Dah 😪😪😪😪😥😥😥😥Nimesikia huzuni hapo pakuuziwa vitu vyake yaani mtihani juu ya Mtihani😭😭Kweli pata shida ujue Rafiki wa kweli Alafu Zabron unajisahau ukipata, home, family,Sadaka
@marthamaligo458
3 жыл бұрын
Pole zabron Funga na kumwomba Mungu atakusaidia tu
@systemnatubukwajinalababam8976
3 жыл бұрын
Mungu alikwambia usiwe NA mbingu mwingine ila mimi. Chochote utakacho kipata kwa nJia ya mganga kitapotea lakini cha mungu kinadumu hata milele.
@Mazoea
3 жыл бұрын
Pesa za shetani zinamasharti.shetani akupi pesa za bure.....mgeukieni Mungu
@simonhaule6567
3 жыл бұрын
Ni kwel
@idanysedrc1200
3 жыл бұрын
Tatizo zabron ulikuwa unapenda maisha ya bata sana!!
@rosecruiz4348
3 жыл бұрын
Pole sana yani mjengo wetu uka pigwa bei isey pole sana kwa mikasa
@monicasimpilu6257
3 жыл бұрын
Pia watoto wetu mnapopata pesa msisahau nyumbani. Fanya ufanyavyo lakini baraka za nyumbani ni muhimu sana. Kujisahau sio vzr kidogo upatacho kumbuka nyumbani. Ndugu yako ni ndugu yako tu.
@kalengashoppingcenter1108
2 жыл бұрын
Pole Ndugu
@jamesngalijah3710
3 жыл бұрын
Chief gikaru
@richbanksmshigati3327
Жыл бұрын
Aiseee!!noma sana
@ciciandjojo7701
3 жыл бұрын
Huyu anatakiwa arudi kanisani. Hayo Mapepo bado yanamfuatili. Mpk hizo Alama ailizowekewal za nguvu za giza zimtoke kwa damu ya Yesu. Pili anatakiwa awe anatoa sadaka kwa familia na lanisani. Zabron unamsahau Mungu. Umesahau ndye anayetupatia utajiri na sio hao waganga. Badirika sasa. Otherwise utakuwa na majamga mpk mwisho. Mungu akukomboe nakuombea kwa damu ya Yesu 🤲🤲🤲
@tayanabenard4392
3 жыл бұрын
Dooh pole sana Zabron...yaan ww ungekuwa star wetu kumbe. Mungu akusimamie
@tracyirene8917
3 жыл бұрын
Duhh!! Story 🔥 yaani bado matatizo yapo hata baada ya hizo hela zote afadhali ungetoa sadaka kwa kuwasaidia watu nyumbani familia🤔🤔Alafu kufilisika tena!!!
@farhathamdansalum9725
3 жыл бұрын
Pole sana kk Zabron
@omaryramadhan2866
3 жыл бұрын
bwana misosi ulikuwa na nyota ya mafanikio tatzo haukuweka clear arrangements the time una aquire kiasi kikubwa cha pesa.Ulitakiwa kumshukuru mungu na kugawana equal share na yule dada mwenye story.
@bintimrope
3 жыл бұрын
Matatizo hayakuishi zabroni daah.kila maisha yakikaa vizuri linazuka jambo la kukurudisha chini kimaisha. Pole sana
@kenyanniggar357
3 жыл бұрын
hujatuambia driving school ulienda lini?
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
Huyo Babako haezi kukuchukia, Bure lazima Kuna kitu nyuma ya pazia
@mwajiranimesalimu5509
3 жыл бұрын
kuna mahali alisema alipingwa na alipokua aziduka kwa mbali alisikia mamake akisema kua c babake wa kumzaa inaonekana mama alimpata na mimba ya huyo zabron lkn apendi kufafanua zaidi lkn kwa muelewa na story vile ilivyo huyo c babake na ana kijcho ama husda amependi haendelee kwasababu ajua akiendeleaa mamake atafaidi na yeye kwa muonekana hampendi ata huyo mamake zabron ukickiza kwa utulivu utaelewa
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
@@mwajiranimesalimu5509 nakubaliana na ww kabisa huyo mzee sio babake maana sio kwa chuki hii 🤔
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
Kingine akipata pesa hakumbuki wazazi atakama sio baba ake mzazi ilakamlea bado ni baba mlezi
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
@@roseuwambe8089 yes darling ila yy apenda Kula bata 😄😄😄
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 Ndio yani huyo anapenda kula vyawe nzake 2
@jotafungo4622
3 жыл бұрын
Chief kashatusua
@Mazoea
3 жыл бұрын
Davistar mata nakuita mara 3. Tafadhali tuwekee ya 52 please muda sasa umepita
@anitamageni3487
3 жыл бұрын
Asante kaka davista mtu makini leo nimekuwa mtu wa 35
@systemnatubukwajinalababam8976
3 жыл бұрын
Kwanza zabron. Nakumpa ushauri usiseme Zane na babako hatakama kulikua NA kipigo baina yako NA yeye. Pili tangu uishi mjini ulimuandikia babako mfanyakaz.?hukufanya NA chakushangaza wakumbuka nyumbani sku ukishiiwa. Penda mungu zabron.
@didasrichard3068
3 жыл бұрын
Dope
@raheemaraheema5453
3 жыл бұрын
Davistr muulize wakatiuuwo mama ake uko mgodiini alikuwa kamfaata au viip???? Please muulize tujuuwe
@habibafeithal4014
3 жыл бұрын
Yan kabisa zabron afanikiwi kwa sababu akipata pesa anawasahau wote waliyomsaidia,kwamfano.alivyotafuta na huyo mama mwenye mimba alishindwa ata kumpa hela alivyouza kitabu chake,daima utakuwa maskin mja ukiwa na mkono wa birika
@zettyhassani2244
3 жыл бұрын
Huyu anasahau kwao pia akipata anathamini Sana marafiki kuliko kwao
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Dah jana storry ilikuwa tamuu ya furaha leo huzun duh😥. Hii noma kuwa tajir wa mabillion na kufilisika 0😥
@angelokihaka7216
3 жыл бұрын
Davistar tunasubir 😋
@scolasticastephano4366
3 жыл бұрын
Huwezi kufanikiwa ukiwa nje ya MUNGU Mali za Uganga Zina Kokomo Tena zinaisha vibaya hapo ulipofika Rudi kwa Mungu amekutetea kwa mengi
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Kwa kumsaidia Zabron pia anaomba watu ku subscribe ktk channel yake ya Mollywood TV. Hiyo bado inasua sua kupata idadi ya kutosha ya subscribers.
@fahamnitwahir9249
3 жыл бұрын
Ba ndugu wewe majanga unayapata kwa sababu ukifanikiwa hukumbuki kwenu, humkumbuki mama wala ndugu zako, hapo umeshapata matatizo tyr unakumbuka nyumbani
@chamamedia4715
3 жыл бұрын
Wee utakumbukaje kwenu nawakati wao ndio chanzo chamatatizo yote
@fahamnitwahir9249
3 жыл бұрын
@@chamamedia4715 kwa hiyo mama na wadogo zake pia, au hujaicklza story dada salma
@roseuwambe8089
3 жыл бұрын
@@chamamedia4715 Sasa utakua chizi kama hukumbuki wazazi kwa sabubu ukifatilia mambo ya waganga uta gombana na ndugu wote uyo zabroni tatizo hakumbuki nyumbani akiwa na maisha maziri akipigika anarudi nyumban
@goldenshadrackmsungu3664
3 жыл бұрын
Ngugu za Hutu jamaa sio watu....nijekua Mimi nungeamua kuwa yatima tu...sio baba wala mama wala nani nungemfuata......
@chamamedia4715
3 жыл бұрын
@@roseuwambe8089 wala sio chizi maana chizi ataakipata tatizo hatokumbuka kwao...usilaumu omba na ww yasikufike tuu ndugu yangu
@IANA2030
3 жыл бұрын
Sky ubarikiwe sana ulipo,Mungu akuinue zaidi.
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Kwa kumsaidia Zabron pia anaomba watu ku subscribe ktk channel yake ya Mollywood TV. Hiyo bado inasua sua kupata idadi ya kutosha ya subscribers.
@IANA2030
3 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 done
@gka9147
3 жыл бұрын
Kabendera
@farhathamdansalum9725
3 жыл бұрын
Aiseee yani kila kitu kiliuzwa ukarudi tena kwa sufuri
@ericklukumay1777
3 жыл бұрын
Daa hyu jamaa alisha fika hatua ambae ni nzr sana maisha bana usimzarau mtu
@mr.jasonfxsignals4873
3 жыл бұрын
Chief mwenye ....wafanya najua lazima ujitahiti kesho kwema
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Duuuuuuhh !! Mr Zablon vipi ? Yani nyumba zotee, gari zotee, na kila kituu vikaenda vyotee !! Mhhhh !! Mr Zablon wewe kaka i say !! Hata sijui kama ulikosea nn. Mungu akusaidie
@driftdumper8927
3 жыл бұрын
Tatizo moja la Zabron akipata hela hakumbuki Ndugu zake na hakumbuki hata waliomsaidia yeye anakula bata na watu wengine Ndio maana anafirisika! Hadi kuuza kitabu aliishapata pesa mara mbili nyingi na anakua hakumbuki mama yake na Ndugu zake bata tu!lazima ufirisike!
@happytz6190
3 жыл бұрын
Kumbe ulikuwa tajiri mtoto ulipopata pesa ulimsahau marasta angeiroga kesi ikaisha pole hongera kwa kutokukata tamaa
@tynoblack5996
3 жыл бұрын
Mzee baba anamikosi kinoma
@dorahy1579
3 жыл бұрын
HaaaaaaNapenda unavyosimulia.natstizo yaliyokukumba. Una roho ngumu na ya uungwana
@suzankitomary2823
3 жыл бұрын
💕💕💕lovely story
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Kwa kumsaidia Zabron pia anaomba watu ku subscribe ktk channel yake ya Mollywood TV. Hiyo bado inasua sua kupata idadi ya kutosha ya subscribers.
@goldenshadrackmsungu3664
3 жыл бұрын
Nilichojifunza...watu baki wanawezakukusaidia kuliko ndugu wa damu au ukoo mmoja....
@angelmilele4730
3 жыл бұрын
Kabisaaaa kaka
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
Zabron muludie Mwenyezi MUNGU kila kitu kitakuwa Sawa.
@Fm-MornStar2014
3 жыл бұрын
Kumbe habari za "wasiojulikana" hawajaanza sasa leo.?! 🤔
@jacklineibraheem65
Жыл бұрын
Ela zote hata mama yko uku mkumbuka Wala kufanya kitu kikubwa nyumban kwenu 😂😂😂😂 Jaman Baraka za wazazi muhimu kaka wazazi away kosei miaka nenda ludi
@tousihhhh6765
3 жыл бұрын
huyo mwandishi kabender 🎤😥😥😥😥nayy yupo kwenye misukosuko
@goldenshadrackmsungu3664
3 жыл бұрын
Devi unavumba sana na hii story
@vellarose2596
3 жыл бұрын
Nipo
@eshalibaba1195
3 жыл бұрын
Team popo tujuanee💞💞💞
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Hatimae kaoa 😂😂😂😂😂
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@evelyneakech2677
3 жыл бұрын
Aki nime ngoja 🤔🤔😒 naomba number ya zabron ya WhatsApp jamani representing 254 being top 20 here is a tusk 🥂🥂
@oneclick2023
3 жыл бұрын
Naomba yake ni hiyo unayo iona mwenye screen .
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Kwa kumsaidia Zabron pia anaomba watu ku subscribe ktk channel yake ya Mollywood TV. Hiyo bado inasua sua kupata idadi ya kutosha ya subscribers.
@systemnatubukwajinalababam8976
3 жыл бұрын
Nimeandika hivyo kwakua sijapata utamu Leo. Leo Hakuna cha miguu juu. Habibi Linda roho yako kuliko vyote ulindavyo. I love you.
@bintimanazil9249
3 жыл бұрын
Davistar wapi muendelezoo
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Lkn pia Zablon alikuwa ametengezwa na usithadhii . Sasa kww maana pesa za Matibabu nomaaa . Yani una pandaa badae una shukaa kabisa hata uwe Maskini ?
@Mazoea
3 жыл бұрын
Pesa za kuchawi huwa azikai. Zinamasharti yake..ndio maana anapanda then anashuka anaporomoka kabisa...shetani akupi pesa za bure...
@bebebebe5677
3 жыл бұрын
Mmhh we zabron mi nikupe pole na pia honger mana umepamban san
@susannyamwitha1354
3 жыл бұрын
Davista we have to talk about zaburon, through phone
@goldenshadrackmsungu3664
3 жыл бұрын
Mwamba mbona unazingua..iyo 52 part VIP? Tusepe au?
@saidabdalla8996
3 жыл бұрын
Kweli hii story shuhuli
@asiaidd8996
3 жыл бұрын
Jaman kila sehem wanakufukuza pole sana
@erasmuslewanga6480
3 жыл бұрын
Vp ishu ya Shigongo na. Story ya kwenye gazeti. Ilishia wapi?
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Binadamu bhana sijui tukoje..ww ulimpeleka shigongo police kisa story yko..sasa na ww umepewa story ukauza milion 70 na unajua story sio yko..ukaenda kijijini kuoa 😂😂😂😂kweli zabroni majini yamekutumia vya kutosha ona auna ata baraka lkn mwenyewe unaamini waganga Atari bila ata aibu hadharani kbs unajisif...
@fatmamucha4419
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@fatumarashid5126
3 жыл бұрын
Ndio maana kaandika na anasema kila kitu ili mm na wewe tujifunze
@peninahkariuki4679
3 жыл бұрын
Pole sana Zabloni umepitia mazito😭
@patriciakamugisha2294
3 жыл бұрын
Unaharjbu sasa Davista umeshajia watu wanapenda hii story unaitoa kwa kusua sua sana haipendezi maliza leta ingine. Tupe hz episodes zilizobaki
@carolinetalam5832
3 жыл бұрын
Better late than never tuned 🇰🇪 🇰🇪
@tynoblack5996
3 жыл бұрын
Am the first...
@carolinewanza2648
3 жыл бұрын
I see😋😋😋😎😎😎
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
Huy nimzee wamajanga namikosi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Utajiri wa mabillion na kufilisika
@suleymanally4729
3 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 mali zakijin hazimuach mt salm
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
ally hizi zake za kitabu zilikuwa za halali bwana
@Mazoea
3 жыл бұрын
Vipi Davistar mbona ujaweka 52 leo Jumamosi kila niingia wapi
@violinenyakara5028
3 жыл бұрын
Huzuni sana
@godfreykiama1930
3 жыл бұрын
Mali zote mtu azipatapo kwa jina la mganga hazikai na zinapotea zote kwa mazingira ni shida hata mtu kukuelewa kama za Mr Zablon, Rudi kwa Mungu bro ..na kipaji ulichonacho utakua na utajiri ambao hauwezi potea overnight...
@mariammgombayeka1824
3 жыл бұрын
Jamani dm namba ya marasta plz
@rajabdihomber6146
3 жыл бұрын
Pa mo1 sna
@griezmannmhalaka4338
3 жыл бұрын
Maisha bhana shida miaka m 5 raha miezi 6 tu unarudi tRNA kwenye shida
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Duhh. Zablon yaani huyo mzee wako anaonekana ana roho mbaya kweli yaani. Kaa naye kimakini sana km bado yu hai
@kisurangusa554
3 жыл бұрын
Haise zabron pole sana kwa misukosuko, ila nimejifunza mambo mengi kupitia wewe, kumbe vinavyo ingia haraka havidumu,
@winnyenockwinnyenock6986
3 жыл бұрын
Yaani nakura lkn daah nashimba tu zablon anaongea❤️❤️❤️💖
@allykibabe8182
3 жыл бұрын
Bac naingia na range kila mtu anashangaaaa..!!!
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Hao wazee walitaka mtoto wao aolewe na mtu wapesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwahiyo hapa mamaxetu mchiongeze huna helaa wanawake mtabaki kiwaita shemelaaaaa😊😊😊😊
@peterdaniel9050
3 жыл бұрын
Twende sawa
@chrisiasbrown2208
3 жыл бұрын
Kama hukumpa hela yule mdada baada ya kuuliza stori yake.. hio haikua poa
@systemnatubukwajinalababam8976
3 жыл бұрын
Leo chungu si tamu. Kwa nini uharibikiwe ikiwa mungu yuko?tafuta mungu zabron
@highnesseverest3619
3 жыл бұрын
Yahan Zablon ujuh kama mzee wako ni muhun ajawahi hata kuku sapot Hila sir yako embu muhulize mama maana huyu mzee ni mgumu sana
@deusdeodavid5360
3 жыл бұрын
Zabron ana maisha ya kupanda na kushuka
@kimsamespa8490
3 жыл бұрын
Hayo maisha mazuri jamani l wish babe wako angekua hai
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Daah
@rosecruiz4348
3 жыл бұрын
Pamoja🙏
@IANA2030
3 жыл бұрын
Jeeeeesus christ 😳😳😳
@acruxe5810
3 жыл бұрын
Chief kama chief
@hamisimtemi3803
3 жыл бұрын
Chief Gikalo
@mariammgombayeka1824
3 жыл бұрын
Sasa dada huyo ulimkumbuka?
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
Duu yani mkosi tuu kila mahali walikuekea madawa yakulala hiyo yaonekana mlitoa siri Zito hadi kila kitu waliuzaa loo yani waenda ukifanikiwa ukishika moto ibilisi anawavamia
@laulentselestine2585
3 жыл бұрын
mbona mwendelezo hadi sasa ujaweka kaka
@luciamutongore799
3 жыл бұрын
Zablon baba sijui hata niseme nini juu ya maisha yako, yaani nimeishiwa maneno kabisa! Ila una moyo daah! Mimi nahisi ningeshakufa kabisa
@ninabizimana6869
Жыл бұрын
Wangu tafuta Yesu mu bya kweli achana na wagaga ume rudishiwa kivuli ila bado una teswa
@francisgaudence511
3 жыл бұрын
Mojaaaaa
@nehemiakamwela7201
3 жыл бұрын
jamani naomba tmsaidie ndugu yetu kusubscribed ku share kwenye magurupu mbali mbali na like namkubali sana davistar mata
@wazomyakinifu2301
3 жыл бұрын
Kwa kumsaidia Zabron pia anaomba watu ku subscribe ktk channel yake ya Mollywood TV. Hiyo bado inasua sua kupata idadi ya kutosha ya subscribers.
@lasma9830
3 жыл бұрын
Mbona leo kimya jamani
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
dav hadi umecheka kwli hako kangombe kalichoka sana
@upendoluv7197
3 жыл бұрын
Muendelezooo Plz
@goldenshadrackmsungu3664
3 жыл бұрын
Hii ndio sqbabu iliafanya niache kufuatilia movie kwrnye TV.... Siwezi kuaubir niheli iwe online yote mtu adownliad au stream...siyo wote tunaweza kusoma vitabu....
@mwitawakimara3649
3 жыл бұрын
Pole sana kumbe wasiojulikana wameenza muda pole kaka
Пікірлер: 249