Huyu mtangazaji anazinguaji bwana ndio ndio nyingiiiii
@mariamnuru9939
Жыл бұрын
Mm ATA sielewi story naskia ndio ndio WTF
@kelvin_Songea2023
Жыл бұрын
anazingua sana
@mussamusly3654
Жыл бұрын
Mambo Maryam
@NicoleMakaveli-wr6mm
Жыл бұрын
Mbana ndio miiiiingi ama ni yule Jama wa" ndio mzee"
@ninabizimana6869
Жыл бұрын
Mimi mwenywe Ana niboa
@angelalyimo2862
Жыл бұрын
Kijana mzuri sana but but bibi kamwaribu i hope umeshaacha
@mariamnuru9939
Жыл бұрын
Matangaji anazingua Sana ndio ndio achana kijana aleze story vizuri muache aflow nae
@EdwinJaphet
7 ай бұрын
Huyu mtangazaji Davistar Hana utulivu, kila mara Ndio, okay, na kurudia rudia maneno ya msimuliaji. Jifunze kuwa professional yaani unaboa sana Sana. Natamani usome comments za watazamaji ili ubadilike. Kaa kimya tulia na ongea tu pale unapohitaji kuuliza swali na pia usiulize maswali yasiyokuwa ya msingi.
@lizhams8607
Жыл бұрын
Huyu kijana Mungu anampenda ili awez kuwa na nguvu za Mungu saidi ajifunze maandiko, biblia atakuwa moto sana , saa hii nikama hajielewi kiasi lakini ana upako
@dulayowakiba569
Жыл бұрын
Ndio, ok
@dulayowakiba569
Жыл бұрын
Uyo dogo msimualiaji anaangaza huku na huku anahisi Davister au sheby atatokea 😀
@maryworkman635
Жыл бұрын
Davista sio kwa ubaya, bali sio kila mtu amechaguliwa kuwa na kibali cha mweziwe kama huyo mtangazaji anapenda sana hiyo kazi mwambiye akusaidiye kuhudumiya viyombo, akiwa huko nyuma ya viyombo hata akiwa na hizo ndio ndio zake ziwe ni zake tu! Sio zetu yeye ni ndio ndio ndio zana booo!
@scholamwasi2782
Жыл бұрын
Aya tulio sikia ndio ndio ya mtangazaji mpya tulio keleka tujuane 😡
@khadijabonface
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Patience.67
Жыл бұрын
Asante davistar Kwa program tamuu tamuu raundi hii weka sawaaa sana
@shijandobehe4953
Жыл бұрын
Story nzur muongozaji mzuri hana maswali mengi kazi iendelee
@jotafungo4622
Жыл бұрын
Haya kazi imeanza
@mzeemselem1657
10 ай бұрын
Ndio Ndio za kazi gani wewe ama wataka tukutupie skadi 😅😂😅😅
@pantaleobaltazarimallya3164
Жыл бұрын
Da bado chalii mdogo
@edithaeugeni9695
Жыл бұрын
Hyu mtangazaji anabowa kurudya rudya maneno bwana
@edithaeugeni9695
Жыл бұрын
Davista please tuletee wamayo aje Atupe tu hata hi na wale mlio andaa sadaka kwaajili ya wamayo mkuje hapa kulaik
@salumally482
Жыл бұрын
Sure, Wamayo arudi
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Ni poa sana mtangazaji hauliziulizi maswali ovyo kama Alawi anazingua sana anauliza maswali mengi mpaka miyeyusho
@joannasue3407
Жыл бұрын
Nimeshindwa kusikiliza,huyu anayeongoza kipindi hajapitia mafunzo ya utangazaji? Hatuhitaji kusikia ndio zake, ebu Davistar rudia hii sehemu ya Kwanza bila hiyo sauti yake,Mimi nimekomea dakika ya 3:21, anaudhi huyo
@rosemaryjuliyo
Жыл бұрын
Spid ya maongez muwe mnawqambia jamn na pia mtangazaji plz acha kuitikia plz mfano akatokeq nawew akatokea 😅😅
@marrypius576
5 ай бұрын
Davista msifanye hivy kwanin msifanye kwa ishara
@kipchorngwonektiroto457
Жыл бұрын
Ndio ndio ndio ndio are too much!
@maryworkman635
Жыл бұрын
Story nzuri laki anaiaribu ndio ndio nyingi ok ok nyingi maswali mengi sasa ni yeye ndio anatuwambiya story ama ni huyo kijana? Davista huyo ndio ndio atakuwaribiya view bwana mwambiye atusaidiye kushika viyombo ajifunze kwako, hebu mwambiye haesabu hizo ndio hapo, ndio nyingi kuliko story la haula Davista hebu rudiya hiyo story bwana mimi nimetiya like yangu kwajili ni channel yako tu! But siku penda mtangazaji. Huyo akiwa na show yake naona atakuwa akisikiza mwenyewe tu na familia yake kwa vile washa zoeya hizo ndio ndio bwana! Bali hizo ndio sio za kila mtu hii story naona itaitwa ndio ndio basi
@khadijabonface
Жыл бұрын
You 🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka aki sawa tu😅😅😅😅😅😅mbavu zangu naziurumia. Na Ii comment yako 🤌🤌🤌😂😂😂😂
@asifkhanalifkhan6358
Жыл бұрын
Mtangazaji unairikia kama unaelezewa wewe!ACHA upuzi wako!Devistet unapoteza uhalisia
@sophiambilla2867
Жыл бұрын
Uyo mtangazaji awezi kumuoji mtu fanya kipindi we mwenyewe kaka davista
@elizabethasajile9380
11 ай бұрын
Hixo ndio zinakata stim sana
@angelalyimo2862
Жыл бұрын
Mhh huyu mtangazaji mgeni nini?
@nadystyle339
Жыл бұрын
Huyu mtangazaji natamani ningekuwa karibu yake nimzabee likofi lamotoo ndo nini hivi mbona anatufanyia mambo meusi meusi😮
@khadijabonface
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mohdbest5859
Жыл бұрын
mtangazaji unaharibu sana yaani kama unaemfundisha kuongea mwache ahadithie mwisho uliza unachotaka sasa kila akiongea nawe unamalizia unatoa ladha
@mariamnuru9939
Жыл бұрын
Kweli wanazingua Sana
@peterstewart9935
Жыл бұрын
Mtangazaji pokea maoni ya wadau,muache mtoa story aflow mwenyewe na pia pale inapobidi kuuliza maswali uliza maswali yanayoleta maana zaidi,siyo kumuuliza maswali ya kitu ambacho ameshakieleza,kwa mfano,amekuambia kuwa "walikuwa wanatega dawa" halafu unamuuliza tena "mlikuwa mnatega dawa?",nafikiri swali chokonozi lingekuwa "hizo dawa mlikuwa mnategaje?" aeleze process.
@user-hi9xd9ok1e
Жыл бұрын
Sauti mpya
@queenhenagu3496
Жыл бұрын
Huyuu jamaaa vip na ndio zakee haya asikilize mwenyewe
@khadijabonface
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤌🤌🤌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@annapeter-wb6iv
Жыл бұрын
We mtangazaji vipi ujue unaboa
@ninabizimana6869
Жыл бұрын
Kwani wew ni lazima na wew urudulia ndani
@evachuwa3809
Жыл бұрын
Yaani bila MUNGU tutanyooka TUSAIDIE TU BABA WA MBINGUNI
Пікірлер: 62