Amen MUNGU wangu nisahidiy kuacha kutenda dhambi nijeninyakulikuwe siku hiy ya mwisho 🙏
@nangongolukundula9367
Жыл бұрын
Eee YESU BWANA wangu wewe wajua hatuwezipekeyetu lakini kwakoyoteyawezekana unisaidie kazininayo kutumikia isifebure Asante kwa tafsiri hii MUNGU akubariki
@annissdaprincess3846
Жыл бұрын
Amina hallelujah YESU kristo nimwanzo namwisho sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni
@mpokimwakaje8178
Жыл бұрын
Haleluya Roho Mtakatifu anashuhudia ndani yangu Safari yetu imeiva ,omba Sana Neema ya kunyakuliwa
@mpokimwakaje8178
Жыл бұрын
Amina niliambiwa na Roho Mtakatifu tumbee kanisa nguvu ya unyakuo ,Hushuda huo nikweli,kabisa ,Mungu hawezi kufanya Jambo bila kuwajulisha wateule wake,,watu wamekuwa wagumu kuokaka ,na kufanywa upya ,Haleluya tunaondoka,
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Heri wazifuao nguo zao,wawe amri kuuendea mti wa uzima niwajibu wetu kujitakasa ,barikiwa mtumishi
@maryandason1815
Жыл бұрын
Aiseee nilipitwa kidgo but YESU n mwemaa kabsaaa bado tuko pamoja blessed my lovely sister
@RachelleManirampa
Жыл бұрын
Amen🙌mungu wang nisahidiy kuacha kutend dhambi il nij ninyakuliwe sik hiy ya mwisho🙏🙏
@dinairenge
3 ай бұрын
Eeee Bwana yesus christon wanazareth alie hai tusamehee sisiwakosaji samehe ulimwenguwote mzima baba sameh wa mama sameh wa baba vijana na watoto samehee wote kwadamu yako iliomwangika msalabani sameh watumishiwako wote hapo dunia uwarudisha kwanjia yako iliosahihi samehe waimbaji wa injili bwana samehe. Dunia nzima kupitia ushuudahii yakutisha bwana tusamee sisiwote namafamilia zetu zote tusamee eeee christon yesus
@ScholarMsaki
4 ай бұрын
Amen mungu atusaidie tusikie nebo lake, ktk neema yake.
@stephenmwanza6905
Жыл бұрын
Yesu jina langu lidumu kwenye kitabu cha uzima,na unisaidie kuhubiri ukweli
@Jeremia9h
3 ай бұрын
Ee BABA wa Yesu kristo nijalie jina langu lidumu kwenye kitabu Cha uzima
@lillianwakesho258
11 ай бұрын
Niwezeshe kuishi maisha matakatifu,ee Yesu.
@emmykyando
Жыл бұрын
Napenda roho yangu ambayo nimepewa na Bwana Yesu Kristo Amen Amen Amen Amen Amen 😇
@PastorPeter00
Жыл бұрын
BWANA YESU NISAIDIE MIMI NISIKENGEUKE, NA KUIACHA NJIA YAKO NYEMBAMBA YA UTAKATIFU, USHUHUDA HUU UMENITIA NGUVU SANA YA KUENDELEA KUYAISHI MAISHA MATAKATIFU, NA KUJITOA KWA MALI ZANGU KUIFANYA KAZI YAKO BWANA YESU.
@rowenalilie993
Жыл бұрын
Ameen. Usizimie moyo!Bwana Yesu anarudi upesi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Yesu yuarudi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Asante kwa kutukumbusha kujakwake yesu
@YusuKisingile-fs4hv
Жыл бұрын
Tuzid kumcha bwana tusijichanganye na mambo ya dunia hii. Ameen!!
@janethmwihumbo1289
6 ай бұрын
Amina Amina
@thewellministry9008
Жыл бұрын
Eeh .Mungu nakuomba nisaidie .. ninyakuliwe na watoto wangu wote wa kiroho na kimwili wooooteeee !!
@DianaKilanda-yb3zp
Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa huu ujumbe Amina
@friedamkiramweni9736
Жыл бұрын
Asante kwa kunipa ujumbe huu nisaidie nisikose njia ya kweli. NimlakinYesu mawinguni na kwenda pamoja naye.
@Maluda_richard
7 ай бұрын
Mungu nisaidie na unichungu ili siku ya mwisho niwe tiyari kwenda mbinguni kwa jina la yesu amen!!!
@CHRISTIANBAGANDA
Жыл бұрын
Bwana yesu unijaliye Neena.
@DianaJanette
3 ай бұрын
Yes nisaidie nipite katikajia zako
@horimberepeace7376
Жыл бұрын
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏📯📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸
@christind655
Жыл бұрын
Amen 🙏mungu wangu nilehemu papa n unikumbuke
@tabithajeremiah4589
Жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda mzuri sana kuna kitu nimejifunza hapa.
@shalomkubali4884
Жыл бұрын
Eee mungu nisamehe zambi zangu , nitakase Yesu nisaidie Bwanawangu, nipe mwisho mwema😭😭😭😭
@ester7689
Жыл бұрын
Eee BWANA YESU naomba unisaidie nimalize mwendo wangu salama
@dinairenge
3 ай бұрын
Amen
@rehemaabinelynyagawa2878
Жыл бұрын
Hakika hii ni siku ya kutisha eeeh Mungu tuhurumie na utusamehe dhambi zetu 😢😢😢tusaidie ili siku hiyo utukute tukiwa tayari wasafi wa moyo 😢😢
@alexanderbarnaba7647
Жыл бұрын
Yesu nisaidie nimalize salama
@lillianwakesho258
11 ай бұрын
Amen.
@MTZion-l4w
3 ай бұрын
Kweli nami ushuhuda huu umeniamsha naomba Bwana anishike mkono
@amanmalima940
Жыл бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@IsayaModest-nx7kp
Жыл бұрын
YESU wew ndiye njia yangu ya wokovu
@MaaDii-iz3ur
Жыл бұрын
❤❤ Amen 🙏 jina la bwana libarikiwe milele
@NimethNdelwa-zc9zj
Жыл бұрын
Yesu nisaidie kukaa kwenye utakatifu
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Mungu nisaidie
@lydiabenjaminmgalula6189
2 ай бұрын
Mungu atuhurumie sana 😔
@EdithAyesa
15 күн бұрын
❤❤
@rowenalilie993
Жыл бұрын
YESU NDIYE Yuko ambaye Yuko
@leahenockmrina5381
Жыл бұрын
BWANA WETU YESU KRISTO UNIREHEMU NA UTUREHEMU UNINYAKUE NA UTUNYAKUE BWANA
@PaulKaira-o8k
Жыл бұрын
Bwanaunisaidie nimalize salama
@ChristineMuhoga-ub2fm
Жыл бұрын
Amina
@thewellministry9008
Жыл бұрын
Eebwana nisaidie nishikilie mpaka mwisho !!
@pudensianamhasi5364
Жыл бұрын
Eeeee Mungu nisaaidie niuishi utakatifu.
@SallyJesang
Жыл бұрын
Wakati wa unyakuzi bwana usinipite
@Nenolamaarifa
Жыл бұрын
Mungu nisaidie nisikose mbingu
@amandaangie4806
Жыл бұрын
Eee YESU😭😂🙆
@YusuKisingile-fs4hv
Жыл бұрын
Ee BWANA tusaidie tuuone ufalme wa mbinguni. Kukutumikia kwetu kusiwe bure tuone faida ya kukutumikia.
Пікірлер: 57