Kama unampenda YESU KRISTO na kuamini kuwa ni BWANA na mwokozi gonga like
@sylviamalyi3537
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Paul wapo watu watakaoingia mbinguni kupitia wewe na Mungu Jehova hataisahau kazi uliyoifanya taji utavikwa.Ubariliwe sana.
@janenjenga5639
Жыл бұрын
Jina safi la Yeshua Messiah Lihimindiwe milele na milele Amina
@drnow1528
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@manifestationofholyspiritm59
Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ....nashukuru Mungu Sana elimu hii imenifungua sana
@queenesther8505
Жыл бұрын
Uyu mtu yuasema ukweli kuhusu verse ya quran inayosema mungu aliumba binadamu na majini ili wamwabudu.surah dhariyat ayat 56(51-56).no weapon fashioned against us children of Jehovah God shall prosper in the name of Jesus Christ,greater is he who is in us than he who is in this world.❤
@philipmbaabu6169
Жыл бұрын
Mine reads different: Imran 9
@rebound2179
Жыл бұрын
Sikieni asemavyo Paul Mubarak:
@simonnsengiyumva1000
Жыл бұрын
Kweli kabisa ,nimeelimishwa yakutosha 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@cheupesewing3549
Жыл бұрын
Mwenye masikio na asikie na kuelewa ukweli ndo huu hapa mmeshapewa
@nyamogafamily9549
Жыл бұрын
Ahsante YESU KUJA KUTUKOMBOA...
@JaneDoe-hf3zy
Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubari sana mtumish husen mubark maana mungu ame kutoa mbali
@MargaretAyoma-oy5vp
Жыл бұрын
Asante huu ushuhuda umenitoa mbali saana mpaka sirogeki
@drnow1528
Жыл бұрын
Asante Mtumishi pamoja na Davista msichoke kuelimisha binadamu
@optimamarenda7082
Жыл бұрын
Nimeelimika Sana leo Mungu akubariki
@mercymwende139
Жыл бұрын
Kutoa fungu kunaweza fanya pesa zangu nisinyanganywe na jini...kunaweza protect pesa zangu
@husseingulam8981
Huyu ni muogo hata picha ya hao viongozi hana atuonyeshe maana Raisi wa Misri hajawahi kukutana na Ayatollah khomeni kwa miaka 45
@user-if4vh7sw4y
Yupo sawa huyu mtumishi
@Mimi-oe9nt
Жыл бұрын
Ati Allah alikuwa malaika Subhanallah (ametakasika aliyetuumba) niliiweka humu suratul ihlas nani Allah,,, sema mimi ni 1, Allah ndie wakukusudiwa, hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mshirika… hizo ndio sifa za Allah
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Wapendwa nitapataje namba ya mtumishi kuna ndugu yangu anayo miaka tisa kwenye ndoa mimba ikifikisha miezi mitano inaharibika jamani miaka tisa kwenye ndoa hana mtoto nihitaji namba ya mtumishi ili amuelekeze namna ya kuomba jamani
Пікірлер: 128