sisi wengine umamuumah tulishauacha zamaaaaani sasa tuna yesu
@emmanuelzoematurlu4253
7 ай бұрын
Hongera sana ndugu ramadhani, BWANA Yesu Kristo aendelee kukuinua na neema hii iwafikie ndugu zako wote jamaa na marafiki kwa Jina la Yesu Kristo mwokozi wetu.
@emilynyaga5947
Жыл бұрын
Mwenye sikio naaskie..baada ya mauti hakuna kutubu..heri kutubu mapema na kumkubali Yesu kama Bwana na mwokozi wetu
@Irenes_Kitchen
Жыл бұрын
Nikweli
@mercylinebundala2346
Жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana kuhusu ushuhuda huu
@samjosh12
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ametulia sana, anatoa darasa kwa kiwango cha juu sana. Ubarikiwe sana
@kaaysklk7294
Жыл бұрын
❤bwana Yesu asifiwe ! It takes really humility to expose the shamefully things of our life ! Jesus gives to us christians a wonderful great gift ; dr Paul Hussein Mubarak AKSANTI SANA 😊ushuuda yake ilinipatiya Kiu ya kujifunza biblia , mala ya kwanza nili misikiya kuna myaka 8 ! Naeshimu sana! J’ ai beaucoup de respect pour cet homme de Dieu précieux dans notre temps ❤merci beaucoup Davista ❤❤❤❤
@plastidiacasmiry2234
9 ай бұрын
AMINA! Mbingu ya Yesu ndio Mbingu, hakuna dhambi yeyote kwani mtawara ni mtakatifu na chanzo cha utakatifu.
@ngozingombale3849
Жыл бұрын
Safi sana mwalimu fundisha watu wapate elimu wastuke na kubadilisha njia ambazo mwisho wake ni shimoni tupe habari njema na kazi iendelee
@azizahassan9981
Жыл бұрын
Yesu mkombozi
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Amemkomboa nan
@emilynyaga5947
Жыл бұрын
Uislamu,freemasion,n.a. illuminat mkubwa wao ni mmoja...maana ukiacha kuwa mshiraka wao,anaamlisha kuuliwa. .hivo wengine wamekua watumwa..ili waishi
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Nampenda Yesu kufa haleluyaaaa😍😘😘
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Haleluyaaaaaaaaa 💃💃🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@drnow1528
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@justinendizeye714
Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu tosha mwalimu 🙏🙏
@lazaromwala9498
Жыл бұрын
Mtumishi huyu Mungu aendelee kumlinda nimeona Ambavyo anaweza kutupa darasa zuri namna hakuna kitachotutenga na upendo wa Kristo
@drnow1528
Жыл бұрын
Hallelujah mtumishi Hallelujah
@jokepenis2016
Жыл бұрын
Lilian 🇩🇪 🇰🇪 lo Mambo mengi na elimika sana kutoka kwako na faida kubwa sana,🙏🙏🙏
@rachelsika9588
Жыл бұрын
Amina Amina, ubarikiwe mtumishi wa Bwana
@dadaz4653
Жыл бұрын
Na pia mtu inatakiwa uikane nafsi yako mwenyewe umfuate YESU siku ya mwisho hautasimama na shehe wala mchungaji wala padri hapana utasimama wewe kama wewe namshukuru Mungu kwa kunitoa huko mm nilikuwa mkatoriki muimba kwaya kabsa lakin Yesu alinitoa huko jamani kuokoka raha kwanza unakuwa huru sana jamani kwa YESU anatupenda sana okokeni jamani
@Patience.67
Жыл бұрын
Kwa jina la yesu christo wa Nazareth wewe jini watuharasie nakuamrisha Kwa jina la yesu ondoka kwenye ndoa yangu
@faithe4063
Жыл бұрын
Thank you Jesus for this message,niliwai mwambia watu Osama ajekufa
@shafiismaily9223
Жыл бұрын
Huyu ni mpuuzi hajui din) Mitume wote walitumwa kwa watu ili wawape njia yaan muongozo uliyotoka kwa mungu ili waongoke, siyo kusamehe anayesamehe ni mungu
@SaaS-Guide
Жыл бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu, na hilo linamfanya sawa na Mungu. Kwa hivyo ana uwezo wa kusamehe dhambi, maana yeye ni Mungu.
@nyamogafamily9549
Жыл бұрын
Tunamuombea na shekhe mazinge aokoke,Mungu yasikie maombi yetu
@rithasimoni6212
Жыл бұрын
haleluya
@drnow1528
Жыл бұрын
Tunabarikiwa Amen tunabarikiwa
@atugonzalugemalila5142
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana pasta wangu
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Asante mwalim ..wewe unaufahamu ni hivyo ni sawa kabisa..ila nina swali kwako..sura 2:65-69 inasema wote wasioishika sabato ya bwana watakuwa manyani...na umesema Mungu anaye istahili kuabudiwa ni aliye umba mbingu na nchi..je waonaje kuhusu sheria ya nne ya Mungu..asante mtumishi
@rosepallangyo1352
Жыл бұрын
Achana na sheria my dear uko tulishaa toka zaman tupo kwenye agano jipya tunaishi kwa iman na kulindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani .kumbuka hii ilifanyika pale msalaban atuishi tena kwa matendo ya sheria iman inafanya kazi.shtuka
@indiwimana368
Жыл бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha ili tufahamu vizuri..
@renatusmtakyawa594
Жыл бұрын
Nachojua vita ya imani uwa haina mpatanishi. Umalizwa na Mungu mwenye nguvu kuwakomboa mikononi mwa miungu isiyo faa Kwaiyo tumuombe Mungu awakomboe walioshikwa Ufahamu wao ili nuru yanjili hisiwafikie
@babafranco3366
Жыл бұрын
Hi damu ya kunguni naamin walinipaka, na natamka saiv Kwa damu ya yesu iliyomwagika msalabani initakase
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Damu ya kinguni ni nn
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Msaidieni Shebby mapema wadau..🤗🤗
@kimarioedifesta4161
Жыл бұрын
Ahsante sana
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Baada ya huyu leta mwingine ...anaitwa Sheikh Masundi tuskie uhondo ndani ya Kristo Yesu.
@elizabethmuia9839
Жыл бұрын
Kama EZEKIEL WETU WA KENYA, NEW LIFE CHURCH MOMBASA MAVUENI NI MKRISTO WA KWE KWA KUMAANISHA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
nampenda mchungaji ndacha, msalimie
@janenjenga5639
Жыл бұрын
Heri wale majina yao imeandikwa katika kitabu cha uzima wa milele na milele.gathabu ya Elohim hawatapatana nayo
@kimsamespa8490
Жыл бұрын
Mtumishi Njoo Mtwapa stage ya kilifi hua Kuna mhadhara pale wa kuingilia wakristo Njoo uwanyoshe
@elizabethmuia9839
Жыл бұрын
Nimekaa kwa kutulia mimi nipate elimu, Wale mnao piga ole wenu
@mohdbest9488
Жыл бұрын
Mmh
@ombeninnko9332
Жыл бұрын
Wape watu dozi mchungaji lazima wavuliwe nguo
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Yesu alihaidi pepo
@abuumaryam1922
Жыл бұрын
Hujawahi kuwa Muislam maisha yako wewe ni muongo
@djwinnertz9787
Жыл бұрын
Kwa wale wasiyoiyelewa dini ya kislamu watazidi kumuunga mkono kafili mwezao maana yesu wao anawachukuwa wachawi tu mbona wengine achukuwi
@vedastofransisfransinci5667
Жыл бұрын
Hata wewe ni mchawi sema ni vile hujajua .na zam Yako haijafika Yesu akuokowe.
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Yesu anawaokoa wale waliopotea na wale walioonewa huyu alionewa kwasababu wazazi wake ndo walimfanya awe alivyokua kabla ya wokovu nitafutie mchungaji hata mmoja aliyetoka kwenye ukristo akaja uislam nahitaji mmoja tu na nkuoneshe mashekhe waliookoka bado ujui kuwa uislam si dini ya Mungu
@djwinnertz9787
Жыл бұрын
@@happinesskitali164 ww kweli unachekesha unamjuwa shehe mwaipo au mazinge wale Wote walikuwa wakristo kuwa mkristo au kuwa mislim sio njia ya Kwenda peponi Kama unaendelea kumuwamini yesu endelea kuwa nae kwa mungu afanani na binadamu Kama yesu anavyowatokea watu we unajuwa yesu umbile lake alisi lipoje .?
@djwinnertz9787
Жыл бұрын
@@happinesskitali164 niambie umbile la yesu asilia acha ilo ambalo anawatokea watu Kama binadamu
@simonnsengiyumva1000
Жыл бұрын
Vizuri jina yahayo ma Djini atuambie m'a herufi ili tuandike vizuri ,ajili amesema tukemee tukiyataja
@zulfajongo3036
Жыл бұрын
Ndugu yangu davistar umechemka sana huyu jamaa hajui chochote kuhusu uislamu
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Mpokee yesu acha kufanya moyo wako kuwa mgumu
@zulfajongo3036
Жыл бұрын
@@happinesskitali164 mm sijazungumzia habar ya ukristo ,, anachozungumza hakina ukweli,,, au labda tuseme kwakuwa mm muislamu kwahiyo nikiona mtu ana mkashifu Yesu,,, aseme yesu ni muhuni tu kwakuwa mm ni muislamu nishabikie tu ,,, hapana waislamu hawapo hivyo ,,, na hakuna mkristo yeyote duniani anaweza akasimama mbele ya mwislam na akamshinda kwa hoja huyo hayupo ,,, na hakuna mkristo ambae anafuata kilichoandikwa kwenye biblia,,, mfano wewe hapiness biblia yako inakutaka ujisitiri ufunike kichwa chako. Je ni mwanamke gan wa kikristo anafuata andiko hili dunian,,, nyinyi mmepewa na kanisa mambo mliyoyataka kwa matamanio ya nafsi zenu na sio kitabu kinasemaje,,, hebu jaribu kutafakari hilo halafu itazame njia yako
@alfredkuria7673
2 ай бұрын
Je izi Sura ama Aya ambaye anasoma apa ziko kwa Quran ama Bible
@Patience.67
Жыл бұрын
Huyu jini tuyadia kila siku Mimi umpinga pamoja na jini makata,mahaba,jini wa chuma uleta pia
@omarsultan4502
Жыл бұрын
We babu iyo aya ulioitoa hio sio maana mungu kuna aya kasema hakika dini ya Mungu ya kwl ni uislam mungu mwenyewe kasema ivo sasa iyo aya uliosema ww wanaambiwa waisalm kwmba wakishakuwa waislamu hawatakiwi kuwalazimisha watu ili waangie kwenye dini ya kiislm ila wajibu wetu wa kuwaambia watu na kuwashawishi waingie kwenye uislam lkn sio kuwaforce
@arthurdelisle3894
Жыл бұрын
unazungumziaje hizo aya za majini humo kwenye Quran na pepo za kizinzi na ulevi?
@amlikejames646
Жыл бұрын
tungeenda na mada inayosema ila tusiingilie iman za watu
@arthurdelisle3894
Жыл бұрын
hii ni injiri sio stori za burudani
@kenyanniggar357
Жыл бұрын
hapo sasa, Hosama Yupoo
@dodoted5033
Жыл бұрын
Sasa Muhammad kumbe haokoi! Njooni kwa Yesu nyie mnaoufwata upotovu. Quran pia inawaonya .
. Luka 5:20 Alipoona imani yao, Yesu alimwam bia yule mgonjwa, “Rafiki yangu, umesamehewa dhambi zako.”
@wadeelegbogun3015
Жыл бұрын
Snowden yule alie kimbilia urusi na kusema ukweli, alisema bin ladeni yupo hai. Mmmh makubwa. Jmn.kwa hiyo ni kweli yupo hai??
@reyyathu8978
Жыл бұрын
Wataka uambiwe mara ngapi or kivipi ndo uelewe Yuko hai
@josephngunzu6473
Жыл бұрын
Mtumishi pia aseme na channel yake tuifuatilie
@latifaonesmo7629
Жыл бұрын
Kaka mm naomba tu uyo bwana umchukue ktk wale wachungaji watao enda kwa yule bwana wa mizimu wakaombee ili dhahabu itoke watu tupate mali ayo mambo ya kukashifu imani za watu siungi mkono
@hamidgirrafe3708
Жыл бұрын
Kabisa
@shaniathumanishaniathumani8515
Жыл бұрын
ww mchungaji ni mjinga kabisa katka dini ni muongo katka waongo
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Yesu yy hakua mcristo
@crownprinceea2456
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 huna akili wewe cristor ni Jina lake wafuasi wake ndo wanaitwa wacristo yani wafuansi wa cristor sasa unakataa hata Jina lake pia sio lake pinga kwa fact
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Niambie nini maana ya cristo ikwa ww una akili timamu
@SaaS-Guide
Жыл бұрын
Yesu ndie Christo, wanaomwamini kua yeye ni Christo, ndio waChristo. Maana yake, watu wa Christo.
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
Mm nawaomba tungekua na group la kujadili na kuchambua hayo anayo sema na hizo Aya anazo soma je nikweli
@musaissa7463
Жыл бұрын
inamaana habiba mpaka leo hujamuamini mwalimu msomi kiasi hiki!!!
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Huyo si msomi alikuwa mchawi
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww ni pumba tupu pamoja na huyo mchawi haelewi qur an
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
@@matiusmgisa7203 Boraie pumba ww shetwani kabisa
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
@@jesuspower2390 Yani ww hujielewi kabisa
@eishstoner6692
Жыл бұрын
Ww davista uyo yuasema mtume Muhammad (S A W) Ñ CHOKORA.. Wallhi ungekuwa Kenya shingo yako ingekuwa halal yangu
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
Kaikate shingo ya Mchungaji Ndacha ambaye unae huko Kenya, kuwa mvumilivu achana na roho ya kishetwani ya kufikiria kuchinja na kuuwa watu hata kama Muhamammad mtume wenu alichinja pia! Achana na kurithi roho ya kuchinja
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
Ukitaka kuujua uislamu nenda kwa aliekuwa muislamu mkubwa kama shehe na kuokoka, na ukitaka kuujua uikristo nenda kwa aliekuwa mkristo mkubwa kama padri na kuwa muislamu! Kuwa mvumilivu
@veronicahkhaikwa4929
Жыл бұрын
Kenya ni nchi ya wakristo usituchafulie jina tafuta ukweli wa dini yako wachinja wewe ni Mungu?
@theresiakasandatedi5341
Жыл бұрын
Ndio kazi yenu hiyo mnawaza maovu kama Baba yenu ibilisi. Njoo kwa Yesu kristo akutue mizigo
@pharlesjackson1338
Жыл бұрын
Huyo jini unaweza mtuma bank akachukue pesa
@majidyahya3720
Жыл бұрын
Anasena Yesu katumwa na mungu baadae anasema yesu ndio atakuja hukumu watu unaona akili hamna kasoma pumba una tutakana una mdharau mtume Muhammad (SWA) huwezi kuvuruga wewe uislam na huyo Davista mwenyezi mungu atawalani wote kama mnaudharau uislam leo makanisa ulaya wanauza yana kuwa misikiti nini maana yake uislam huwezi wewe kuvuruga hata ufanye aje umekamilika uislam
@davidmnyela2459
Жыл бұрын
Acha uongo hakuna kanisa linakuwa msikiti hizo ni stori za vijiwe vya msikitini na kahawa,ingia channel ya CHRISTIAN PRINCE uone waislamu kila siku wanabatizwa maelfu Kwa maelfu
@rajabdihomber6146
Жыл бұрын
Huyu hakuw muislam hat kdgo bali alikuw ni mshirikina tangu akiw mdogo Kasoma ila hajaelimika
@hamidgirrafe3708
Жыл бұрын
Kabisa
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Mwisho wa siku ukweli usemwe Yesu kristu ndiyo njia ya kweli na uzima
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Mwaminini yesu mtaokolewa
@musamatheka2968
Жыл бұрын
mtu akiyatazama maneno yake atabaini haya yote ni ya kupanga,hio miaka yoote na jamaa mwenyewe si mzee hivyo,tena hao kina osama,gadafi,bashir,????uongo tu
@magubomagubo2157
Жыл бұрын
Ukiwa ndani ya yesu kristo uzeeki tatizo binadamu nimgumu kuamini inamaana hata hayo majini ni uongo acha utoto
@musaissa7463
Жыл бұрын
musa kuna watu hawazeeki ety!!!!
@musamatheka2968
Жыл бұрын
angekua na muislamu hapo wakaojiana sio kusikiza pande moja tu ikaeleweka
@indiwimana368
Жыл бұрын
Anasema ukweli....muzee husein ubarikiwe sana
@rebound2179
Жыл бұрын
Mungu gani huyo anapeleka binadamu mbinguni akawape pombe walewe na malaya wa kufanyia ngono 24/7 mbele yake? Ujinga mtupu!😂😂😂😂😂
@husseinhamis14
Жыл бұрын
Davista kila mtu aseme matendo yake na kusema Iman za watu yy alikuwa mchawi sio waislam kwan wakristo akuna wachawi acha kashfa au mmeishiwa mbinu? Kila mtu after Imani yake maana ata wakristo wapo wanafanya mabaya sana kuliko kitukana Iman zawatu tena unamuita mjumbe wa mungu chokoraa uo ni ushenz i
@pazi8207
Жыл бұрын
Mi kweli Kaka Mana hata haya anazosoma ni za kwake sio quran
@salamalsawaqi1206
Жыл бұрын
Hiki kipindi hakina mpango kichafu kinakashifu na mtangazazi anapongeza matangazo gani haya mpaka mbingu na aldhi inasisimka🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@magubomagubo2157
Жыл бұрын
Kazi mnayo lazima muokoke mmezidi uchawi
@husseinhamis14
Жыл бұрын
@@pazi8207 kila mchungaji lazima apitie uchawi mnakwama wap iv akuna mtumishi wa yesu ambaye asiye pitia uko maana kila davista akileta mtumishi wa yesu alikuwa mchawi mwingine juzi anayevaa nguo zakuchanika yule alikuwa mwislam? Mbona hamshtuki nyie na kaeleza kabisa kaacha uchungaji kwa sababu Sanaa nyingi bola awe mganga but kila mtu ahabidu anacho kiamin sa7bu mungu ndio mtowa ukumu
@musaissa7463
Жыл бұрын
hussein umeuelewa ukweli we kubali tu kutubu uwe pentekoste.
@mohamedmohamedy8311
Жыл бұрын
naomba mkutanishe na shekh Shafii then wafanye mjadala
@SaaS-Guide
Жыл бұрын
Mjadala wa nini? Wewe wasikize wote, kisha fanya uamuzi mwenyewe, kulingana na uamuzi wako mwenyewe.
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Hakuna uamuzi yeye kaeleza ukweli kwahyo akili kichwani kuyapokea au kupuuza Mungu apendi majadiliano Mungu anapenda sifa na anakaa Mahali pa sifa cyo mabishano
@mohamedmohamedy8311
Жыл бұрын
@@happinesskitali164 km Mungu hapendi majadiliano kwahyo hapo anafanyaje na mwanahabari?
@abuumaryam1922
Жыл бұрын
Kuna watu wsongo Subhaanallaah
@allylibaku5233
Жыл бұрын
osama alisoma nae elimu ya kawaida au elimu ya,kuzimu
@musaissa7463
Жыл бұрын
Walisoma yakuzimu ally
@shafiismaily9223
Жыл бұрын
Ole wao wenye kubadilisha maana ya maneno!!!! mwandishi naomba atafutiwe mtu wa kumfundisha elimu ya dini?
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Kabadilisha kivipi wakati kitabu anacho ( watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa ) becarefully
@happinesskitali164
Жыл бұрын
Kama angekuwa muongo asingeweza kuisoma Quran Ila anajua mpaka kiarabu hapo bado hapakupi shaka
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww haukuwa muislam sema ulikuwa mchawi
@farajomar2902
Жыл бұрын
Jini yadia ni ww sasa unkua
@abuumaryam1922
Жыл бұрын
Huna elim hata robo Sheytwan wewe usipotoshe watu
@mohamedmohamedy8311
Жыл бұрын
huyo muongo sn"" kwnz hajawahi kuwa muislam ni mnafki tu
@abuumaryam1922
Жыл бұрын
Wakristo dini yenu bila uongo haiendi
@davidmnyela2459
Жыл бұрын
Ushindwe na ulegee Kwa jina la Yesu kristo
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww ndio mjinga
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww ni ibilis
@michaelrweramila7551
Жыл бұрын
Kaa kwa kutulia dawa ikuingie 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww huelewi huyu si shekhe aliesomea uislam amesomea uchawi tena yeye alikuwa mchawi toka mdogo
@sarahsamsonjohn1755
Жыл бұрын
Tatizo ww unaelewa halafu unabisha mm mwenyewe nimeshaenda kwa masheikh wengi sana ni waganga chunguza ndugu acha kubisha.
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Angalia wachungaji wenu wengi wanapokea nguvu kutoka kuzm na manabii wengi wanapokea nguvu kutoka kuzm wanaombea watu kwajina la yesu kumbe ni wachawi wakubwa
@lulanjamd3886
Жыл бұрын
Yesu Kristo anakupenda
@m.othman866
Жыл бұрын
Utaendelea kudanganya wajinga wasoyo jua kusoma.. Kwanza hujui kusoma Quran. Pili hujuia tafsiri. Tatu.. Unaongeza maneno yako binafai yasio ndani ya Quran. Nne, wewe si musilamu na hujasoma uisilamu. MWISHO KAMA UKO SAWA KIELIMU WEKA MUHADARA WA WAZI TUKUONYESHE UONGO WAKO.
@majidyahya3720
Жыл бұрын
Hiki kipindi kifutwe kama mnanza kuchafua iman za watu mbona waislam hawa hojiwi kutukana ukiristo Davista na wewe una makosa heshima iman ya mwenzako
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww ni mchawi si muislam sema ww ni mchawi
@latifaonesmo7629
Жыл бұрын
Ndugu usipate shida ya kugombana na watu dunia ishakuwa biashara sasa watu wanandaliwa kusoma elimu za uchawi ili wajekuchafua imani za watu anachokifanya yy nikukashifu mungu kesha sema Allah ni shetani wa waislam sasa ww unaona uyo mtu anafundisha nn zaidi ya kupandikiza chuki na ugombanishi yy anajieleza alikua mchawi sasa uchawi wake na uislam unaingiliana wap ikiwa kila siku mashehe wanakemea uo uchawi watu waache
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww ni muongo saana
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
pole, imekuingia hiyo
@monicahnguta135
Жыл бұрын
Mimi ni mwanafunzi wa christian prince na nayadhibitisha haya kuwa ni kweli.ndiyo yaliyomfanya Mohammad ijab kuwa mkristo
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Naomba inunue qur -an nikufudishe ili ujue huyo shekh wenu wa michongo ni muongo ni wakala wa ibilis
@shaloboy3861
Жыл бұрын
Na hii chanel naifunga na ww davista take care agenda yako tumeijua watch your back🗡
@arthurdelisle3894
Жыл бұрын
ujinga wa waislamu mnawazaga kuua tu kama shetani mnaemuabudu
@abuumaryam1922
Жыл бұрын
Wewe wacha uongo hakuna mafundisho ya namna hiyo usdanganye watu kitab cha sunnah nikipi hiko wasojua wapumbav wenzako ndo watakuamin shetwaan wewe
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Uislam hauruhusu uchawi ww ni mchawi wa asili
@reyyathu8978
Жыл бұрын
Pathetic
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Ww huna elimu ila ya majini
@bustedislam3578
Жыл бұрын
Kwani surat ya majini inafanya nini ndani ya Quran?
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Surat jini maana yake majni yaliiogopa qur -an wakasema hakika tumeiona hii qur -a ya ajabu na sisi majini tumeigopa na hayo majini yalitumwa na ndugu yenu ibilis qur-an kama huyo shekh wenu wa michongo ametumwa na na ibilis ili kuharibu qur -an tena Quran hairuhueu mchawi wa mpiga ramli tena inasema majni ni adui yetu waislam tukaenae mbali
@bustedislam3578
Жыл бұрын
@@matiusmgisa7203 yaani Kuna majini walio silimu?
@matiusmgisa7203
Жыл бұрын
Hayo majini yaliiogopa qur-an yakasema tumejisalimisha kwa mwenyezi mungu yajikatenga na shetana kwahiyo Surat jini sio sura ya kuita majn hapana inaelezea kwamba majini yalitumwa na ndugu yenu ibilis ili kuharibu qur-an yaliiogopa qur-an yakasema tumejisalimisha kwa mwenyezi mungu yajikatenga na ibilis
@bustedislam3578
Жыл бұрын
@@matiusmgisa7203 Yaani majini hao ni waislamu? Ni wafuasi wa marehemu Muhammad? Wanaswali ndani ya msikiti gani?
Пікірлер: 198