Story yake nzuri sanaaa, pia anasimulia kwa ufanisi wa Hali ya juu /Allah amuongoze, Well done Davista
@hipoliticosmas5895
3 жыл бұрын
This guy is so bright and smart anajieleza hii story tangu 2010 na 2019 na hapa kwa DM bado iko vile vile hapotezi neno.
@ochuboysosman8376
3 жыл бұрын
History nimeikubali sana na msimuliaji wake anafahamika sana yani kama anasoma vile jamaa yupo vizuri sana
@rukundoibrahim807
3 жыл бұрын
huyo brodher amepambana sana MWEZIMUNG ampambanie.
@alitoufik5477
3 жыл бұрын
Anaekubali Zabron ni genius like
@moteswafwalu1655
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana kusimulia👏👏
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
Sanaaaa
@liliankemuma9475
3 жыл бұрын
Pole Sana umepitia mengi Mungu akuongoze maishani mwako,uishi kusimilia wema wa Bwana
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Uyo ndie shetani ajali we mtoto au ndo damu inayo jiunga kua mtoto tumboni yy kote anapita kualibu..kawatumia wachawi wamtese uyu kijana mpaka anafikia ukubwa lkn bado anapitia mateso tena kwa ndugu zke mwenyewe..bibi yke ndie alie fungua milango hii ya mateso..Yesu atuokoe
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Umeteseka sana kaka Mungu azidi kukupigania
@sulleysabri9126
3 жыл бұрын
Davister kwanza nikupongeze kwa kurefusha story pia unajitahidi kuileta kwa wakati..hongera sana mkuu
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Aisee koo alilotoke mshikaji halina ubinadamu kabisa dah pole sana Mungu akufanyie wepesi katika siku za maisha yako yote
@wilsonmatunda4937
3 жыл бұрын
Usiwapake wakuria wote matope kwa brashi hiyo hiyo!
@wilsonmatunda4937
3 жыл бұрын
Kila kabila lina watu wazuri na wabaya! Hakuna kabila lenye watakatifu watupu!
@pili3750
3 жыл бұрын
Pole sana kaka kwa mapito ulopitia ALLAH akuhifadhi 😭😭😭😭
@esthermaluko5621
3 жыл бұрын
Pole sana brother umepitiya vitu vingi mno Davister Mr handsome well done bro 😎
@mimsbaibe6mimsgul737
3 жыл бұрын
WaAah kweli ulipitia hard tym sometimes wakubwa wanatesa watoto lakini mtoto hatawahi sahau God bless yu waishi Wajionee kwa macho ukibalikiwa.
@mariamfritsi4943
3 жыл бұрын
Maskini kumbe yule kaka alifanya mbinu ya kukurudisha kijanja, ama kweli duniani humu mmejaa uovu mtupu, unaambiwa usimuamini hata ndugu, na mama mdogo nae pia ndio walewale. Pole sana ila Mungu atakusimamia sana.
@credo7837
3 жыл бұрын
Kwakwel
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
Kusema kweli umepatia mambo mengi magumu sn MUNGU akufanyie wepesi ktk kazi zako ili ck moja na ww wabaya wako waone aibu.
@Footballer-1992
3 жыл бұрын
Waiting part 9, this is good to watch
@jennjaja1586
3 жыл бұрын
Thanks Bro👍
@babyboss2886
3 жыл бұрын
Simulizi nzuri, ila tu ameyapitia mengi
@saidkale6465
3 жыл бұрын
Pole sana bro Mungu akubariki maisha ni safari ndefu umepitia mengi sana .Story yako imenigusa sana nilikuwa nikimwaga chozi
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
Barikiwa sna kwa kazi nzuri 🙏🙏🙏
@haikaelazakiel9731
3 жыл бұрын
Nilichogundua huyu kaka alikua na pepo la kukataliwa 😢 maskiniii jamaniii
@happykajeli5453
3 жыл бұрын
Yaani nimekumbuka hii mwisho wa dunia hata mm nililala nikijua ndo mwisho nikashitushwa na madebe ndipo kila mtu furaha ilirudi tuaingia barabarani Zabron unastory ndefu na nzuri
@africandarling6925
3 жыл бұрын
Daa nimeumia Kipande cha Baba mdogo kumfukuza Daaa AISSEH pole sana Zabron
@OmanCom-ky8tn
3 жыл бұрын
Davister mata mungu akuongeze akulinda sana hata na wachawi na majini pia
@abuu_khaki4120
3 жыл бұрын
Dah atimae muendelezo shukrani 🙏🙏 broh Davi
@sharifusaidi461
3 жыл бұрын
Yes..nyumba ya mungu- Kilimanjaro .......iyooo
@hansiselemani8025
3 жыл бұрын
Ila inaonesha anapenda kula misosi,,akiongelea misosi anafurahi
@twaibumikidadi7377
3 жыл бұрын
hao samaki wanaitwa mramu kaliandiri kutoka bwawa la nyumba ya mungu mtera huko( tawi la mto kilombero huko moro)
@asfarsham9037
3 жыл бұрын
Davista mshauri atunge na kitabu kuhusu UKATILI WA WATOTO,manake yeye na watoto wote alokutana nao wako kwenye ukatili.
@kareemalamoody6345
3 жыл бұрын
Thank you Davistar huyu jamaa POA Sana na nimkweli
@Iragibarune1.
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 inatia huruma sana yahani anahandisia kwa hisia sana jamani mungu Ndo mlizi wa mtu hebu fikiria maisha yote alio pitia Tusiwe tunafanyiana vibaya kwenye familia mtu akiwa bado nimtoto kila unacho mfanyia anakuaga anajua nakuhifazi Yahani tuwetunajitaidi kuhonesha upendo
@shakiraabbas7538
3 жыл бұрын
Arusha majengo mgodini daaa umetisha kaka😀ndio mahala napo ishi mimi kwa sasa pamejengwa sana ila kokoto bado watu wanatafuta rizki kuna wamama wakaka😂
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Kumbe ulishaishi chuga
@carolinetalam5832
3 жыл бұрын
Keep up the good work ❣️ Davidstar, tuned 🇰🇪
@merycharles2707
3 жыл бұрын
Du!!inaskitisha sana
@muddygaston1671
3 жыл бұрын
please na mm naomba like
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Nishakupa😂😂😂
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 Angalau tumempa hizo like😅😅😅😅😂😂😂
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Nakwambia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@credo7837
3 жыл бұрын
Zanini khaa
@kanyangezafaraniddi6518
3 жыл бұрын
Pamoja saa kwa story nzur.from🇨🇦
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
Aaah davixta ununue na soda bna story Kali af ndefu kakoo kanakauka
@shukridjibril6848
3 жыл бұрын
Dahh pole kabisa 😔
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Mpk mimelia hapo pakokoto yani hatujapshana maisha yangu na huyu zabu
@Mazoea
3 жыл бұрын
Daa uyu kaka amepitia mengi magumu sana...Mungu amfungulie milango. Maisha mema
@africandarling6925
3 жыл бұрын
AMEEN YALLABI AMEEN
@africandarling6925
3 жыл бұрын
Yani stori Inaumiza mno AISSEEH mungu Yupo pamoja nae Zabron
@geraldtarimo9960
3 жыл бұрын
Huyo nimkweli haosamaki nikweli mm nimejenga nyumbayamungu,yaani nimkweli sn mungu awenae
@lazarojohn8080
3 жыл бұрын
Mimi nafikiria kupata kitabu maana 2008 katika sitasahau japokuwa ilikua siku ya jumapili yaibaada nilipata tabu sana kukisikiliza kikundi
@badymsuya6093
3 жыл бұрын
Yeah
@aishasaid6749
3 жыл бұрын
Loooh huyo baba mdogo alikuwa mbaya sana
@carolynejackson4877
Жыл бұрын
Jameni
@Patience.67
2 жыл бұрын
Huyu mbibi ndo chanzo ya hizi zote ,oh God the story is really sad ,may God wipe away your tears
@zettyhassani2244
3 жыл бұрын
Kaka anahadithia kwahisia ,ila ndugu wengine wanaroho ngumu ,nimempenda kaka
@عباسعباس-ش9ه4ت
3 жыл бұрын
Masikini
@somoeawadh7774
3 жыл бұрын
Hakuna kulala 💃
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kabisa
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃
@hadijashabani890
3 жыл бұрын
Ivi mnalalaga kweli kilasiku mimi wa mwisho ila nakupata vizur sana davstar pande za dubai hapa
@japhydejerry2908
2 жыл бұрын
Kuhusu mwisho wa dunia 2000 nakumbuka bibi na mama nawaona wamekumbatiana ilipofika saa sita usiku wanasubiri dakika zitimie. Utoto raha sana halafu me nazunguka tu ndani
Nishawai ckia hi story bt ckuimaliziagaa hope dis time nitaimaliza
@mouwanahamisi8216
3 жыл бұрын
Dah .......🤔
@williumgeofrey9587
3 жыл бұрын
Davistar kwani ukizitupia zote kuna tatizo gani??? Maana story inapoteza hamu ya kuisikiliza vituo vingi sana
@nurafedrick378
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂commando mxima unamuaibishaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣akutafutie xuri zaidi
@eshialabonita7736
3 жыл бұрын
Nlikua naisubiria ndo nlale ahsante sna..
@credo7837
3 жыл бұрын
Oooh good
@sitiabubakar2892
3 жыл бұрын
Maskini pole sana ba mdogo unamfukuza mtoto sababu ya tv umepitia mitihani pole sana ndugu yngu
@g.d.d1481
3 жыл бұрын
La hadihuruma munguwangu mungu atakupiganiya
@moreenmbatha1147
3 жыл бұрын
leo nime win kuwa number 1
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Hongera sana
@linazuke5838
3 жыл бұрын
Hongera
@kelvindaudi6765
3 жыл бұрын
Sawa sawa
@mariamripiti2137
3 жыл бұрын
Siku aliye jikuta amelala makabulini ndo siku wamemchukua nyota na kivuli jamani ukienda kwa mganga akikukwambia nikufanyie dawa makabulini usikubari anakuchua nyota yaani huyu anaendeshwa tu SubhanAllah Allah atupe mwisho mwema
@الوردالورد-ز4غ
3 жыл бұрын
Doh bibi huo uchawi uliomfanyia huyu mtoto Mungu akuone inauzinisha sana
@thequeenawifeofking8518
3 жыл бұрын
Duu watu ni mafitna jamani uwiiiiiiiii ss yote ya nn hy ila kuna watu wana maisha mabaya watu tunatoka mbali sana
@chesterbrand6723
3 жыл бұрын
Kaka davi me mtu was Arusha nimefurahi Sana hapo kwenye samaki watamu sana
Davista ikiisha hii huko mbelen tutafutie laiton yule jambaz atupe simulizi yake
@mashamramba3461
3 жыл бұрын
Mhhhhh !!! Mbona tena hii store inaisha kama najiskia iendelee ? Yuyuu braza men mbona kazaliwa wakuteseka tuu ? Ama mitihani tuu ? I say yani unaeza teseka hata ukasema mungu samahani ? Haya nasubiri sehemu ya 9
@rahmaramadhan9773
3 жыл бұрын
Maskiniii umepata shida Sana daaaaaah kuwashwa TV ndiyo ufukuzweee 😭😭😭😭😭😭😭😭
Пікірлер: 196