Dudu baya uko vizuri kuhusu maombi safii ,Mungu akulinde endelea bila Mungu akuna maisha Assnte
@PenuelDaniel
Ай бұрын
Jogoo amewika katikati ya mfano wa sala yake.
@tarsilalyatuu5140
Ай бұрын
Aisee nimekukubali sana dudubaya kila kitu ninimani mimi nageuza kuwa damu safi nyeupe imekuwa Big up sana bro
@damianikimario5695
27 күн бұрын
mwamba konki masta nakuelewa sasa upo sahihi sana unakitu brather utafika mbali 🇹🇿✔️
@andrew29468
Ай бұрын
HUYU JAMAA ANA UPEO MKUBWA SANA,HONGERA
@user-xo6yl6rj4h
Ай бұрын
Unaongea fact sana mr konki respect
@AlfanIssaya-k8v
Ай бұрын
Bwana asifiwe sana mungu akupe nema kweli mathayo 77 ombeni nanyi mtapewa
@SmilingCityMap-xb9md
Ай бұрын
Laki tano ndogo amemtoza baba mmoja milioni 180000 kuombewa macho na huyo baba hakupona mpaka leo ameishia muhimbili
@joneshelberth1025
29 күн бұрын
Ulikua unamaanisha 1,800,000
@user-vv1te9fu8q
29 күн бұрын
Huyo mcongo ni tapeli sana sijui kwa nini serikali haimtimui
@SmilingCityMap-xb9md
29 күн бұрын
Ndio ametoa milioni moja na laki nane alipungukiwa laki tatu akakataa@@joneshelberth1025
@dignachami7382
16 күн бұрын
Huyo ni tapel mkubwa serikali imchukulie hatua ametapel watu wengi
@AwaziRajab
29 күн бұрын
Nilipomuona2 Nilijua Amekuja Kuleta Balaa Tanzania Siku Moja Tanzania Ikose Eshima Ya Mungu Taifa Liingie Vitani Kama Congo Kwakua Serikali Inaona Ule Uchafu Awafukuzi Uyo Mtu
@fidelfidel-jz4iw
Ай бұрын
Upo Sawa. Kk hivi hao missionary waliokuja kufungua hospital walikuwa wakitoa huduma bure lakini eti laki tano wahuni Tu hao waganga wa kisasa
@FudidohwcbOfficial
Ай бұрын
Mimi mwamposa nilionananao bure kutoka MSUMBIJI🇲🇿 pembe passaporte yako tuu
@FudidohwcbOfficial
Ай бұрын
Umeongea vizuri Bíblia ukijua Hakuna gumu kwa watu 🇲🇿🇲🇿
@user-dp1bt9hj5n
21 күн бұрын
Nuru ya Mungu kwa Mtumishi wake ni rahisi sana kujua ila pia ni ngumu sana kujua kama hauna maono mazito sana ya Kiroho, Dudu baya hiyo ni hekima unayo kwa hii ishu, Mungu hakutuleta duniani tupambane na mapepo,wachawi na Shetani kwa ujumla,alituleta kumuabudu kila wakati kwa maana una pumzi,ni sala yangu kuwa wengi wapate kumuelewa huyu Mungu wa Majeshi
@jaberalyafei274
Ай бұрын
Perfect man
@mathiaslyamunda2526
23 күн бұрын
Dudubaya umehubiri mahubiri Makubwa sana
@Ernest-wr5rn
Ай бұрын
Bila bodigadi atakula mitama😂
@ericbuberwa7828
29 күн бұрын
yani hii ndio online tv inayoongozwa kumhoji dudu baya 😂😂😂😂😂😂😂😂
@safarimaingu1142
28 күн бұрын
We ulitaka offline
@ezekiambise2595
Ай бұрын
Very smart
@njelenjetv
18 күн бұрын
Da unaelezeq vizuri sana Dudubaya wewe ni dude Zurich siyo dude baya umetisha sana
KWA HIYO MMEGEUKA MA DARAKULA KWA KUNYWA NA KULA DAMU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@starjay3052
17 күн бұрын
anatafuna njia zima 😁😁
@user-zy4rr9iv3m
Ай бұрын
Upo sahihi tatizo watu wetu wanangamia Kwa kukosa marifa na watu wanataka kupata. Kwa urahisi zaidi kumbe sio
@essahsaimonmwalwega6097
8 күн бұрын
Alafu huyu kaka naomba msimwite hilo jina la Dudu baya...anaongea vitu vya maana sana.
@ndikumasabodiegovevo9091
Ай бұрын
Tapeli lazima atembee nama bouncers
@AnneNdabila-uv2qh
12 күн бұрын
Kampen zako za Nini, wew Sali unakotaka sio kusema watu mitandao, kupona ni jukumu la mhusika ila sio wew kusemasema
@oliverhisluck6936
16 күн бұрын
Dudu baya. Upo vyema.🤝🤝 Kua poster.
@RobinsonKilango
18 күн бұрын
Huyu Jamaa kwenu ni mtu tofauti sana msimfananishe dominiki na manabiii wa feki wewe dudu hujui neno
@marthanatumwa
20 күн бұрын
Dudu baya,shikamoo,uko vizuri
@sadikidaudi460
Ай бұрын
Dudubaya unakitu zaidi yausanii ukiamua kukitumia utaokoa wengi
@user-dp1bt9hj5n
21 күн бұрын
Ni kweli, ana mamlaka ya kuhubiri Injili, ipo siku atafanya, Mungu wa Majeshi atafanya.
@user-hi4gd5io1w
18 күн бұрын
Kweli kabisa huyo ni mganga wa kienyeji Hana Nemo la uponyaji hata mchawi nahitaji kupona vita yetu si ya damu na nyama ache kunukuu Nemo la Mungu kienyeji kienyeji
@dominickjohn1128
28 күн бұрын
Baba wileee mungu akupe nguvu broo
@fabianmainchanyangachika5017
Ай бұрын
Mungu amesema nimewapa bule toweni bule, huyo mwizi
@barrynzeyimana6270
Ай бұрын
Dudu baya ana akili za masikini. Masikini wana ushauri mzuri😊
@abasminga528
29 күн бұрын
Umekanyagwa
@MusaJonas-ck8bc
23 күн бұрын
Huyu ndiye dudu baya ninae mjuaa mm konk master unaakiri sanaa
@user-kq9lb7bd8l
12 күн бұрын
mmmm ivi KIBOKO kamyita mtu atoye pesa acha chuki mbona wengi wanauza lakini uwataji uwo niwivu
@user-vw1go8cg2k
16 күн бұрын
Hata hospital bila Hela hujatibiwa
@mkalekwa-vk1hm
16 күн бұрын
Exactly
@clevermgedzi4708
10 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ shujaa
@Jassmin-media-official
Ай бұрын
Dudubaya ebu ongelea na police make nawao ukishitaki mtu kabaka mwanao eti kwenda kumshika lazima utoe pesa ya mafuta nasio chini ya Laki huo ni upuuzi mkuu please longalie hilo ,make wewe umejitoa muhanga
@mathiaslyamunda2526
22 күн бұрын
Kituo gani Cha police wamefanya hivyo?? Mtoto kabakwa hawaendi kukamata mhalifu hadi utoe Hela.
@LaulianThomas-b3r
29 күн бұрын
Safi sana namekukubali sana dudubaya
@sophiarajab5476
28 күн бұрын
Alinishangaza eti laki tano.🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌waTanzania tujitambue jamani Mwenyezi Mungu haongwi pesa anahongwa Wema,kasaidieni maskini nuizia sadaka yako upate baraka za Mungu jamani. 😂😂
@McbarakaeventsTz
Ай бұрын
Kuna watu wanashindwa uelewa na Dudubaya 😂😂
@safarimaingu1142
28 күн бұрын
Huyu jamaa aendelee tu na mabaunsa vinginevyo kweli atakula mitama
@fathiyahmuzney7367
27 күн бұрын
😂😂😂anasema kawazid waumin mpk dhambi
@deniswills9241
Ай бұрын
Upo sawa😂😂
@JonasNestory
22 күн бұрын
Exactly bro uko sawa
@abasminga528
29 күн бұрын
Umenimaliza saluti kwako konk❤
@AnneNdabila-uv2qh
12 күн бұрын
Unasema hayo umewah tozwa izoo Hela? Nawewe anzisha kabisa wamuumini wake kwako uwaombee acha kutoa sera kwaajili ya nabii kiboko ya wachawi, na Nini kina kuuma watu wamehiar kwenda kwa nabii kiboko ya wachawi,
@uncleb9294
Ай бұрын
Nakubali
@user-xc5or1ph8x
Ай бұрын
Pande zetu usipo lipia mafuta ya padri na chakula haji an sjui kwanini
@reginamalima9701
22 күн бұрын
Wap huko
@maximilianishanyangi1415
18 күн бұрын
asante sama kaka dudu baya kipande cha ujumbe wako
@JonKon-j7j
10 күн бұрын
Safi sana
@ReginapauloSamila
14 күн бұрын
Mtaongea mengi Sana Ila sisi tunayemjua tunamuombea afunguliwe wewe hajakukuta wewe hawo unawasema matapeli ipo siku utawatafuta
@EzekiaMtwale
23 күн бұрын
Hakuna mtumishi wa Mungu hapo, huyo mch mhuni tu kama wahun wengine!
@user-hh5we4eb4z
Ай бұрын
Dudubaya uko vizuri
@kyusa7002
17 күн бұрын
Kabisaa huyu si mchungaji ni mganga wankienyeji mshez sanaaa
Awaombee Wacongo Wenzie Waache Kuuana.. NiTapel Kama Wengine😂😂😂
@AnneNdabila-uv2qh
12 күн бұрын
Taper ni yule anaye kutaper bila kujielewa , watumishi wa nabii kiboko ya wachawi, wanatoa sadaka wentewe kinachokuuma ni Nini? Tulia kimya
@daudimwidimakihanda5386
2 күн бұрын
Kwani mpaka unapeleka hela kwa huyo mchungaji si tayari hujielewi ndio kutapeliwa huko sasa.
@zabibusaidi1404
18 күн бұрын
Baya baada ya kumpiga duly ukaona utaozea jela umeamua kuokoka tayariiii ushaingia chuo cha biblia jamaniiii muogopeni mungu tafuteni mashamba mlime
@marthanatumwa
20 күн бұрын
Nimekuelewa,tena nimekuelewa,sana
@africa7479
16 күн бұрын
waroma walivyonichango weeee mpka watu wanakimbia
@AzizaHamisi-ef3up
19 күн бұрын
Nitoza milion 2 yule kiboko ya uchawi Sina amu nae
@mathewlive1372
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 washamtumua huko buza
@fidelfidel-jz4iw
Ай бұрын
Mzee WA fact
@Annamartin-of4tl
Ай бұрын
Asante sana
@mathewlive1372
18 күн бұрын
Dudu baya , Nyoa nywele upendeze alafu endelea kufungua akili za watu.. una madini mengi sana ambayo wasio na D mbili hawawez kuona, ila umepoa sana konkiiii, hem endelea kuchangamsha taifa brooh
@user-wh9zj7kf7h
18 күн бұрын
❤❤
@Apostledanielsmith2543
18 күн бұрын
Mimi napenda Sana njinsi anavyio weka Sawa Na hicho ndio Ninayo ubiri
@Potinotz
18 күн бұрын
7:27 mpaka 7:30
@margarethsaramaki3966
Ай бұрын
Anasema ukweli Dudu baya Mtu aende akajionee
@peterpain5594
18 күн бұрын
Uyu jamaa unaweza ukamuona kama mlevi lakini anakitu ndani yake kuhusu imani aya nyie pelekeni iyo mihela kwa kiboko ya wachawi
@Annamartin-of4tl
Ай бұрын
Uko vzir dudu baya
@zabibusaidi1404
18 күн бұрын
Hako kaelfutano kako kahonge malaya lkn kiboko ni nabii ww mziki umekushinda acha fitina
@pamelaouma6400
20 күн бұрын
Konki master ❤❤❤❤
@planetchannel-x2b
29 күн бұрын
😂😂😂 et kwasabu ni tapel lazm ajihami
@johnsonsabanya5860
24 күн бұрын
Safi Sana Konk
@zabibusaidi1404
18 күн бұрын
Gwajima alikuwa anauza maji na soda ufufuo na uzima kanisa halijafungwa mswalieni mtume
@LiboryMulunga
19 күн бұрын
Konki konki konki master
@justinethadey
17 күн бұрын
Kwa kuhani musa milioni Moja na laki tano apo huja fanyiwa chochote
@albertinamichael6123
Ай бұрын
Hayo maombi tu yanatosha bila maji wala mafuta bila hata hao manabii.
@CharlesHaule-od6vk
19 күн бұрын
😂😂😂BINAFSI NAMKUBALI SAANA DUDU BAYA YUKO VIZURI SAANA KWENYE KUJIELEZA NA KWENYE KUIELEZEA IMANI...Una Complain Mtu kununu Maji ya Upako ya Buku na Mafuta ya Buku..Lakini Unamnunulia Malaya Lotion ya Elfu 30 na Pombe ya Laki hulalamiki na Unamsaliti Mkeo na Watoto wako!!😊
@IreneLeonard-rl3jq
19 күн бұрын
yan wewe dudu baya unaakir sanaaa haata mimi nimeenda kama mala mbili eti anasema ukimwona mpaka laki tano mpaka niliacha kwenda kanisani kwake hawa ndoo manabii wauwongo
@sizyathom-qq5cx
14 күн бұрын
Umesha sema loma
@justinazakayo6152
18 күн бұрын
Nimekuelewa
@Gahii-s5q
Ай бұрын
Kubwa yake alikusanya ela ya watu, akawatapeli anarud kuja kuwaombea akatoroka
@NeemaPamba
Ай бұрын
Kiboko ya wachawi nitapeli hata mie alimitapeli laki 500,000 alafu muongo watu wake wanapangwa
@NasserAlhajri-ys6yr
27 күн бұрын
Duhh pole mwana wane
@CosterMwamasage-ie9lb
28 күн бұрын
Watyuu wengine wana takiwa kupigwaaa tyuu mana wana kelaa bhana
@jumamofu9573
Ай бұрын
Tapeli ni tapeli😂😂😂 unajiamin sn
@jizzotheking9238
28 күн бұрын
My broo Dudu baya whts happens to you?
@GedeonBucumi
Ай бұрын
Amaen
@gfydfdf8869
Ай бұрын
Washilika wenyewe vipovu, kiboko wa chawi,katoka Kongo,aje chukue hera za Tanzania,huyu baba hana hatabiblia,
@gfydfdf8869
Ай бұрын
Ameeeni barikiwa mtumishi wa Mungu Rohomtakatifu azidi kukupaka mafuta yake Kila Leo,safi koki ,tufungua kanisa,
@patrickjosephat8864
26 күн бұрын
Huyo kiboko yawachawi ni pepo hafai
@user-qb6dx2kv3z
29 күн бұрын
Mwamposa anauza maji na mafuta kwanini asiwaambie waumini waje na maji au mafuta akayaombee
Пікірлер: 130