Waah glory be to God, may Almighty God give you more power mtumishi
@ThomasMsanzu-yr3ts
Ай бұрын
Mungu akutumie mtumishi..watubariki na kututia nguvu
@mariamhamisi1204
27 күн бұрын
Mungu akubariki,uzidi kueneza injili
@lilianluhasi311
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mpendwa ❤️ Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo
@helenamasinjisa1217
Ай бұрын
Mungu azidi kukuinua na kukutia nguvu
@AmosiNgomai
Ай бұрын
Bwana Yesu ana upendo usio na mpaka wokovu wake ni kwa Mataifa yote, Mungu akutie nguvu
@jastinmkoba
Ай бұрын
Ver correct
@wilsonkombeyeri4623
10 ай бұрын
The testimony is really moving but veangence belongs to God, He pays .
@maureenmgeni
11 ай бұрын
Amina kubwaa! Mwenyezi Mungu na awatunze daima.
@ziyadanyandwi2908
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@azizabuyonde8368
10 ай бұрын
Hallelujah, ubarikiwe
@ElizabethMakwaia
4 ай бұрын
Ubarikiwesana mtumishi
@MaryWuantet
11 ай бұрын
Amen..hajji utapata yote kwa jina la yesu
@user-fy9uk4oh7x
2 ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu na uzao wake ni mkubwa katika Yesu kristo
@frankkomba1234
4 ай бұрын
YESU ni njia ya kwenda mbinguni ( uzimani)
@damarisnjerichege100
10 ай бұрын
Wooow nabarikiwa sana
@justusmutuku8303
3 ай бұрын
Mungu atajidhihirisha neno lake halitapita Bure.
@sophiamakani6133
11 ай бұрын
Jina la YESU Christo aliye hai lipewe sifa,,Mungu yupo nawe Mutumishi wa Mungu...atakupigania kila wakati.
@lilhydon452
10 ай бұрын
😢😢 Mungu akuongezee nguvu
@ryobanchagwa2499
7 күн бұрын
Huwa nacheka sana
@flm1530
11 ай бұрын
Ameen
@newbornhaule
11 ай бұрын
Njia ni nyembamba iendao uzimani...
@josehkibona7565
11 ай бұрын
❤
@King_Of_Everything
11 ай бұрын
✌️👍👊.
@rerisamba
11 ай бұрын
😭😭😭
@felistersoduor6438
10 ай бұрын
Davistar am looking for you please I need a book
@DavistarMataMediaDM
10 ай бұрын
+255743053804
@tututz100
11 ай бұрын
J.boys 1999
@lilianluhasi311
4 ай бұрын
Huyo ni Yesu alimrudisha
@SilivestaTesha-xg1si
11 ай бұрын
Mkuu nakupa adam haji nakukumbuka ukiwa garisa
@johnnjau2028
10 ай бұрын
😂😂😂
@user-gw4jj5nn2n
6 күн бұрын
Wewe ni muisopia
@djslim254
4 ай бұрын
Mwongo mkubwa huyu na mwehu kupindukia na mtapotea wote mtakao mwamini na kumfwata, anapeana habari zisizo na mwelekeo
@martoo539
3 ай бұрын
Endelea na uislam wko utakufa vbaya sana
@martoo539
3 ай бұрын
Mpaka uamini yesu
@evalinekitomary4307
3 ай бұрын
Iko siku na wewe Yesu atakufanya kama huyo Amina
@noelkomba5270
2 ай бұрын
@@martoo539😂😂😂😂
@SiriliNachan
Ай бұрын
Huyu anaongea ukwel me nimeanza kumsikia nipo darasa la 7 kipind hicho 2014 nlianza kumsikia redio safina ya arusha na leo tena nimemkuta you tube nimefrah san kumwona
@ahmednoor4920
3 ай бұрын
Huyu ni mwongo sana ..yeye si msomali na hajawai kuwa Somalia...all what he is talking is nonsense....huyu ni either mborana,oromo,gabre...
@SiriliNachan
Ай бұрын
Eb toka hapa acha ku gues me huyu namjua tangia 2014 kipindi nipo standard 7
@SiriliNachan
Ай бұрын
Yan hapo nakukataa sana huyu n mkweli nlianza kumsikia kweny redio safina ya arusha na story yake ilikuwa hv hv
@SiriliNachan
Ай бұрын
Yan hajabadlisha chochote nakumbka hapo nilikuwa darasa la 7 story ya maisha yake ilikuwa ivo ivo
Пікірлер: 42