Wallahi umenichekesha kila nikaskiliza. Huyu hii lugha ipo duniani au ana act
@mwendeayub568
4 жыл бұрын
Kama Kidigo vile...
@victoriakyara8000
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@kalssambaboo9705
4 жыл бұрын
@@nooor1120 mbona morogoro sana tuuh ila wengi wale wavijijin
@alfambaga9823
4 жыл бұрын
😅😅😅 wamakonde watani zangu mmenishinda tabiaa... dav pole lugha na misamistiii😃😃😃
@hasnasaif1075
4 жыл бұрын
Kama umesikia ehee gonga like
@tiptv6570
4 жыл бұрын
Mchzi anaongea kama anaimba 🤣🤣🤣🤣
@zuwaynamussa5629
4 жыл бұрын
😂😂😂😂Mashalaiti
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@cleofasladislaus2177
4 жыл бұрын
Jamaa amenifurahisha sana siku hiii ya Leo na kiswahili chake.
@goodgood9370
4 жыл бұрын
Huyu kaka wapemba nini mbona kiswahili yake yakudekeza 😄😄😄😄😄🙃
@ibrahimaziz7158
4 жыл бұрын
Mashalaiti haya mi sitayaweza
@jacobomatema6479
4 жыл бұрын
Mi watano
@marytamaina39
4 жыл бұрын
Lol I like the way he is talking.eeeeehe 😂😂😂😂😂😂
@salehfarid1003
4 жыл бұрын
Maryta Maina nitafute nimekupenda saana
@khamisrubea5083
4 жыл бұрын
Uyu kijana anaongea kama wamakunduchi zanzibar
@afterx3172
4 жыл бұрын
Makonde wenzangu gonga like 🤣
@violinenyakara5028
4 жыл бұрын
Kama umeskia ni kama anaimba gonga like 🤣🤣🤣🤣 Leo davista ameingia mashinani kabisa mashalaiti😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@adamtzmbogo1694
4 жыл бұрын
Masharaiti#
@naythardarling1115
4 жыл бұрын
Wapi watu wa kusini jaman mm napenda rafudhi zenu jaman fukutu 👌👌👌👌👌
@vidimpojane9522
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣namkumbuka gabo kwenye bado natafuta
@leylahloo5863
4 жыл бұрын
Shukraan bro davistar kutuletea vipindi kama hivi pia sisi tujifunze mema nakuiyepuka dunia nasiyo tukiona mtu nitajiri tusiwe natama
@moalawy7001
4 жыл бұрын
Kabisaa
@rosekyule3163
4 жыл бұрын
Pokomo tribe mpo.from kenya tana river
@mishidede5473
4 жыл бұрын
Leo umetuweza🙄Davistar🙄Naelewa kwa mbali 🤣🤣💃💃🤣🤣
@salumbunga240
4 жыл бұрын
Davista kijan wako hp mtu mwenye utu wangu respect 👊
@lorraineatieno6544
4 жыл бұрын
Mambo meeengi..so long as tunaelewa kitu anachokisema baasi. Am from Kenyans na naelewa anaongea kama kabila moja Kenya inaitwa wagunya from Lamu. Tumsikize tu.
@suzaynnekenyagah1438
2 жыл бұрын
@Queen TC nooooo
@margaretnjeri7695
4 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe. Wee, the struggle is real.
@carolinetalam5832
4 жыл бұрын
Leo kidogo kiswahili kimenipiga chenga 😂 tuned from 🇰🇪
@rosekyule3163
4 жыл бұрын
Hii ni ascent ya pokomo tribe kenya
@kalssambaboo9705
4 жыл бұрын
Au mruguru
@popod177
4 жыл бұрын
@@rosekyule3163 🤔
@gladysngami9685
4 жыл бұрын
I say leo tuko kwa shida wakenya kama mgiriama hivi
😅😅😅😅 watu Wa Tanga bana eheeeee 😂😂😂😂 uyu jamaaa funny Kweli eheeee kila Mda eheeeeee
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
Nafakuchekaaaaaaa jaman🤣🤣🤣
@estatekisombola9251
4 жыл бұрын
#harmonize# njoo huku mmakonde huuuyuuuuu 😂
@straightkonect1613
3 жыл бұрын
Nikasema Nganga MASHALAITI sintoweza😂jamaa accent yake iko makini hadi mi naitikia ENHEEEE
@mammam4701
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣
@zaikondrad7851
Жыл бұрын
🤣😆🤣🤣
@jasminegabriel4247
4 жыл бұрын
Leo namba moja piga keleleeeeeee
@OmarAli-wr1ti
4 жыл бұрын
leo Davister utacheka sana
@aishasaid5702
4 жыл бұрын
Nimecheka leo hatareee
@mwakazijuma1607
3 жыл бұрын
Hehehe huyu jamaa hatari misamiati kama yote!
@griezmannmhalaka4338
4 жыл бұрын
Yule wa jini wa janaa alitufunga kamba mwishoni Mtu makini najua ulijua Hilo😀😀
@susanejd7775
4 жыл бұрын
Wala siuongo
@griezmannmhalaka4338
4 жыл бұрын
@@susanejd7775 uongo bhana bake aliupata wapi ufalme wa majini? Na utaoaje chura afu nduguze wanasema ni Mtu na anaondoka nae kamweka kwenye sanduku IV nduguze yule Dada walikubali vp awekwe kwenye kisanduku ilihali wanamwona Mtu kabsaa?
@susanejd7775
4 жыл бұрын
@@griezmannmhalaka4338 ndugu hujanielewa comment yangu. Kutokana na comment yako nimekujibu. Wala siuongo. Maana yake unayoyasema ww sio uongo ni kweli. Lkn naona umenielewa vibaya
@moalawy7001
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@moalawy7001
4 жыл бұрын
@@griezmannmhalaka4338 na hicho kisanduku alikipata wapi. Na angepumua vipi ndani ya kisanduku. Alafu maswala ya naniliu angetoa vipi na yeye chura
@mgenirasimi7771
4 жыл бұрын
Leo misamiati kama yote😀panapotakiwa "M" inawekwa "N" 😃konde boy
@angeljasson4376
4 жыл бұрын
Hahaha huyu jamaa kanifurahisha sana alf anatufanyia maksudi nn mbona na mwenyewe anacheka🤣
@moalawy7001
4 жыл бұрын
Anafanya kusudi huo uongeaji.
@victoriakyara8000
4 жыл бұрын
Leo mtajua hamjui.... masharaiti, piga kelele mbili kwa sharaiti lakeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eyanlenjorin4566
4 жыл бұрын
Masasi funny place.
@zaynabyusuf4324
4 жыл бұрын
Yani hili likaka musiliamini hata kidogo,"hiyo baba unaniua nelo" ni baba unaniua Leo ila yeye kasema baba unaniua kwa sababu gani😲😲kuigiza kwenyew hujui
@alnandokujakila7807
4 жыл бұрын
Uyuu ajui anachokisimulia liwale ni wilaya iliopo Mkoani Lindi na sio kijiji kilichopo masasi
@rikekikonyo2265
4 жыл бұрын
@@alnandokujakila7807 Simulia ya kwako
@zaynabyusuf4324
4 жыл бұрын
@@LoFi_120 km hujui we ndo unakurupuka,haya tuambie hicho Kijiji Cha liwale kipo maeneo gani hapa masasi🤔ukiona watu wanabisha usidhani wote hawajui wanachobishia so kaa kwa kutulia.hayo maeneo anayojaribu kuyataja yote ndo maeneo yetu na hicho lafudhi anayojaribu kuongea kwa huku kusini kuanzi newala,tandahimba, Lindi,masasi,nachingwea Wala liwale hakuna watu wanaongea hivyo yeye ni muongo tu
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
Aisee ni kweli huyo mshikaji anaigiza
@zaynabyusuf4324
4 жыл бұрын
@@Mpakauseme muongo tu, story mbaya😏😏
@jonassilvester4325
4 жыл бұрын
Nimechelewa Leo safi davistar
@RahmaRahma-xp9jr
4 жыл бұрын
Fundi kucherew nangiy mbavu zangu reo nimepena rafuzi zake 😂😂
Пікірлер: 364