Aiseee hii story aijawah tokea apa ktk Chanel 👌👌👌msipo jifunza apa basi tena kila asikizae story hii then akaenda kwa mganga jua uyo kajitakia mwenyewe...kuna maisha watu wanaishi magumu yamateso ktk ulimwengu mwingine...bila Yesu ni bureeeeeee
@marthamaligo458
3 жыл бұрын
Story nzr sana sichoki kuifatiria na ninashinda you tobe kusubili lkn inacherewa kwangu lkn Kaka tupo pamoja💯💥💥
@الوردالورد-ز4غ
3 жыл бұрын
Lakini Zablon the old man loved u A lot not like ur cruel daddy who mistreated u and treated u like a slave bravo to the old man
@danielhr5169
3 жыл бұрын
الورد الورد very true
@caimedia
3 жыл бұрын
David unanifanya niwe Zabron's Story addictive, unajua nilikuwa nahesabu sekunde na bado nimechelewaaa
@Footballer-1992
3 жыл бұрын
Wawawaaaaa Tena 🤭🤭🤭🤭🤭Davista story imekua tamu. Drop part 21. Zablon kweli story tamu
@yvettekyalika907
3 жыл бұрын
.. Un don pour relater ! A real gift to report! Thank you davistar for this wonderful testimony who reveal us the love of God for us.. Kweli, kulala kulamuka ni nehema ya MUNGU.. Apewe sifa na shangwe..
@msulujkatto2878
3 жыл бұрын
Yap yote yaliomkuta alisahau tu kutaja jina LA mungu muumba
@msulujkatto2878
3 жыл бұрын
Yap yote yaliomkuta alisahau tu kutaja jina LA mungu muumba
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Icho kitabu cha Mama angu anakula nyama za watu nilishakisoma ni stori ya kweli na nzuri sana.
@ibrahimmohamedi4498
3 жыл бұрын
Msala they back to Gamboshi again what a memories ? From zabron a good touch story DM Mr fact
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
Mungu mwema zabron kwa majanga hayo ilabado upo mungu anamakusudi nawewe
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
hongera zabron uko poa frm kenya
@sultansoule2571
3 жыл бұрын
Pole Sana Jamaa inatisha Salut David
@chesterbrand6723
3 жыл бұрын
Brother Davis king yaani picha kama ya kikorea yaani ndiyo Kwanza kama jumong wamerudy GAMBOSH...... Blessing Sana King Davis
@shazminefeysal6951
3 жыл бұрын
Mie leo niwakwanza chezeaaa👏
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
waaaa yaani mdomo wenu na mwenzio babu umewaponza tena mkarudi tena gamboshi woiiiii jamani leta eps tuendelee
@jeaninemugisha6395
3 жыл бұрын
Mungu wangu umushukuru mungu kwakuwa amewatowa mbari sana
@bintimrope
3 жыл бұрын
Shukrani
@nancygitau5268
3 жыл бұрын
Thanks for part 20. Keep them coming
@babyboss2886
3 жыл бұрын
Davistar usituweke hivi huu uhondo hauitaji ku ngoja mda mrefu, Ila asante
@nurudaud3993
2 жыл бұрын
thanks zabron
@bebebebe5677
3 жыл бұрын
Tobaaaa pole kaka nin kiliendelea part21 tafadhali yan mm lazima ivyo vitabu nivibate
@kanyangezafaraniddi6518
3 жыл бұрын
Mmh story inaamza upya duuh kurudishwa gambosh!!!🙆♀️🙆♀️🇨🇦
@fadhilingogota3581
3 жыл бұрын
Dah kazi imeanza tena
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Hii simulizi inamafunzo mengi na niliipenda sana
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
Huyu jamaa apenda msosi maana husifia, 😄😄😄
@linazuke5838
3 жыл бұрын
We hupendi
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@marysteven605
3 жыл бұрын
Acha kujifanya bishoo,asiekula Nani,hapo ulipo tu Leo umeshakula hâta Mara 5
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
Akitaja msosi mbaka mate yana mjaa🤣🤣🤣🤣
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
@@linazuke5838 😏
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Mamaa yanguu ?? Hii story kweli itaishaa ? Mungu wanguu
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Duh, sasa hapa ndiyo movie inaanza looh, Davistar tuwekee 21 bwana be4 tulale
@mwitawakimara3649
3 жыл бұрын
Salute.kk
@moreenmbatha1147
3 жыл бұрын
number9 na leo sipati notification😢😢😢😢😢😢😢💺💺💺🇰🇪🇰🇪
@deusdeodavid5360
3 жыл бұрын
Mimi kilasiku nachelewa jamani naombeni msamaha
@eshalibaba1195
3 жыл бұрын
Imeisha patam devi tuletee muendelezo bhana 😘😘
@annasilayo1405
3 жыл бұрын
Ninazo miendeoezo
@saidabdalla8996
3 жыл бұрын
Story utasema anatunga kumbe kweli
@upendoluv7197
3 жыл бұрын
Ndioooo kwaaaanzaaaa Mambo yanaanza
@Zamb90
3 жыл бұрын
Safi
@zettyhassani2244
3 жыл бұрын
Maskini weeedah ivi Kaka zablon umeoa mh mm ningekuogopa
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Sema kweli umempenda?
@kenyatuktuk2853
3 жыл бұрын
Hapo sawa.
@sarahloveyouolivermtukidzi6704
3 жыл бұрын
Wooooow nimewahi leo janiiiiii
@susankomu8978
3 жыл бұрын
Karibu nchelewe I say
@kevinlembela2455
3 жыл бұрын
Ooh waoooh
@hamisimtemi3803
3 жыл бұрын
hiyo wazungu wangeiita INTERMISSION watu wanapaswa warud tena GAMBUSH..Davister aty Aaah!!!....😝😝😅😅😅
@angelokihaka8363
3 жыл бұрын
Aiseeee story inaaanza upya #GAMBUSHI tyeeena🤔🤔🤔
@samiranyambura3324
3 жыл бұрын
kwani hii imekwa series
@costavalenci7699
3 жыл бұрын
Mpaka hapo upo uchi?
@oneclick2023
3 жыл бұрын
Duuh! Mzee Zabu karudi tena Gambushi...what is next Mr.D
@driftdumper8927
3 жыл бұрын
Hii story nimeisikiliza na kuirudia! Nitatafuta hivo vitabu!! Vyote viwili!!
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Kwa asira🤣
@coolmum7812
3 жыл бұрын
Daah kuridishwa tena😳😲
@biambarak5298
3 жыл бұрын
Lizeeee
@eshalibaba1195
3 жыл бұрын
😘😘😘mambo ni 🔥🔥🔥🔥
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Duuuuuuhh !!! Yani tena kuregeshwa gamboshi ?
@kelvinkatende3871
3 жыл бұрын
Noma
@husnaothuman1609
3 жыл бұрын
Itagramau Anatumia jina gn...fb Wengine Atuna
@hildasimon6405
3 жыл бұрын
Zabron c mwita
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Hv ana mke?
@evelynlehnard3928
3 жыл бұрын
Zablon nyote yako inang’aa sana na Mungu anakupenda na atakuinua sana lakini sujui kama huko mwisho utasema kama umeacha mambo ya waganga. Hakuna msaada wa kudumu kutoka kwao.
@asiaside9558
3 жыл бұрын
😍😍😍😍davista
@sarahloveyouolivermtukidzi6704
3 жыл бұрын
Woooooow nimewahi leo jamaniiii
@hameesabdalah3780
3 жыл бұрын
davista unajua sn bro
@IANA2030
3 жыл бұрын
Wah!😩 Jesus protect us
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Una moyo kweli yani ugumu ulionao napesa bado unagawa hela😹🙏
@liliankemuma9475
3 жыл бұрын
Hapo inaogopesha Sana kweli
@shedyjr3227
3 жыл бұрын
Mzee baba
@SamsungA-su2qj
3 жыл бұрын
Zabroni Mzee wa kugonga Misosi
@sapnaabdallah1084
3 жыл бұрын
Naeka uporo mpaka kitrushwe kipande chengine niunganishe nizididi kuona raha
@ericklukumay1777
3 жыл бұрын
Sasa mzee baba mpaka mda gan urushe sasa
@rappertinno4184
3 жыл бұрын
Nakubal
@mudulorukuyana3722
3 жыл бұрын
Duuuhhhhhhhh! Leti mmmmm na subiri ila kusiwe mwenye ata kaa kwenye kiti changu icho chambele adi niwe tayari
@ziadameta8702
3 жыл бұрын
👏👏👏
@alexjos7625
3 жыл бұрын
Aaaaah ingine
@sheikhaalmandhari125
3 жыл бұрын
Tobaaaa
@faustinaalukungu8511
3 жыл бұрын
🙏
@merycharles2707
3 жыл бұрын
Nilitakusema ndio unaenda kufa kabisa ila nikakumbuka ndio wew unaye tusimlia😃😃😃😃
@charlesmapunda5905
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana mdau😂😂😂😂 ushaifanya kama muvi ya kihindi
@furahaanaongeapointxanampe2585
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
unge fanya move ungeuza kwel
@سلامهالنهدي
3 жыл бұрын
davista vp kaka mbona story anairudiya mara tatu ni ileile
@الوردالورد-ز4غ
3 жыл бұрын
Hajawahi rudia kabisa kila kukicha story ni mpia hivi twangojea 21
@karrolleschon3986
3 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@masolwachikubatilucas5641
3 жыл бұрын
Kuludishwa tena gamboshi! Da!!
@tynoblack5996
3 жыл бұрын
Yan picha ndo linaanza upya mmerudishwa tena gamboshi🙆♂️🙆♂️
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Duu! Ule usemi ng'ombe wa maskini hazai ndio unapotumika hapa yani mmehangaika mwisho wa siku mmerudishwa Gamboshi 😰😭
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Kkkkkkkk !! Hii part imenitach I say hata najiskia munyonge . Yani nilikuwa najua kafaulu lkn nilivyoskia ameonana na ajent aaaaaahhh !! Nimejua kwishaa kumeharibika . Haya tusubiri part 21
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
@@mashamramba3461 me Pia imeniumiza na zaidi ni babu alivyo fanya uharibifu Ili atupwe shimoni amfwate zabron wawe wote then wanakatwa tena kizembe na sijui kama babu atapona wacha tusubirie sehemu ya 21.
@godblessdoglass4126
3 жыл бұрын
Like zenu jaman😋😋
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Mnakuwa kama majini hamuonekani kabisaaa yani mko mko tuu Ahera Hampo duniani mwatafutwaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@butondodavid2105
3 жыл бұрын
Hahaaaa umenichekesha huu msemo leo ndionmepata maana yake yaan unakuwa upoupo
@fettyanthony8107
3 жыл бұрын
Watu mko fasta Atari yani Leo nimeshinda kusubili hii kitu nilikuwa wa kwanza
@angelwadavid5353
3 жыл бұрын
Wa 100
@fatmaalrshdii7615
3 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
@mariamripiti2137
3 жыл бұрын
Pamoja
@merycharles2707
3 жыл бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ElihrJones
3 жыл бұрын
Hahahha picha linaanza upyaaaaa...gamboshi tena
@kimandoro7432
3 жыл бұрын
Hatar sana
@maryamumapenzi1257
3 жыл бұрын
Yani story kma kawaida kumbuka bado haja amka hapo
@angelmilele4730
3 жыл бұрын
.mh hatali wakakamatwa tena 😶😶
@malaika7021
3 жыл бұрын
Hey Davistar,..Where is this Place behind The Camera, I Really Love it ..Which Place, Exactly In Tz??..I Mean which Town??Can Someone Tell Me Please.💗🥰.
@francisruambothetechnician
3 жыл бұрын
I think it is mwanza rock city
@zoey2635
3 жыл бұрын
Rock city, near the lake Kamanga area
@malaika7021
3 жыл бұрын
@@francisruambothetechnician ..Thank you So Much Darling 💗🥰💋
@malaika7021
3 жыл бұрын
@Zee Mud Thanks darling, 💗💋Will Surely Visit When I Travel To Africa..🥰🙏...Looks So Cool Plus The Lake..Wow.💜
@nancychissamo379
3 жыл бұрын
Doh!! Gambosh tena umerud mweh🙆🙆🤦kwel mlibug
@shazminefeysal6951
3 жыл бұрын
Bro davi fanya episode inayofuata kama huto jali maana ninauchu hatarieee
@sitinassy8772
3 жыл бұрын
😂😂😂
@annasilayo1405
3 жыл бұрын
Kunakipindi Cha redio Alisha simulia zote zp utubu
@avierastevens5141
3 жыл бұрын
Ohooooo mkaludi tena
@mariamfritsi4943
3 жыл бұрын
Zabron una kipawa cha kusimulia.
@mariamshabani6853
3 жыл бұрын
Kajaliwa kabisa
@butondodavid2105
3 жыл бұрын
Mwandishi huyo tajir sana ndomana wakulugwa wakamtia mkosi
Пікірлер: 220