Kisa kizuri sana! Hakika kuishi maisha ya uaminifu ni mhimu sana!
@silashemed4849
7 ай бұрын
Asante sana Mch. Kuna kitu najifunzaga kutokana na Shuhuda ...,..,....
@AsMk-g5v
7 ай бұрын
mbarikiwa,sana,mutumishi
@ceciliaogola5597
7 ай бұрын
What a teaching am blessed
@esterihadike5103
7 ай бұрын
Na ahimidiwe Mungu juu mbinguni atupaye kushinda na zaidi ya kushinda nimeimarishwa na shuhuda hizi barikiwa sana baba mchungaji! Hakika uaminifu unalipa sana!!!
@ТимурБаймурзаев-л9п
6 ай бұрын
🎉
@christophermwangi4028
8 ай бұрын
Natokea Kenya wewe waitwa kimaro Mimi naitwa.kimani mkikuyu nawe ni mchaga twalingana natumia jumbe zako kuhubiri Kenya likoni naomba siku Moja ni
@DativaEmmanuel-p6l
7 ай бұрын
Na munguu akubariki San
@liannsambu7264
7 ай бұрын
Watu ni wasaliti sana ,wengi maisha Yao walipewa NEEMA ya YESU lakini wanamiss use ,MUNGU ATUSAIDIE SANA
@carolinederi5690
7 ай бұрын
Waah especially watu wa Nairobi kila nkiangalia comrades flavour apo Kanairo hakuna ndoa kabisa
@HildaKoka
7 ай бұрын
AMINA
@casablancastudioarusha775
7 ай бұрын
Ushuhuda mzuri
@aminashayo9263
7 ай бұрын
Definetely hiyo ni roho kamili ya Yezebeel ambayo haina shida na wewe kama huna kitu hukuvizia kwenye mafanikio ikukamate ikiangushe, haikuhitaji kama huna cheo inahitaji wenye vyeo vikubwa mpaka masultani na wafalme, muulize Suleyman bin Daudi ila hupata uhalali wa msingi wa asili ya kuzaliwa
@liliancosmas8875
7 ай бұрын
Mmh
@christophermwangi4028
8 ай бұрын
Nije Tanzania nikubariki na maregeleo ya mahubiri yako
@richardshirima
7 ай бұрын
Nenda tu ndugu
@brainyieldschools
7 ай бұрын
P.O.V
@michaelnakuchima4305
7 ай бұрын
Kukosa nidhamu ni chanzo Cha dhambi
@MACHOYATAI-jk6fu
7 ай бұрын
Mchaga ni nani akishindwa na sisi tushindwe yenye ni ninani acha ujinga
Пікірлер: 24