Asante Yesu kwa kunifunulia makosayangu natubu kutoka moyoni unirehemu.
@BerylSeer1
3 жыл бұрын
Roho mtakatifu atakufunulia
@aminaally4163
3 жыл бұрын
Neno la bwana YESU likae ndani ya moyo wangu siku zote
@DenisCasey-kh8ub
7 ай бұрын
Nakwangu pia
@jossyayielo7576
3 жыл бұрын
Asante Kwa ushuhuda......naendelea kujifunza🇰🇪🇰🇪
@pelagiekalavi603
3 жыл бұрын
Hii safari ni ngumu kweli,lakini najuwa roho mtakatifu ataniwezesha
@peninahkariuki4679
3 жыл бұрын
Ee Mungu nisaidie kutenda yalio mema🇰🇪🙏🙏
@sarahsarai8690
3 жыл бұрын
Nashukuru Yesu kwa kujua haya kupitia watumishi wake.
@rebecafuraha8051
3 жыл бұрын
promova tv kweli KAZI yetu muliyoichanguwa niya munzuri sana KWA kuwezs kuokowa roho zetu kweli mimi nibaazi ya wale waliyo pata neema kwakuokoka kupitiya ushuhudahuu.
@levismike16
2 жыл бұрын
JEHOVA MFALME WA MAFALME YESU KRISTO NISAMEHE DHAMBI NILIOTENDA KWA KUFICHA NA KWA KUTOJUA.AMEN
@roselineatamba916
3 жыл бұрын
Tujitahidi kupita kwenye mlango mwembamba tujishushe chini, nikunyenyekea na kutii na kuacha dhambi. Mungu ni Mtakatifu basi tuweni Watakatifu. Barikiweni wote.
@lazaromichael8779
3 жыл бұрын
Amina
@gladysvip8393
3 жыл бұрын
Mungu ni mtakatifu.tuweni watakatifu kwasababu hakuna dhambi itakayoingia kwa huomlango mwembamba.
@nelsonsalumuclovis753
3 жыл бұрын
Amen.Mungu akubariki Sana kk
@dokasa9176
2 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka Jacktan nimejifunza mengi , Mungu akuinue kwa viwango vya juu
@emmanulmbembati
Жыл бұрын
tuko pamoja watumishi
@nizaelluka627
3 жыл бұрын
Mungu naomba nisamehe
@zedianagasper9475
3 жыл бұрын
Amina naendelea kujifunza
@dorisgesare7707
Жыл бұрын
Ni mimi huyo naomba msamaha mbele za bwana Mungu na mbele ya ulimwengu wote madhambi mimi yesu kristo naomba uniokoe, 😭😭😭😭😭😭
@jeniphaledaschali4594
3 жыл бұрын
Da mungu anixaidie xtak kujilemba na kutenda dhambi
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Yani Mungu akusaidie uache , Mimi nilikuwa navaa sana mawigi lkn niliacha vyote na vipodozi vyote niliata na nywele.
@rozinamaleka214
3 жыл бұрын
@@sarahmdindile4301 ubarikiwe dada
@kresensiakomba9490
3 жыл бұрын
Yes
@joycengonyo7230
3 жыл бұрын
@promovertv Your testimonies are wholesome and edify the body thanks for the great work you are doing👏👏👏. I have been Soo blessed by your testimonials. They really enrich our spiritual lives to know that the spirit realm is real and very powerful. However, kindly be careful with some of the books example like the above videos. Example Mary K. Baxter and Bill Wiese testimonies to hell are very very! Biblical but some are not yes they have been taken to the spiritual realm but they bring back testimonies that create more confusion in the body. The Devil has many devices and one is to create confusion in the Christian body.
@leonardinabalenzi4005
3 жыл бұрын
My friend in Christ just share that specific part of this testimony which is causing confusions to you so that the brethren may intervene and help you. The people you have mentioned had their encounter with Jesus and He revealed to them what He thought they are important by that time to His people. Jesus also revealed a lot to Aston and other such as Richard Antwi to warn the church at this stage. In no way Satan can teach christian to avoid sins most of the issues presented are 100% biblical.
@joycengonyo7230
3 жыл бұрын
@@leonardinabalenzi4005 Satan loves truths mixed with lies he flourishes in this area.
@leonardinabalenzi4005
3 жыл бұрын
@@joycengonyo7230 especielly thr lies to direct people into sins and not the opposite. Most of the revealed issues in testomies posted in this chanel are teaching us to live in the way of purity so it is one's choice to follow or not. The confusion comes in when one is rejoicing in the said situations. Remember the parable of the seeds, it depends on where they fall for them to grow to the fullest. People are being healed here including my self
@joycengonyo7230
3 жыл бұрын
@@leonardinabalenzi4005 Ok let me Go deeper I am not saying the channel testimonials are wrong or false Nooo way the chanell is blessing me in no small way. Expecially the ones where he interviews Tanzanians they are awesome! My issue is the one he reads from and mind you not all case in point the above. I would advise you to do your own research with the help of the Holy Spirit. The spiritual plane is very wide. When God out of his love started to take people to hell to save the church the devil in his manipulation did the same and brought confusion in the church. One being you will not enter heaven because of wearing trousers, you will not enter heaven cos of makeup, wearing earrings and wearing weaves or not. This is not sin and there is no place in the bible that states you will go to hell cos of wearing such. The bible focuses on the heart condition your love for God. Hell is real and the bible says Drunkards, cowards, and such will not inherit His Kingdom. What does this do? E.g like the above video it creates Christians who are not heart transformed but do actions that they fear wount take them to hell. No Jesus came so we can have an intimate relationship with the Father and out of that transformation of the heart occurs and one follows the narrow path beautifully.
@leonardinabalenzi4005
3 жыл бұрын
@@joycengonyo7230I was once the person who was denying all these but through these testimonies and teachings from friends I have learnt a lot and I am changing. To us women the issue which is bothering us a lot is about our precious stylish appearance and the way we are used to them. Other sins which are also revealed here are in our capabilities of not doing them. But the stone is thrown into a dark place will noise be heard from its direction then we can conclude that there is someone there.
@abbygaelsharon497
Жыл бұрын
😭😭😭😭mungu nisaidie pia Mimi niingie mbinguni 🛐
@kinotititus8798
3 жыл бұрын
Mungu akubariki,naomba usome 1 timotheo 2:9-10
@erianne494
3 жыл бұрын
Mungu wangu mbona mapambo nimengi mkanisani tunaenda wapi mungu turehem
@THEDEMISEOFTHECITYOFDARESALAAM
3 жыл бұрын
Mwenye skio na askie, kama unasubiri uambiwe na unayemfahamu ndio akushuhudie,uelewe utakua umechelewa
@geitandelwa299
Жыл бұрын
NDIO MAANA timeambiwa njia ya mbinguni Ni nyembamba sana
@ungwamseke4819
3 жыл бұрын
Amen 🙏
@medardissa6253
3 жыл бұрын
Kikubwa kila mtu afanye Kama neno lisemavyo na si vinginevyo! Tuache kujifanya kwamba ukifa ndio utaokoka! WAEBRANIA 9;27
@Esthernyenyezi3
3 жыл бұрын
Asante Yesu
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Yani nikienda kanisani nikiona watu wamevaa mawigi wamejiremba ,wamejichubua lkn wanasali sana wanaimba kwaya vizur huwa naumia sana. Hata ukiwambia hawakuelewi.
@leonardinabalenzi4005
3 жыл бұрын
Waombee tu hamna namna
@japhetselestine2156
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@Neemakilimba
2 жыл бұрын
Mimi ndo nilikuwa wakuremba Ila nilisalenda mwenyewe
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Tuombeane wamekamatwa na shetani
@labanijmwampamba2470
3 жыл бұрын
Ubalikiwe kwa shuuda nzuri za kutujenga
@saimonnickolaus2501
2 жыл бұрын
Yaaani inaleta umakini zaidi sanaaaa.... Jaktani jaribu kupeleka kadir uwezavyo. .kwenye Kila mtandao.yaaani NI mafundisho making sana
@marykibali7568
3 жыл бұрын
Ee mungu nizaidie kujua mapenzi yako na si kumfuraisha mwanadamu
@medardissa6253
3 жыл бұрын
Ndio acheni kuvaa Kama makahaba,kujichubua,mawigi,rangi za kucha na za midomo.
@wambimbwelo5141
2 жыл бұрын
Ester hakuwa wigi hakujichubua alijipamba kwa mapambo ya asili na mavazi ya kifalme
@petermkono6643
Жыл бұрын
Unirehemu yesu
@lutherstephano6910
3 жыл бұрын
YESU KRISTO !!!! Atuokoe ktk hilo ,,,,,,,Jacktani Msafiri ubarikiwe na YESU KRISTO !!! Aliye hai🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@margretokuku8220
2 жыл бұрын
Mungu.nisamehe.sana.kwa.yalr.nimekosa
@titinmbega4128
3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi
@peacesirajudin589
3 жыл бұрын
Aiseee mbinguni ni mbali sn kw jinc hii cjuw ninani atakayetoboa, uwiii, ucpomkic mume anakuona mshamba huko kunako au mume acpkufanyia hivyo utamuona mshamba kumbe ni shida tufanyeje jmn, ole wangu Peace mim
@sophiajonas3459
3 жыл бұрын
Mpendeze Mungu peke yake sio mwanadamu
@issamoshi5216
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa mtumishi kuna vitu tunaviona vya kawaida kumbe ndivyo vinatupeleka kuzimu
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Ni kweli
@BerylSeer1
3 жыл бұрын
True 😩😩😩
@Joyceisaka
6 ай бұрын
EEE MUNGU MIMI NAONA HAPA POTEE NIPO JAMANI MIMI NISAMEHEE HASWA MOYO WANGU UNAWAZAA MABAYAAA HAKIKAA YESU NAOMBAA TOBAAA😢😢😢😢😢
@thehopetv2930
3 жыл бұрын
Mtumishii naomba muendelezo usikawie maana mambo haya ni muhimu tusikie mapema ili turekebishee njia kabla wakati haujaisha
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Sawa
@nizaelluka627
3 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@carolyneoirere4748
3 жыл бұрын
🙏🏻
@rebecca-nj6wl
5 ай бұрын
Mm ndo kwanza nafuatilia ushuhuda huu, swali langu ni je naeza vaa suruali ndani kisha nikavaa na rinda juu ama pia nimakosa
@kinotititus8798
3 жыл бұрын
Pia usome 1 Petero 3:3-4
@rosendanshau2674
2 жыл бұрын
Mimi ninamtazamo tofauti.Ester alijipamba kwa vipodozi vya kila aina akitakiwa kuiingia kwa mfalme.pia biblia inasema mtu asiwawahukumu kwa mavazi na vyakula.pia mbinguni tunaendana mwili wa roho hata nikifa leo nitakua na mwilini mwingine wa paradiso.pia mbinguni tuai gia kwa neema si kwa matendo.pia yesu alimaliza yote pale msalabani.Mungu haangalii mavazi anaangalia utakatifu uliokua nao sijui kama nitaeleweka shuhuda zingine niza kuchuja
@joyceanthony7383
2 жыл бұрын
Jitahidi kuwa na Ushirika na Roho Mtakatifu Atakufundisha yote
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Mmmmh tujitahiji kufuata haya maagizo mapambo Ni dhambi
@dianasimon7769
3 жыл бұрын
Mungu turehemu
@judithcha-mushala8852
3 жыл бұрын
MUNGU TEREHEMU hatujakamilika hata kidogo, MUNGU TUPE ROHO YA KUSAMEHE.
@stanlymaingi1065
2 жыл бұрын
Hallo jactan naitaji kuogea na wewe uniombee kwa dhambi zote niliopanya
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Karibu, Nipigie
@wambimbwelo5141
2 жыл бұрын
Lakini pia mtumishi wa Ibrahim alimvalisha Rebeka mkuu wa dhahabu na pete na vikuku je alikosea Mungu?
@Annsikoboy-ut8bs
10 ай бұрын
Wanaojiremba wanaungwa mkono na wachungaji wao "fake" Wanabariki na kutaka hata fungu la kumi. Haramu. Tusisahau kuwa, hata wale wanaofanya kazi za salon za kusuka nywele ni haramu kwa MUNGU. Vinyozi chungeni sana mitindo mnayonyoa watu. Wakienda motoni nyie mtakua kama wahusika wakuu
@mariasampamba5587
3 жыл бұрын
Mmh mimi kila dhambi ninayo eeh MUNGU NISAMEHE
@upendongonyani8871
3 жыл бұрын
Chukua hatua na umwanini Bwana Yesu anapinga kasome Yohana 3:16-18 na ikikupendeza nitafute ili nikupeleke panapo hubiriwa injili ya kweli
@upendongonyani8871
3 жыл бұрын
Piga 0746 242450
@anneafrica939
3 жыл бұрын
@@upendongonyani8871 nitaabudu wapi Mbona makanisa yote yamejaa mikorogo mawigi mapambo mtu anajiremba mpaka unapoteza uwepo wa mbinguni naombeni mnipe jina la kanisa nitakalosali Kwa heshima na mavazi ya adabu maana sioni kanisa lenye unafuu.nimechoka huu hushuhuda jamani makanisa Mbona tunavaa ubatili mwingi mwilini na tunaongoza kuwazinisha wanaume kupitia mavazi.
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Umeona hata mm nimejikuta Ni madhambi sana
@gracegelege1706
Жыл бұрын
Umenichekesha bora ujikubalie tuu upone tupo wengi
Пікірлер: 81