Msigwa itakuuma sana, uroho wa madaraka tena acha kumtusi Mbowe wetu, chama chetuu kipo imara, tena ni kapapai hako
@jumakisailo8496
Ай бұрын
Sema baba, uko sahihi. Big up..!!!
@InnocentJohn-l5y
Ай бұрын
Msigwa hayuko kwaajili yajamii ametanguliza tumbo na family yake hafai huyo
@silasmarandu1485
Ай бұрын
Yaani brother unavyoongea kwa utulivu hivi yani relaxed ndivyo Chadema ilivyo, very calm but dangerous! Big up
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Lipumba alikubali kununuliwa leo kiko wapi na Cuf yake?
@gowekogoweko5803
16 күн бұрын
AMEONGEA TARATIIBU NA KWA UFASAHA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@neemanziku5403
Ай бұрын
Yan Msigwa tupo na ww kila utacho sema na ss tutasema
@bonifacemwanga3115
Ай бұрын
ULICHOKIKATAA CHADEMA SASA KAREKEBISHE HUKO CCM, Mfano, Wambie Ccm Uchaguzi wa Mwenyekiti uwe na WATU WAWIL Yaani Mm S na mwingine Uchaguzi wa Rais hivyo hivyo, Ufisad na Rushwa umejaa Ccm na Serikalini kama ulivyokuwa unahubir sasa katende kaseme ili UCLE MATAPISH YAKO,
@fredrickmwakalinga6390
Ай бұрын
Msigwa ni malaya tu alikuwa anahongwa na ccm kitambo ni mshenz tu
@ThomasMselle-rw5ej
Ай бұрын
Baba yake Mbowe mzee Aikael Mbowe muasisi wa uhuru wa Tananyika alitumia mali za familia kusaidia J. Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika. Leo kima ngedere anakuja kumdhalilisha Mbowe. Msgwa ndani ya ukoo wako nani aliwahi kujitoa kwa wa TZ
@NixonJohnson-r4m
Ай бұрын
Na wengi Hawajui wengi mzee Haikaeli Mbowe ni muhimu sana kuliko watu wanavyo mjua..
@AlexMkwama
Ай бұрын
Msigwa anamtukana yesu kwa kujiita mch, maana usaliti wake niwa Lucifer
@starlily07
Ай бұрын
Msigwa kwisha habari yake
@DominicMashambo
29 күн бұрын
Hatuwezi kumjibu msingwa ss✌️✌️✌️
@isackphilipo9870
Ай бұрын
Uko vizuri sana mzee wangu upako wewe ni mwamba
@ThomasMselle-rw5ej
Ай бұрын
Kuhamia CCM sawa ila naamini hutuna la kujivunia kutoka kwako cc wana CCM tunajua unamdhihaki Mungu. Umtumkiie Herodi na Yohani mbatizaji kivipi hata huku CCM utaleta sokomoko kwa hu uroho wa madaraka, njaa na ulafi wako kama dubu lakini mifumo itakudhibiti. Huku hatuchezi mdundiko bali judo
@FestoLalata
Ай бұрын
Nakukubari mhe mzee waupako
@WilliamMwansepe
26 күн бұрын
Hatama mm sikumfaham kiongozi yoyote ndani ya chadema,nlisoma makala gazetini ndiponikaifahamu chadema badae nikawafamu viongozi ambao ni wa asisi.CHADEMA ni chama imala.wanachadema mziyumbishwe na wanahama kwa sababuzao
@rebekakulwa6159
Ай бұрын
Mbowe anasema. Ukweli hajawahi kumtukana rais we lifisiyemu pita kule
@JeremiahKaliwa-h1w
Ай бұрын
Uko sawa chadema sio Musigwa
@dignakanje4508
Ай бұрын
Hjitambui tu,waliondoka kinazito kbwe nahkusema wakaanzisha chama naleo maisha yanaendelea.Anapenda kulelewa,Kma kweli nimwanaume angeenda kuanzisha taasisi yke.
@salummohamed2689
Ай бұрын
Sijawahi Kuona mtu mpumbavu kama Msigwa
@simonsadala2386
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 eti ni mfupi hata kwenye majukwaa tunampandisha Kwa ngazi huku Ccm tunampa mabango na kumuimbisha iyena iyena kipimo cha uzalendo wa chama
@FikiriniMwaluko
Ай бұрын
Bibilia inasema.anatoa ananguvu,kuliko anaepokea!! Lakini pesa huuburudisha moyo na kujishushia heshima
@kenedyrocky4641
Ай бұрын
MSIGWA anaakili ninazo fanana na za popo. Mjinga Sana mtuwangu
@FestoLalata
Ай бұрын
Msigwa amesha chukuliwa msukule
@kinkybanjukome217
Ай бұрын
Mwehu kweli huyu mchungaji msigwa
@HalimaSaid-h1x
Ай бұрын
Uyo msigwa ni kidudu mtu
@jovithngaiza1020
25 күн бұрын
😅😅😅😅Huyu jamaa simjui na sijawahi kumsikiliza hapo awali,aisee ni mtu makini sana,anajua na anaongea kwa umakini sana
@JoelRichard-hj3bi
Ай бұрын
Honey bujer 😂😂😂😂😂😂 hii kali.
@FikiriniMwaluko
Ай бұрын
Mwanaume alie kamili hawezi kumuoa mwanamke ambaye anatoa sili za mume wake alieachana nae.
@AnteloSanga
Ай бұрын
Miaka kadhaa yupo chadema leo unaiona chadema haifai yeye ni nani Malaya ashatongozwa Malaya kama Malaya wengine. Tumbo linamsumbua.
@DavidKagulu
Ай бұрын
Msigwa eti mchungaji dah hii dunia hiii
@sskondopoleani9616
Ай бұрын
Itakuwa vizuri zaidi ukimuuliza Mbowe anapata wapi UJASIRI wa kumtukana RAIS??
@kassembotz1421
Ай бұрын
Mlevi mmoja anatupotezea muda hapa
@ramadhanmahongole9293
Ай бұрын
msigwa ni shoga
@prochesytesha8040
Ай бұрын
Mkuu pmj upo vzr
@dentomedicalresourceslimit4602
Ай бұрын
vine yard church ilikuwa pale karibu na maktaba Iringa ni ukumbi fulani wa mikutano. "come as you are " njoo kama ulivyo , ilikuwa ni kauli mbiu yake. Ni mchungaji wa mshahara..
@dianamakyara4210
Ай бұрын
😁😁
@mbarakatv633
10 күн бұрын
Alisema haya ayajibu mbowe ,lisu au heche
@user-zj1ep6hn4p
Ай бұрын
🎉🎉
@rebekakulwa6159
Ай бұрын
Tunamfuatilia kwa sababu hajatulia amekuwa na mdomo mchafu kwa hiyo hapa ni bandua bandika tutamfuatilia mpk atakapofunika kopo. Lake
@Rasulymnonjela
10 күн бұрын
U yojamaa anaatar tumpe jimbo
@SostenesMabala-tt8pt
Ай бұрын
Mshamba tu yule
@sirimollel823
Ай бұрын
Brother tulia kabisa kichapo kipo pale palee tutawapiga mpka itoe vumbi sababu majukumu yako ni kutoa maneno ya taarabu
Matango pori, Zitto, Juliana Chonza na Kitila hawakujitoa Mliwafukuza
@DavidKagulu
Ай бұрын
Tuliwafukuza kwa sababu Gani?
@shaibunyenzi8712
Ай бұрын
@@DavidKagulu Mliwafukuza sababu Zito alitaka kugombea kiti cha mfalme wa Maisha Mbowe.
@VitalisMmassi-oh4jb
Ай бұрын
Hekima kubwa
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Tikiti maji ni wewe muache kwani kuhama chama ni kitu cha kawaida
@FikiriniMwaluko
Ай бұрын
Hujui unacholopoka wewe kiongozi apaswa kutunza siri sasa mkimpa cheo si mkimuuzi si atatoa Sili zenu!?
@sskondopoleani9616
Ай бұрын
Kwa maana hiyo CHADEMA inategemea pesa ya familia ya Mbowe?
@DavidKagulu
Ай бұрын
Afadhali ya Chadema,inayotegemea fedha za mbowe kuliko ccm inayotegemea wizi wa fedha za umma
@sirimollel823
Ай бұрын
Inaoneka msingwa amewapiga Panapo umaa ndio maana amchoki kumjadili
@jumakisailo8496
Ай бұрын
Elewa kabla hujasema, Msigwa hajadiliwi isipokuwa anajibiwa kwa anayoyasema mkitaka asitajwe yeye aache kusemasema alikotoka, aongelee huko aliko sasahivi mumfundishe utamaduni wenu wa kufunga magoli ya mkono.
@DavidKagulu
Ай бұрын
Kaulizwa mzee hakuna mtu wa kukijibu kile kisaliti
@albertinamichael6123
Ай бұрын
Kama hakuwa na kitu mna mfatilia wa nini mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe achaneni nae basi nyie wenyewe wasaliti ndio maana mna tumia hela za Abduli.
@obinasimbeye1750
Ай бұрын
Hakuna anayemfatilia yeye ndio anaache kumsema mtu badala kuelezea maendeleo ya watu
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
Mjinga wewe Mwambigija mali A Mbowe ni za urithi wa mkwe wake
@ChartyCharz
Ай бұрын
Jipya auna wewe na wewe ama karia mbowe mbowe mahovu gani
Пікірлер: 75