinaitwa mahakama labda km mumefunga ndoa ya kiserikali. Huyu mwamba kasitisha huduma mwaka mzima kampeleka mkewe polis ili atoke nyumbani na watt huyu Jamaa ni zaidi ya mnyama
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Acha uzwazwa,Bakwata ina mamlaka ya kuvunja ndoa kupitia Kadhi,Ndoa zenu za kikristo ndio zinavunjwa na mahakama
@tatotato506
Жыл бұрын
Usilete udini apakichaa wewe
@ailenyanthony1550
Жыл бұрын
Mhmhm, Nani aliyekudanganya? Hata hiyo Sheria unayoijua wewe haiwezi kutoa talaka kwa ndoa zote mpaka wapitie masuluhishi sehemu mlipofungia ndoa
@mnyamamkalitv6575
Жыл бұрын
Wew iyo serikali nikwanyie makafir
@christophermsekena616
Жыл бұрын
Mara paaaap shehe wa dar kumuoa mke wa Mwaka
@ameirothman805
Жыл бұрын
Mukiendelea na mvutano huo watt mtawapa wakt mgumu sana endelea na matibabu kwa wagonjwa pia nafc unayo ya kuoa mke mwengine usimize kichwa mpe haki yke mkeo kitokea nyumba Fata taratibu za dini n nchii pia uc force kusema ndoa haijavunjika ila kk kosa kuwaita viongozi wahuni inauma sana hakuna sehemu utakayo enda ukashinda juu y hii kesi
@hamiskayombe6061
Жыл бұрын
Mwezi March nafunga ndoa na queen. Mtoto mashaallah. Acha sisi tumuhudumie wewe si umeshindwa bwan kaa kwa kutulia. Mwanamke hakutaki Sasa unalizmisha mzee!? Mwaka mzima hujamgusa una haki gani kuwa mume? Fakeni taipu😂
Watu oyoooo hutakiwa bhana km dollar dollar zako muache mrembo wa watu
@ashuuuaisha9122
Жыл бұрын
Kamuowe monalisa. Janaume gani lina wanawake 3 ila bado wazini na wazaa hadi watoto.
@banajuliana758
Жыл бұрын
Uliacha kuwahudumia ukifikiri unawakomoa sasa jnalalamika nini? Koma msosi 👌
@mohammedmakarani2802
Жыл бұрын
Uko sahihi doctor ila ulijisahau sana shekh wangu vitu vyako ulivianika sana mambo mengine siri ila mambo ya kifamilia yanahitaji siri sana uliyaanika sana hazarani hukujua kua kuna hasadi ila ushauri wangu mwache aendee hapo hakuna tena mapenzi shekh
@rehmamoshi4693
Жыл бұрын
😄😄😄pole sana labda unaogopa kugawa mali sasa kama mwanamke hakutaki shekhe afanyaje
@hannanommy302
Жыл бұрын
Rehma umenena huyu anaugomvi na Shekh Alhad apuuziwe mke hamtaki hamtaki ,yeye anaugomvi na Shekhe, Naona Aibu mimi wallah wake wa mwaka wamevumilia mnooo huyu baba ananogwa anajua kutesa hajui kuacha,
@vincej9275
Жыл бұрын
@@hannanommy302 kweli kabisa
@cdeleo9336
Жыл бұрын
Ndio anataka kuchukua kila kitu mwanamke asibaki na kitu
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Kabisa na hasa hyo nyumba aliomuandikia ndio inayomuumiza kichwa uyu mali ndio inayomtolea mate kusema hapa
@faizaldaud7628
Жыл бұрын
Huyu jamaa anaboa
@eliaskahory7116
Жыл бұрын
Acha Story Kaka sema Ufundishwe Jinsi yakuishi na Mwanamke, Wew Endelea kuwaelekeza watu jins yakupata watoto.
@user-mo5mi6bt6v
Жыл бұрын
✊🏼🤣😁😁😁
@habibaomary3834
Жыл бұрын
Haaaahaaaa haswaaa toa dozi
@Muadhin1
Жыл бұрын
100% uko right. Ndoa haivunjwi na Shkh Wala baraza Bali ni Qadhi. Hapo Bakwata wameingia Cha kike
@asteriashios1852
Жыл бұрын
Mimi ninavyojua mngewaita woote msikilinze shida zao Kila mmoja aongee yake Kwa makubaliano ndo mseme hadharani sijui Kwa wenzetu sisi Hadi liongelee Kwa umoja wakubaluane ndo itanganzwe haisikilinzwi upande mmoja hapana
@safiahassan6121
Жыл бұрын
Hii ndo ile mtu hakutaki na bado hataki kukuona ukiwa kwa mtu mwingine kwasabab anajua yeye ndo mwenye makosa
@hassanmohamedi9966
Жыл бұрын
Yote ni yote Dr Kubali yaishe, Viongozi wetu wa BAKWATA naomba muwe maki I ktk kufanya maamuzi hasa yahusiyo ogogoro baina ya mnaotuongoza hasa ya ndoa,mara nyingi mueni wapatanishi ili kujijengea imani na heshima kwetu sisi mnaotuongoza Kwa kweli mnatusimamia vizuri .Endeleeni kusimamia HAKI
@hannanommy302
Жыл бұрын
Usimwite Shekh wetu Muhuni ,ndoa huna bwana, hakuna wahuni muhuni ni wewe, Mimi ningekuwa Shekh wa Mkoa Namuoa Gueen harakaaaaa 🤸♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@deusisindwa616
Жыл бұрын
Hapa huongei na mfti Ungekuwa unaongea na mufti Ungeenda ofsi kwake,, Cyo unakuja kwenye mtandao ya kijamii,,wewe syo wa kwanza kuachwa,,ukiachwa achika maisha yaendele,,mwanamke akishasema (NO)huwezi kumubadilisha,,neno (NDOA)ukiondoa helufi(N)inabako DOA,,
@deogratius1790
Жыл бұрын
Acha nae uyo she ameshapata mume mwngine
@FREENETNAME
Жыл бұрын
Huyu mume si mwema wallahi sikiza kicheko chake cha uwadui Subhan’Allah mungu amlinde Queenie na wanawe oenfine aliona mkewe hawezi kumuacha ndio kihere here munaendeleya mungu anaona kila kitu ndani ya nafsi na moyo wake anaweza hata kumuawa huyu mama na watoto wake kwa hasira na nyuso za uadui na unyanyasaji na udhalilishaji mungu amuongoze siratul mustaqeen ammiyn
@khamiskiandiko2965
Жыл бұрын
Ofisi ya kadhi sio wahuni kwanza inabidi uombe msamaha ndio mufti atakujibu maswali yako bila hivyo sidhani
@pendo8082
Жыл бұрын
Penz kiberiti washa 🤣🤣ukiachwa achika by barnaba classic
@piusjuma7384
Жыл бұрын
Kisheria barza la kiislam Lina mamlaka ya kusulh8sha tu kwa kitendo Cha barza kutamka kuwa ndoa imecunjika ni kinyume na sheria
@malolatshahala
Жыл бұрын
Aww. My mwaka anaona mbali japo pia penzi bado lina tawala nafsi yake 90%. Kuvunjika kwa ndo ni maamuzi kati ya mke kuolewa na mume maana hao 2 ndio wana ndowa.kwanza mke alipo wapokea wajumbe kutaka suluhu akakataa,alipokwenda kudai talaka ina maana hataki ndoa tena maana si kwamba amekurupuka,hayo ndio maamuzi yake kutoka moyoni. Familia zote 2 pia na vyombo vyote vyo sheria havina maamuzi zaidi ya hayo yy kama yy kutoka moyoni mwake. Anaweza akageuza maamuzi kwa kuwaokopa wazazi ao yeyote anae mweshim ,mkarudisha ndoa yenu lakin maisha yako yatakuwa hatarini. Kwanza: hatokubali tena kuzaa na wewe,pili:akikuondoa duniani kwa njia yeyote,atakuwa amefanikiwa katika yale mapungufu yako yanayomkera na kudai sasa balaa limeondoka na sasa ntaijoy. Nb.achana nae.
@salehwaziri5062
Жыл бұрын
Nazani kama ulioa kwakufuata shelia yadini basi angalia dini inasemaje kuhusu ndoa nasheliazake utajua muongozo ukoje hiki unachofanya unatokakwenye misingiyadini muogopemungu natendahakipale inapopaswa
@henrymushi8340
Жыл бұрын
Huyu jamaa anajifanya kufundisha Mambo ya ndoa,kumbe anamnyanyasa mke asee ni hatari,usimwamini mtu
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Ndomana watu tunaambia tuache kuangalia watu kwenye TV wakitufundisha ndoa wakati wao awajaolewa
@angelbarnabas7075
Жыл бұрын
You are wife she is not happy let her go , ujuaji mwingi mno maneno mengiii mke wako atakufa na brood presha and she don’t want to be with you . Thank you
@kmotivation1130
Жыл бұрын
Ww wake zako uliwatangaza kwa press sasa ili watu wajue mzee hauko tena pale lazima ifanywe press , tena ingetakiwa ilipiwe iwe promoted , mashekh huyu mtu anawaibisha sana
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Si ndo hapo na wakirejeana chumbani ataita yy Mwaka ataita press km kawaida yake, tena nn???
@jeanmusamba3253
Жыл бұрын
baraza halijakosea kaka wameshughurikia tatizo ni wazoefu sana kina Mufti na mashekhe katika mambo hayo na wana hikima.wewe mfuate mke wako mweke sawa anaonekana napenda sana kuheshimiwa na hapendwi tukanwa,ila pole naelewa una machungu na kuachana si jambo jemaa kma ulivyosema,Mungu akupe busara zaid katika hili
@manhajsalafafrica
Жыл бұрын
Katiba ya Bakwata haimpi mamlaka Sheikh yoyote wa Bakwata kuvunja ndoa,
@azizimkwawa7711
Жыл бұрын
Shekh Muhuni dah to be honest kaka umetutukana waislam wote kwa kifupi umekosea sana na umejikweza sana nakushauri jishushe kaka mbele za Mungu na atakusamehe
@idrisargevar4557
Жыл бұрын
Sheikh muhuniii mimi nimesemaa😎
@coin9007
Жыл бұрын
@@idrisargevar4557 Mkiachwa achikeni 😂😂😂
@idrisargevar4557
Жыл бұрын
@@coin9007 hivi mtu kama dr mwaka akabembeleze demu? Demu mwenyewe yule😂😂😂 Mafiiiiii
@mickyiron308
Жыл бұрын
Matapishi gani wakt he's telling the truth sema yeye alikosea kufikiri ukimwagia mwanamke madola ndo utamtuliza kumbe ndo unamzuzua!!Wanasubiri umwache watu wamnyakue aanze kuwapa Ile midola yako ulikuwa unamwagia 😹😅
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Huna lolote. Unajitetea tu.kwahiyo wewe ulifurahia kile kitendo cha ofisi za dini kuchafuliwa?
@salimiddy7769
Жыл бұрын
Pole sana doctor Mwaka kwa madhila yalio kukuta
@beatriceswai2608
Жыл бұрын
Umeachwa kubali kuachika
@lissamnyingi6457
Жыл бұрын
@@beatriceswai2608 Huwa wanaona raha kituumiza sasa kubali matokeo
@ommythetruth5449
Жыл бұрын
Kakate Rufaaa acha kutuchosha sisi kama ni meseji kwa Mufti c uende oficn kwake au umpigie simu yanini kutupigia kelele huku mtandaoni ,,Kwani ndoa lazima mdada wa watu kakuchoka hakutaki Tena muache aende zake acha kutia Huruma mitandaoni
@gd1926
Жыл бұрын
Tuliza kinyeo wewe umetumwa uangalie hii clip
@shaushishaushi
Жыл бұрын
@@gd1926 matusi yanini nafasi yarufaa ipo
@sifaisack7470
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ommythetruth5449
Жыл бұрын
@@shaushishaushi hebu mwambie huyo
@sifamushi1747
Жыл бұрын
Kama Mke HAKUTAKI, NA KUKIRI HIVO, haina haja ya kua...isha maneno/mgogoro na wakuu wa dini. Wao wasingejua kama mmoja wenu htaki
@mohameddjair1739
Жыл бұрын
Good point
@jeybullaz9323
Жыл бұрын
DOCTA MWAKA UNAPENDA FUJOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO Ukiskiliza vizuri shekh Alhad alichokiongea utamuelewa vzuri tu. 1- Baraza la maulamaa(MASHEKHE) lipo chini ya utaendaji wa bakwata. 2-baraza la maulamaa pia lina dhamana ya kusuluhisha kesi za ndoa kutoka ktk ofc ya kaddhi.ckiliza Vzur dakika 5:18 3-Kaddhi mwenyewe anaesuluhisha kesi nimwanachma husika ktk baraza la maulamaa,,na ktk kutoa suluhu hii uliopewa na yeye alikuepo. Ckikiza Vzur dakika ya 5:44 4- nahuyo shekh Alhad unaemtuhumu kua hana mamlaka,,ujue yeye ndio MWENYEKITI WABARAZA HILO lamaulamaa waliokaa na kutoa hukumu hio,akiwepo kadhi. Ckiza dkk 5:55 5 - KIUFUP HILO NI BARAZA LA MASHEKHE WA BAKWATA na akiwemo kadhi ndani ndio wamevunja ndoa yako,, ckiza vzur dkk 7:47 6- naukitaka kuamin kua huyo kadhi unaemtaka wewe ndio avunje ndoa yako na yeye alikuepo kwenye kikao ckiliza vzur dkk 8:8 7- dakika ya 8:21 shekh Alhad amesema wao kama ofc ya Baraza la BAKWATA mkoa,,wanakupa ruhusa ya kukata rufaa ndan ya cku 30... Maanayake nikwamba rufaa yako peleka ofc za bakwata ukiwandikia Baraza la maulamaa waliovunja ndoa YAKO,,mana hata kadhi unaemtaka nae yumo humo humo ndan ya Baraza hilo. 8- Akasema tena Shkh Alhad,,kunzia dakika 9:9,,,lengo la vikao hivyo ni jema na ndio utaratibu unaotunika ktka ndio zote. 9- Akaendelea tena kusema Shekh Alhad ,swala hili limekuja ktk sura tofaut ndiomana na sisi tumelileta kwanjia ile ile ya tofauti. MAANA YAKE NIKWAMBA Baraza hilo Halina utaratibu wakutanga talaka zawatu ktk vyombo vya habari,,Ispokua kwakua Swala hili lako limekuja kimitandao ndiomana na sisi tumelileta kimitandao Ili watu wote wapate kujua na kufahamu. SASA DOKTA MWAKA AMBACHOHUJAELEWA HAPO NI NN KAMA SIO WEWE UNAPENDA SHARI NA SHEIKH ALHAD...KUBALI YAISHE DOKTAAAAA
@ireneassey2022
Жыл бұрын
Anaona atapata aibu
@mashulano4362
Жыл бұрын
Alhad na mwaka hawapatani, kwahyo kama Mmoja wapo anakuwa hakimu wa mwenzie lazma amnyonge tu
@mariamjuma4136
Жыл бұрын
Yaani anatea ata aibu kila kitu kiko wazi sijui kilele za nini mpaka anakera Yeye yake yanaenda anaendelia na maisha yake na wake zake wengine Queen ajieliwe yuko wapi Mjeuri mbishe sijui utamsaidia nini. Mwanamke mwenyewe ndio anataka talaka anataka ata BAKWATA pia wammbembelizi Kubari kushuka Dr Mwaka acha kilele
@ahz6907
Жыл бұрын
Kaka wewe ni noumer😅
@hajihamisi6929
Жыл бұрын
kweny uislam hakuna kitu kinaitwa shekh wa mkoa shekh alhadi anakosa kuwa na mamlaka coz sharia ya uislamu haijampa mamlaka hayo never someni fiqhi vizur👌👌👍 ila kadhi anaruhusiwa kuvunja ndoa na pia sio kwa taraka ila ni kwa fiqhi ina vipengele vinavyolazimu ndoa kuvunja ikiwa mmoja aridhiki na mwenzie na hakuna uwezo wa kupatana hata kwa kuvumiliana basi ndoa inavunjwa na mwanamke anakaa eda na eda pia inagaramiwa na huyo huyo mume. ikiwa imeshindikana pande zote maelewano basi mwanamke pia anaruhusiwa kujivua kwa kulipa nusu mahali then hakuna ndoa hapo...hiyo ni sheria ya kiislamu.. LAKIN PIA KWA HEKMA TUUU DOKTA MWAKA AACHANE NAE TUUU HUYO MWANAMKE KWA NIN ASUMBUE WATU KAMA ANAMPENDA ATAFUTE SOLUTION BAINA YAO WALA ASILETE MITANDAONI WANAITIA AIBU DINI alhayaau minal iiman... ALAFU NASHAURI KWA KILA MUISLAM TARAKA NA MAMBO YA NDOA SI YA KUWEKA HADHARANI ALLAH HAPENDI KUTOLEANA AIBU ZA NDANI YA NYUMBA KILA MTU AMSTIRI MWENZIE THEN MNATENGANA KWA AMANI KILA MTU AISHI MAISHA YAKE Allah atuongoze sote waislamu inshaallah.
@soudbako5925
Жыл бұрын
Mwaka kapigwa na kitu kizito kumbe bado anampenda
@samsonzablon
Жыл бұрын
Kisheria, kama sikosei haivunjwi na shehe, wala mchungaji au dini, bali kisheria Ndoa hapa Tanzania inavunjwa na mahakama tu. Mabaraza mengine sheria inawapa fursa ya kushauri na kuwa mashahidi tu kwamba ndoa imevunjika kiasi cha kutokurekebishika. Kama naakosea, tafadhali naomba pia ufafanuzi
@ngoni7944
Жыл бұрын
Hizi ndoa za kiislamu ni lazima wabadilishe sheria hii ya ukandamizaji kwa wanawake, mwanamme anaweza kumpa talaka mwanamke kwa maneno tuu ila mwanamke lazima aende bakwata au serikalini. Wanawake wa kiislamu amkeni mkatae huu unyanyasaji dhidi yenu. Wanaume wamejipendelea kwa kuwaoa wanawake wengi na kulala na nyie kwa zamu pia
@suleimanrashid3918
Жыл бұрын
Hufaham unacho kiongea uislam ndio uliokuja mpa haki mwanamke na ndio maana wasio kua waislam wakezao wanateseka zaid wenzio budha wanawake ndio wanatoa mahari. Kuto kutoa talaka mwanamke ni kwasababu Mungu alijua mwanamke anakua na hali ya mabadiliko hata ww ukiwa ni mwanamke kuna siku hutokea ukawa na hasira na kufikiria kufanya unachotaka kwa mfano unapokua mja mzito au ukiingia kwenye siku baadhi ya wanawake wakua hivyo na pia ukiolewa mwanaume pia ndio hutoa mali.
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
A, Aaaaaa hii ndio haki yetu Na Sisi tuko Radhi kabisaaaa na Sheria zetu za kiislaam usituingile! Ndioo kama ivi wanaojuwa kuowa Na kunyanyasa hawajuwi kuwacha Sheria inamuachisha si umeona Queen uislaam haupindi pindi,Wala uislaam hauna Rushwa,
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Tuache na dini yetu nyie mna dini yenu na sisi tunayetu haikuhusu babu. Alafu uislam umempa cheo kikibwa mwanamke.
@ngoni7944
Жыл бұрын
@@malak-lz6kx kivipi? Mbona mwanamme anaweza kumpa talaka mwanamke na mwanamke hawezi kutoa talaka, pia kuhusu kugawa Mali watoto wakiume wanapewa zaidi kuliko wa kike, pia mbona hakuna viongozi wanawake kwenye uislam, mashehe na maimamu ni wanaume, hata misikitini wanawake mnawaficha uani., mnawambia wanawake wa kiislam wajitande mbona nyie wanaume hamjitandi. Tena mnaoa wake wanne wakati mwanamke haruhusiwi kuolewa na wanaume wengi.
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@ngoni7944 jibu lakwanza mwanamke hawez kutoa talaka kwa sababu yy sio msimamizi wa mwanaume lkn pia anaweza kutoa talaka akiwa kwamba mwanaume anasababu ambazo zinamuumiza nafs yke kukosa raha ya maisha ya ndoa kutokuepo kupitia kwa mashekhe ndio kma hyo mkewe dokta mwaka. Na la pili kwasababu nasab inaenda kwa baba na sio kwa mama kwani ww jna lako ngoni utaitwa ngoni masha si unapewa jna la baba ako istoshe jibu linakuja hivi allah ameeka mwanaume ni msimamiz kwa mwanamke kam baba yko akifa akaacha mali ww mwanaume unapata mara 2 mwanamke mara moja mfano ameacha laki tano mwanaume atapewa laki 3 mwanamke laki 2 kwamba ww umepewa kikubwa uwe ndio msimamizi wke yy laki mbili zke ni nafs yake ww hzo laki 3 akiumwa kumlisha kumvisha unatoa ww sio yy. Alafu kuhusu mwanamke kuwa kiongoz mwanamke kiongoz wapo isipokua hawatakiwi kupaza sauti zao wapo wanaofanya madarsa na kuwasomesha kuhusu dini kuwa elimisha alafu mwanamke ni stara hatakiwi kuwa juu kila sehemu kwani nyie masista wale si wanasehemu maalum na wnaavaa mavaz sio ya kuonesha mwili wao kwamba dini ya kiislamu inampa heshima mwanamke kwamba stara kwake lazima. Kuhusu kuoa wake zaid ya wanne ila allah amekwambia ikiwa unaweza na una uadilifu wa kimaisha na kiafya alafu hii imewekwa kwamba mwanamke anapata period mwanaume akiwa ana hamu si ataenda kwa mke mwengine mwanamke anakuwa na mimba anamambo tofaut anakua nayo . Na kiafya mwanamke anatakiwa asifanye tendo la ndoa kila siku sio afya nzr kwake kwamba mwanamke sehemu zake za siri ukiwa unatumia kila siku zinachoka harka na kuwa muonekano mwengine lkn ww mwanaume huna bikra mwanamke anayo sasa aje mwanamke awe na chini ya wanaume zaid ya mmoja .nikuulize swali tu ww utaruhusu mkeo awe na mwanaume mwengine wakufanya nae tendo la ndoa
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Kwanza adabu huna yani leo masheikh unawaita wahuni, subhanallah
@ibnhassan9980
Жыл бұрын
Wahuni tu hao bakwata
@georgeigogo9259
Жыл бұрын
unaitaji kutufundisha au unajitetea kama mwanammke kaamuwa miachane basi mwache afanye yake
@husseinaziz8284
Жыл бұрын
Sawa
@fatma2496
Жыл бұрын
Tatizo wanaume kama nyie mnapenda kuwatesa wanawake kwa kuwanyima talaka zao wanawake, mnamueke mtu hajijui yupo kwenye ndoa hau aupo? Huwezi hata kumove on kwa sababu mnagoma kutoa talaka
@samiahmlimanzila6406
Жыл бұрын
Dr ushauri wangu kwa maelezo ya mkeo ki dini unamakosa iletu. Mwaka mzima hupo nae wakati matalaa sio haki kikubwa toa taraka maisha yaendelee kingine ki misingi ya kidini bado unamkosea Mungu kusema mashekhe kua ni wahuni
@adaboychibu1659
Жыл бұрын
Akili nyingi point nyingi!mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!Mwaka yupo sahihi
Ndugu yangu sheikh alhad mussa amekurupuka Allah akupe subra
@muhan_de_coco3567
Жыл бұрын
kwa nilivomsikiliza nimemuelewa vzuri sana
@mzamirmfuruki6668
Жыл бұрын
Mwaka raana inakusumbua tu!Ww ndie unavuna ulichopanda maisha yako umeyajenga hivyo,unapenda sifa zisizo na naama kwanza Huna elimu ya Dini zaid ya hayo maneno machache unayoyataja kwa lugha ya kiarabu haya unaita mitandao na unajiita ww ni muumin hujui ofisi za Bakwata zilipo au ofisi ya Mufti ilipo!Punguza Show off!
@maulidmnukwa3171
Жыл бұрын
3. Popote mtakapoenda mkeo atakuwa mshindi kwasababu tu hataki 4. Kitendo cha mkeo kushinda kinaleta tafsiri kuwa wewe unalazimisha mapenzi kitu ambacho wewe unapigania taratibu 5. Wanawake by nature sio watu wenye uoni mkubwa wa mbali Kama huyo mkeo japo sijamsikiliza saana hoja zake kubwa unapopishana na mwanamke jst get cool for some while 6. Jambo lengine unaongea fact but unataja vitengo vingi Kwa wakati mmoja , mufti, qaadhi, haiat ulaamaa Kitu ambacho hizo department zengine hazifanyi kazi ya uqaadhi but wanakazi labda za kufutu masaala na mfano wake 7. Andika barua kwenda kwenye tanzu tofauti ili kulipush Jambo lako ni educative way more than the way you move cs you can't learn from wrong doers
Ameshasema hana tatizo la kumuacha yule Mwanamke. Alikuwa tayari pamoja hakutaka yeye amuache. Anampenda lakini hataki kuishi naye. Lakini Mwanamke kwenye Uislamu anaweza kumuacha mwanamme kwa kusema tu na kumrudishia Maali yake na kusema. Ila unajua adhabu za Allah kwa mwanamke anaye muacha Mwanamme kwa mambo ya kidunia?? Pamoja Mwanamke hana Haqqi yankutoa taraka kwani taraka iko kwa Mwanaume. Kwani hakuna Nwanamke au Wanawake walioomba taraka kwa kurudisha maali yake wakati wa mtume Muhammed SAW na maswahaba ?? Ndio maana Mwanaume akapewa Haqqi yankutoa taraka wewe Maulidi usiwe kama Kuffar. Kwa sababu angalau sisi tuna logic and thinking via our brain not emotions. Una uhakika mwanamke alikuwa hapati matumizi wewe?? Wanawake wengi sasa hivi wanaangalia Maslahi ndugu yangu. Kama hauna kitu kwangu pakavu tia mchuzi, wala usijali kwani huna kitu anyway. Lakini kama una hali nzuri ya kiuchumi, kiwa mwangalifu ndugu yangu. Huyu Mwanamke ni Gold digger na ana ndugu wale ukiwaangalia wote they are after money and wealth. Mali ni za Dokta Mwaka na akiamua kumpa chochote yule mwanamke kwa sababu tu tuachane kwa wema tu. Watoto wake dokta mwaka ni wakubwa above 7 years old. Anaweza kuishi nao na yule mwanamke kutambaa zake. Pili, dokta Mwaka amesham replace yule Mwanamke na alikuwa tayari amepanga kumuacha lakini kuna issue za mali kwani yule Mwanamke alikuwa amekabidhiwa mali ambazo zina fungamana na watoto wengine. Kwanza mtu wenyewe ameshakuwa mzee yule. Dokta mwaka ameshakamata katoto kazuri, kabichi cha miaka 20s huko...😂😂😂😂. Kudadeki..... High Value Man always has options. Wewe ukisusa watu wanakubadilisha tu. Marekani na Ulaya watu kama akina dokta Mwaka, wanawa sainisha Wanawake zao kitu kinachoitwa PRENUP PAPERS. Yaani, ikitokea ndoa imekufa, Mwanamke anaondoka na nguo zake kama alivyokuja tu. Kwani wanaume wamechoka kudhulumiwa mali kutokana na kisingizio cha ndoa. A lot of men in the western countries, lost everything because of divorce. Tena huko nwanamke amepewa taraka mkononi. Wanawaacha Waume zao right and left. Women walk away with kids, money and wealth. Men remain bankrupt. Tena hapo bado child support and spouse support on top of it. Sisi tuna geza tu. I know these kinds of women. They are Gold digger..... Wanakuzalia watoto wawili au watatu na halafu wanasingizia huwapi matumizi, unawanyanyasa , umpendi au sababu yeyote ile na kudhalilisha mbele za watu kama vile. Bora Mwaka afuate sheria aliache lile zee na kuleta chombo kipya. Wazuri wanazaliwa kila siku. Hata mimi wacha nikaongeze Mke wa 3 sasa hivi. ... 😋😋😋😋😋 Yule mwanamke sio mpumbavu anajua adhabu ya
@cheka480
Жыл бұрын
@@hamidudongo1879 hakuna atakaeingia kaburini kijana, jaribu kuangalia vidole vya mkono uloumbiwa na Allah
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
💯%
@hayeshimpeziy
Жыл бұрын
kiukweli mengi yanaweza kusemwa hapa...lakini swala la kuzungumzia masuala ya ndoa ya mtu katika mitandao ya kijamii regardless what, sio sawa..viongozi wetu wa dini wanapaswa kutumia sana busara kwenye kufanya maamuzi. Dr. Mwaka might be a low person kwenye elimu ya dini lakini katika hili, ofisi ya shekhe wetu wa mkoa inapaswa kujitathimini sana katika hili..how comes wanatangaza kuvunjika kwa ndoa ya Dr. Mwaka..it is totally wrong.......
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
SHEIKH MKUU AMEINGILIA MGOGORO AKIWA NA INTEREST, HAWEZI KUWA HAKIMU WA JAMBO HILO TENA KWA KUTANGAZA KWENYE VYOMBO VYA HABARI. HAWA NDIO VIONGOZI WA BAKWATA
@cholombuda1658
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana doctor mwaka naamini ww sio kama utadhulumika kwa kuachana namkeo ila ulihitaji zaidi amani kwasababu kwanza unaonesha kwamba bado muhitaji mkeo pamoja na watt napia hata mkiachana basi iwe kwakheri sio shari coz mlishazaa watoto watajifunza nn kutoka kwa wazee wao
@rickyjames8495
Жыл бұрын
Hakuna ndoa ya perfect ! I am married myself , lakini ikifika mahali that you wife hasikwilizi, basically now she is appealing to authority to be listen to , come on Dr Mwaka, it’s gone too far ! Ana haki yake ya kuvunja ndoa! It’s her decision !!! Don’t be angry at Bakwata jilaumu wewe mwenyewe! Stop trying to find loopholes in the bakwata constitution brother , it didn’t work out with you and her ! You failed to reach out to her , tharau!!!!
@boaskabate1229
Жыл бұрын
Dr. Mwaka mi naona suluhisho la haya yote ufike foreplan clinic ubungo plaza wakutatulie tatizo lililoko kwny ndoa yako.
Lkn inavyoonekana mkeo queen hakutaki tena. So ni sawa tu kupewa mkeo talaka.
@donjb3178
Жыл бұрын
Talaka hazitolewi kuolela na kwanza hairuhusiwi kwa Mungu
@mbarikiwambarikiwa6479
Жыл бұрын
@@donjb3178 mapenzi yakifika mwisho huwa hakuna mjadala ndg, ukilazimisha sn huwa kuna matukio makubwa yanakuja. So ni vyema kuachana Tu.
@ramadhanyusuf2401
Жыл бұрын
Wewe mpumbavu kuwatusi mashekhe na kuwadharau...mpe haki mkeo acha kupiga mdomo
@donjb3178
Жыл бұрын
Acha mihemko swala la ndoa ni swala la watu wawili sasa mashekh wako wanaingilia vp, tena kwa kutoa conclusions wameivunja ndoa how comes ni mahakama ndio inayomamlaka ya kuvunja ndoa tena kwa makubaliano ya pande zote mbili na ikitokea pande moja imegoma talaka haitolewi
@ramadhanyusuf2401
Жыл бұрын
@@donjb3178 kwani ndoa aliji fungisha wepia vipi si hawa viongozi wake wa dini ndio aliwaendea...
@tatotato506
Жыл бұрын
@@donjb3178 wanaingilia mwanamke ndio kaenda kutoamalalamiko bakwata
@donjb3178
Жыл бұрын
@@ramadhanyusuf2401 mfungishaji wa ndoa hana mamlaka yyte kwenye ndoa mana yeye alifungisha tu ndoa na kwa lugha nyepesi naweza sema mfungishaji wa ndoa anakua kama shahidi wa upatanisho kati ya pande mbili lkn tofauti na hapo hana mamlaka nyingine yyte kwenye ndoa
@deusisindwa616
Жыл бұрын
@@donjb3178 ukiachwa achika Amekuwa wa kwnza dunian Wengi wameshaachwa hafu maisha yanaendelea,,,swala la ndoa mkishindwa kuelewana wawili ndan mkaipeleka kwenye mabalaza hiyo cyo ndoa Tena,, Hata mkiipeleka kwenye familia hiyo cyo ndoa,,kat ya wawili hao Kuna mmoja ataongea uongo Ile balaza limuone Hana hatia,, Hapo ndo kuvunjika Kwa ndoa, Malizanen wawili mukisindwankuelewana bc kila mmoja aangalie maisha yake cyo kujizalilisha,,kila cku alikuwa anajifanya yeye nimushauli wa ndoa nani kakwambia ndoa inaushauli,,nyambafu
@dicksoncosmas1368
Жыл бұрын
Mimi nakuelewa sana dokt #yatapita
@irenegeorge3501
Жыл бұрын
Wewe ni mkorofi tunakujua unatukanaga adi mashehe kwenda uko kuonea tu mwanamke wako ovyo🤨
@thadeikafaranga7744
Жыл бұрын
❤❤😂😂😂😂😂 mganga hajigangi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@andromedagalaxy8627
Жыл бұрын
😆😆😂😂😀😀😃😃 nimecheka sana
@lissamnyingi6457
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗 kabisa ndo Dr bingwa huyo wa matatizo sugu, lkn kanaswa kwenye kona😎
@abdulkarimabdallah9536
Жыл бұрын
Nimeipenda kweli mganga hajigangi aise
@bensonmwananchi7701
Жыл бұрын
Afu nyie c mnabifu lenu..ngoja tuwaache
@cdeleo9336
Жыл бұрын
Wewe baba ni mshenzi hakuna mfano. Mke hujamuhudumia mwaka wala watoto hulipi chochote ila huyo bado mke wako?? Na huyo kadhi uliemng’ang’ania wewe ulikuwa umeshampa rushes?. Imekula kwako Hiyo ndo kaishaachana na wewe 😂😂😂
@ramadhanihassani1617
Жыл бұрын
Wewe ulisha watukana mashekhe wote na kusema wahuni. alaf #doctor #mwaka mkeo hakutaki sasa unacho lazimisha nini? yani unaonekana hujasoma kabisa wewe ndio #muhuni
@richardmaimu9596
Жыл бұрын
I am sooooo confused here!
@samirelhiad1243
Жыл бұрын
Dr. Umeongea vizuri sema unacheka kama unataka kulia hivi dah!!! Kweli mapenzi yana nguvu Allah ainusuru ndoa yenu inshaallah!!!
@florabuzoya3948
Жыл бұрын
Mwanamke mrembo Sana aisee
@maryamabdallah3140
Жыл бұрын
Pale tunapoiacha njia ya Mungu ndio haya sasa...kweli Dunia ni starehe za muda mfupi
@kaharikinyere9681
Жыл бұрын
Ukiachwa kubali TU mzee
@mangaikwelamatengo8556
Жыл бұрын
Acha mahubiri .Unalienable nini fala wewe
@kaharikinyere9681
Жыл бұрын
@@mangaikwelamatengo8556 kumbe we boya wa mwaka kaolewe wewe sasa
@baloziubalozini5074
Жыл бұрын
Real TALK Wahuni nenda nao KIHUNI
@40kstore
Жыл бұрын
Me wote nawaona mpo sahihi tu,wewe,yeye,mkeo,komaeni.
@ameirothman805
Жыл бұрын
Stamina kashasema ndoa za bongo zinafungiwa chumbani na zinavunjikia instaa
@adildewji
Жыл бұрын
MashaAllah. Absolutely spot on.
@ngoni7944
Жыл бұрын
Hizi ndoa za kiislamu ni lazima wabadilishe sheria hii ya ukandamizaji kwa wanawake, mwanamme anaweza kumpa talaka mwanamke kwa maneno tuu ila mwanamke lazima aende bakwata au serikalini. Wanawake wa kiislamu amkeni mkatae huu unyanyasaji dhidi yenu. Wanaume wamejipendelea kwa kuwaoa wanawake wengi na kulala na nyie kwa zamu pia talaka mpaka atoe kadhi?
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
@Ngoni good point lakin ukiona watu wameganda kwenye special waislam ujue wanafata sheria ya Allah. Na ukimona muislam anaacha sheria ya Allah ujue ameamua sasa atuwezi vunja sheria ya Allah .
Пікірлер: 930