Pole sana. Hayo magonjwa na vifo vya ghafla hiyumkini ni ile roho ya jini mahaba inaendelea kufuatilia bado ina uhalali. Ili kujinasua jawabu pekee ni kumwamini na kumfuata Yesu Kristo mnazareth.
@wilsonmatunda4937
Жыл бұрын
Pole sana Mwamba Simada, Hadithi nzuri sana na ya kusisimua. Umepitia mambo mengi sana na tumejifunza mengi kutoka kwako. Tumshukuru Mungu umeishi mpaka kusimulia yaliyokupata. Ubarikiwe.
@emojongtv3995
Жыл бұрын
Wapili ndani freshi safisafi. Msinitanie kwani hamna madusko ya bundles leo?
@emanuelymungure4361
Жыл бұрын
Hapa kwenye miaka. ...jamaa ananiacha sana ......davista jitahid wawe wanataja walau matukio na miaka......,.,story bila kutaja ilikuwa mwaka gani hainogi....
@emanuelymungure4361
Жыл бұрын
Toka atoke sauzi.......aliishi na yule jin miaka minne.......na huyu dada poa anasema kaishi nae zaid ya miaka 20............sauzi anasema alikimbia wakati crisis ya wasauzi na wageni.........2018---19..story ni nzuri ila hapa kwenye miaka hakuna uhalisia.....ukijumlisha miaka anayotaja toka episode ya kwanza hadi sasa ...haifanani na uhalisia
@emanuelymungure4361
Жыл бұрын
@@bintalmasi2393 ni sawaa ....ikiwa umefuatilia hii story vizur.....baada ya kutoka sauzi aliishi dar na jin kama miaka minne hadi mutano....baada ya kutibiwa na mnaigeria ndo akarud mwanza...mwanamke wa mwanza kasema kaishi nae zaid ya miaka ishirin kabla hajafunga ndoa....ukijaribu kufanya hesabu ya hii miaka ...nabaki tu kujiuliza je yeye ana miaka mingap.....
@rerisamba
Жыл бұрын
@@emanuelymungure4361 watu pia husahau kumbuka sio computer
@PowerTrials
Жыл бұрын
@@emanuelymungure4361 Ana maana kufikia hapo, historia ya maisha yake ya utu uzima, ilikua ina miaka ishirini. Maisha yake ya kutafuta aliyaanza around 1998. Aliachia darasa la saba.
@SATZ-news
Жыл бұрын
Pole sana mzee wa madusko,Safi Safi poa poa...Ila Mungu anakupenda sana aisee keep praying👏👏👏👏👏
@emmanueljoseph3561
Жыл бұрын
Mzee wa madusko na kitungi ileile
@SabraKasidy-zx8ee
Жыл бұрын
Pole sana kaka kweli maisha safari umetufunza kutokata tamaa kwenye mapito ya duniani
@meisme7540
Жыл бұрын
Habari, naomba mwenye namba ya davista au davista mwenyewe anipe please.
@jonasmatunda6703
Жыл бұрын
Huyu mwamba anajua kupiga story sehemu ya utani anachangamka na uhuni mwingi sehemu ya maumivu anakuwa mpole kinoma
@ThomasEmmanuel-lm3uh
6 ай бұрын
😀😀😀😀😀 Ety Wife anaenda kuwabana
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Wa be, Yan wawili dah raha San anavyosimulia
@honestema
Жыл бұрын
Mwamba amekaa jela za kichawi, jela za majini mpaka jela za raia daaah kweli mwamba ni noumaaa
@hariettekiza9050
Жыл бұрын
Uyu kaka ni bala kabisa 😂😂
@nelsonpatricioestanislaus7144
Жыл бұрын
Fresh mara 86.
@danieljoseph1610
Жыл бұрын
Hilo lakuugua umenikumbusha mbali! Nami niliuguaga nikakosa msaada nikawa nahalisha damu! kwenda chooni mi nilikuwa natembelea mikono! sengine nakunya kwenye mifuko! Ila mi nilirogwa babu, Sema tu mungu alikataa, Niliugua aiseee!!!
@mariamibrahim6544
Жыл бұрын
Unavunja mbavu samada ,hatari sana
@ashajuma2313
Жыл бұрын
Safi safi nini pale mwamba maukoto😂😂😂😂😂
@jkkim3848
Жыл бұрын
Hao madem balaaa
@onetake2292
Жыл бұрын
mwamba kamaliza kwa kusema nakubalii.. mi nani nimpingeee???
@bakari-si1pw
Жыл бұрын
Safi sana brother
@felixodongo8204
Жыл бұрын
Safi safi kitungi freshi😂😂😂
@rerisamba
Жыл бұрын
Pole sana aise mama ni mama
@joymkenya2359
Жыл бұрын
Lakini baba wa maokoto ulioa sana😂
@rerisamba
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 hii nayo nikali sana na ninyinyi mliwafunza kuenda disco nimecheka sana
@mensiyamacha961
Жыл бұрын
Daaah
@AdamKipara-r3b
Жыл бұрын
Du kweli
@Hashkan22
Жыл бұрын
Naomba namba za Davista please jamanii Kuna mtu nataka nimuunganishe nae
@emojongtv3995
Жыл бұрын
Nione kando
@Hashkan22
Жыл бұрын
@@emojongtv3995 nikuone wapi boss
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
👋 🎉
@BoniphaceCosta-kd2yw
Жыл бұрын
Kakola my home
@cheiknamouna2058
Жыл бұрын
Maisha ni safari mkubwa pambana achana na mademu sasa wengine ni kopi ya yale yale majini
@tinamalia7466
Жыл бұрын
Mr kitungi
@rerisamba
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣yani aliolewa cha nguvu
@millyaketch4968
Жыл бұрын
Sasa tafuta YESU,
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Amina
@mohdnasser3620
Жыл бұрын
Amtafute wapi kwani yesu Alipotea
@millyaketch4968
Жыл бұрын
@@mohdnasser3620 sina mdaa mchafu ,yakubishana na wewe,mkii sikianga yesu mwa tetema,basi kwa taarifa yako yeye ndie njia ya uzima wa millele,ushaskia,ee
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
@@mohdnasser3620 Yeye ndo alimpoteza Yesu
@jesusislord9190
Жыл бұрын
Haya dem kadanga kafa atakuwa kafa na ngoma what next?? Kama sio ngoma??
@ashasaid9056
Жыл бұрын
Wa pili leo
@SaSa-n2t1w
Жыл бұрын
Km kufa hapo lkm muambukizane
@sittaluhende3400
Жыл бұрын
😅😅😅
@leahlucas479
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@AdamKipara-r3b
Жыл бұрын
😂😂😂🎉
@jesusislord9190
Жыл бұрын
Ujinga gani huo uchafu gani huo mwanamke analala na wanaume wengine unajua alafu bado unakaa nae what is that??? Mwanamke anaenda kujiuza geita akirudi unaendelea kuishi nae si maradhi hayo??
Пікірлер: 53