Hakika Mungu ni mwaminifu sana wapendwa tusiwe waskilizaji bali tubadilishe mienendo yetu leo
@naomimwampambamwampamba3418
3 жыл бұрын
Amina Mungu atusaidie
@suzanakiwele1832
Жыл бұрын
Kweli kabisa maana shetani atabadili MAWAZO yetu tusikilize hizi habari bila kutengeneza mabadiliko mioyoni mwetu, MUNGU atusaidie sana tubadilike WAPENDWA YESU KRISTO anatupenda sana,
@ramyramy3455
4 жыл бұрын
Asante Sana kaka mungu akubariki kwa ushuhuda wa kutia moyo.
@rozinamaleka214
4 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutuletea shuhuda
@cloriosashirima9351
4 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda, Mungu tunaomba tusaidie wanawake tuachane na hivyo vitu vya duniani
@ildephoncemkama4891
4 жыл бұрын
Asante kwa kutuletea hushuuda mtumishi wa Mungu ubarkiwe
@medadiissa324
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa kazi hii
@rahelpilos4452
4 жыл бұрын
Asante sana mtumishi Mungu akubariki
@aonicamichael4765
3 жыл бұрын
Amina
@kinotititus8798
3 жыл бұрын
Mungu akubariki saaana
@lovenesswalter6650
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa ninasubria part 3 ya Dada Linda maana nlkuwa na share to my status
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Barikiwa Sana kwa kunijenga
@aminaally4163
4 жыл бұрын
Amen jina la BWANA LIBALIKIWE
@eunicekamamaa2437
4 жыл бұрын
Mungu aniajaliye mwisho mwema
@fei3668
4 жыл бұрын
ameniii
@destinemercy3405
4 жыл бұрын
Thankyou for creativity..
@raghadmubarak553
4 жыл бұрын
Part 2 plz
@davidseperelukumay5663
4 жыл бұрын
Mungu ni mwemaa kila wakati
@lusianakyando2498
4 жыл бұрын
Mungu abadilishe mufumo wa maisha yangu
@eunicekamamaa2437
4 жыл бұрын
Lusiana Kyando kabisa
@suzanakiwele1832
Жыл бұрын
Amina,TUOMBE masamaha na kuomba neema yakushinda dhambi na kumpenda sana YESU KRISTO 🙏
@januaryyotham8652
4 жыл бұрын
Sasa mtu akiwa na swali anamuuliza nani wewe msafiri au huyo mwenye ushuhuda?lakin ubarikiwe sanababa
@mariachannelke9769
4 жыл бұрын
Weka part 2
@chriesterhaulejohn2444
3 жыл бұрын
EEE BWANA YESU TUSAIDIE TUSIKWAME YESU WANGU YESU WANGU
@suzanakiwele1832
Жыл бұрын
AMINAAAA 🙏
@lynnriara8132
4 жыл бұрын
Hi. Is the original story in a novel? If so please advice the name. Regards Lynn.
@lovenesswalter6650
4 жыл бұрын
It's not a novel a true testimony you can get in English to peniel ngonde
@lovenesswalter6650
4 жыл бұрын
Or you can search brother Richard antwi testimony and see brother Richard speaking
@lusianakyando2498
4 жыл бұрын
Daa kupitia ushuhuda huu kweli nitabadilik
@ennamongi9812
4 жыл бұрын
Barikiwa sanaaaaaaaa
@venancebulakola6107
4 жыл бұрын
Amen 🙏
@NellyMadeni-yv6fd
Жыл бұрын
Ndg zangu mnaoendaga mbinguni nauliza mbingu zipo ngapi? Mbona mnatofautiana kwa mnayoyaona huko? Wengine waliona pande 2 kuzimu na mbinguni, wengine vyumba 351 huyu kamba tujue lipi?
@ireneferdinand8459
4 жыл бұрын
Sehemu ya pili plz
@dorissizya5625
4 жыл бұрын
Nimejifunza kupiga hatua
@amadasaloon101
Жыл бұрын
eeew MUNGU niwezeshe
@rahelpilos4452
4 жыл бұрын
Hapa haya makundi ni watu waliokufa tayari au hata hivyo wanaweza kutubu?
@samelitvonline7503
4 жыл бұрын
Tumia peniel ngonde ni KZitem channel ututafsirie yaliyopo
@elbaricktv1632
4 жыл бұрын
Kuna utata sana kuhusu rangi ya ngoz ya yesu christo wengne wanasema alikua ana ngoz nyeus nawengne wanasema mzungu sasa kwann huyo mtu alietoa ushuhuda kua namuona yesu kwann hawakumuuliza mwonekano wa yesu????kitu kingne alimjuaje kua uyo mtu ni yesu maana yule alieigiza picha ya yesu Brian deacon wa marekan aliiigiza tu movie lakin sio yesu na ile sura sio ya yesu
@godfreylyimo4177
4 жыл бұрын
Ndg yangu issue ya utata wa rangi wa Yesu unakujaje wakati asili ya Yesu ipo wazi kwamba ni Myaudi..Hivyo sio mzungu wala mwafrika. Lkn asili yake na DNA ipo wazi kwamba ni ya Kiunga sbb alizaliwa na Mama aliyepata ujauzito kupitia Roho Mtakatifu
@chrizostommayala170
4 жыл бұрын
Mtazame Yesu aliekuja ktk njia ya Neno huyo Decon ni muigizaji tu Wa uingereza lakini Yesu unampokea kwa njia ya Roho
@otianasang1553
4 жыл бұрын
Mmmm
@millicentayangokunting3728
4 жыл бұрын
@@godfreylyimo4177 Ni dhambi huwezi taja rangi ya yesu ndio maana wachungaji wengi hawawezi kutaja rangi
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Rangi ya yesu sio big dili ila yesu ni mweusi ila walio muua ni wayaudi picha za yesu ipo vatikani na ni mweusi kabisa
@ildephoncemkama4891
4 жыл бұрын
Asante kwa kutuletea hushuuda mtumishi wa Mungu ubarkiwe
Пікірлер: 48