Tanks for sharing wachawi ovyo sana wanahangaisha wanadamu mpaka watoto wao.
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Hongera Mr Facts Kazi unayofanya Namini Ipo Ck itakupa Mafanikio ❤️ ila familia Zetu Za kiswahili sijui Kwanini wanaendekeza aya mambo ya kishirikina Mungu atulinde na Mtihani Hii amen
@fatmaalaufi9073
4 жыл бұрын
Unapomsema mzee wako mchawi au mzee wa mwenzako na ww ukizeeka utaitwa mchawi tujitahidi kuwapenda wazee wetu
@abdallahrenatus6677
4 жыл бұрын
Dahhhjhhhjjhhh . Leo nltaka niwe wa kwanza....washkaj mko fasta na Mr. FACTS.... 💯
@shebaminde7656
4 жыл бұрын
Abdallah uko kama mm humu ndani kuna watu wana speed ya kimondo ukisema unawahi ndo unakuwa wa 50😂😂
@officialsalmazayn9720
4 жыл бұрын
Yani me hiitabia yakusoma comment labda yakusikiliza story hta sijui itaisha lini 🤦♀️
@magretpeter9924
4 жыл бұрын
Ila davista nakushauri hawa watu ukiongea nao uwasaidie pia kutafuta msaada wa kiroho itapendeza zaidi na utakuwa umefanya injli kwa ndugu zetu waislam naamini pia watapata msaada ktk Imani yao, mungu akubariki sana
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Huyu ameokoka
@saidabdullah7273
4 жыл бұрын
Hii dunia tunaishi lkn kuna wenzetu wanaishi dunia yao tusiyoijua Subhanallah M.mungu atulinde na kila shari
@ksammlele9275
4 жыл бұрын
Good job Mr facts
@asfarsham9037
4 жыл бұрын
Next time kaka kukiwa kunaadhiniwa bora subiri kwanza
@totmohammed6430
4 жыл бұрын
Wakwanza kulaik na kucoment ila wamwisho kusikiliza na kujuwa ilikuwaje ngoma mpk kesho hiyo ndo nafunguwa🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@tatukizunga1191
4 жыл бұрын
😂😂😂😂chizi sana wewe
@salmajuma4015
4 жыл бұрын
😂😂😂
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Muoga uyoooo😄😄😄
@priscahenrick1303
4 жыл бұрын
😁😁😁
@lanezboy7016
4 жыл бұрын
Noma sana mjubha
@obillaezra6205
4 жыл бұрын
I’m watching from El Salvador” Big up Man” very nice to hear our story from Nyumbani TZ
@masoudmasoud8138
4 жыл бұрын
Masha Allah adhana naiskia
@youngmoon33
4 жыл бұрын
Asante kaka watching from cape town south africa yani am hooked toka nianze kukuangalia keep up the good job educate the messes
@baynbravo277
4 жыл бұрын
Nimewah kdg sijachelewa namie… bless bro davistar
@ayshamahariq6665
4 жыл бұрын
Pole kwamitihan dada yngu
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Mzee KIKO inaelekea Ndio GWIJI lao lilikua...! Halafu hizo ndoto ulizokua unaota ndio ukweli wenyewe’ walikua wanakupeleka kwenye KUWANGA night kali..!
@millykamau9321
4 жыл бұрын
Hongera Mr Davista mata...watching from Nairobi Kenya
@alexsosu213
4 жыл бұрын
Hatari,nyabisare apa
@mariamissa1974
4 жыл бұрын
Good job Mr facts 💪
@ZahraZahra-cx9xw
4 жыл бұрын
Mtihani pole sana
@zainabomer1833
4 жыл бұрын
Jamani mtihani wa kidunia huu pole dada
@silimazdu1100
4 жыл бұрын
davistar kazi unayoifanya ni kubwa sana ni mafunzo tosha
@aishasaid5702
4 жыл бұрын
Duuu aiseee
@babarama6274
4 жыл бұрын
Nakubali kz yako ndugu yangu
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Hawa wabibi bibi wanakuwa shida sana,hasa ukichukua jina lake mhh utakoma ingawa si wote ila wengi wao ni matatizo.
@awadhirajabu7754
4 жыл бұрын
Tatizo Jamaa Pati On Ni Nyingi Sana Kuliko2 Stol Zake Tunashindwa Kujuaga Mwisho Wa Stol Zake
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
Wachawi mungu anawaona🙄🙄tena wana mpeleka kwa mzee kiko mkuu wa wachawi🤣🤣🤣😂😂
@juliusphabian6336
4 жыл бұрын
Hujaniwekea utoro kwel montres wang
@UzalendoNaUtu
4 жыл бұрын
Dada wa watu mzuri ila ndo mijitu ilishaamua kumharibu
@nomatter1239
4 жыл бұрын
Ipo pp sn keep up
@bakari-si1pw
4 жыл бұрын
Tatari sana hii dunia
@somoeawadh7774
4 жыл бұрын
Twende nalo bro Davistar
@atupeleasanwisye1446
4 жыл бұрын
Uchawiii duh uwiii!!!
@violinenyakara5028
4 жыл бұрын
Part 2
@salamaali6318
4 жыл бұрын
Wachawi c watu sawa na wanyama
@azuwaniriziwani2695
4 жыл бұрын
Boss wetu weka story zingine....mm ni ur number one fan but story zakichawi ni nyingi....kuna mambo mengi kwenye jamiii zetu au uturudishe kwa Zabron tu
@husnaali1610
Жыл бұрын
Jamani kweli au stori tu mtihani
@valenakomba7686
4 жыл бұрын
Kweli wazuri awakosi kasoro.
@dullamburu1718
4 жыл бұрын
Haya masuala ya uchawi yapo toka enzi za manabii lkn ilikuwa inaafazali saivi uchawi biashara na watu wako tayari wakuangamize Kwa masilahi yao tu na hayana faida yoyote pumbavu zao.
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Nä wachawii wengi masikini
@mwanaidikhamis5430
4 жыл бұрын
Davista naomba ucwe unachelewa kutuletea sehemu inayofuata. Natia bando kwa ajili ya hizi story tu.
@mwanaidikhamis5430
4 жыл бұрын
Mi nimechelewa kuona jamaaaani
@sanuranassor9336
4 жыл бұрын
Dada hujui ku hadithia
@DicksonIgnas-pq1rj
6 ай бұрын
Unataka ahadisieje
@annajoseph9955
4 жыл бұрын
Huyo dada akufungashie sato na sangala urudi nao dar ,,,
@hurremsultana9762
4 жыл бұрын
Aise watu mko fasta😂😂😂
@amriyalibent8441
4 жыл бұрын
Watu washirikina sana dah
@joycedzuya2330
4 жыл бұрын
Cmu ziko mikononi
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
Mm huwa nasema kama umeamua kuwa mchawi kwann usijitoe wewe mwenyewe kama nikixaxi sawa yani unatoa mtu namnamkula nyama hakuna utajiri bl umasikini mwakufaa nao nahisi huyo mama yako aliliwa nyama
@joyanambuya3695
4 жыл бұрын
Tujifunze jaman
@nancychissamo379
4 жыл бұрын
Mr fax mbn unacnzia ivyo😝😝😝
@navokisembo
4 жыл бұрын
Bibi ndo nyoka mchawi
@bintimrope
4 жыл бұрын
Duuh
@maryamumapenzi1257
4 жыл бұрын
Tunataka.domo.denda
@manbanshaban9253
4 жыл бұрын
Davistar narudia tena kwa mara ya pili sio watanzania pekee wanaofatilia kipindi..1:20
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Shukrani sana
@shebaminde7656
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Jaman Davista naomba kabla hujarusha story unitumie sms ili niwe wa kwanza maana humu ndani wana speed za hatar watu hawalali duh!
@likeothers2498
4 жыл бұрын
Alf ukiongea nao ua hauogopi
@aminaally242
4 жыл бұрын
Sasa hivi unaanza kutulia kwenye kumuhoji mtu mana ulikuwa unaongea sasa kuliko anayetoa ushuhuda
@leaherasto929
Жыл бұрын
Dsvista apa alikua kadogo dogo enzi izo anashika maiki
@wantangosaimon5295
4 жыл бұрын
Ungekuta yuko hai angekupga kombola hapo na devixter
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Team popo tujuane apaa
@happyoshea
4 жыл бұрын
Kha 🤮🤮. Hizi habari za kunywa damu zinatisha, hazizoeleki kabisa
@marthamshana9050
4 жыл бұрын
Ila davista unatembea mara!!!!
@famitonawanda4831
4 жыл бұрын
Duuuu Noma aise, napenda kipindi chako mzee baba, wewe na mtu wakuitwa, Ananias Edgar mnanipatia kitu roho inapenda, saloot mzee baba.
@Mazoea
4 жыл бұрын
Ebwana wewe kipindi chako kizuri Ila please mbona uweki stori mzima ..unatu yanyanyasa wenzio
@fatmamustapha6929
4 жыл бұрын
Akaaa wanaenda na dk hawa nahisi ivyo 😆😆😆
@Mazoea
4 жыл бұрын
Fatma Mustapha mbona umecheka dada angu.jamaa anazingua na ivi anajua tunapenda channel take ndio anatunyanyasa hahaha be blessed
Пікірлер: 77