Mimi ni Mkenya na Yesu alinitokea baada ya kushinda vita vikubwa vya uchawi mwaka 2019, kwa hakika mwanga wake ni mkubwa sana huwezi kuutizama kwa macho. Niliona mbingu zikifunguka na mwangaza mkubwa ukashuka kutoka mbinguni nikasujudu na akaniwekea mkono kichwani. Alikua amezungukwa na malaika wengi mkono wa kushoto na wa kulia nami nikawa chini yao malaika wakiimba. Leo hii mimi naimba nyimbo za injili anazonipa yeye mwenyewe... Kabla Yesu kunitokea nilikua sijui kuimba lakini leo hii ananiongoza kwa Roho wake na naimba sifa zake. Asante Yesu kwa huruma na upendo wako kunichagua kueneza injili kwa njia ya uimbaji.
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Huu unaenda kuwa ushuhuda bora kabisa kwa mwaka 2022.
@williamuphilipo7447
Жыл бұрын
Hakika YESU ana njia nyingi za kuokoa watu toka jamii zote. Kaka Davister Mungu akubariki sana kwa kazi njema.
@dastancharlesslukindo6529
Жыл бұрын
Nampenda mno YESU maana anajitetea mwenyewe. Songa mbele dada.
@arthurmwabulambo1201
Жыл бұрын
Yesu amewatokea watu wengi kwa njia hiyo. Ushuhuda wa huyo mtumishi ni kweli kabisa. Barikiwa mno.
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Nafsi iliyokufa haiwezi kumtoroka mungu na ikarud duniani acheni kudanganyana nyie labda huo utakuwa mzim wa yesu
@arthurmwabulambo1201
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 mnasema hakufa, tunasema alikufa akafufuka, kwa hiyo yu hai.muzimu na nafsi zatofautianaje?
@Yesunimwokozi1
Жыл бұрын
@@husseingabo5497YESU YUKO HAI
@mysskibe
Жыл бұрын
God is indeed stirring up a revival 🙏🏾❤️🙌🏾. There is a great awakening in these very defining times we're in!
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Kipimo kipo wazi changuo ni lako..Kristo Yesu anajipigania mwenyewe yeye apiganiwi na wanadamu.
@puritymutheu4348
Жыл бұрын
Whoever calls Mohamed a black man should be killed 🥲🥲🥲 so sad
@josehkibona7565
Жыл бұрын
Kuna time nikikutazama unavyowahoji wahusika yakitajwa maneno fulani fulani ya kiimani unakuwa unaamani sana ndani ya moyo wako bwana dvst. Mungu tupiganie km hao tunaowasikia nasi tulitangaze jina lako tukiwa kifua mbele bila mashaka
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww hujui kitu anayekuongoza ni ibilis
@josehkibona7565
Жыл бұрын
Nina imani kila mtu anaamini njia zake za kumponya na moto wa jehanam ikiwa wewe unaasikiliza na kupuuza na kutoamini neno basi hatuna haja ya kuhukumiana duniani tusubiri cku zilizo mbaya sana kwa mwanadam ambazo hatutotamani hata kuziona ndipo tutajua nani wa ibilisi nani wa mugu
@ommylax7231
Жыл бұрын
Davista mungu azidi kukuinua na na kukubariki, KAZI nzuri Sana, nakufuatilia miakasa yako yooote tangia unaanza hii kazi yako 👏
@khadijayusuph5815
Жыл бұрын
Hizi hela zinatusumbu mwanamke analana yesu siyo mtoto wa mungu mungua hajazaa lana wewe
@veronicahkhaikwa4929
Жыл бұрын
Jamani yesu alikupenda sana usimuaibishe mama milele, kuna wakristo wameokoka lakini hakuna siku hata ndotoni wamemuona yesu direct
@AW-vt9pw
Жыл бұрын
Wewe Mwanamke hiyo sifa unayoitafuta Mwenyezi Mungu atakuangamiza kwa hayo unayomsingizia Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@bintalmasi2393
Жыл бұрын
Ahsante sana leo umeiweka sehemu inayofuatia mapema istahilivyo.
@nurudaud3993
Жыл бұрын
Nakupata vizur sana mtumishi 😁👌🤗🤗Mr Davistar mata 😄
@Yesunimwokozi1
Жыл бұрын
Ubarikiwe dada wetu wa YESU
@chriscao9828
Жыл бұрын
Huyu mama anaongea ukweli...hongera sanaa Davistar kwakumleta huyu mama kwa kipindi
@ahmedelalawy639
Жыл бұрын
Umeingi King acheni ujinga ukiristo ni kampuni ya wazungu na ujasusi mumeletewa umaskini afrika na wamechukuwa Mali zenu sasa wamewaachilieni ujinga . Ukiristo sio dini yenu waafrika. Yesu alikuwa mtu kutoka Jerusalem na pale hakuna mkiristo . Ukiristo umeanza ulaya. Sio nchi za uwarabuni.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@ahmedelalawy639. Wajinga kweli. Ndio hao wanaodanganywa wakisilimu hushangaa yote waliodabganywa hawayaoni😂
@patrickmaina5459
Жыл бұрын
Matendo Makuu ya BWANA YESU 📖🙏
@laurencemugabe733
Жыл бұрын
Glory to our lord Jesus Dada preach the gospel
@florencerose859
Жыл бұрын
Kweli kabisa Yesu ndio njia ilionyooka
@josephmutemi7494
Жыл бұрын
Amen BWANA awabariki sana watumishi wa YESU
@mastadaniel4111
Жыл бұрын
Asanteni kwa huu ushuhuda unatutia moyo sana. Kwa msomali kumwamini bwana yesu kristo.
@bishopmosesmagadula7572
Жыл бұрын
AMEN NIMEKUKUBALI DADA UMEISIMAMIA IMANI KIFUPI NIMEKUPENDA SANA..
@rabilubinza7661
Жыл бұрын
Yesu ni njia kweli na uzima mtu,hafiki kwa baba yangu pasip mimi,amini usiami unaenkataa leo ipo siku utamkiri tuu kuwa ni BWANA NA GOTI UTAPIGA cha kusikitisha utakua umechelewa sana bora umkubari leo upate uzima wa milele.BWANA YESU AKUPE MOYO WA NYAMA USIKIE NA UMKUBALI LEO.
@KamgishaFlowers
Жыл бұрын
Ongela mungu akubariki
@kahindiwanje90
Жыл бұрын
Weka bac iyooo number 3 ni nyumbani uko anasema kweli kabisa yani mungu amubariki Sana mtumish 🙏🙏🙏
@sarahkeivaly3351
Жыл бұрын
Hongera Sana dada msomali kwa kutokewa na Yesu, huyo alikuwa ni Yesu Kristo Mnazareti mwokozi wa ulimwengu wote na BWANA, ndio maana alikutokea ktk hali ya utukufu wake, yangelikuwa ni majini yenyewe yangekutokea ktk hali ya ukunguukungu
@beatricendikumana8776
Жыл бұрын
Wow nice our Jesus is able keep up God is with you
@jamesautomajorjimmy7895
Жыл бұрын
Leta MTUmishi tena man from Kenya
@gracegesare5313
Жыл бұрын
My sister in christ you passed many things but GOD his almighty
@ngarac2000
Жыл бұрын
Bwana YESU Akikukusudia Wokovu....... Lazima Atakuokoa......
@devothabalisima9710
Жыл бұрын
Kwa Bwana kila goti litapigwa! Yesu ni Bwana.
@morrismgendi4209
Жыл бұрын
I'm encouraged by ya msg ,n I would love to communicate with a true servant of God.How can I reach her?
@victoriadiones6759
Жыл бұрын
Yesu ni mwema 🙏🙏
@AW-vt9pw
Жыл бұрын
Nahisi kutapika ntaopokusiliza uvundo wa maneno yako kama yanatoka katika shimo la Choo. Haya maisha ya Duniani ni mafupi sana ukilinganisha na siku moja ya Mwenyezi Mungu ni sawa na miaka 1000 ya duniani kwa hiyo maisha yako yote huwenda ni sawa na masaa mawili au matatu kwa hesabu ya Mwenyezi Mungu. Wewe endelea tu kujijazia kuni na moto wa Jahannamu wa milele
@alishkabwoy4535
Жыл бұрын
Mungu akuongoze coz umepotea sna..and bring uh bak to the only religion...Islam
@sistertrashid2488
Жыл бұрын
Najivunia mimi muislam nasikiliza tu na hayaniingii kabisa
@admerarobert3485
Жыл бұрын
huyo ni jini au shetani anayekufanya yasikuingie YESU KRISTO akusaidie
@avitusmichael5
Жыл бұрын
Shindwa pepo
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
Aliyekuwa Muislamu mwenzio anapokushirikisha makuu ya Mungu wewe bado huelewi. Lakini ajabu hata nduguze walikuwa wangumu pia. Yesu kamwambia huyu dada kuwa ahadi zote za uislamu huko ahera ni hewa tupu. Yesu hadanganyi. Lakini pia nabii Mohammad mwenyewe hatokei leo km Yesu sababu yy kisha oza. Shetani alipoona Yesu kaleta dini ya ukristo naye akawaletea uislamu kuwazuga tu ili yy ndiye anajiita ni Mungu au Allah. Achana naye shetani huko . Funguka
@womanofsteel1402
Жыл бұрын
Sasa Allah mwenyewe kawambia issa bin Mariam ndio njia ,Sasa yasipo kuingia Ni Wewe hasara kwako ,kila mtu ataubeba mzigo wake
@penuelonetv6668
Жыл бұрын
Dada rashidi huu ndio mda wako unapomkataa Yesu unajiukumu
@LifeisGood-2024
8 ай бұрын
Praise God
@yukundapeter8200
Жыл бұрын
Asante Mungu kunifanya Mkristo.
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Najua waislamu wanaumia sana hawataki kabisa shuhuda kama hizi wanamioyo migumu sana hawataki Yesu kabisa
@yunusramadhan2546
Жыл бұрын
Twawaskitikia nakuumia juu ya uongo wenu nyinyi wakirsto au makufaar, bas mm sidhani kama nyinyi mwamjua yesu kama sisi nyinyi yenu nikufuata matamanioyenu mukaacha kufuata hata hicho kitabu xhenu wenyewe mwaenda opposite nacho kabisa nyinyi ni summun bukumun umyuni......
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 mwamjua Yesu na hammfwaati basi huyo Yesu mnayemkataa nakumfuata Muhammad Yesu huyo huyo ndiye atakaye wachoma motoni nyininyi waislamu
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 wewe endelea kusema niungo watu wanaokolewa na Yesu
@samutykuntathebantu8402
Жыл бұрын
Shauri yao wachawi hao
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@biblicalknowledge2734 wewe sema yote hayo lakini kaa ukijua Yesu yeye huyo unayemkataa kumuabudu huyo huyo ndiye atakaye kuhukum hata Koran inasema hivyo
@carenhilary8067
Жыл бұрын
Haleluya Kwa YESU Raha jamani
@kithunguesther8551
Жыл бұрын
Glory to God Amen, Jesus is the only way to heaven Amen
@benjaminkiteleke8458
Жыл бұрын
Subhanallah, eti mtume aliua watu 1000.
@habibaally2943
Жыл бұрын
Mm najiuliza kilasiku mbona mm nasoma Qoran kilasiku mbona sikuti mambo mabaya kwani hawa Huwa wanasoma Quran gani ?
@khadijaaheemed3386
Жыл бұрын
Huyu mama karibuni utasikia wameoana na huyu jamaa naona wamependezana😂😂😂😂😂
@philipoluzege3200
Жыл бұрын
Hii nimeipenda
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Hii story imemuingia Davistar kweli kweli! Sura inaonyesha.
@josephngunzu6473
Жыл бұрын
Hata moyoni mwake anasikika vile anafurahia akisikia kina Yesu likitajwa.
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
Ni pamoja na yy pia kushika shuka litokalo kwa Mungu🤠
Mungu awabariki sana kwa ushuhuda huu mzuri na wa kweli. Yesu ndiye Mungu
@abdiabdi5375
Жыл бұрын
Huyu kapotea mungu amsaidie
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Kwanini Muhamed ajawahi kutokeya mkristo amwambiye mimi Ndio Muhamed unifate tangu nasikiliza maushuhuda sijawai kusikiya
@amadasaloon101
Жыл бұрын
oooh unaweza YESU
@hassanadam3007
Жыл бұрын
😂😂😂wacheni kichekesho na owongo
@rebound2179
Жыл бұрын
Swali zuri sana...kwamba ni kwa nini mungu wa kiislamu anataka umwagaji wa damu watu wakiuliwa....Je, kunaye aliyewahi kujiuliza ni kwa nini vichinjio vyote ni vya kiislamu?
@kingkijaempire7356
Жыл бұрын
Doooh🙄🙄 kusema kweli hapo mmekutana wote vilaza hamna anayejua dini hapo uongoo tu ndio uliojaa Dada anatoa maneno ya uongo huyo hatari 🐒🐒eti kupanda bodaboda hairuhusiwa ipo kwenye quran😀😀😀😀😂 @Davistermata
@rerisamba
Жыл бұрын
🤣🤣🤣huo mwanga ndio ulichoma lile joka la wamayo likafilia mbali
@ahmedelalawy639
Жыл бұрын
WKiristo kama nawaona vile mmefurahi ila muko kirahisi rahisi kudanganywa kwasbb hamna elimu. Mapastor wenu wanasomesheni ujinga .
@cutecute5269
Жыл бұрын
We dada acha uongo kama hujaota basi umeona kwenye filamu 😂😂😂😂
@FaidhatHaroun
Жыл бұрын
Mmh huyu dada jamani cjui katokea wapi khaaa yani hamna hata cha ukweli
@MaryamMaryam-wp5yk
Жыл бұрын
Subhana Allah Walhamdulillah Wala ilaha illallah Wallah Akbar
@everinasango292
Жыл бұрын
Amen
@kahindiwanje90
Жыл бұрын
Safi
@heritier5119
Жыл бұрын
Uislamu unaogopa competition ya kiimani wanaogopa wakiruhusu watu waujue ukweli wengi watakimbia
@kazunguchara3404
Жыл бұрын
Kukuingia au kutokuingia haibadilishi ukweli dada anaounena.
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
YESU ndio njia
@jamilajamila5532
Жыл бұрын
Huyo.mama.nicizi
@shafikakrabi8490
Жыл бұрын
Huyu mama mwizi vipi anavaa hijabu. na Issa bin Maryam kazungumza kisomali. Toka lini Nabii Issa ame zungumza kisomali
@madpeoplezzzz5121
Жыл бұрын
Yesu ndo haliyekushindia.....
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Tuko pamoja wana wa Mungu
@cutecute5269
Жыл бұрын
Davista Davista hivi unawatoleaga wapi hawa vichaa kaka yangu 🤭🤭🤭🤭😂😂😂😂😂
@williammwakipesile1111
Жыл бұрын
Ndugu muogope MUNGU BWANA YESU mafarisayo na wayahudi ole wake anaemkufuru ROHO MTAKATIFU hatasamehewa. mtuakimkosea mwenzake ataomba msamaha je mtu akimkosea MUNGU ninani atakae kuombea msmaha?
@karimkassam571
Жыл бұрын
Victoria sio fani yako wenzako wakina Victoria wanasuka rasta...
@sinaloa5698
Жыл бұрын
Uyo boranaa ni lie eti katokewa na issa bin mariam heheheee big lie ajielewii uyo mboranaa
@zuhura.suleimanmwamwari3083
Жыл бұрын
Wewe dada shetani
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Acheni kushindana na ukweli
@intel76
Жыл бұрын
The dress is an other level i smell something else,,, jinni sixir and money
@marthalukuba9803
Жыл бұрын
Safi sana
@akeem1221
Жыл бұрын
Kesho na kesho kutwa atafungua kanisa lake auze mafuta ya mpako na atafute hela ya mbegu kutoka kwa wafuasi wake.
@munasayed8657
Жыл бұрын
Subhanallah
@abdiabdi5375
Жыл бұрын
Waalah ni muongo kweli anavyo ongea eti amesikia kuna mtu ana muita wewe mshenzi mkubwa mungu akulaani waalah
@paulgaramangonyo8023
Жыл бұрын
Mbona hasira bro, mwelewe tu.
@SakinaMuhsin-nc4zq
Жыл бұрын
Aise hiidunia mmh
@johndevi2153
Жыл бұрын
waislam mungu wao si Mungu aliye hai zipo fact nyingi (1)Jehovah alichagua Israel lakini Allah amechagua saudia (2) Allah anajua lugha moja tu Lakini Jehova anajua kila Lugha (3) Allah ana upendo wa masharti(Condition Love) lakini Jehovah ana Upendo usio na masharti (uncondition Love) (4) Allah anapiganiwa lakini Jehovah anajipigania mwenyewe Yote kwa yote Allah si mungu wa kweli
@josephngunzu6473
Жыл бұрын
Hivi kweli kama allah ni Jehovah kwa nini kipindi Muhammed anakata roho alisema anawasikitikia wale walio mfuata kwa maana hana mahali pa kuwapeleka, ilhali Yesu alisema naenda nyumbani kwa baba yangu kuwaandalia makao?
@kennedykimutai2298
Жыл бұрын
Very true and factual 💯
@khalidyasinkhalid5944
Жыл бұрын
@@josephngunzu6473 andiko tafadhari sio mdomoni mwako tu
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
@@khalidyasinkhalid5944 nikweli
@aisharazak3511
Жыл бұрын
naongeza Allah anapiganiwa ila Jesus anatupigania sisi Jesus is the true God
@hamzayusuf1894
Жыл бұрын
Atowe andiko yesu ame salimiya watu wa kanisa hapati mpaka kiyama
@fathiyasalim3946
Жыл бұрын
Njaa huyo. Utakiona cha moto siku ya malipo. Kafiri mmoja wee Wasomali wenzio watakushughulikia. Mambo ya waislaam achana nayo. Hayakuhusu kafiri mkubwa wee
@aminaabdullahi7582
Жыл бұрын
Naag walan beenle
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Jamn itaendelea lini?
@marywanjiru438
Жыл бұрын
Haki jamani wakenya amkeni tuokoke oneni waislamu wamekubali kuokoka,tutabaki nyuma
@ammarmohammed4062
Жыл бұрын
huyo sio issa uliyemuota atakuwa ni paulo
@moanamessi1749
Жыл бұрын
Kabisa wanajidanganya na Yesu
@edwardmwalukware9734
Жыл бұрын
uislamu ni mpinga kristo. Mmedanganywa tangu utotoni sasa hata mkiskia kweli mnapinge
@kithia100
Жыл бұрын
Mbona walikua Wana mpiga Kama kweli uislamu nijia sahii sini wange muombea tuu kwa upole vita za Nini?
@hansondaniel1439
Жыл бұрын
Tatizo wazeya mmemfungwa na kufuli hamuelew kitu 🤓
@paulgaramangonyo8023
Жыл бұрын
Si yeye alimuona mbona unasema paul
@ashaomaromar8624
Жыл бұрын
Ifrah wacha kusema uongo
@marthakapinga9408
Жыл бұрын
Tuko pamoja, watumishi
@yunusramadhan2546
Жыл бұрын
Anasema uongo huyo dada ukweli wake nikidogo sana kwaufupi hajielewi
@heritier5119
Жыл бұрын
Shehe abdul rogo huyo
@philipferguson2407
Жыл бұрын
Part 3 Iko wapi bana..... mbona nibaki mataani
@shigadimliwa437
Жыл бұрын
Indeed revival is here, Jesus is the way truth and life. At the mention of His name every knee shall bow and every tongue confess that He is God! Halleluyah, Holy Spirit of God have your way
@abdallahmoussa614
Жыл бұрын
huyu dada kachezewa na majini kwel kweli mpaka wakakushinda nguvu ukaritadi alafu et uliambiwa hakuna kitu kama uislam sasa sikiliza Allah mumba wa mbingu na ardhi anasema :( Quran 3:19 bila ya shaka Dini mbele ya Allah ni Uislam), (Quran 3:85 na anaetafuta Dini isiokuwa Uislam haitokubalika) sasa nakuonyesha kama Uislam ni Dini ya Haki na pia skiliza Allah alipo mwambia Mtume wake (Muhammad) sala na salam ziwe juu yake kuhusu Issa mwana wa Mariam alivyo wambia wana wa Israeli (Quran 61:6 Enyi wana wa Israeli! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yalio kuwa kabla yangu katika taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakae kuja baada yangu, jina lake ni Ahmad. Alipo waleteya hoja zilizo wazi walisema huyu ni uchawi ulio dhahir. ndoto zingine niza kupuuza na wala usijishuhulishi nazo Shaitwani hamtakiyi binadam kheri siku zote sasa kakupoteza kwa sababu anajuwa ukifa mwislam unamsamaha mbele ya Allah kwa rehma zake ikiwa ulikufa bila shirki yani bila kufanya uchawi, kuabu masanamu mizimu lakini atakae kufa hali yakuwa hakumfwata Mtume Muhammad hali ya kuwa ajuwa au kamskia ni Mtume wa Allah na hakuna mwengine huyo mafkio yake ni motoni ispokuwa sasa wale walio mfwata Yesu (Issa mwana wa Mariam) yani wa ahalul kitab (wakristo) na wakamini Mungu umoja wale wanataingia peponi.
@opionlinetv5052
Жыл бұрын
Huyo sheikh wa Kenya aliitwa abood rogo, jihadist hatarii Sanaa,Mungu amueke mahali anapostahili😐
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
aliuwawa kwa kupigwa risasi akiwa ndani ya gari, inasemekana alikuwa anashirikiana na ali-shabaab yaani ni kama alikuwa mweu
@yunusramadhan2546
Жыл бұрын
Amtie peponi Alihamdulillah Amin
@williammwakipesile1111
Жыл бұрын
ndugu BWANA YESU ASIFIWE.soma maandiko matakatifu Kuna mtu alikua anaitwa sauli leo anaitwa Paulo alikua muuaji aliwateka watu wa kabisa au walokole alitokewa na YESU akaongea nae nae akakubali kuokoka Kama huyu ifrra unaemdharau leo iko siku utamkumbuka.
@opionlinetv5052
Жыл бұрын
@@yunusramadhan2546 unagawa Pepo Kama njugu 😀😀
@najmaulaya8819
Жыл бұрын
Pole sana hujui uislam wew hasar yako na nafsi yako
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
Kuweni wanyeyekevu mfunguke . Kila mwenzetu akihama na kutoa ushuhuda wake wengine mu na shingo ngumu kuelewa. Ati hajui uislamu. Kumbe hata Mungu aliyemtendea hayo huyo naye hajui Uislamu sivyo!😅
@chriscao9828
Жыл бұрын
Dini ya uislamu na freemason ni moja..wote hupenda sanaa majini na damu
@najmaulaya8819
Жыл бұрын
Sawa kila mtu anahaki ya kwenda anapotaka wew unadini yako na mimi nina dini yangu upumbavu wenu tangu binadamu akaitwa mungu poleni sana kujeni kwenye nuru
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
@@najmaulaya8819 Sasa una nuru huku umejaa matusi unatukana kirahisi tu halafu una nuru? Afadhali nibaki nilipo ambako hata matusi si sehemu ya nuru
@chriscao9828
Жыл бұрын
@@jesuspower2390 kweli kabisa
@yusafbayu7016
Жыл бұрын
Uhmm dada Aki sema abraham ame kuwa mkristo ame yaona na wapi
@beautyandfashiontipsforbot4524
Жыл бұрын
Habari yako Davis kamata uyo dada kashi shindi kana kwao anazingishi yesu ni muongo uyo ushuhuda sikweli yesu anakesi nyingi sana kiyama
@adamtzmbogo1694
Жыл бұрын
Dada unaweza nisaidia huyu Dada weweunamfahamu?
@avitusmichael5
Жыл бұрын
Jifunze kuandika mbwa ww
@ammarmohammed4062
Жыл бұрын
kweli yesu anakesi nyingi wanamsingizia na ndo maana atarud tena dunian
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
Kwenye mdahalo mmoja kulikuwa na ubishani wa nabii adamu kuwa ni muislamu na kanzu yake ipo kule Sri Lanka, BIBLIA TAKATIFU ikafafanua kuwa baadae kukawa na nabii adam feki wapatao mia moja, hivyo wale wahubiri wanaopata majina makubwa kwa kubadilisha maneno wakawa wameduwaa na kuchanganyikiwa! Naomba mtumishi wa KRISTO YESU mwenye kulijua neno hili atuletee hapa tulione
@aprilking8250
Жыл бұрын
Mama uyu anaongea vizuri sana
@hamzayusuf1894
Жыл бұрын
Huyu mama amechangankiwa ananjaa mpeyngine ataka kuolewa
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Tatizo apendagi kuambiwa kweli
@fr.deolyakunga4984
Жыл бұрын
Huyu binti ni Mkweli ajabu! Poke kwa mateso anayotapata. Hayuko peke yake. Mateso? Bwana Yesu ktk Bustani ya Getsemani/AGONY IN THE GARDEN.
@salamalsawaqi1206
Жыл бұрын
Isa hashuki ila siku za mwisho vitabu vipo bwana naakishuka kama radi kila mtu atapona huyo jini kama wewe
@kithia100
Жыл бұрын
Kwa hivo unamini yesu Yuko uwai je Muhammed ???
@fenellalilian4590
Жыл бұрын
DM mwambie atufafanulie vizuri hapo Kwa majini ya wakristo
@fenellalilian4590
Жыл бұрын
@@pastordavidnjoyamedia.4019 wakristo Sisi ni Roho Mtakatifu
@omarimadiva5352
Жыл бұрын
Dada hauijui qurani na hata biblia ndio maana.....hakika umepotea
@khadijayusuph5815
Жыл бұрын
Sisi wasomali hatuna ukiristo huyu siyo msomali hasitusumbue
@ladislausngoyinde4384
Жыл бұрын
Tatizo lenu sugu nyie wasomali na ndugu zenu waarabu ni ubaguzi na ubinafsi
@heritier5119
Жыл бұрын
Kumwaga damu ya mnyama chini ni ushirikina ni ibada za majini
Пікірлер: 273